Dataset Viewer
id
stringlengths 11
11
| verse_id
stringlengths 7
9
| audio
audioduration (s) 1.52
47.2
| verse_text
stringlengths 31
498
| transcript
stringlengths 30
523
|
---|---|---|---|---|
EZK_001_001 | EZK 1:1 | Katika mwaka wa thelathini, mwezi wa nne, siku ya tano ya mwezi, wakati nilipokuwa miongoni mwa hao waliokuwa uhamishoni kando ya Mto Kebari, mbingu zilifunguka nami nikaona maono ya Mungu. | katika mwaka wa thelathini mwezi wa nne siku ya tano ya mwezi wakati nilipokuwa miongoni mwa hao waliokuwa uhamishoni kando ya mto kebari mbingu zilifunguka nami nikaona maono ya mungu |
|
EZK_001_002 | EZK 1:2 | Katika siku ya tano ya mwezi, ilikuwa mwaka wa tano wa kuhamishwa kwa Mfalme Yehayakini, | katika siku ya tano ya mwezi ilikuwa mwaka wa tano wa kuhamishwa kwa mfalme yehayakini |
|
EZK_001_003 | EZK 1:3 | neno la BWANA lilimjia Ezekieli kuhani, mwana wa Buzi, kando ya Mto Kebari, katika nchi ya Wakaldayo. Huko mkono wa BWANA ulikuwa juu yake. | neno la bwana lilimjia ezekieli kuhani mwana wa buzi kando ya mto kebari katika nchi ya wakaldayo huko mkono wa bwana ulikuwa juu yake |
|
EZK_001_004 | EZK 1:4 | Nilitazama, nikaona dhoruba kubwa ikitoka kaskazini, wingu kubwa sana pamoja likiwa na umeme wa radi likiwa limezungukwa na mwanga mkali. Katikati ya huo moto kulikuwa kama rangi ya manjano ya chuma kinapokuwa ndani ya moto. | nilitazama nikaona dhoruba kubwa ikitoka kaskazini wingu kubwa sana pamoja likiwa na umeme wa radi likiwa limezungukwa na mwanga mkali katikati ya huo moto kulikuwa kama rangi ya manjano ya chuma kinapokuwa ndani ya moto |
|
EZK_001_005 | EZK 1:5 | Katika ule moto kulikuwa na kitu kinachofanana na viumbe vinne vyenye uhai. Katika kuonekana kwake vilikuwa na umbo mfano wa mwanadamu, | katika ule moto kulikuwa na kitu kinachofanana na viumbe vinne vyenye uhai katika kuonekana kwake vilikuwa na umbo mfano wa mwanadamu |
|
EZK_001_006 | EZK 1:6 | lakini kila kimoja kilikuwa na nyuso nne na mabawa manne. | lakini kila kimoja kilikuwa na nyuso nne na mabawa manne |
|
EZK_001_007 | EZK 1:7 | Miguu yao ilikuwa imenyooka, nyayo za miguu yao zilikuwa kama kwato za miguu ya ndama, nazo zilimetameta kama shaba iliyosuguliwa. | miguu yao ilikuwa imenyooka nyayo za miguu yao zilikuwa kama kwato za miguu ya ndama nazo zilimetameta kama shaba iliyosuguliwa |
|
EZK_001_008 | EZK 1:8 | Chini ya mabawa yao katika pande zao nne walikuwa na mikono ya mwanadamu. Wote wanne walikuwa na nyuso na mabawa, | chini ya mabawa yao katika pande zao nne walikuwa na mikono ya mwanadamu wote wanne walikuwa na nyuso na mabawa |
|
EZK_001_009 | EZK 1:9 | nayo mabawa yao yaligusana. Kila mmoja alikwenda kuelekea mbele moja kwa moja, hawakugeuka walipokuwa wanatembea. | nayo mabawa yao yaligusana kila mmoja alikwenda kuelekea mbele moja kwa moja hawakugeuka walipokuwa wanatembea |
|
EZK_001_010 | EZK 1:10 | Kuonekana kwa nyuso zao kulikuwa hivi: Kila mmoja wa wale wanne alikuwa na uso wa mwanadamu na kwa upande wa kulia kila mmoja alikuwa na uso wa simba, upande wa kushoto alikuwa na uso wa ngʼombe pia kila mmoja alikuwa na uso wa tai. | kuonekana kwa nyuso zao kulikuwa hivi kila mmoja wa wale wanne alikuwa na uso wa mwanadamu na kwa upande wa kulia kila mmoja alikuwa na uso wa simba upande wa kushoto alikuwa na uso wa ngombe pia kila mmoja alikuwa na uso wa tai |
|
EZK_001_011 | EZK 1:11 | Hivyo ndivyo zilivyokuwa nyuso zao. Mabawa yao yalikunjuliwa kuelekea juu, kila mmoja alikuwa na mabawa mawili ambayo kila moja liligusa bawa la mwenzake kila upande na mabawa mengine mawili yakifunika mwili wake. | hivyo ndivyo zilivyokuwa nyuso zao mabawa yao yalikunjuliwa kuelekea juu kila mmoja alikuwa na mabawa mawili ambayo kila moja liligusa bawa la mwenzake kila upande na mabawa mengine mawili yakifunika mwili wake |
|
EZK_001_012 | EZK 1:12 | Kila mmoja alikwenda kuelekea mbele moja kwa moja. Popote roho alipotaka kwenda, ndipo walipokwenda pasipo kugeuka. | kila mmoja alikwenda kuelekea mbele moja kwa moja popote roho alipotaka kwenda ndipo walipokwenda pasipo kugeuka |
|
EZK_001_013 | EZK 1:13 | Kuonekana kwa vile viumbe hai katikati kulikuwa kama makaa ya mawe yanayowaka au kama mienge. Moto ule ulikuwa ukienda mbele na nyuma katikati ya vile viumbe, ulikuwa na mwangaza mkali na katikati ya ule moto kulitoka kimulimuli kama umeme wa radi. | kuonekana kwa vile viumbe hai katikati kulikuwa kama makaa ya mawe yanayowaka au kama mienge moto ule ulikuwa ukienda mbele na nyuma katikati ya vile viumbe ulikuwa na mwangaza mkali na katikati ya ule moto kulitoka kimulimuli kama umeme wa radi |
|
EZK_001_014 | EZK 1:14 | Vile viumbe vilipiga mbio kwenda na kurudi, kama vimulimuli vya umeme wa radi. | vile viumbe vilipiga mbio kwenda na kurudi kama vimulimuli vya umeme wa radi |
|
EZK_001_015 | EZK 1:15 | Nilipokuwa nikitazama vile viumbe hai, niliona gurudumu moja juu ya ardhi kando ya kila kiumbe kikiwa na nyuso zake nne. | nilipokuwa nikitazama vile viumbe hai niliona gurudumu moja juu ya ardhi kando ya kila kiumbe kikiwa na nyuso zake nne |
|
EZK_001_016 | EZK 1:16 | Hivi ndivyo ilivyokuwa kuonekana kwa hayo magurudumu na muundo wake: yalingʼaa kama zabarajadi, nayo yote manne yalifanana. Kila gurudumu lilikuwa na gurudumu jingine ndani yake. | hivi ndivyo ilivyokuwa kuonekana kwa hayo magurudumu na muundo wake yalingaa kama zabarajadi nayo yote manne yalifanana kila gurudumu lilikuwa na gurudumu jingine ndani yake |
|
EZK_001_017 | EZK 1:17 | Yalipokwenda yalielekea upande wowote wa pande nne walipoelekea wale viumbe, magurudumu hayakuzunguka wakati viumbe vile vilipokwenda. | yalipokwenda yalielekea upande wowote wa pande nne walipoelekea wale viumbe magurudumu hayakuzunguka wakati viumbe vile vilipokwenda |
|
EZK_001_018 | EZK 1:18 | Kingo zake zilikuwa ndefu kwenda juu na za kutisha, nazo zote nne zilijawa na macho pande zote. | kingo zake zilikuwa ndefu kwenda juu na za kutisha nazo zote nne zilijawa na macho pande zote |
|
EZK_001_019 | EZK 1:19 | Vile viumbe hai vilipokwenda, magurudumu yaliyokuwa kando yao yalisogea na wakati hivyo viumbe hai vilipoinuka kutoka ardhini magurudumu nayo yaliinuka. | vile viumbe hai vilipokwenda magurudumu yaliyokuwa kando yao yalisogea na wakati hivyo viumbe hai vilipoinuka kutoka ardhini magurudumu nayo yaliinuka |
|
EZK_001_020 | EZK 1:20 | Mahali popote roho alipokwenda wale viumbe nao walikwenda, nayo magurudumu yaliinuka pamoja navyo, kwa sababu roho ya vile viumbe hai alikuwa ndani ya hayo magurudumu. | mahali popote roho alipokwenda wale viumbe nao walikwenda nayo magurudumu yaliinuka pamoja navyo kwa sababu roho ya vile viumbe hai alikuwa ndani ya hayo magurudumu |
|
EZK_001_021 | EZK 1:21 | Wakati viumbe vile viliposogea, nayo magurudumu yalisogea, viumbe viliposimama kimya, nayo pia yalisimama kimya, viumbe vilipoinuka juu ya nchi magurudumu yaliinuliwa pamoja navyo kwa kuwa roho ya hivyo viumbe hai alikuwa ndani ya hayo magurudumu. | wakati viumbe vile viliposogea nayo magurudumu yalisogea viumbe viliposimama kimya nayo pia yalisimama kimya viumbe vilipoinuka juu ya nchi magurudumu yaliinuliwa pamoja navyo kwa kuwa roho ya hivyo viumbe hai alikuwa ndani ya hayo magurudumu |
|
EZK_001_022 | EZK 1:22 | Juu ya vichwa vya hao viumbe hai palikuwa na kitu mfano wa eneo lililokuwa wazi, lililokuwa angavu kabisa na lenye kutisha. | juu ya vichwa vya hao viumbe hai palikuwa na kitu mfano wa eneo lililokuwa wazi lililokuwa angavu kabisa na lenye kutisha |
|
EZK_001_023 | EZK 1:23 | Chini ya hiyo nafasi mabawa yao yalitanda moja kuelekea jingine, kila mmoja alikuwa na mabawa mengine mawili yaliyofunika mwili wake. | chini ya hiyo nafasi mabawa yao yalitanda moja kuelekea jingine kila mmoja alikuwa na mabawa mengine mawili yaliyofunika mwili wake |
|
EZK_001_024 | EZK 1:24 | Viumbe wale waliposogea nilisikia sauti ya mabawa yao, kama ngurumo ya maji yaendayo kasi, kama sauti ya Mwenyezi, kama makelele ya jeshi. Waliposimama kimya walishusha mabawa yao. | viumbe wale waliposogea nilisikia sauti ya mabawa yao kama ngurumo ya maji yaendayo kasi kama sauti ya mwenyezi kama makelele ya jeshi waliposimama kimya walishusha mabawa yao |
|
EZK_001_025 | EZK 1:25 | Ndipo ikaja sauti toka juu ya ile nafasi ya wazi iliyokuwa juu ya vichwa vyao, waliposimama mabawa yao yakiwa yameshushwa. | ndipo ikaja sauti toka juu ya ile nafasi ya wazi iliyokuwa juu ya vichwa vyao waliposimama mabawa yao yakiwa yameshushwa |
|
EZK_001_027 | EZK 1:27 | Nikaona kwamba kutokana na kile nilichoona kama kiuno chake kuelekea juu alionekana kama chuma inayowaka kana kwamba imejaa moto na kuanzia kiuno kwenda chini alionekana kama moto na mwanga mkali ulimzunguka. | nikaona kwamba kutokana na kile nilichoona kama kiuno chake kuelekea juu alionekana kama chuma inayowaka kana kwamba imejaa moto na kuanzia kiuno kwenda chini alionekana kama moto na mwanga mkali ulimzunguka |
|
EZK_001_028 | EZK 1:28 | Kama vile kuonekana kwa upinde wa mvua mawinguni siku ya mvua, ndivyo ulivyokuwa ule mngʼao uliomzunguka. Hivi ndivyo ilivyokuwa kuonekana kwa utukufu wa BWANA. Nilipouona, nikaanguka kifudifudi, nikasikia sauti ya mtu anaongea. | kama vile kuonekana kwa upinde wa mvua mawinguni siku ya mvua ndivyo ulivyokuwa ule mngao uliomzunguka hivi ndivyo ilivyokuwa kuonekana kwa utukufu wa bwana nilipouona nikaanguka kifudifudi nikasikia sauti ya mtu anaongea |
|
EZK_002_001 | EZK 2:1 | Akaniambia, “Mwanadamu, simama kwa miguu yako nami nitasema nawe.” | akaniambia mwanadamu simama kwa miguu yako nami nitasema nawe |
|
EZK_002_002 | EZK 2:2 | Alipokuwa akiongea nami, Roho akanijia na kunisimamisha wima, nikamsikia akisema nami. | alipokuwa akiongea nami roho akanijia na kunisimamisha wima nikamsikia akisema nami |
|
EZK_002_003 | EZK 2:3 | Akaniambia: “Mwanadamu, ninakutuma kwa Waisraeli, kwa taifa asi ambalo limeniasi mimi, wao na baba zao wananikosea mimi hadi leo. | akaniambia mwanadamu ninakutuma kwa waisraeli kwa taifa asi ambalo limeniasi mimi wao na baba zao wananikosea mimi hadi leo |
|
EZK_002_004 | EZK 2:4 | Watu ambao ninakutuma kwao ni wapotovu na wakaidi. Waambie, ‘Hivi ndivyo anavyosema BWANA Mwenyezi.’ | watu ambao ninakutuma kwao ni wapotovu na wakaidi waambie hivi ndivyo anavyosema bwana mwenyezi |
|
EZK_002_005 | EZK 2:5 | Kama watasikiliza au hawatasikiliza, kwa kuwa wao ni nyumba ya kuasi, watajua nabii amekuwa miongoni mwao. | kama watasikiliza au hawatasikiliza kwa kuwa wao ni nyumba ya kuasi watajua nabii amekuwa miongoni mwao |
|
EZK_002_006 | EZK 2:6 | Nawe mwanadamu, usiwaogope wao wala maneno yao, usiogope, ingawa michongoma na miiba vinakuzunguka na unaishi katikati ya nge. Usiogope yale wasemayo wala usitishwe nao, ingawa wao ni nyumba ya uasi. | nawe mwanadamu usiwaogope wao wala maneno yao usiogope ingawa michongoma na miiba vinakuzunguka na unaishi katikati ya nge usiogope yale wasemayo wala usitishwe nao ingawa wao ni nyumba ya uasi |
|
EZK_002_007 | EZK 2:7 | Wewe lazima uwaambie maneno yangu, ikiwa wanasikiliza au hawasikilizi, kwa kuwa wao ni watu waasi. | wewe lazima uwaambie maneno yangu ikiwa wanasikiliza au hawasikilizi kwa kuwa wao ni watu waasi |
|
EZK_002_008 | EZK 2:8 | Lakini wewe mwanadamu, sikiliza ninalokuambia. Usiwe mwenye kuasi kama hiyo nyumba ya kuasi. Fungua kinywa chako na ule nikupacho.” | lakini wewe mwanadamu sikiliza ninalokuambia usiwe mwenye kuasi kama hiyo nyumba ya kuasi fungua kinywa chako na ule nikupacho |
|
EZK_002_009 | EZK 2:9 | Ndipo nikatazama, nami nikaona mkono ulionyooshwa kunielekea. Nao ulikuwa na ukurasa wa kitabu, | ndipo nikatazama nami nikaona mkono ulionyooshwa kunielekea nao ulikuwa na ukurasa wa kitabu |
|
EZK_002_010 | EZK 2:10 | ambao aliukunjua mbele yangu. Pande zote mbili ulikuwa umeandikwa maneno ya maombolezo, vilio na ole. | ambao aliukunjua mbele yangu pande zote mbili ulikuwa umeandikwa maneno ya maombolezo vilio na ole |
|
EZK_003_001 | EZK 3:1 | Naye akaniambia, “Mwanadamu, kula kile kilichoko mbele yako, kula huu ukurasa wa kitabu, kisha uende ukaseme na nyumba ya Israeli.” | naye akaniambia mwanadamu kula kile kilichoko mbele yako kula huu ukurasa wa kitabu kisha uende ukaseme na nyumba ya israeli |
|
EZK_003_002 | EZK 3:2 | Ndipo nikafungua kinywa changu, naye akanilisha ule ukurasa wa kitabu. | ndipo nikafungua kinywa changu naye akanilisha ule ukurasa wa kitabu |
|
EZK_003_003 | EZK 3:3 | Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, kula ukurasa huu wa kitabu ninaokupa ujaze tumbo lako.” Kwa hiyo nikaula, ulikuwa mtamu kama asali kinywani mwangu. | ndipo akaniambia mwanadamu kula ukurasa huu wa kitabu ninaokupa ujaze tumbo lako kwa hiyo nikaula ulikuwa mtamu kama asali kinywani mwangu |
|
EZK_003_004 | EZK 3:4 | Kisha akaniambia, “Mwanadamu, sasa nenda katika nyumba ya Israeli ukaseme nao maneno yangu. | kisha akaniambia mwanadamu sasa nenda katika nyumba ya israeli ukaseme nao maneno yangu |
|
EZK_003_005 | EZK 3:5 | Hukutumwa kwa taifa lenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli. | hukutumwa kwa taifa lenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu bali kwa nyumba ya israeli |
|
EZK_003_006 | EZK 3:6 | Sikukutuma kwa mataifa mengi yenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu ambao maneno yao hutayaelewa. Hakika ningekutuma kwa watu hao, wangekusikiliza. | sikukutuma kwa mataifa mengi yenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu ambao maneno yao hutayaelewa hakika ningekutuma kwa watu hao wangekusikiliza |
|
EZK_003_007 | EZK 3:7 | Lakini nyumba ya Israeli haitakusikiliza kwa kuwa hawako radhi kunisikiliza mimi, kwa kuwa nyumba yote ya Israeli ni wenye vipaji vya nyuso vigumu na mioyo ya ukaidi. | lakini nyumba ya israeli haitakusikiliza kwa kuwa hawako radhi kunisikiliza mimi kwa kuwa nyumba yote ya israeli ni wenye vipaji vya nyuso vigumu na mioyo ya ukaidi |
|
EZK_003_008 | EZK 3:8 | Tazama nimefanya uso wako mgumu dhidi ya nyuso zao na kipaji cha uso wako kigumu dhidi ya vipaji vya nyuso zao. | tazama nimefanya uso wako mgumu dhidi ya nyuso zao na kipaji cha uso wako kigumu dhidi ya vipaji vya nyuso zao |
|
EZK_003_009 | EZK 3:9 | Kama vile almasi ilivyo ngumu kuliko gumegume, ndivyo nilivyokifanya kipaji cha uso wako. Usiwaogope wala usiwahofu, ijapokuwa ni nyumba ya kuasi.” | kama vile almasi ilivyo ngumu kuliko gumegume ndivyo nilivyokifanya kipaji cha uso wako usiwaogope wala usiwahofu ijapokuwa ni nyumba ya kuasi |
|
EZK_003_010 | EZK 3:10 | Naye akaniambia, “Mwanadamu, sikiliza kwa makini na uyatie moyoni mwako maneno yote nitakayosema nawe. | naye akaniambia mwanadamu sikiliza kwa makini na uyatie moyoni mwako maneno yote nitakayosema nawe |
|
EZK_003_011 | EZK 3:11 | Kisha nenda kwa watu wa taifa lako walio uhamishoni, ukaseme nao. Waambie, ‘Hivi ndivyo BWANA Mwenyezi asemavyo,’ kwamba watasikiliza au hawatasikiliza.” | kisha nenda kwa watu wa taifa lako walio uhamishoni ukaseme nao waambie hivi ndivyo bwana mwenyezi asemavyo kwamba watasikiliza au hawatasikiliza |
|
EZK_003_012 | EZK 3:12 | Ndipo Roho akaniinua, nikasikia sauti kubwa nyuma yangu ya ngurumo. (Utukufu wa BWANA na utukuzwe katika mahali pa makao yake!) | ndipo roho akaniinua nikasikia sauti kubwa nyuma yangu ya ngurumo utukufu wa bwana na utukuzwe katika mahali pa makao yake |
|
EZK_003_014 | EZK 3:14 | Ndipo Roho aliponiinua na kunipeleka mbali. Nikaenda nikiwa na uchungu na hasira moyoni mwangu, nao mkono wa BWANA ukiwa juu yangu. | ndipo roho aliponiinua na kunipeleka mbali nikaenda nikiwa na uchungu na hasira moyoni mwangu nao mkono wa bwana ukiwa juu yangu |
|
EZK_003_015 | EZK 3:15 | Nikafika kwa wale watu waliokuwa uhamishoni huko Tel-Abibu karibu na Mto Kebari. Nikakaa miongoni mwao kwa muda wa siku saba, nikiwa nimejawa na mshangao. | nikafika kwa wale watu waliokuwa uhamishoni huko telabibu karibu na mto kebari nikakaa miongoni mwao kwa muda wa siku saba nikiwa nimejawa na mshangao |
|
EZK_003_016 | EZK 3:16 | Mwishoni mwa hizo siku saba neno la BWANA likanijia kusema: | mwishoni mwa hizo siku saba neno la bwana likanijia kusema |
|
EZK_003_017 | EZK 3:17 | “Mwanadamu, nimekufanya uwe mlinzi wa nyumba ya Israeli, kwa hiyo sikia neno nisemalo, ukawape onyo litokalo kwangu. | mwanadamu nimekufanya uwe mlinzi wa nyumba ya israeli kwa hiyo sikia neno nisemalo ukawape onyo litokalo kwangu |
|
EZK_003_018 | EZK 3:18 | Nimwambiapo mtu mwovu, ‘Hakika utakufa,’ na wewe usipomwonya mtu huyo au kumshauri aache njia zake mbaya ili kuokoa maisha yake, huyo mtu mwovu atakufa katika dhambi yake na damu yake nitaidai mkononi mwako. | nimwambiapo mtu mwovu hakika utakufa na wewe usipomwonya mtu huyo au kumshauri aache njia zake mbaya ili kuokoa maisha yake huyo mtu mwovu atakufa katika dhambi yake na damu yake nitaidai mkononi mwako |
|
EZK_003_019 | EZK 3:19 | Lakini ukimwonya mtu mwovu naye akakataa kuacha uovu wake na njia zake mbaya, atakufa katika dhambi yake, lakini wewe utakuwa umejiokoa nafsi yako. | lakini ukimwonya mtu mwovu naye akakataa kuacha uovu wake na njia zake mbaya atakufa katika dhambi yake lakini wewe utakuwa umejiokoa nafsi yako |
|
EZK_003_020 | EZK 3:20 | “Tena, mtu mwenye haki akiacha haki yake na kutenda maovu, nami nikaweka kikwazo mbele yake mtu huyo atakufa. Kwa kuwa hukumwonya, atakufa katika dhambi yake. Mambo ya haki aliyotenda, hayatakumbukwa, damu yake nitaidai mkononi mwako. | tena mtu mwenye haki akiacha haki yake na kutenda maovu nami nikaweka kikwazo mbele yake mtu huyo atakufa kwa kuwa hukumwonya atakufa katika dhambi yake mambo ya haki aliyotenda hayatakumbukwa damu yake nitaidai mkononi mwako |
|
EZK_003_021 | EZK 3:21 | Lakini ukimwonya mwenye haki asitende dhambi na akaacha kutenda dhambi, hakika ataishi kwa sababu alipokea maonyo na utakuwa umejiokoa nafsi yako.” | lakini ukimwonya mwenye haki asitende dhambi na akaacha kutenda dhambi hakika ataishi kwa sababu alipokea maonyo na utakuwa umejiokoa nafsi yako |
|
EZK_003_022 | EZK 3:22 | Mkono wa BWANA ulikuwa juu yangu huko, naye akaniambia, “Simama uende mpaka sehemu tambarare, nami nitasema nawe huko.” | mkono wa bwana ulikuwa juu yangu huko naye akaniambia simama uende mpaka sehemu tambarare nami nitasema nawe huko |
|
EZK_003_023 | EZK 3:23 | Kwa hiyo niliinuka nikaenda mpaka mahali pa tambarare. Utukufu wa BWANA ulikuwa umesimama huko, kama utukufu ule niliouona kando ya Mto Kebari, nami nikaanguka kifudifudi. | kwa hiyo niliinuka nikaenda mpaka mahali pa tambarare utukufu wa bwana ulikuwa umesimama huko kama utukufu ule niliouona kando ya mto kebari nami nikaanguka kifudifudi |
|
EZK_003_024 | EZK 3:24 | Ndipo Roho akaja ndani yangu akanisimamisha kwa miguu yangu. Akasema nami akaniambia: “Nenda ukajifungie ndani ya nyumba yako. | ndipo roho akaja ndani yangu akanisimamisha kwa miguu yangu akasema nami akaniambia nenda ukajifungie ndani ya nyumba yako |
|
EZK_003_025 | EZK 3:25 | Nawe, ee mwanadamu, watakufunga kwa kamba, watakufunga ili usiweze kutoka na kuwaendea watu. | nawe ee mwanadamu watakufunga kwa kamba watakufunga ili usiweze kutoka na kuwaendea watu |
|
EZK_003_026 | EZK 3:26 | Nitaufanya ulimi wako ushikamane kwenye kaa la kinywa chako, ili uwe kimya usiweze kuwakemea, wajapokuwa ni nyumba ya kuasi. | nitaufanya ulimi wako ushikamane kwenye kaa la kinywa chako ili uwe kimya usiweze kuwakemea wajapokuwa ni nyumba ya kuasi |
|
EZK_003_027 | EZK 3:27 | Lakini nitakaposema nawe, nitafungua kinywa chako nawe utawaambia, ‘Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo.’ Yeyote atakayesikiliza na asikilize, na yeyote atakayekataa na akatae; kwa kuwa wao ni nyumba ya kuasi. | lakini nitakaposema nawe nitafungua kinywa chako nawe utawaambia hili ndilo bwana mwenyezi asemalo yeyote atakayesikiliza na asikilize na yeyote atakayekataa na akatae kwa kuwa wao ni nyumba ya kuasi |
|
EZK_004_001 | EZK 4:1 | “Mwanadamu, sasa chukua tofali, uliweke mbele yako na uchore juu yake ramani ya mji wa Yerusalemu. | mwanadamu sasa chukua tofali uliweke mbele yako na uchore juu yake ramani ya mji wa yerusalemu |
|
EZK_004_002 | EZK 4:2 | Kisha uuzingire: Simamisha askari dhidi yake kuuzunguka, uzunguke kwa majeshi, weka kambi dhidi yake pande zote pamoja na magogo ya kubomolea boma vitani. | kisha uuzingire simamisha askari dhidi yake kuuzunguka uzunguke kwa majeshi weka kambi dhidi yake pande zote pamoja na magogo ya kubomolea boma vitani |
|
EZK_004_003 | EZK 4:3 | Kisha chukua bamba la chuma, ukalisimamishe liwe kama ukuta wa chuma kati yako na huo mji, nawe uuelekeze uso wako. Huo mji utakuwa katika hali ya kuzingirwa, nawe utauzingira. Hii itakuwa ishara kwa nyumba ya Israeli. | kisha chukua bamba la chuma ukalisimamishe liwe kama ukuta wa chuma kati yako na huo mji nawe uuelekeze uso wako huo mji utakuwa katika hali ya kuzingirwa nawe utauzingira hii itakuwa ishara kwa nyumba ya israeli |
|
EZK_004_004 | EZK 4:4 | “Kisha ulale kwa upande wako wa kushoto na uweke dhambi za nyumba ya Israeli juu yake. Utazibeba dhambi zao kwa idadi ya siku utakazolala kwa huo upande mmoja. | kisha ulale kwa upande wako wa kushoto na uweke dhambi za nyumba ya israeli juu yake utazibeba dhambi zao kwa idadi ya siku utakazolala kwa huo upande mmoja |
|
EZK_004_005 | EZK 4:5 | Nimekupangia idadi ya siku kama miaka ya dhambi yao. Kwa hiyo kwa siku 390 utabeba dhambi za nyumba ya Israeli. | nimekupangia idadi ya siku kama miaka ya dhambi yao kwa hiyo kwa siku mia tatu tisini utabeba dhambi za nyumba ya israeli |
|
EZK_004_006 | EZK 4:6 | “Baada ya kumaliza hili, lala chini tena, wakati huu ulale chini kwa upande wa kuume, uchukue dhambi za nyumba ya Yuda. Nimekupangia siku arobaini, siku moja kwa kila mwaka mmoja. | baada ya kumaliza hili lala chini tena wakati huu ulale chini kwa upande wa kuume uchukue dhambi za nyumba ya yuda nimekupangia siku arobaini siku moja kwa kila mwaka mmoja |
|
EZK_004_007 | EZK 4:7 | Geuza uso wako uelekeze kwenye kuzingirwa kwa Yerusalemu na mkono wako ambao haukuvikwa nguo tabiri dhidi yake. | geuza uso wako uelekeze kwenye kuzingirwa kwa yerusalemu na mkono wako ambao haukuvikwa nguo tabiri dhidi yake |
|
EZK_004_008 | EZK 4:8 | Nitakufunga kwa kamba ili usiweze kugeuka kutoka upande mmoja hadi upande mwingine, mpaka hapo utakapokuwa umetimiza siku za kuzingirwa kwako. | nitakufunga kwa kamba ili usiweze kugeuka kutoka upande mmoja hadi upande mwingine mpaka hapo utakapokuwa umetimiza siku za kuzingirwa kwako |
|
EZK_004_009 | EZK 4:9 | “Chukua ngano na shayiri, maharagwe na dengu, mtama na mawele, uviweke na kuvihifadhi vyote kwenye gudulia la kuhifadhia, na uvitumie kujitengenezea mkate. Utaula mkate huo kwa hizo siku 390 utakazokuwa umelala kwa upande mmoja. | chukua ngano na shayiri maharagwe na dengu mtama na mawele uviweke na kuvihifadhi vyote kwenye gudulia la kuhifadhia na uvitumie kujitengenezea mkate utaula mkate huo kwa hizo siku mia tatu tisini utakazokuwa umelala kwa upande mmoja |
|
EZK_004_010 | EZK 4:10 | Pima shekeli ishirini za chakula utakachokula kwa kila siku, nawe utakula kwa wakati uliopangwa. | pima shekeli ishirini za chakula utakachokula kwa kila siku nawe utakula kwa wakati uliopangwa |
|
EZK_004_011 | EZK 4:11 | Pia pima maji moja ya sita ya hini, nawe utakunywa kwa wakati uliopangwa. | pia pima maji moja ya sita ya hini nawe utakunywa kwa wakati uliopangwa |
|
EZK_004_012 | EZK 4:12 | Nawe utakula chakula kama vile ambavyo ungekula mkate wa shayiri, uoke mkate mbele ya macho ya watu, ukitumia kinyesi cha mwanadamu.” | nawe utakula chakula kama vile ambavyo ungekula mkate wa shayiri uoke mkate mbele ya macho ya watu ukitumia kinyesi cha mwanadamu |
|
EZK_004_013 | EZK 4:13 | BWANA akasema, “Hivi ndivyo watu wa Israeli watakavyokula chakula kilicho najisi miongoni mwa mataifa ninakowapeleka.” | bwana akasema hivi ndivyo watu wa israeli watakavyokula chakula kilicho najisi miongoni mwa mataifa ninakowapeleka |
|
EZK_004_014 | EZK 4:14 | Ndipo nikasema, “Sivyo BWANA Mwenyezi! Kamwe mimi sijajitia unajisi. Tangu ujana wangu hadi sasa sijala kamwe kitu chochote kilichokufa au kilichoraruliwa na wanyama wa mwituni. Hakuna nyama yeyote najisi iliyoingia kinywani mwangu.” | ndipo nikasema sivyo bwana mwenyezi kamwe mimi sijajitia unajisi tangu ujana wangu hadi sasa sijala kamwe kitu chochote kilichokufa au kilichoraruliwa na wanyama wa mwituni hakuna nyama yeyote najisi iliyoingia kinywani mwangu |
|
EZK_004_015 | EZK 4:15 | Akasema, “Vema sana, basi nitakuruhusu uoke mkate wako kwa kutumia kinyesi cha ngʼombe badala ya kinyesi cha mwanadamu.” | akasema vema sana basi nitakuruhusu uoke mkate wako kwa kutumia kinyesi cha ngombe badala ya kinyesi cha mwanadamu |
|
EZK_004_016 | EZK 4:16 | Ndipo Mungu akaniambia, “Mwanadamu, mimi nitakatilia mbali upatikanaji wa chakula katika Yerusalemu. Watu watakula chakula cha kupimwa kwa wasiwasi pamoja na maji ya kupimiwa kwa kukata tamaa, | ndipo mungu akaniambia mwanadamu mimi nitakatilia mbali upatikanaji wa chakula katika yerusalemu watu watakula chakula cha kupimwa kwa wasiwasi pamoja na maji ya kupimiwa kwa kukata tamaa |
|
EZK_004_017 | EZK 4:17 | kwa kuwa chakula na maji vitakuwa adimu. Watastajabiana kila mmoja, nao watadhoofika kwa sababu ya dhambi yao. | kwa kuwa chakula na maji vitakuwa adimu watastajabiana kila mmoja nao watadhoofika kwa sababu ya dhambi yao |
|
EZK_005_001 | EZK 5:1 | “Mwanadamu, sasa chukua upanga mkali na uutumie kama wembe wa kinyozi ili kunyolea nywele za kichwa chako na ndevu zako. Kisha uchukue mizani ya kupimia ukazigawanye nywele hizo. | mwanadamu sasa chukua upanga mkali na uutumie kama wembe wa kinyozi ili kunyolea nywele za kichwa chako na ndevu zako kisha uchukue mizani ya kupimia ukazigawanye nywele hizo |
|
EZK_005_002 | EZK 5:2 | Wakati siku zako za kuzingirwa zitakapokwisha, choma theluthi moja ya hizo nywele zako kwa moto ndani ya mji. Chukua theluthi nyingine ya hizo nywele uzipige kwa upanga kuuzunguka mji wote na theluthi nyingine ya mwisho utaitawanya kwa upepo. Kwa kuwa nitawafuatia kwa upanga uliofutwa. | wakati siku zako za kuzingirwa zitakapokwisha choma theluthi moja ya hizo nywele zako kwa moto ndani ya mji chukua theluthi nyingine ya hizo nywele uzipige kwa upanga kuuzunguka mji wote na theluthi nyingine ya mwisho utaitawanya kwa upepo kwa kuwa nitawafuatia kwa upanga uliofutwa |
|
EZK_005_003 | EZK 5:3 | Lakini chukua nywele chache uzifungie ndani ya pindo la vazi lako. | lakini chukua nywele chache uzifungie ndani ya pindo la vazi lako |
|
EZK_005_004 | EZK 5:4 | Tena chukua nywele nyingine chache uzitupe motoni uziteketeze. Moto utaenea kutoka humo na kufika katika nyumba yote ya Israeli. | tena chukua nywele nyingine chache uzitupe motoni uziteketeze moto utaenea kutoka humo na kufika katika nyumba yote ya israeli |
|
EZK_005_005 | EZK 5:5 | “Hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: Huu ndio Yerusalemu ambao nimeuweka katikati ya mataifa ukiwa umezungukwa na nchi pande zote. | hili ndilo bwana mwenyezi asemalo huu ndio yerusalemu ambao nimeuweka katikati ya mataifa ukiwa umezungukwa na nchi pande zote |
|
EZK_005_006 | EZK 5:6 | Lakini katika uovu wake umeasi sheria na amri zangu kuliko mataifa na nchi zinazouzunguka. Umeasi sheria zangu wala haukufuata amri zangu. | lakini katika uovu wake umeasi sheria na amri zangu kuliko mataifa na nchi zinazouzunguka umeasi sheria zangu wala haukufuata amri zangu |
|
EZK_005_007 | EZK 5:7 | “Kwa hiyo hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo: Ninyi mmekuwa wakaidi kuliko mataifa yanayowazunguka na hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria zangu. Wala hamkuweza hata kuzifuata kawaida za mataifa yanayowazunguka. | kwa hiyo hili ndilo bwana mwenyezi asemalo ninyi mmekuwa wakaidi kuliko mataifa yanayowazunguka na hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria zangu wala hamkuweza hata kuzifuata kawaida za mataifa yanayowazunguka |
|
EZK_005_008 | EZK 5:8 | “Kwa hiyo, hili ndilo BWANA Mwenyezi asemalo, Mimi mwenyewe, niko kinyume nanyi Yerusalemu, nitawapiga kwa adhabu yangu mbele ya mataifa. | kwa hiyo hili ndilo bwana mwenyezi asemalo mimi mwenyewe niko kinyume nanyi yerusalemu nitawapiga kwa adhabu yangu mbele ya mataifa |
|
EZK_005_009 | EZK 5:9 | Kwa ajili ya sanamu zenu zote za machukizo, nitawafanyia kile ambacho kamwe sijawafanyia kabla wala kamwe sitawafanyia tena. | kwa ajili ya sanamu zenu zote za machukizo nitawafanyia kile ambacho kamwe sijawafanyia kabla wala kamwe sitawafanyia tena |
|
EZK_005_010 | EZK 5:10 | Kwa hiyo katikati yenu baba watakula watoto wao na watoto watakula baba zao. Nitawapiga kwa adhabu, nami nitawatawanya watu wenu walionusurika pande zote za dunia. | kwa hiyo katikati yenu baba watakula watoto wao na watoto watakula baba zao nitawapiga kwa adhabu nami nitawatawanya watu wenu walionusurika pande zote za dunia |
|
EZK_005_011 | EZK 5:11 | Kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema BWANA Mwenyezi, kwa kuwa mmenajisi mahali pangu patakatifu kwa sanamu zenu mbaya sana na desturi zenu za machukizo, mimi mwenyewe nitaondoa fadhili zangu kwenu. | kwa hiyo hakika kama niishivyo asema bwana mwenyezi kwa kuwa mmenajisi mahali pangu patakatifu kwa sanamu zenu mbaya sana na desturi zenu za machukizo mimi mwenyewe nitaondoa fadhili zangu kwenu |
|
EZK_005_012 | EZK 5:12 | Theluthi ya watu wako watakufa kwa tauni au kwa njaa humu ndani yako, theluthi nyingine itaanguka kwa upanga nje ya kuta zako, nayo theluthi nyingine nitaitawanya kwenye pande nne kuwafuatia kwa upanga uliofutwa. | theluthi ya watu wako watakufa kwa tauni au kwa njaa humu ndani yako theluthi nyingine itaanguka kwa upanga nje ya kuta zako nayo theluthi nyingine nitaitawanya kwenye pande nne kuwafuatia kwa upanga uliofutwa |
|
EZK_005_013 | EZK 5:13 | “Ndipo hasira yangu itakapokoma na ghadhabu yangu dhidi yao itatulia, nami nitakuwa nimelipiza kisasi. Baada ya kuimaliza ghadhabu yangu juu yao, watajua kuwa mimi BWANA nimenena katika wivu wangu. | ndipo hasira yangu itakapokoma na ghadhabu yangu dhidi yao itatulia nami nitakuwa nimelipiza kisasi baada ya kuimaliza ghadhabu yangu juu yao watajua kuwa mimi bwana nimenena katika wivu wangu |
|
EZK_005_014 | EZK 5:14 | “Nitakuangamiza na kukufanya kitu cha kudharauliwa miongoni mwa mataifa yanayokuzunguka, machoni pa watu wote wapitao karibu nawe. | nitakuangamiza na kukufanya kitu cha kudharauliwa miongoni mwa mataifa yanayokuzunguka machoni pa watu wote wapitao karibu nawe |
|
EZK_005_015 | EZK 5:15 | Utakuwa kitu cha kudharauliwa na cha aibu, cha dhihaka, ovyo na kitu cha kutisha kwa mataifa yanayokuzunguka, nitakapokupiga kwa adhabu yangu katika hasira na ghadhabu yangu kwa kukukemea kwa ukali. Mimi BWANA nimesema. | utakuwa kitu cha kudharauliwa na cha aibu cha dhihaka ovyo na kitu cha kutisha kwa mataifa yanayokuzunguka nitakapokupiga kwa adhabu yangu katika hasira na ghadhabu yangu kwa kukukemea kwa ukali mimi bwana nimesema |
|
EZK_005_016 | EZK 5:16 | Nitakapokupiga kwa mishale yangu ya kufisha na yenye kuharibu ya njaa, nitaipiga ili kukuangamiza. Nitaleta njaa zaidi na zaidi juu yako na kukomesha upatikanaji wa chakula kwako. | nitakapokupiga kwa mishale yangu ya kufisha na yenye kuharibu ya njaa nitaipiga ili kukuangamiza nitaleta njaa zaidi na zaidi juu yako na kukomesha upatikanaji wa chakula kwako |
|
EZK_005_017 | EZK 5:17 | Nitapeleka njaa na wanyama wa mwituni dhidi yenu, navyo vitawaacha bila watoto. Tauni na umwagaji wa damu utapita katikati yenu, nami nitaleta upanga juu yenu. Mimi BWANA nimenena haya.” | nitapeleka njaa na wanyama wa mwituni dhidi yenu navyo vitawaacha bila watoto tauni na umwagaji wa damu utapita katikati yenu nami nitaleta upanga juu yenu mimi bwana nimenena haya |
|
EZK_006_001 | EZK 6:1 | Neno la BWANA likanijia kusema, | neno la bwana likanijia kusema |
|
EZK_006_002 | EZK 6:2 | “Mwanadamu, elekeza uso wako kukabili milima ya Israeli, utabiri dhidi yake | mwanadamu elekeza uso wako kukabili milima ya israeli utabiri dhidi yake |
|
EZK_006_003 | EZK 6:3 | na useme: ‘Ee milima ya Israeli, sikia neno la BWANA Mwenyezi. Hili ndilo BWANA Mwenyezi aliambiayo milima na vilima, magenge na mabonde: Ninakaribia kuleta upanga dhidi yenu, nami nitapaharibu mahali penu pote pa juu pa kuabudia miungu. | na useme ee milima ya israeli sikia neno la bwana mwenyezi hili ndilo bwana mwenyezi aliambiayo milima na vilima magenge na mabonde ninakaribia kuleta upanga dhidi yenu nami nitapaharibu mahali penu pote pa juu pa kuabudia miungu |
End of preview. Expand
in Data Studio
README.md exists but content is empty.
- Downloads last month
- 59