Dataset Viewer
Auto-converted to Parquet
path
audioduration (s)
1.01
137
transcription
stringlengths
2
1.4k
Hakuna yeyote nyumbani mwangu huwa anafanya hii shughuli.
..Watu wa
Nam, Mimi kuigia kwa YouTube huingianga nara kadhaa kwa mwezi, maanake Kuna ule wakati Sina vifurushi, sasa kama Nina vifurushi mimi hutazama mara kadhaa kwa wiki ama kwa siku.
WhatsApp yangu mimi hutumia kuongea na watu walio nje ya nchi, na kazi zangu pia nyingi ni ya WhatsApp na marafiki pia huwa tunaongea kupitia WhatsApp
Kutazama video, kuzungumza eeh.
Ningesikia vibaya lakini itakuwa sina la kufanya.
Mimi ki binafsi sijawahi pata na watu ambao wako karibu yangu sijawahi pata lakini ni ile rafiki wa kirafiki ndio nilisikia hadithi kama hizo.
Sioni kama ni kitu mbaya
Ni mbili na nazitumia zote
Juma pili
Mara kadhaa kwa wiki, yaani wakati wowote nikipata pesa nikiona ni nyingi ya kutosha kuweka akiba natumia, nyingine naweka kwa akiba
Temple Run, Pool, Candy Crush, na zinginezo.
Ni vyema kwa sababu youtube wanahakikisha kwamba ile kutazama video za bure inasaida ama kujiboresha,
Candy Crush, Tap Tap Match Connect, Word Shutter, Animal Hunting, Traffic Rider
Maoni yangu ni kuwa hizo zenye zimekuja hapo juu ni vitu zenye nimeangalia na zinalingana na hizo vitu.
Ningenunua kwa sababu wanasumbua
Nimewahi kusikia lakini sijawahi kutumia
Hiyo ingesaidia sana sababu ingekuwa muhimu kwangu
Robo tatu ya ekari.
Kwa maoni yangu ile kuuza bidaa kwa mtandao ni kuzuri tena ni kubaya maana mwenye atapenda atakupongeza, mwenye hatapenda ataweza kueleza ubaya wa ile bidhaa kwa mfano , na wengi wanao iona wakaweza kuikata. Na uzuri wa kutouzaa kwa mtandao pia uko na ubaya pia uko. ubaya wa kutouza kwa mtandao ni kwamba wengi hawatajua , watakaojua ni wale mko majirani pale
Huwa naanangalia, nikipata zile bidhaa ambazo zinapendeza naweza zinunua pia na nialike wateja pia waweze kununua.
Nimesoma mpaka chuo cha kiufundi
Mashaka yangu ni, naweza patana na habari ambazo ni za kutisha sana ambazo zinaweza fanya ujazwe na uoga, uoga mwingi sana, wakati mwingine hata unaweza shikwa na mshtuko.
Huwa na, kwa mfano
Ooo-h Ni kama si kuelewa hilo swali vizuri, mimi sina shida na mtu yeyote kunipigia simu, kunitumia ujumbe, niko sawa, ni kama sikuelewa hilo swali ilikua hapo mbeleni.
Ndio, sitaki waone maanake kuna watu wengine labda huwajui sasa labda wanaweza tumia hio posti yako vibaya kueneza ujumbe mwingine mbaya wenye mimi sitaki, kwa hivyo marafiki zangu wenye wananijua na wanajua hali yangu.
Ok mi hutumia Safaricom app Airtel pesa ,mi hutumia T-cash hizo ndiyo zile sanasana ambazo nazitumia pia nikitaka kutumia kama nataka kulipa kitu naeza tumia eeeh inaitwa M-loop, Cash- loop ambayo inatumika kutoka nchinaeza lipa kwa namba ya malipo kwa namba ya malipo hiyo nikama kuhamisha moja kwa moja pia naitumia.
Mara kadhaa kwa wiki, maana sio kila kitu hubarikiwa baada ya muda kadhaa
ni ya kakangu
Sana sana natumia M-PESA na Airtel
Ni kujiepukana tu na mambo zingine hazikufai
Natumia laini ya simu kwa kupiga simu na kupokea simu kutoka kwa wateja
Kuuza katika mtandao husaidia mtu juu unapata watu wengi wenye ata hawajui bidhaa zako zenye unauza lakini ukizitundika mtandaoni watu wanajua na wananunua
Kumi.
Hakuna kitu kingenizuia kulipa hiyo pesa,
Kitu nimesikia nimesoma magazeti hadi pia kuna kuna , nimesikia pia kuna redio na runinga zina unyanyasaji
kupitia kwa akaunti yangu STANBIC Banki
Nafikiri kwa upande wangu huwa nangalia YouTube wakati niko na hitaji si lazima iwe siku gani ama mwezi gani, natumia YouTube wakati nahitaji.
Eehh nacheza michezo wakati niko huru ndiyo huwa nacheza michezo.
Kwanza ni kujikinga kutokana na utapeli, la pili ni
Nishawahi kukisikia kifaa hicho cha kufuatilia na kwa wale ambao nimewasikia wameniambia wameniambia wanaelezea mambo mema kuhusu hicho kifaa sababu waeleze kuwa kimewafaidi sanawengine wanasena kimewafaidi sana hasa upande wa uwizi, pengine kukuwa simu yako iko na kifa cha ufuatiliaji wanasema kwamba mwenye ataiba hata kuwa na shughuli yoyote ama kazi yoyote kuhusu hiyo simu pindi uta fuatilia ikiwa na kifaa cha ufuatiliaji kwa sababu itafungwa na hata kuwa hata kuwa na uwezo wa kutumia hiyo simu tena.
Ningehisi vibaya, ningehisi vibaya
Singehisi, nisingehisi vizuri
Ukianza biashara, lazima utarajie vitu kama hizo ,kwa hivyo hizo ni moja ya changamoto lazima upitie ukiwa unafanya biashara yako, kwa hivyo unakubali tu.
,,mwingine ambaye anashirika na mambo yaBenki kuna kijana wangu ambaye yuko colleg huyo ndio kidogo hushirikashirika na mambo ya Benki.
ya kwamba inahitaji tusiwe wa kuvunjika moyo kwa sababu kama unanyanyasika ni uwe na moyo wa kustahimili unapata hasara lakini mara nyingine unauza unapata faida. Kuna hiyo akati wa chini na wakati wa juu . Kwa hivyo ukinyanyasika , tumia mashauri labda ya kufanya maamuzi ambayo yatakuadhiri wewe mwenyewe.
Hio ni biashara yao, hatuwezi kepuka ukipenda kuangalia video ya bure ndipo utapeana habari zako
Niko na mpenzi wangu kijana
kadi mbili za kampuni tofauti
Naishi mtaa wa
Ndio maana natazama yale ambao yananisaidia maana wale watu wa Youtube wanatengeneza pesa nikiangalia video zao ,kwa hivyo zile ambazo zinatokelezea na hazinisaii ama hazinifuraishi huwa naruka, kusudi niwe na wakati wa kutazama ile inanisaidia kibiashara
Ningewaripoti hao wenye wananitumia jumbe za kiuongo na pia kuwazuia.
Umoja 3
Nasema imjengwa na mawe
Kuskia habari, kuona picha za watu, kuona vile nchi inaendelea na kuposti, kuposti zenye naona ni nzuri.
Ningeendelea kuuza vitu kwa mtandao , ili niendelee kuuza na kuendelea na wale wananinunulia
Huwa natumia M-PESA Pesa Pal na nambari ya malipo.
Ningenunua ili nifaidishe wenzangu hata wale ambao ni wazee na wale ambao hawaelewi.
Nimepata mafunzo kutoka kwao
Ruth Jepkoech
Mi natumia njia ya MPESA sina huduma nyingine.
Jumamosi kila wiki, elfu moja kila wiki, kukopeshwa tunakopeshwa elfu ishirini bora ulipe ,na inalingana ni muda gani.
Kunao watu kadhaa ambao uanweza pata mtu ameona labda ni bidhaa yako na ana nia ya kudukua akaunti yako, hao ndio watu ambao naepuna, nawezanga kuepukana kidogo kwa sababu wanaweza kudukua akaunti alafu wafanye mambo mabaya tu.
Marafiki, wana biashara
Pengine huwa wanapenda kuangalia simu za wengine bila ruhusa 
Ukipenda filamu, kuna algorithimu inasema umependa filamu fulani, kwa hivyo wanatengeneza kile unataka kuona alafu wanakuelekeza huko.
Muuzaji wa duka, ukiwa na duka unafaa uwe na namba yako ya malipo mtu kukulipia pesa na kama sio namba ya malipo kuna pochi la biashara, mtu akichukua anaeza kulipia kwa simu na mtu kusema aenda na deni yako ndio aende akuwekee kwa simu ama aende kutoa pesa, Moraa naona alikua tu sawa kwa sababu mtu kusema aende atoe pesa mahali ndio akuletee hiyo ni nini lakini pesa sai inalipwa kwa njia ya simu,lakini sasa hakuwa amegundua njia ya kulipia kwa simu.
Ekari mbili
Mimi ningechukua tu sheria, nikaenda polisi , nikaenda nikaandikisha , na nikaangalia mkono wa sheria vile ambavyo utanihudumia.
zingine si za ukweli.
Ngesema ni biashara kama sisi tunafanya biashara apa nje bado wao wako biashara kwa hivyo singehisi vibaya ningehisi kama hii biashara kama tuh ile ingine kwa hivyo wakileta video nyingi kama hizo mimi ndakua alafu naangalia zile ambazo mimi mwenyewe zinanihusu hizo ndio ningeziangalia badala ya kuangalia vitu ambavyo mpaka
wajua Moraa kwa upande wake yuko sawa maanake pengine hakutaka alipe kwa wakati huo na pia hakutaka alipe kutumia pesa ya biashara. Kwa hivyo naona yuko sawa kwa upande wangu.
Hiyo ni kweli wakiona umekuwa mwaminifu na pesa ya kwanza wanaendaga wakiongeza pesa wanakufanya unakuwa na tamaa kubwa ya kukopa.
Huwa kuna vitu chochote kimefaa huwa ndio napiga picha
Maoni yake tu iko sawa ni kwa sababu yeye hataki.
Nimepanda uhakika nimepanda uhakika moja lakini parachichi si niko Haas karibu miti tatu lakini nimepanda ndogo karibu miti ishirini. Sawa.
ningeanza tu hiyo biashara na nitafute biashara ingine inafaa, niendeleze ili nisinyanyaswe.
Naishi Chuda, hapa Kiziwi
Wazazi na pia ndugu zangu huwa tunatumia
Watu ambao nawaruhusu kutumia simu yangu ni watoto wadogo pale nyumbani wanatumia kucheza gemu na kutazama video,pia marafiki wangu saa zingine kama wao hawana vifurushi vya data wananiomba kuitumia kuingia kwa mtandao.
Hutasikia vibaya juu vitu zingine wewe uliangalia kwa hiari yako kitu ulikuwa unataka. Ukiangalia kama ni mtu mimba unaona kuna zingine zinatokea unajipata unaendelea tu.
WhatsApp huwa tunatangaza, kutangaza kazi kama kutangaza bidhaa za Kopia napia kuongea na marafiki.
Ni mume wangu na mtoto wangu ndio nawaruhusu pekee yao.
Laini ya simu moja ni ya wateja, wateja wangu wote nime waweka kwa simu moja , laini moja. Laini ingine ni ya familia.
Mimi hutumia vifurushi vyangu, hutumia WiFi ya nymbani, hutumia pia Wifi ya kazini.
Vizuri kwa sababu wanakuongeza kama unalipa vizuri wanakuongeza kiwango cha kukopa hivyo hauwezi na biashara
Nilihisi ya kwamba watapata pesa kwa hivyo nilijaribu niwezavyo sababu mimi naweza
Yale ambayo huwa inatokelezea , ni mazungumzo yao ndiyo inafanya watu kuvutiwa na inapo tokelezea watu huyataka na ama kuyahitaji zaidi .
Mara kadhaa kwa wiki ama Mara tatu hivi
Kuangalia picha
faida yake ni ya kwamba bidhaa zake zinaenda kwa wingi sana , bidhaa zake huwa zinaenda kwa wingi , juu mtu akiona yeye pia naye hivyo ataanzia tu mtu wake ama wasikizane kuna bidhaa fulani nimeona na ni nzuri na inafaa ndiyo sasa anapata faida.
NImezaliwa tarehe kumi na tisa februari mwaka wa kumi na tisa tisini na nane
Ni jukumu la kila mmoja kuona kwamba wanawake wako salama, kwa kila wakati na pia wenyewe wakijifunza kujijua ya kwamba, hao ndio tegemeo la kesho na pia waweza kusaidia jamii yao kusimamisha nyumba zao.
Ndio
Ningechukua bidhaa zangu
Homabay
Ningenunua huduma hiyo ndio iweze kunionyesha jinsi ya nigenunua huduma hiyo ndio niweze kujua hao matapeli, kwa sababu huduma hiyo ingekuwa inanionyesha, huyu ni mtapeli anaye kupigia simu ama huyu si mtapeli hii ni simu ya kampuni ingekuwa inanionyesha, ningenunua huduma hiyo ingenisaidia.
Nina laini ya simu zaidi ya moja na mbili zilipotea saa niko na moja ndio inatumika
Ndio, huwa napokea wakati mwingine salio kutoka kwa marafiki zangu wa karibu, vifurushi hata mimi huwa nawatumia kutumia M-PESA lakini, kununua vifurushi, kununua M-PESA ama salio, huwa tunafanya hivyo
Kwa hakika nasikia vibaya kwa sababu sikua na hiyo mipangilio na wao wanataka nifuate mpangilio, ni biashara wanalazimisha,
End of preview. Expand in Data Studio
README.md exists but content is empty.
Downloads last month
73