url
string
title
string
content
string
timestamp
string
language
string
last_updated
string
total_documents
int64
text
string
https://uvccmtz.blogspot.com/
UVCCM Blog
Chama Cha Mapinduzi leo Jumatano 3 Novemba2021 Kimefungua mafunzo maalum ya watendaji wa Chama am Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Ndg Daniel Chongolo Kushoto akiwa na mgeni wake Katibu M Katibu Mkuu wa CCM akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa TRC Ndg Masanja Kadogosa mara baada ya kuhit Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Ndg Daniel Chongolo akisaliana na Viongozi wa Chama Wilay
2024-12-18 14:18:31
sw
null
null
null
null
null
null
null
null
2024-12-18 14:19:39
1
null
http://ccm.or.tz/
null
null
null
null
null
null
Chama cha Mapinduzi kinapokea malipo ya ada kupitia mitandao ya simu ambapo mwanachama atalipa ada yake kwa kutumia Control number yake na Mtandao anaotaka kulipia, kwasasa utaweza kulipa ada kwa kupitia TigoPesa, M-pesa, Airtel Money, CRDB Bank, T-pesa Pakua Nakala Hapa
https://www.youtube.com/channel/UCObL5FMr6LKF1QCL5F6-tsg
null
null
null
null
null
null
Kuhusu Vyombo vya habari Hakimiliki Wasiliana nasi Watayarishi Tangaza Wasanidi Programu Sheria na Masharti Faragha Sera na Usalama YouTube Inavyofanya Kazi Jaribu vipengele vipya © 2024 Google LLC
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/VIJANA%20TV?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa Wa Kilimanjaro Umeongoza Ibada ya Shukrani Kwa Mwe… Endelea kusomaEndelea kusoma Kamati ya Utekelezaji ya Baraza kuu la UVCCM imekaa kikao chake maalum leo 19 Mei, 2020 Makao Makuu… Endelea kusomaEndelea kusoma KULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/UONGOZI?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Inaonyesha machapisho yenye lebo ya UONGOZI Onyesha wote Hakuna matokeo yaliyopatikana TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/MAWASILIANO?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Inaonyesha machapisho yenye lebo ya MAWASILIANO Onyesha wote Hakuna matokeo yaliyopatikana TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/MALENGO?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Inaonyesha machapisho yenye lebo ya MALENGO Onyesha wote Hakuna matokeo yaliyopatikana TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/MAGAZETI?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Inaonyesha machapisho yenye lebo ya MAGAZETI Onyesha wote MAGAZETI YALIYOJILI MAGAZETINI LEO TANZANIA IJUMAA, AGOSTI 4, 2020 uvccmtz Ijumaa, Septemba 04, 2020 Endelea kusoma MAGAZETI YALIYOJILI MAGAZETINI LEO JUMANNE JULAI 14,2020 uvccmtz Jumanne, Julai 14, 2020 \ Endelea kusoma MAGAZETI YALIYOJILI MAGAZETINI LEO JUMAPILI JULAI 12,2020 uvccmtz Jumapili, Julai 12, 2020 Endelea kusoma MAGAZETI YALIYOJILI MAGAZETINI LEO JUMAMOSI JULAI 11,2020 uvccmtz Jumamosi, Julai 11, 2020 Endelea kusoma Machapisho ya Zamani TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/UCHUMI?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Endelea kusoma *TANTRADE wapongezwa kwa kuyatendea haki maonesho hayo kila mwaka Na Leandra Gabriel, Blogu… Endelea kusomaUmoja wa Vijana wa CCM mkoa wa Songwe, umeendelea na Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi … Endelea kusomaZaidi ya watu 6,000 wameajiriwa katika mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SG… Endelea kusomaEndelea kusoma Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), akiwasilisha Bungeni Jijini… Endelea kusomaKULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/SIASA?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Na. Said Mwishehe,Michuzi TV-Shinyanga MIKUTANO ya Kampeni ya Uchaguzi Mkuu ya Mgombea Urais wa C… Endelea kusomaMgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho tawala Rais Dkt. John… Endelea kusomaMwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Comred Kheri Denice James leo tarehe 12,07,202… Endelea kusomaMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli aki… Endelea kusomaMwenyekiti wa Umoja wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi… Endelea kusomaMwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa,na Mjumbe wa Kamati Kuu Komred Kheri James Amehitimisha … Endelea kusomaKULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/SANAA?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Tanzania Bara Ndugu Galila Wabanh'u (MNEC) akizun… Endelea kusomaUSHAIRI: HONGERA BABA DKT. BASHIRU (MWAKA MMOJA WA UKATIBU MKUU CCM) Mtunzi: Edimund Lihawa… Endelea kusomaUshairi: NASUBIRI JIBU LAKO. 1. Ni tamu sauti yako, Nifananishe na nini, Wanivutia… Endelea kusomaUshairi: KIDONDA Mshairi: HAMISI A.S KISSAMVU … Endelea kusomaWaziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akiongea na wat… Endelea kusomaNa Dotto Mwaibale MWANAMUZIKI Mkongwe hapa nchini Kikumbi Mwanza Mpango 'King Kik… Endelea kusomaKULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/MICHEZO?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Dkt Bashiru Ally Kakurwa akipokea Kombe la Ndondo Cup kutoka k… Endelea kusomaTIMU ya Taifa ya Mpira wa Miguu Taifa Stars wamefanikiwa kuvuka hatua ya mwanzo ya mchujo yq kuwan… Endelea kusomaMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea Hundi ya Sh… Endelea kusomaPatashika katika mchezo wa mpira wa kikapu wasichana baina ya timu ya mkoa wa dar es salaam dhi… Endelea kusomaWaziri wa Habari , Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe (wa pili kushoto) akizu… Endelea kusomaMsafara wa wachezaji 18 na viongozi wa Klabu ya Sevilla FC umetua nchini usiku wa ku… Endelea kusomaKULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/matukio%20picha?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Inaonyesha machapisho yenye lebo ya matukio picha Onyesha wote matukio picha MATUKIO PICHA: MATEMBEZI YA UVCCM KITAIFA YA KUMBUKIZI YA KUMUENZI BABA WA TAIFA MWL NYERERE Thobias Omega Ijumaa, Oktoba 19, 2018 … Endelea kusoma Machapisho ya Zamani TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/MAKALA?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Inaonyesha machapisho yenye lebo ya MAKALA Onyesha wote MAKALA MAKALA KUHUSU HAYATI BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE KUTOKA KWA MZEE PIUS MSEKWA - SPIKA WA BUNGE MSTAAFU uvccmtz Jumanne, Oktoba 01, 2019 MWALIMU NYERERE KAMA NILIVYOMFAHAMU MIMI. Maelezo yanayotolewa hapa kuhusu Mwalimu Nyerere, yana… Endelea kusoma Machapisho ya Zamani TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/MAENDELEO?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA, Mhandisi Leonard S. Kapongo akimsikiliza Meneja wa TANROADS Mkoa wa… Endelea kusomaNa Mwandishi wetu Mihambwe Waendesha Pikipiki almaarufu kama Bodaboda pamoja na Wananchi wamelipong… Endelea kusomaWaziri wa Madini Doto Biteko akijipaka kitakasa mikono baada ya kupimwa joto kwenye mgodi wa Willia… Endelea kusomaWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza huku akiwa amezungukwa na … Endelea kusomaRais Dk. John Magufuli akifurahia jambo ndani ya Behewa la Treni ya Uhandisi alipokuwa akienda Mlan… Endelea kusomaWaziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, akitoa maelekezo kwa Meneja wa … Endelea kusomaKULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/KITAIFA?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Comred Kheri Denice James leo tarehe 12,07,202… Endelea kusomaMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli aki… Endelea kusomaMwenyekiti wa Umoja wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi… Endelea kusomaNa Mwandishi wetu Mihambwe Waendesha Pikipiki almaarufu kama Bodaboda pamoja na Wananchi wamelipong… Endelea kusomaWaziri wa Madini Doto Biteko akijipaka kitakasa mikono baada ya kupimwa joto kwenye mgodi wa Willia… Endelea kusomaMwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Taifa,na Mjumbe wa Kamati Kuu Komred Kheri James Amehitimisha … Endelea kusomaKULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/KIMATAIFA?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza huku akiwa amezungukwa na … Endelea kusomaShirika la Afya Duniani (WHO), limesema kuwa uongozi imara wa nchi ni moja kati ya sababu za Afr… Endelea kusomaWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi… Endelea kusomaKatibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Doto James (kushoto) na Mkurugenzi Mkazi wa Shirik… Endelea kusomaMarekani imetangaza kuipatia Tanzania nyongeza ya $2.4 milioni (TZS 5.6 bilioni) kwa ajili ya … Endelea kusomaKULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/ELIMU?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Waziri wa Elimu, Prof. Joyce Ndalichako Maelekezo ya Ulipaji Ada kwa shule zisizo za Serikali baada… Endelea kusomaMkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Martine Shigela akizungumza na timu ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanz… Endelea kusomaMakamu wa Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa TanzanIa Mhe Samia Suluhu Hassan amekua Mgeni rasmi katika… Endelea kusomaKutokana na Rais Dk John Magufuli jana kutangaza kufungua Shule zote ifikapo Juni 29, leo Waziri wa… Endelea kusomaKULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/AJIRA?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Na Mwandishi wetu Mihambwe Waendesha Pikipiki almaarufu kama Bodaboda pamoja na Wananchi wamelipong… Endelea kusomaLeo May 8, 2020 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Seleman Jaf… Endelea kusomaWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahab… Endelea kusomaNaibu Waziri wa maji Mh. Jumaa Aweso akizungumza mara baada ya kukagua mrad… Endelea kusomaSerikali imewapandisha madaraja watumishi wa umma 113,520 walioajiriwa mwaka 2012 k… Endelea kusomaKULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/AFYA?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Leo May 8, 2020 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Seleman Jaf… Endelea kusomaNa John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam 07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, … Endelea kusomaWaziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu akikata utepe ikiw… Endelea kusomaSerikali imeeleza kuwa inatarajia kuja na utaratibu mpya wa kutibu ugonjwa wa Dengue ambao umezu… Endelea kusomaSerikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea k… Endelea kusomaKULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
https://uvccmtz.blogspot.com/2021/11/ccm-yajifungia-siku-tatu-kuwapiga-msasa.html
null
null
null
null
null
null
Chama Cha Mapinduzi leo Jumatano 3 Novemba,2021 Kimefungua mafunzo maalum ya watendaji wa Chama ambao ni Makatibu wa Mikoa na Wilaya zote nchini. Mafunzo hayo yamefunguliwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Ndugu Philip Japhet Mangula katika ukumbi wa NEC makao makuu ya CCM jijini Dodoma. Pamoja na Mambo mengine ya msingi lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo washiriki ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa weledi na ufanisi ikiwa ni pamoja na usimamizi wa katiba, kanuni na ilani ya Uchaguzi ya CCM, maelekezo ya vikao sanjari na masuala mbalimbali ya ujenzi wa Taifa letu. Mafunzo hayo yatafanyika kwa siku sita na zaidi ya mada 17 zitafundishwa na wakufunzi mbalimbali waandamizi wa Chama na Serikali. Mafunzo hayo yatahitimishwa tarehe 6 Novemba,2021 ambapo Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufunga Mafunzo Hayo. Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi ndg Philip Japhet Mangula akizungumza wakati akifungua Semina ya Mafunzo kwa makatibu wa Chama Cha Mapinduzi Mikoa na Wilaya zote Nchini katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu Dodoma (White House) Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo akizungumza katika Semina ya Mafunzo kwa makatibu wa Chama Cha Mapinduzi Mikoa na Wilaya zote Nchini katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu Dodoma (White House) Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (Bara) Ndg Christina Mdeme akizungumza katika Semina ya Mafunzo kwa makatibu wa Chama Cha Mapinduzi Mikoa na Wilaya zote Nchini katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu Dodoma (White House) Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo akiteta Jambo na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Philip Japhet Magula Sehemu ya Wakufunzi na Washiriki wa Semina ya Mafunzo kwa makatibu wa Chama Cha Mapinduzi Mikoa na Wilaya zote Nchini katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu Dodoma (White House) Wajumbe wa Sekretariet ya Chama Cha Mapinduzi Taifa Sehemu ya Washiriki wa Semina hiyo Makatibu wa Wilaya na Mikoa wa CCM wakinyanyua mkono wakati wa Kula kiapo Cha Mwanachama wa CCM kabla ya Kuanza kwa Mafunzo hayo,Leo Novemba 03,2021 Jijini Dodoma. Sehemu ya Washiriki wa Semina hiyo Makatibu wa Wilaya na Mikoa wa CCM Sehemu ya Sekretariet Ya CCM (katikati) Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Ndg Kenani kihongosi akiimba nyimbo ya chama pamoja na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Ndg Kailima Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (Zanzibar) Dkt Abdallah Sadala Mabodi akizungumza katika Semina ya Mafunzo kwa makatibu wa Chama Cha Mapinduzi Mikoa na Wilaya zote Nchini katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu Dodoma (White House) Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo akizungumza na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Ndg Christina Mdeme wakati wa Semina ya Mafunzo kwa makatibu wa Chama Cha Mapinduzi Mikoa na Wilaya zote Nchini katika Ukumbi wa Halmashauri Kuu Dodoma (White House). (PICHA ZOTE NA FAHADI SIRAJI /CCM MAKAO MAKUU) ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2021/09/katibu-mkuu-wa-chama-cha-mapinduzi.html
null
null
null
null
null
null
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (Kushoto) akiwa na mgeni wake Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Sliver Samweli ,mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Mwl Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (Kushoto) akizungumza Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Sliver Samweli ,mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Mwl Julius Nyerere Jijini Dar Es Salaam. Wajumbe wa Sekretariet ya Chama Cha Mapinduzi Taifa wakimpokea Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Silver Samweli mara baada ya kuwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar Es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Silver Samweli akivishwa Skafu na kijana wa Hamasa mara baada ya kuwasili Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar Es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (Kulia) akiwa na mgeni wake Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Sliver Samweli ,alipowasili katika Ofisi ndogo za makao makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar Es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (Kulia) akiwa na mgeni wake Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Sliver Samweli ,wakikagua kikundi cha ngoma ofisi ndogo ya makao makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar Es Salaam. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (Kulia) akiwa na mgeni wake Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Sliver Samweli ,wakiingia ndani katika Ofisi ndogo za Mkao Makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar Es Salaam. Picha ya Pamoja ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (Kulia ) akiwa na mgeni wake Katibu Mkuu wa Chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Sliver Samweli ,katika Ofisi ya katibu Mkuu wa CCM Lumumba jijini Dar Es Salaam. Wajumbe wa Sekretariet ya Chama Cha Mapinduzi wakiongozwa na Katibu Mkuu Ndg Daniel Chongolo pamoja na wajumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Frelimo walioongozana na Katibu Mkuu ndg Roque Silver Samwel wakiwakaribisha Viongozi hao katika kikao cha pamoja kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ndogo za Makao makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam Katibu Mkuu wa Chama cha mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo akizungumza pamoja na wajumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Frelimo walioongozana na Katibu Mkuu ndg Roque Silver Samwel katika kikao cha pamoja kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ndogo za Makao makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam Katibu Mkuu wa chama Cha Frelimo Nchini Msumbiji Ndg Roque Silver Samwel akizungumza katika kikao cha pamoja kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ndogo za Makao makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es SalaamPicha zote na (FAHADI SIRAJI/CCM MAKAO MAKUU) ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2021/08/katibu-mkuu-ccm-daniel-chongolo-atoa.html
null
null
null
null
null
null
Katibu Mkuu wa CCM akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa TRC Ndg Masanja Kadogosa mara baada ya kuhitimisha Ziara ya Kukagua Mradi wa SGR alioanzia Mkoani Morogoro hadi jiji la Dar Es Salaam katika Stesheni ya Mpya ya SGR Tazara. Katibu Mkuu wa CCM akisikikiza maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa TRC Ndg Masanja Kadogosa wakiwa safarini kitokea Mkoani Morogoro kuelekea Dar Es Salaam katika treni ya Uhandisi ................................................................................................................ Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo ameagiza viongozi wa chama hasa kupitia Kamati za Siasa katika ngazi za wilaya na mikoa ndani ya siku 14 wakamilishe kukagua miradi yote ya maendeleo ambayo ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025 katika maeneo yao na taarifa ya kilichojiri iwasilishwe ofisini kwake. Sambamba na maagizo ya kuwataka kukagua miradi ya maendeleo, Chongolo pia amewaagiza kuwasilisha taarifa kuhusu utekelezaji wa ilani na amesisitiza kuwa chama kitafuatilia utekelezaji wa maagizo hayo. Chongolo ametoa maagizo hayo leo tarehe 10 Agosti, 2021 mkoani Morogoro wakati akikagua mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), akiwa ameambatana na Wajumbe wa Sekreterieti ya Chama Taifa. "Niwapongeze watu wa Morogoro kwani mmeweza kuonesha njia nami nimeamka nije hapa na sekretarieti yangu kujionea kama kinachofanyika hapa ni kile kilichoelekezwa katika ilani yetu ya uchaguzi na ndicho kinachoelezwa kila mara,"amesema Chongolo na kuongeza "Haya ni maagizo na maelekezo Kama tulivyopeana mara baada ya mkutano mkuu maalum kuwa wote tushuke chini kukagua miradi ya maendeleo katika maeneo yetu ." Amesema wao wanawajibu wa kuisimamia Serikali na utekelezaji wa Ilani kwani ni sisi ndio tutakaorudi kuwaeleza wananchi nini tumefanya. Kwa upande wake Mkurungezi Mkuu wa Shirika la Reli nchini (TRC) Masanja Kadogosa amesema anaishikuru Serikali kwa kuwapatia fedha kwa wakati kwa ajili ya kukamilisha mradi huo huku akifafanua mpaka sasa wamelipa hati 34 kati ya 35 huku hiyo moja ambayo inalipwa muda wowote kuanzia sasa. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo pamoja na wajumbe wa Sekretariet ya CCM na Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Morogoro wakisikiliza maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli last Taifa Ndg Masanja Kadogosa wakati wakikagua handaki namba 2 lililopo kijiji cha Mzaganza lenye ukubwa wa kilomita 1.031. Wajumbe wa Sekretariet wakiwa katika treni ya Uhandisi kutoka morogoro kihonda hadi dar es Salaam kwanza kulia ni katibu mkuu wa UWT Taifa dkt Philis Nyimbi ,Kenani kihongosi katibu Mkuu wa UVCCM Pamoja na Katibu wa Sekretarieti ya CCM ndg Salum Reja. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo (Kushoto) akifurahia Jambo pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe, Martin Shigela Pamoja na Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndg Shaka Hamdu Shaka Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo pamoja na wajumbe wa Sekretariet ya CCM na Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Morogoro wakisikiliza maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli last Taifa Ndg Masanja Kadogosa wakati wakikagua Stesheni ya SGR Kihonda Mkoani Morogoro. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo pamoja na wajumbe wa Sekretariet ya CCM na Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Morogoro wakisikiliza maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli last Taifa Ndg Masanja Kadogosa wakati wakikaguawakikagua Stesheni ya SGR Kihonda Mkoani Morogoro.. Picha ya Pamoja ya Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM wakiwa nje ya Handaki namba 2 lililopo kijiji cha Mzaganza lenye ukubwa wa kilomita 1.031. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo pamoja na wajumbe wa Sekretariet ya CCM na Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Morogoro wakisikiliza maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli last Taifa Ndg Masanja Kadogosa wakati wakikagua handaki namba 2 lililopo kijiji cha Mzaganza lenye ukubwa wa kilomita 1.031. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo pamoja na wajumbe wa Sekretariet ya CCM na Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Morogoro wakisikiliza maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli last Taifa Ndg Masanja Kadogosa wakati wakikagua handaki namba 2 lililopo kijiji cha Mzaganza lenye ukubwa wa kilomita 1.031. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndg Daniel Chongolo pamoja na wajumbe wa Sekretariet ya CCM na Kamati ya Siasa ya Mkoa wa Morogoro wakisikiliza maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli last Taifa Ndg Masanja Kadogosa wakati wakikagua handaki namba 2 lililopo kijiji cha Mzaganza lenye ukubwa wa kilomita 1.031. (PICHA ZOTE NA CCM MAKAO MAKUU) ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2021/07/chongolo-ahitimisha-ziara-ya-kikazi.html
null
null
null
null
null
null
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo akizungumza na Viongozi na wanachama m Wilaya ya Mbeya Mjini alipopokelewa katika Stendi ya Uyole kata ya uyole katika ziara ya kikazi ya Kuimarisha Chama Mashinani pamoja na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020-2025 Leo Julai 13 2020. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo akifurahi wakati akizungumza na Viongozi na wanaChama Wilaya ya Mbeya Mjini alipopokelewa katika Stendi ya Uyole kata ya uyole katika ziara ya kikazi ya Kuimarisha Chama Mashinani pamoja na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020-2025 Leo Julai 13 2020. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo akizungumza na Balozi wa Shina namba 4 tawi la Nsalaga katika kata ya Nsalaga Ndg Mussa Mwakandulu katika ziara ya kikazi ya Kuimarisha Chama Mashinani katika shina hiloLeo Julai 13 2020. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo akitoa Vitendea kazi kwa Balozi wa Shina Namba 4 wa Tawi la Nsalaga kata ya Nsalaga katika ziara ya kikazi ya Kuimarisha Chama Mashinani Leo Julai 13 2020. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo akizungumza na Wanachama wa Ubalozi wa Shina namba 4 tawi la Nsalaga Leo Julai 13 2020. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo akizungumza na Wanachama wa Ubalozi wa Shina namba 16 Kata ya Iganza (kulia) ni balozi wa shina hilo Ndg Boniface Mwansomola Leo Julai 13 2020. Sehemu ya Wanachama waliohudhulia mkutano huo Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (kulia) akimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya wakati wa kuwasilisha taarifa ya maendeleo ya Ujenzi huo leo Julai 13,2021. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo akimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati ya Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya wakati wa kuwasilisha taarifa ya maendeleo ya Ujenzi huo leo Julai 13,2021. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo akipakia mchanga kwenye ndoo akiwasaidia wadada Vibarua katika Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya wakati wa kuwasilisha taarifa ya maendeleo ya Ujenzi huo leo Julai 13,2021. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (kulia)akikagua maendeleo ya Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya akiongozwa na Injinia Jonson Pamera Msimamizi wa mradi huo leo Julai 13,2021. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (kulia)akikagua maendeleo ya Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya akiongozwa na Injinia Jonson Pamera Msimamizi wa mradi huo leo Julai 13,2021. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg Daniel Chongolo (kulia)akikagua maendeleo ya Ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya leo Julai 13,2021. (PICHA NA CCM MAKAO MAKUU) ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-ccm-mbele-kwa-mbele-tot-band.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani MUSIC Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Thobias Omega Alhamisi, Mei 16, 2019 Listen to TOT Band__CCM mbele kwa mbele |UVCCM TZ by UVCCM TZ on hearthis.at Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-tanzania-yetu-ni-nchi-ya.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani MUSIC Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Thobias Omega Alhamisi, Mei 16, 2019 Listen to Atomic Jazz Band_Tanzania yetu ni nchi ya furaha |UVCCM TZ by UVCCM TZ on hearthis.at Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/2019/05/download-ccm-ni-daraja-hassani.html
null
null
null
null
null
null
Home CCM Tanzania Unordered List Vijana TV UONGOZI MAWASILIANO Malengo Magazeti Habari _Uchumi _Siasa _Sanaa _Michezo _Matukio _Makala _Maendeleo _Kitaifa _Kimataifa _Elimu _Ajira _Afya Nyumbani MUSIC Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Thobias Omega Jumatatu, Mei 20, 2019 Listen to HASANI MAKUNGANYA-CCM ni Daraja |UVCCM TZ by UVCCM TZ on hearthis.at Chapisha Maoni 0 Maoni TANGAZO Viongozi wetu Tufuate Facebook Habari zilizosomwa sana Download| CCM Mbele kwa Mbele - TOT Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download| Tanzania Yetu ni Nchi ya Furaha - Atomic Jazz Band (Official Audio) Alhamisi, Mei 16, 2019 Download | CCM ni Daraja - Hassani Makunganya | (Official Audio) Jumatatu, Mei 20, 2019 Habari zetu KITAIFA 564 MAGAZETI 270 SIASA 240 ELIMU 62 MAENDELEO 48 KIMATAIFA 47 MICHEZO 44 VIJANA TV 44 AFYA 39 SANAA 36 MATUKIO 10 UCHUMI 10 Jumla ya Watembeleaji Free Online Counter ## 0 Maoni
https://uvccmtz.blogspot.com/search/label/MATUKIO?&max-results=6
null
null
null
null
null
null
Afisa Mtendaji Mkuu wa PPRA, Mhandisi Leonard S. Kapongo akimsikiliza Meneja wa TANROADS Mkoa wa… Endelea kusomaNaibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM Tanzania Bara Ndugu Galila R Wabanh’u na Mkuu wa Uta… Endelea kusomaJengo la Tatu la Abiria (Terminal III) la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) j… Endelea kusomaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na Mgeni wake Rais … Endelea kusomaSpika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiongozana na Spika wa Bunge la Rwanda, Mhe. Mukabal… Endelea kusomaPICHANI: Pale Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli an… Endelea kusomaKULINDA NA KUJENGA UJAMAA ## Tufuate
http://www.supercounters.com/
null
null
null
null
null
null
# Real-time web tracking for your website and blog Here at supercounters, we offer a variety of widgets such as hit counter, flag counter, and users online counter. You can access your real-time web stats from anywhere at anytime. With our state-of-the-art dedicated server and fast network connection, your counter widgets will always be available. # Do you know - How many visits does your website receives hourly, daily, weekly, monthly, and yearly? - What operating system and web browsers do your visitors use? - Which country do they come from? - How many visitors are currently viewing your site? - What search terms or keywords are they using to find your site? # Getting started. Widgets are free and no email required. Simple Installation takes only a few minutes. Hit Counter Reliable hit counter over 100 different counter styles available. Tab Widget Shows how many visitors you have online and always stayed of the page. Online Counter You can find out how many visitors are online at your site in real time. Visitor Tracker Displays the geographic location of your visitors in real time. Visitor Map See exactly where your site visitors are from in real-time. Flag Counter Shows you the total number of visitors from each country. IP Address Widget IP address lookup widget shows the visitor's geographic information. # Webmaster Tools Free Tools to help webmasters and web developers everywhere optimize the performance of their websites. Ping - Ping a server or web site using our network worldwide.
http://www.htmlbestcodes.com/
null
null
null
null
null
null
It's free and you have access to premium codes! Password must be a minimum length of 8, with at least one uppercase, one lowercase, one number, and one special character. Welcome back! Please login to your account. Don't worry, we'll send you a message to help you to recover your acount. We will get back to you as soon as possible. Please check your email for instructions to activate your account. Get the latest and greatest javascript codes directly to your mail
http://www.templatesyard.com/
null
null
null
null
null
null
HOT! Subscribe To Get Latest Blogging Tips Click Here Home Templates About Us License Contact Beautiful & Professional Blogger Templates We specializes in designing clean, elegant and beautiful Blogger templates for both newbies & experts. Premium Version +919819897052 Official WhatsApp Support Newsology Blogger Template Jesko Blogger Template Buzzer Blogger Template Opea Blogger Template Scoop Blogger Template Stacked Blogger Template TNews Blogger Template Serp Blogger Template Older Posts
https://www.mybloggerthemes.com/
null
null
null
null
null
null
# Foxify Blogger Template **Foxify Blogger Template**is a clean, modern, and responsive Blogger template designed for users who want a professional-looking blog. It offers a simple yet stylish layout, making it perfect for personal blogs, news sites, or niche websites. Foxify is fully customizable, fast-loading, and SEO-friendly, ensuring better performance on search engines. Similar Template :Devify Blogger Template
https://ccm.or.tz/home
null
null
null
null
null
null
Chama cha Mapinduzi kinapokea malipo ya ada kupitia mitandao ya simu ambapo mwanachama atalipa ada yake kwa kutumia Control number yake na Mtandao anaotaka kulipia, kwasasa utaweza kulipa ada kwa kupitia TigoPesa, M-pesa, Airtel Money, CRDB Bank, T-pesa Pakua Nakala Hapa
https://ccm.or.tz/ccm-kuhusu
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilianza rasmi Februari 5, 1977 kutokana na kuunganishwa vyama vya Tanganyika African National Union (TANU) kilichokuwa chama tawala Tanzania Bara, kikiongozwa na Rais wa Kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Chama cha Afro-Shirazi Party (ASP) kilichokuwa chama tawala Zanzibar kikiongozwa na Rais wa kwanza wa Zanzibar Sheikh Amaan Abeid Karume. CCM imekuwa ikishinda chaguzi za Urais toka mfumo wa vyama vingi uliporejeshwa nchini Tanzania huku pia kikipata idadi kubwa ya wabunge wa Bunge la Muungano na Baraza la Wawakilishi. Baada ya kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi CCM imeendelea kuiongoza Tanzania kutokana na kushinda chaguzi zilizofanyika tangu1995. Viongozi walioweza kushinda kwa tiketi ya CCM kwenye chaguzi hizo ni Benjamin Mkapa,Jakaya Mrisho Kikwete na Dk. John Joseph Pombe Magufuli. Viongozi walioshika Uenyekiti wa CCM miaka waliyoongoza ikiwa kwenye mabano, ni; CCM inazo Jumuiya tatu ambazo zinafanyakazi kwa kuyaunganisha makundi ya Vijana (Umoja wa Vijana wa CCM), Wanawake (Umoja wa Wanawake Tanzania- UWT) na Jumuiya ya Wazazi Tanzania. Jumuiya hizi kila moja ina viongozi ambao moangilio wake unafanana na ule wa CCM yenyewe kuanzia ngazi ya Mwenyekiti Taifa hadi ngazi za matawi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://ccm.or.tz/ccm-jisajili
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Unaweza kutuma SMS/WhatsApp Namba Za Simu Zifuatazo **0734398138** Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://ccm.or.tz/ccm-idara
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Idara ya Organaizesheni ni moja kati ya Idara nne za CCM. Idara hii imeanzishwa kwa mujibu wa Katiba ya CCM ya Mwaka 1977 Toleo la 2017 Ibara ya 107 (1). Idara hii ndiyo injini ya Uendeshaji wa Chama kwani ndio Idara inayohusika na ** Masuala yote ya Wanachama;** kwani Chama kisicho na Wanachama ni sawa na gunia tupu ambalo haliwezi kusimama. Idara hii ndio inayoshughulika na Idara ya Organaizesheni ndio inayosimamia ** Jumuiya za Chama na Sehemu ya Wazee.** CCM ilianzisha Jumuiya za CCM ili ziwe ni mkondo wa kufikisha Sera zake na Siasa ya CCM kwenye Makundi yote ya Kijamii kwa upande mmoja, na kuwa mkondo wa kuitafutia CCM Marafiki na Wanachama kutoka kwnye makundi hayo kwa upande wa pili. CCM pia inathamini sana mchango wa Wazee katika maendeleo ya Taifa letu, ndio maana ikaanzisha sehemu ya Wazee ili kuwawezesha Wazee kurithisha kwa Taifa busara, hekima na ujasiri wao ndani ya Jamii. Wahenga walisema, Idara ya Organaizesheni ndio inayosimamia** masuala yote ya uchaguzi wa ndani ya CCM na ule wa kushika Dola.** Viongozi wa Cham a cha Kijamaa huchaguliwa kwa kura za wanachama na huongoza Chama kwa ridhaa yao. Lakini pia Chama chochote cha Siasa duniani lengo lake kuu huwa ni kushinda uchaguzi ili kushika dola na kuunda Serikali. Kwa kuwa toka Uhuru wa Tanganyika na Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar nchi hii imekuwa chini ya Uongozi madhubuti wa CCM, ndiyo kusema Idara hii imetimiza vema majukumu yake. Idara ya Organaizesheni ndiyo inayosimamia ** Katiba Muundo Kanuni, na Taratibu za Chama na Jumuiya za CCM.** Hii ndiyo kusema Idara hii ndiyo inayohakikisha wakati wote kuwa Katiba ya CCM, Kanuni zote za Chama na Jumuiya zake, Muundo wa Chama na Taratibu mbalimbali zikiwemo taratibu za Sehemu ya Wazee zinakiwezesha Chama kutekeleza madhumuni ya kuundwa kwake. Idara hii ndio hufanya marekebisho ya miongozo hii kwa mujibu wa mahitaji ya Chama kwa wakati husika. Bila shaka utaona kuwa utulivu uliopo CCM ukilinganisha vyama vingine vya Siasa hapa nchini unatokana na utekelezaji mzuri wa wajibu huu. Hii ndio sababu tukasema Idara hii ndiyo ** injini** ya Chama. Idara ya Uchumi na Fedha ni miongoni mwa Idara tano za **Chama cha Mapinduzi** zinazoongozwa na Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa ambazo zimeundwa kwa mujibu wa Ibara ya 105 ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977, Toleo la 2017. Idara hii inaongozwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa wa Uchumi na Fedha ambaye ni **Dkt. Frank George Haule Hawassi**. Majukumu ya msingi ya Idara yameainishwa na kutajwa bayana kwenye Ibara ya 107(4) (a)-(e) ya Katiba ya CCM, kama ifuatavyo: Ili kurahisisha na kuleta ufanisi wa utendaji kazi za Chama, muundo wa Idara ya Uchumi na Fedha umegawanywa katika vitengo vitatu muhimu ambapo kila kitengo kimegawanywa pia katika sehemu (Sections) na kupangiwa majukumu mahsusi ya kila siku ya kusimamia, kufuatilia na kutekeleza. Vitengo vya Idara ni hivi vifuatavyo: Pamoja na majukumu ya Kiidara, Idara pia inayo majukumu mengine ya msingi ya kusimamia na kuratibu shughuli zote za Baraza la Wadhamini wa CCM kwa niaba ya Katibu Mkuu wa CCM zikiwemo shughuli za vikao, usimamizi na ufuatiliaji wa utekelezaji wa maazimio ya vikao vya Baraza la Wadhamini wa Chama Cha Mapinduzi. Kwa kuzingatia utajiri mkubwa Chama kilionao hususan katika eneo la Rasilimali Ardhi na Rasilimali Wanachama, Idara ya Uchumi na Fedha ina wajibu wa msingi wa kuhakikisha rasilimali hizi zinatumika kikamilifu katika kukiimarisha Chama kiuchumi na kimapato hatua ambayo itakiwezesha Chama kuhudumia kwa ufanisi majukumu yake ya kisiasa na uendeshaji wa Ofisi. Idara ya mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa ni moja kati ya Idara za CCM Makao Makuu inayoundwa na Ibara ya 107 kifungu cha 3 ya Katiba ya CCM ya mwaka 1977 Toleo la 2017. Idara hii inafahamika zaidi kama idara inayoshughulika na kujenga uhusiano wa kimataifa, hata hivyo ukweli ni kwamba idara hii inashughulikia mambo mengi na muhimu ndani ya nchi yanayojenga taswira njema ya CCM kwa wananchi. Kwa kifupi tunasema, idara hii inajihusisha na kazi za Chama nje ya Chama ndani ya Umma. Kwa mujibu wa Katiba ya Chama Cha Mapinduzi, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa inajukumu la msingi la kufuatilia hali ya Kisiasa Nchini. Kwa lugha nyepesi ina kazi ya kufuatia hali ya maisha ya wananchi wa Tanzania, kijamii na kiuchumi kwa ujumla. Idara hii pia ndiyo yenye jukumu la kufuatilia utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM Nchini, kuona kwamba tumefanikiwa kwa kiasi gani kutekeleza Ilani yetu, ni kwa kiasi gani tumeondoa kero na changamoto zinazowakabili wananchi wetu na kukishauri Chama namna ya kukabiliana nazo. Ukiacha mbali jukumu la kufuatilia maendeleo ya Jumuiya za Kijamii nchini, na kushughulikia na kusimamia masuala ya Itifaki ndani ya Chama, Jukumu lingine kubwa na muhimu la Idara hii ni kuratibu uhusiano na ushirikiano wa CCM na Vyama vya Siasa vya Kidugu , Kirafiki na vya Kimapinduzi. Aidha, Idara ina jukumu la kufuatilia hali ya kisiasa katika nchi jirani na nchi nyinginezo duniani na kufuatilia maendeleo ya kijamii ya Kamati za Urafiki na Mshikamano kati ya Watanzania na wananchi wa nchi Rafiki. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://ccm.or.tz/ccm-nyaraka
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. | # | Jina | Link | Size | Tarehe | |---| Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://ccm.or.tz/ccm-taarifa-wabunge
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. | #. | Jina Kamili | Simu | Aina | Anuani | Jimbo | |---| Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://mwanachama.ccm.or.tz/login
null
null
null
null
null
null
#### Ingia katika akaunti yako ### Hauna namba ya kielektroniki? Ili kufurahia huduma za mtandao kupitia Portal yetu ya Huduma ya Wanachama, mwanachama anatakiwa kujiandikisha na kupata namba ya kielektroniki ili kuwezesha kuangalia taarifa zake za uwanachama na malipo yake ya ada. Jisajili### Msaada Wasiliana nasi kwa kupitia njia hizi **Barua pepe:**[email protected]**Anuani:**S.L.P 50 Dodoma**Tel:**+255-26-2322982**Fax:**+255-26-2322965
https://ccm.or.tz/ccm-deni
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Unaweza kutuma SMS/WhatsApp Namba Za Simu Zifuatazo **0734398138** Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://www.youtube.com/channel/UC5CscEEkL6slfcdtSgTWjcQ
null
null
null
null
null
null
Kuhusu Vyombo vya habari Hakimiliki Wasiliana nasi Watayarishi Tangaza Wasanidi Programu Sheria na Masharti Faragha Sera na Usalama YouTube Inavyofanya Kazi Jaribu vipengele vipya © 2024 Google LLC
http://ccm.or.tz/#carouselExampleIndicators
null
null
null
null
null
null
Chama cha Mapinduzi kinapokea malipo ya ada kupitia mitandao ya simu ambapo mwanachama atalipa ada yake kwa kutumia Control number yake na Mtandao anaotaka kulipia, kwasasa utaweza kulipa ada kwa kupitia TigoPesa, M-pesa, Airtel Money, CRDB Bank, T-pesa Pakua Nakala Hapa
https://www.youtube.com/watch?v=HqEDR7hcdsM
null
null
null
null
null
null
Kuhusu Vyombo vya habari Hakimiliki Wasiliana nasi Watayarishi Tangaza Wasanidi Programu Sheria na Masharti Faragha Sera na Usalama YouTube Inavyofanya Kazi Jaribu vipengele vipya © 2024 Google LLC
https://ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/yMg
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. CCM KATA YA MWANANYAMALA NA CCM MKOA WA MAGHARIB WATEMBELEA S.G.R DAR ES SAALAM-MOROGORO. Uongozi wa CCM Kata ya Mwananyamala Wilaya ya Kinondoni, Mkoa wa Dar es Salaam, kwa kushirikiana na uongozi wa CCM Mkoa wa Magharibi Zanzibar, wamempongeza kwa dhati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa juhudi zake za kutekeleza miradi mbalimbali ya kimkakati, hasa mradi wa Treni ya SGR (Standard Gauge Railway), ambao umeleta suluhu kubwa kwa changamoto za usafiri wa nchi kavu nchini. Pongezi hizo zimetolewa na viongozi na wanachama wa CCM kutoka Kata ya Mwananyamala na CCM Mkoa wa Magharibi Zanzibar walioshiriki katika ziara ya kutembelea mradi huo. Ziara hiyo ilianza kwa kupanda treni kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro, ambapo viongozi hao walielezea kutambua na kuthamini juhudi hizo za Serikali, wakikiri kuwa mradi wa SGR umeleta mabadiliko makubwa katika sekta ya usafiri nchini. Akizungumza katika ziara hiyo, Katibu wa Siasa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Mkoa wa Magharibi Zanzibar, Bi. Msekwa Mohamed Ali, alisema kuwa kupitia ziara hiyo wamejionea kazi kubwa na nzuri iliyofanywa katika mradi wa kimkakati wa SGR, akisisitiza kuwa mradi huo umeonyesha matumizi sahihi ya fedha za walipa kodi. Aliwataka wananchi kumpongeza Rais Samia kwa juhudi hizo na kuendelea kumunga mkono kwa kusafiri na treni hiyo katika safari mbalimbali, ili wawe mashuhuda wa mafanikio hayo. Naye Mwenyekiti wa CCM Kata ya Mwananyamala, Pili Muongela, alisema kuwa lengo la ziara hiyo ni kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake kwa kutekeleza kwa ufanisi Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020-2025, hasa mradi wa SGR, ambao umekuwa mwarobaini wa kumaliza tatizo la usafiri nchini. Akitoa ufafanuzi wa ziara hiyo, Katibu wa CCM Kata ya Mwananyamala, Stanly Rufini Mvungi, alisema kuwa ziara hiyo pia ilihusisha kutembelea miradi mingine, ikiwemo sekta ya utalii kupitia Mradi wa Royal Tour, ambapo walifanya utalii wa ndani katika Hifadhi ya Mikumi, mkoani Morogoro, na kujionea wanyama pori na vivutio mbalimbali. Alisisitiza kuwa ziara hiyo ni sehemu ya kuthamini mafanikio ya miradi mikubwa ya kimkakati, kama vile Mradi wa Bwawa la Mwl. Nyerere, ambao umeleta manufaa makubwa kwa wananchi. Ziara hiyo iliwashirikisha viongozi mbalimbali wa chama na jumuiya zake kutoka Tanzania Bara na visiwani, na ililenga kuonyesha mafanikio ya Serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kuboresha miundombinu ya taifa. Viongozi hao walisisitiza umuhimu wa kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuleta maendeleo endelevu kwa wananchi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/x9E
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, amewataka mabalozi wa mashina ya CCM nchini kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa umakini, ufanisi, na ueledi, kwa kuhakikisha wanachama wote wenye sifa za kupiga kura wanaandikishwa katika zoezi la awamu ya pili la uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura, linalotarajiwa kufanyika mwezi Februari, mwaka 2025. Wito huo aliuatoa wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo mabalozi wa CCM Wilaya ya Amani, yaliyofanyika katika Ukumbi wa CCM Mkoa wa Mjini, Amani, Zanzibar. Dkt. Dimwa alisisitiza kuwa Chama Cha Mapinduzi kinafanya siasa za kisayansi zinazozingatia takwimu halisi za wanachama wake, ili kupata tathmini sahihi inayotoa muelekeo chanya katika kuhakikisha ushindi mkubwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. Alisema kuwa mabalozi hao wana jukumu kubwa la kufahamu kiwango cha mtaji wa chama katika maeneo yao na kuhamasisha wafuasi wa vyama vingine kujiunga na CCM. Katika maelezo yake, Dkt. Dimwa pia alikumbusha kuwa CCM ilifanya majaribio ya mitambo yake kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu, ambapo ilipata ushindi mkubwa wa zaidi ya asilimia 99. Aliongeza kuwa hakuna chochote kinachoweza kuzuia CCM kushinda kwa kishindo katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025. “Mnapewa mafunzo haya kwa ajili ya kuwakumbusha majukumu yenu sambamba na kuwaandaa kisaikolojia kuelewa kuwa wakati wa kupambana katika vita ya kisiasa umefika. Ni lazima mfanye kazi kwa kujiamini, uzalendo, ukweli, na kufuata maelekezo kutoka kwa viongozi wenu,” alisema Dkt. Dimwa. Aidha, alisisitiza umuhimu wa kutekeleza kwa ufanisi ibara ya 5 ya Katiba ya CCM ya mwaka 1977 (toleo la 2022), inayoelekeza kuwa ushindi wa CCM ni lazima kwa kila uchaguzi uwe wa serikali za mitaa pamoja na uchaguzi mkuu wa dola. Kwa upande wake, Katibu wa CCM Wilaya ya Amani, Getrude Bonifasi, alieleza kuwa lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo wa kiutendaji mabalozi hao, ambao ni nguzo muhimu katika upatikanaji wa ushindi wa chama katika kila uchaguzi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/wZz
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amekabidhiwa ofisi na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ambaye Sasa ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), jana tarehe 13 Disemba, 2024 jijini Dodoma. Makabidhiano hayo yamefanyika ikiwa ni siku nne baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwaapisha Mawaziri hao tarehe 9, Disemba 2024, Tunguu Zanzibar. Akizungumza baada ya makabidhiano hayo, Waziri Bashungwa amemshukuru mtangulizi wake kwa makabidhiano ambayo yatakuwa mwongozo wa kusimamia na kutekeleza majukumu yaliyo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani Nchi. Sambamba na hilo, Waziri Bashungwa ameshukuru Rais. Dkt Samia ambapo amesema kuwa "Niendelee kumshukuru Rais wetu na nimuahakikishie kama ambavyo alituelekeza wakati anatuapisha kwamba niendeleze pale ulipoishia Waziri Masauni”. Aidha, Bashungwa amesisitiza suala la Watumishi wa Wizara na vyombo vyake vya usalama kufanya kazi kwa kushirikiana ili kwa pamoja kusimamia na kutekekeleza majukumu yao kikamilifu. Kwa upande wake, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamadi Masauni amemueleza kuwa Waziri Bashungwa anaipokea Wizara ikiwa katika hali nzuri na hali hiyo inatokana na namna Mheshimiwa Rais Samia alivyoiwezesha kibajeti Wizara hiyo. "Mheshimiwa Rais amefanya kazi kubwa sana miongoni mwa kazi aliyoifanya ni kuiwezesha Wizara kuwa na uwezo wa kutekeleza zaidi majukumu yake." Alisema Waziri Masauni Waziri Masauni ameeleza kuwa Wizara inaendelea na utekelezaji wa maelezeko ya Tume ya Haki Jinai ikiwa ni pamoja na kuhakikisha Wananchi wanahudumiwa kwa haki, bila uonevu wala dhuluma. Makabidhiano hayo yameshuhudiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Daniel Sillo pamoja na Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Maduhu Kazi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/vDM
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dkt. Mohamed Said Dimwa, ametoa uchambuzi wa kina kuhusu ushindi mkubwa wa chama hicho katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Septemba 27, mwaka 2024 Dkt. Dimwa ameleza sababu, dhamira na mafanikio yaliyofikiwa na CCM, na pia kuonyesha jinsi ushindi huo unavyotoa picha ya nguvu ya chama na uwajibikaji wenye tija na dhamira ya dhati ya CCM ya kuwatumikia wananchi wote bila ubaguzi kwa muktadha wa siasa za ushindani chini ya mfumo wa vyama vingi. Hayo ameyasema katika mahojiano maalum ya kutoa tathmini yake ya mafanikio na uimara wa CCM katika medani za kisiasa nchini. **Sababu za Ushindi wa Kishindo** Dkt. Dimwa amebainisha kuwa ushindi wa asilimia 99 wa CCM katika uchaguzi wa serikali za mitaa ni matokeo ya utendaji bora wa serikali ya Chama Cha Mapinduzi chini ya uongozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Mwinyi . Ameeleza kuwa CCM imeshinda kwa kiwango hicho kutokana na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayogusa maisha ya wananchi wote mijini na vijijini, kuimarisha huduma za kijamii, na kutoa fursa za ajira kwa vijana wa rika tofauti na makundi mbalimbali ya wanawake. "Ushindi huu ni matokeo ya uongozi thabiti na wa kujitolea wa viongozi wetu. Wananchi wameshuhudia mabadiliko ya kweli katika maisha yao. Ujenzi wa miundombinu, huduma za afya, elimu na kilimo ni baadhi ya sekta zinazoimarisha maisha ya watu wote bila ubaguzi wa kisiasa,kidini na kikabila. Hii inadhihirisha kuwa CCM ni chama kinachotekeleza ahadi zake na ni chama cha maendeleo," alisema Dkt. Dimwa. **Demokrasia na Mfumo wa Vyama Vingi** Katika mchango wake, Dkt. Dimwa alieleza kuwa ushindi wa CCM katika uchaguzi wa serikali za mitaa ni dhihirisho la nguvu ya demokrasia katika mfumo wa vyama vingi. Alisisitiza kuwa siasa za ushindani ni muhimu katika kuleta maendeleo na kwamba CCM inaheshimu na kutambua mchango wa vyama vingine, ingawa CCM inabaki kuwa chama chenye uwezo mkubwa wa kuleta mabadiliko ya kivitendo kwa wananchi. "Katika mfumo wa vyama vingi, ushindani ni muhimu, lakini ushindi wa CCM katika uchaguzi huu ni uthibitisho wa kwamba wananchi wanatambua juhudi za serikali yetu. Demokrasia siyo tu kushiriki katika uchaguzi, bali ni kuhakikisha kuwa kila mwananchi anafaidika na matunda ya demokrasia hiyo," alisema Dkt. Dimwa. **Mafanikio ya Falsafa ya Rais Samia Suluhu Hassan ya 4R** Dkt. Dimwa pia alifafanua mafanikio yaliyofikiwa katika kutafsiri kwa vitendo falsafa ya Rais Samia Suluhu Hassan ya 4R imeleta matokeo chanya ya upatikanaji wa ushindi huo na kwamba mafanikio haya ni dhihirisho la jinsi serikali ya CCM inavyotoa huduma bora kwa wananchi, huku ikirudisha imani ya wananchi kwa serikali na kuimarisha umoja wa kitaifa. " Tumeshuhudia maendeleo katika maeneo mengi, ikiwemo ujenzi wa miundombinu, upatikanaji wa huduma za afya na elimu, na uimarishaji wa uchumi wa Zanzibar. Kwa hiyo, ushindi huu unaonyesha kuwa falsafa ya Rais Samia ya 4R inatekelezwa kwa vitendo na inagusa maisha ya wananchi," alisema Dkt. Dimwa. **Ushindi wa Serikali za Mitaa kama Tathmini ya Uchaguzi Mkuu wa 2025** Dkt. Dimwa alisisitiza kuwa ushindi wa CCM katika uchaguzi wa serikali za mitaa ni tathmini halisi ya matokeo yanayoweza kutarajiwa katika uchaguzi mkuu wa dola wa mwaka 2025. Alieleza kuwa ushindi wa kishindo katika uchaguzi huo pia unatoa picha ya kuwa CCM ni Chama kiongozi katika siasa za Tanzania na kwamba wananchi wenyewe kwa ridhaa yao wameamua kukiunga mkono kukipigia kura nyingi za ndio kupitia mfumo huru wa kidemokrasia. "Ushindi wa serikali za mitaa ni kielelezo cha mapenzi ya wananchi kwa CCM na dhamira ya chama chetu ni kuhakikisha kuwa kila mtaa, kila kijiji, kila wilaya na kila kisiwa kinapata maendeleo. Huu ni ushindi wa wananchi na ni uthibitisho wa kwamba uchaguzi mkuu wa 2025 utakuwa na mafanikio makubwa kwa CCM," alisema Dkt. Dimwa. **Wito kwa Wananchi na Wanachama wa CCM** Dkt. Dimwa alitoa wito kwa wananchi wote, hasa wanachama wa CCM, kujitokeza kwa wingi kushiriki zoezi la awamu ya pili ya uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura litakalofanyika hivi karibuni. Aliwakumbusha wananchi kuwa zoezi hili ni haki yao ya kikatiba na ni muhimu kwa kuimarisha demokrasia na uhuru wa kucgagua na kuchaguliwa nchini. "Ni muhimu kwa kila mwananchi kuhakikisha kwamba jina lake linajumuishwa katika daftari la wapiga kura. Hii ni haki ya kikatiba ya kila Mtanzania.Tunatoa wito kwa wanachama wa CCM na wananchi kwa ujumla kujitokeza kwa wingi katika zoezi hili muhimu, ili kuimarisha ushiriki wetu katika uchaguzi mkuu wa 2025," alisisitiza Dkt. Dimwa Pamoja na hayo Dkt.Dimwa, anaeleza kuwa CCM inaendelea kujizatiti na kuboresha huduma kwa wananchi, huku ikisisitiza kuwa uchaguzi wa 2025 utakuwa ni uthibitisho wa mafanikio ya chama na serikali katika kuleta maendeleo ya kweli kwa kila Mtanzania. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/rXW
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) kimempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Mwinyi, kwa kutunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Zanzibar. Pongezi hizo zimetolewa na Katibu wa Kamati Maalum ya NEC, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo ya CCM Zanzibar, Khamis Mbeto Khamis, wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari katika ofisi za CCM, Kisiwandui, Zanzibar. Mbeto alisema kuwa Chuo Kikuu cha Zanzibar kimemtunuku Shahada hiyo ya Heshima ya Uchumi kama ishara ya kutambua na kuthamini mchango mkubwa wa Rais Dkt. Mwinyi katika uongozi wake, ambao umeacha alama ya kipekee na historia itakayokumbukwa wakati wote. Alisisitiza kuwa heshima hii ni ushahidi wa mafanikio makubwa yaliyofikiwa Zanzibar, hasa katika kipindi kifupi cha uongozi wake wa miaka minne, ambapo uchumi wa Zanzibar umeimarika na maendeleo mbalimbali yamepatikana. "Heshima hii inatokana na juhudi kubwa za Rais Dkt. Mwinyi katika kukuza uchumi, kuboresha huduma za kijamii, na kuleta mabadiliko chanya kwa wananchi wa Zanzibar. CCM Zanzibar ina furaha kubwa kumpongeza Rais Mwinyi kwa kutambuliwa na Chuo Kikuu cha Zanzibar kwa mchango wake mkubwa," alisema Khamis Mbeto. Katibu Mbeto alitoa wito kwa wananchi wa Zanzibar kuendelea kumunga mkono Rais Dkt. Mwinyi na serikali yake katika juhudi zao za kukuza uchumi, kuboresha huduma za kijamii, na kuhakikisha Zanzibar inapata maendeleo ya kweli na endelevu. Hafla ya kutunukiwa Shahada ya Heshima hiyo ilifanyika Disemba 5, mwaka 2024, katika Viwanja vya Chuo Kikuu cha Zanzibar, Tunguu, wakati wa Mahafali ya 22 ya Wahitimu wa mwaka 2024. Katika hotuba yake, Rais Dkt. Mwinyi alishukuru Chuo Kikuu cha Zanzibar kwa kuthamini kazi anazozifanya kwa ajili ya maendeleo ya nchi. Alieleza kuwa Shahada hiyo ni ishara ya mafanikio ya serikali yake na wananchi wa Zanzibar kwa ujumla, na itaongeza hamasa ya kufanya kazi zaidi katika kuleta maendeleo endelevu. Rais Dkt. Mwinyi pia alisisitiza kuwa Shahada hiyo inawakilisha kazi nzuri inayofanywa na serikali anayoiongoza, na itaendelea kumhimiza katika kutimiza malengo ya maendeleo. "Hii siyo mwisho wa safari, bali ni mwanzo wa hatua kubwa zaidi za maendeleo. Nitaienzi heshima hii na kuendelea kuwatumikia wananchi wangu kwa uwezo wangu wote," alisema Rais Dkt. Mwinyi. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://ccm.or.tz/habari/post/soma-zaidi/qDk
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa,amesema chama hicho kitaendelea kuthamini na kuendeleza kwa vitendo mahusiano mema ya kisiasa,kijamii na kiplomasia baina yake na chama cha kikomunisti cha China (CPC). Hayo ameyasema wakati akizungumza na ujumbe wa Viongozi wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) wa Kanda ya Afrika waliofika Afisi Kuu ya CCM Zanzibar , ambapo mazungumzo hayo yalilenga kuimarisha ushirikiano baina ya vyama hivyo viwili vya kisiasa. Dkt. Dimwa alisisitiza kwamba CCM itaendelea kusimamia kwa vitendo mahusiano yake na CPC, akieleza kuwa ushirikiano huu utasaidia kuimarisha nyanja za kijamii, kisiasa, na kidiplomasia kwa maslahi ya wananchi wa pande zote mbili. Aliendelea na kusisitiza kuwa ushirikiano wa CCM na CPC utaleta manufaa kwa maendeleo ya Zanzibar na Tanzania kwa ujumla. "CCM itaendeleza na kusimamia kikamilifu mahusiano yetu na CPC ili kuimarisha maendeleo katika nyanja za kijamii, kisiasa, na kidiplomasia, na kuhakikisha kuwa wananchi wa pande zote mbili wanapata faida ya ushirikiano huu," alisema Dkt. Dimwa. Aidha, Dkt. Dimwa aliomba CPC kuangalia uwezekano wa kusaidia CCM Zanzibar katika kujenga chuo cha kisasa cha uongozi cha Vijana kilichopo katika kijiji cha Tunguu, akisisitiza kuwa chuo hicho kitakuwa na mchango mkubwa katika kukuza uongozi wa vijana na kuwaandaa kuwa viongozi wa baadaye. Aliongeza kuwa kupitia ziara hii, pande zote mbili zitabadilishana uzoefu na mawazo kuhusu ushirikiano wa kibiashara, ambapo Zanzibar itakuwa na fursa ya kuuza bidhaa zake kama karafuu na viungo (Spaces) nchini China, huku China nayo ikileta bidhaa zake Zanzibar. Dkt. Dimwa pia alizungumzia maandalizi ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, akisema kuwa CCM imejipanga vyema na itapata ushindi mkubwa kutokana na utekelezaji mzuri wa ilani yake, ambayo imekidhi mahitaji ya wananchi. Aliomba CPC kuendelea kutoa msaada katika kuendeleza programu za kuwajengea uwezo wa kitaaluma na ujuzi viongozi na watendaji wa CCM ili waweze kuendana na mahitaji ya kisiasa ya zama za sasa. Akizungumzia mchango wa China kwa Zanzibar, Dkt. Dimwa alikumbuka mchango wa Rais wa China, Mao Zedong, ambaye alifanya kazi kwa karibu na Rais wa kwanza wa Zanzibar, Marehemu Abeid Amani Karume, katika kuijenga Zanzibar na kutambua Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964. Aliongeza kuwa serikali ya China imekuwa ikisaidia katika sekta za elimu, afya, uvuvi, miundombinu, na kuwajengea uwezo wajasiriamali wadogo wadogo kupitia mafunzo na zana za kisasa. Pia, alitoa shukrani kwa China kwa msaada wake katika ujenzi wa Chuo cha Kisasa cha Uongozi cha Mwl. Nyerere cha Kibaha, kinachotoa mafunzo ya elimu ya juu ya masuala ya uongozi na fani mbalimbali kwa watendaji wa Chama,Serikali,sekta binafsi na wananchi kwa ujumla. Dkt. Dimwa alisisitiza kuwa dhamira ya serikali ya Zanzibar chini ya Rais Dkt. Hussein Mwinyi ni kuhakikisha kila mwananchi anapata maisha bora na kwamba kasi ya ukuaji wa uchumi wa Zanzibar inaendelea kuimarika kwa nguvu. Naye Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kanda ya Afrika katika Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara na Kiongozi wa Idara ya Kimataifa ya Kamati Kuu ya CPC, Cde. Liang Anping, alisema kuwa CPC na China wanajivunia kuwa na mahusiano imara na serikali ya Tanzania na Zanzibar. Alisisitiza kuwa CPC itaendelea kutoa ushirikiano wa dhati kwa Zanzibar kupitia Tanzania, hasa katika kuimarisha mafunzo ya uongozi na mipango endelevu ya kukuza uchumi wa Zanzibar. Cde. Liang alieleza kuwa serikali ya China imejizatiti kuunga mkono juhudi za maendeleo za nchi za Afrika, hasa Tanzania, na kuhakikisha zinajitegemea kiuchumi. Aliongeza kuwa China inaridhishwa na maendeleo ya Tanzania chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais Dkt. Hussein Mwinyi, ambao wamefungua milango ya uwekezaji na diplomasia kwa manufaa ya nchi zote mbili. "China itaendelea kutoa fursa za kubadilishana ujuzi na uzoefu kwa wataalamu wa fani mbalimbali. Mapendekezo, ushauri, na maombi yaliyowasilishwa yatafanyiwa kazi kwa vitendo," alisisitiza Cde. Liang. Aidha, Cde. Liang aliongeza kuwa Zanzibar ina mazingira mazuri ya uwekezaji na inavutia wawekezaji kutokana na sera za China kiuchumi, na kwamba baada ya ziara hii, wanatarajia kuimarisha ushirikiano na Zanzibar kwa manufaa ya pande zote mbili. Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://ccm.or.tz/ccm-jisajili-mwanachama
null
null
null
null
null
null
Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Unaweza kutuma SMS/WhatsApp Namba Za Simu Zifuatazo **0734398138** Niwapongeze Umoja wa Wanawake Tanzania kwa mambo matatu makubwa; UWT imefanya kazi kubwa ya kutayarisha viongozi, kubadilisha mitazamo ya wanawake wa Tanzania na kusimama kwa ajili ya Chama Cha Mapinduzi. Ni ukweli usiopingika kwamba mchango wa mwanamke una nafasi muhimu katika uchumi, siasa na mustakabali wa Taifa, ukizingatia nafasi ya ulezi na ujenzi wa uchumi.
https://www.ikulu.go.tz/
null
null
null
null
null
null
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki kwenye mjadala (round tables discussion) kuhusu Kilimo barani Afrika, katika Mji wa Des Moines, Iowa nchini Marekani tarehe 30 Oktoba, 2024. Mjadala huo ambao uliandaliwa na Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) ulihudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka barani Afrika, Serikali na Sekta binafsi ya Marekani hususan waliopo kwenye sekta ya kilimo.
https://www.nec.go.tz/
null
null
null
null
null
null
Lugha KISWAHILI ENGLISH Mandhari Mwanga Giza Maandishi Madogo Wastani Makubwa Maswali Barua Pepe Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Kuhusu Sisi Wajumbe wa Tume Dira na Dhima Maadili ya msingi Utawala Muundo wa Taasisi Historia ya INEC Uchaguzi Mifumo ya Uchaguzi Mzunguko wa Uchaguzi Matokeo ya Uchaguzi Taarifa za Uchaguzi Daftari la Wapiga Kura Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura Uwekaji Wazi Daftari la Awali Taarifa za Uboreshaji Kituo cha Habari Habari Taarifa kwa Umma Hotuba Maktaba ya Picha Maktaba ya Video INEC-TZ Online TV Machapisho Sheria za Uchaguzi Kanuni za Uchaguzi Maadili ya Uchaguzi Miongozo ya Uchaguzi Maelekezo ya Uchaguzi Mpango Mkakati wa INEC 2021/2022-2025/2026 Jarida la Uchaguzi Watazamaji Muongozo wa Watazamaji Mfumo wa Usajili wa Watazamaji Ripoti za Watazamaji Zabuni Zabuni za Ndani Zabuni za Kimataifa Wazabuni Walioshinda Wasiliana Nasi Wasiliana Nasi Mengineyo KISWAHILI ENGLISH Mwanga Giza Nifanyaje? Kujiandikisha kuwa Mpiga Kura Kupata Kadi Iliyopotea Kupiga Kura Angalia Zaidi Mrejesho Jiunge Wapiga Kura Elimu ya Mpiga Kura Wagombea Kituo cha Habari Uchaguzi Taarifa Mpya : Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi awataka watendaji wa vituo vya uboreshaji wa Daftari Arusha kuzingatia mafunzo Wadau wa Uchaguzi mikoa ya Arusha, Kilimanjaro waaswa kushiriki uboreshaji wa Daftari kuanzia tarehe 11 hadi 17 Desemba 2024 Mwenyekiti Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi aongoza wajumbe wa tume hiyo kupiga kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele Mwenyekiti wa Tume Kazi inaendelea..... Soma zaidi Mhe. Jaji wa Rufaa (Mst) Mbarouk Salim Mbarouk Makamu Mwenyekiti Ndg. Ramadhani Kailima Mkurugenzi wa Uchaguzi (Katibu wa Tume) Kazi inaendelea..... Soma zaidi Wajumbe wa Tume Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele Mjumbe wa Tume Mhe. Jaji Rufaa Mst. Mbarouk Salim Mbarouk Mjumbe wa Tume Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu Asina A. Omari Mjumbe wa Tume Mhe. Balozi Omar Ramadhani Mapuri Mjumbe wa Tume Mhe. Magdalena Kamugisha Rwebangira Mjumbe wa Tume Mhe. Jaji Rufaa Mwanaisha Athuman Kwariko Mjumbe wa Tume Mhe. Dkt. Zakia Mohamed Abubakar Mjumbe wa Tume Habari Mpya Vyombo vya Habari Machapisho Tangazo Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi awataka watendaji wa vituo vya uboreshaji wa Daftari Arusha kuzingatia mafunzo 09 Dec, 2024 Wadau wa Uchaguzi mikoa ya Arusha, Kilimanjaro waaswa kushiriki uboreshaji wa Daftari kuanzia tarehe 11 hadi 17 Desemba 2024 29 Nov, 2024 Mwenyekiti Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi aongoza wajumbe wa tume hiyo kupiga kupiga kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 27 Nov, 2024 INEC yatoa elimu kwa Ma-OCD nchini kuhusu sheria za uchaguzi 08 Nov, 2024 eGA yatoa mafunzo kwa kamati ya uongozi ya TEHAMA ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi 30 Oct, 2024 Tazama Zaidi 19 Jul, 2024 Tume yaruhusu wapiga kura kutumia simu ya kiswaswadu kuboresha au kuhamisha taarifa zao kwenye Daftari 25 Jun, 2024 Tume yatoa vibali kwa asasi 157 kutoa elimu ya mpiga kura na uangalizi kwa asasi 34 wakati wa uboreshaji wa Daftari Mwaka 2024/2025 17 May, 2024 Mwaliko kwa taasisi na asasi za kiraia kutoa Elimu ya Mpiga Kura wakati wa Uboreshaji wa Daftari La Kudumu La Wapiga Kura Mwaka 2024 17 May, 2024 Mwaliko wa Waangalizi wa Ndani wa Uandikishaji wa Wapiga Kura 11 May, 2024 Tume yatoa vibali kwa asasi 4 za kuangalia na kutoa Elimu ya Mpiga Kura Uchaguzi Mdogo Kwahani Tazama Zaidi 26 Feb, 2024 Taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2020 26 Feb, 2024 Taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 26 Feb, 2024 Taarifa ya Uchaguzi wa Madiwani ya Mwaka 1994 26 Feb, 2024 Taarifa ya Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 1985 26 Feb, 2024 Taarifa ya uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge wa Mwaka 1980 Tazama Zaidi 05 Oct, 2024 Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Zanzibar kufanyika kuanzia tarehe 07 hadi 13 Oktoba, 2024 15 Aug, 2024 Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Mikoa ya Mwanza na Shinyanga kuanzia tarehe 21 hadi 27 Agosti, 2024 14 Aug, 2024 Tangazo la Nafasi za Kazi za Uboreshaji Zanzibar 24 Jun, 2024 Orodha ya Asasi zilizopata vibali vya elimu ya mpiga kura wakati wa uboreshaji wa Daftari 2024/2025 Tazama Zaidi Idadi ya Madiwani 5,350 Waliojiandikisha 29,754,699 Wabunge 390 Vituo vya kupigia kura 80,155 Matokeo ya Uchaguzi Soma zaidi Boresha Taarifa za Mpiga Kura Mtandaoni Soma zaidi Mzunguko wa Uchaguzi Soma zaidi Matukio Yajayo 27 Dec, 2024 Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Mikoa ya Iringa, Mbeya na Dodoma katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kuanzia tarehe 27 Disemba,2024 hadi tarehe 02 Januari, 2025 Matukio Zaidi Matukio Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Rufaa) Mhe.Jacobs Mwambegele amefungua Mkutanowa Wadau wa Uchaguzi Mkoa wa Mbeya 15 December, 2024 - Mbeya Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Wadau wa Uchaguzi Mkoa wa Mbeya wakifuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi 15 December, 2024 - Mbeya Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk amefungua mkutano wa wadau Mkoa wa Iringa 15 December, 2024 - Iringa Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk amehudhuria Mkutano wa 26 wa Jukwaa la Tume za Uchaguzi za ECF-SADC nchini Seychelles 11 December, 2024 - Seychelles Previous Next Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika Mikoa ya Iringa, Mbeya na Dodoma katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kuanzia tarehe 27 Disemba,2024 hadi tarehe 02 Januari, 2025 -- Siku -- Saa -- Dakika -- Sekunde
https://www.pmo.go.tz/
null
null
null
null
null
null
#### ** Naibu Waziri Mkuu** #### **Waziri wa Nchi & Naibu Mawaziri** #### **Katibu Mkuu & Naibu Katibu Mkuu** #### Hotuba #### Matukio ya Kitaifa #### Nukuu za Waziri Mkuu Uzalendo ndio utalifanya Taifa liendelee kujitegemea, hivyo ni muhimu suala hilo likapewa kipaumbele. Tusikubali kushawishiwa na Mtanzania yeyote anayetumiwa na watu wenye lengo la kutaka kuja kututawala, tusikubali lazima tuendelee kuwa huru na tulinde rasilimali kwa manufaa ya wote. Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa 08th Dec, 2020
https://www.orpp.go.tz/
null
null
null
null
null
null
Jaji Francis Mutungi anasikitika kutangaza kifo cha Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu John Bill Tendwa Soma zaidi.. Karibu kwenye tovuti ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa . Kupitia tovuti hii, utapata taarifa za uhakika juu ya shughuli za Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini na taarifa za uhakika juu ya Vyama vya Siasa. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imejikita katika usimamizi wa Sheria ya Vyama vya Siasa Na 5 ya mwaka 1992 na Sheria ya Gharama za uchaguzi ya mwaka 2010 ili kuhakikisha uwepo na ukuaji wa demokrasia ya vyama vingi nchini. Jaji Francis Mutungi anasikitika kutangaza kifo cha Msajili wa Vyama vya Siasa Mstaafu John Bill Tendwa Soma zaidi.. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imepongezwa kwa namna ambavyo imekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha Vyama vya Siasa vinajiendesha kama taasisi na kwa kuzingatia sheria na taraatibu za kidemokrasia. Soma zaidi.. Baraza la Vyama vya Siasa limeafiki kutoa pongezi za dhati kwa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna ambavyo ameendelea kuimarisha Demokrasia nchini kwa kuboresha Baraza la Vyama vya Siasa nchini. Soma zaidi.. Watumishi Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa watakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya vifaa vya TEHAMA na kuwa makini wanapokuwa katika mitandao ya kijamii ili kuhakikisha wanalinda unyeti wa ofisi hiyo. Soma zaidi..
https://www.tanzania.go.tz
null
null
null
null
null
null
Afya [email protected] Afya [email protected] Afya [email protected] Afya [email protected] Afya [email protected] Afya [email protected] Afya [email protected] Afya Afya [email protected] Afya [email protected] Ardhi na Makazi [email protected] Ardhi na Makazi [email protected] Biashara na Uwekezaji [email protected] Biashara na Uwekezaji [email protected] Biashara na Uwekezaji [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Elimu [email protected] Fedha na Kodi [email protected] Fedha na Kodi [email protected] Fedha na Kodi [email protected] Fedha na Kodi [email protected] Fedha na Kodi [email protected] Fedha na Kodi [email protected] Fedha na Kodi [email protected] Fedha na Kodi [email protected] Fedha na Kodi [email protected] Fedha na Kodi [email protected] Habari na Mawasiliano [email protected] Habari na Mawasiliano [email protected] Habari na Mawasiliano [email protected] Habari na Mawasiliano [email protected] Katiba na Sheria [email protected] Katiba na Sheria [email protected] Katiba na Sheria [email protected] Katiba na Sheria [email protected] Katiba na Sheria [email protected] Katiba na Sheria [email protected] Kazi na Ajira [email protected] Kazi na Ajira [email protected] Kazi na Ajira [email protected] Kazi na Ajira [email protected] Kazi na Ajira [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Kilimo [email protected] Madini [email protected] Madini [email protected] Maji [email protected] Maji [email protected] Maliasili na Utalii [email protected] Maliasili na Utalii [email protected] Maliasili na Utalii [email protected] Maliasili na Utalii [email protected] Maliasili na Utalii [email protected] Maliasili na Utalii [email protected] Maliasili na Utalii [email protected] Maliasili na Utalii [email protected] Maliasili na Utalii [email protected] Maliasili na Utalii [email protected] Masuala ya Kimataifa [email protected] Masuala ya Kimataifa [email protected] Masuala ya Kimataifa [email protected] Mazingira [email protected] Mazingira [email protected] Mifugo na Uvuvi [email protected] Miundombinu na Uchukuzi [email protected] Miundombinu na Uchukuzi [email protected] Nishati [email protected] Nishati [email protected] Nishati [email protected] Ulinzi na Usalama [email protected] Ulinzi na Usalama [email protected] Ustawi wa Jamii [email protected] Ustawi wa Jamii [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected] [email protected]
https://www.tanzania.go.tz/topics/health
null
null
null
null
null
null
1. Kuimarisha huduma za Kinga dhidi ya magonjwa ikiwemo huduma za chanjo, huduma za lishe, huduma za usafi na afya mazingira na huduma za afya ngazi ya jamii. 2. Kuimarisha upatikanaji na ubora wa huduma za afya zinazotolewa na vituo vya umma katika ngazi zote; 3. Kuimarisha upatikanaji na udhibiti wa dawa, vifaa, vifaa tiba, vitendanishi na damu salama katika ngazi zote za utoaji wa huduma za afya; 4. Kuimarisha huduma za Afya ya Uzazi, mama na mtoto ili kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vya watoto wachanga; 5. Kuimarisha huduma za matibabu ya ubingwa na ubingwa bobezi ili kusogeza huduma hizi karibu na wananchi na kuwapunguzia gharama za kupata matibabu haya nje ya nchi. 6. Kuimarisha huduma za Afya ya Akili, huduma za utengamao na Tiba Shufaa 7. Kudhibiti magonjwa ya mlipuko na magonjwa hatari ya kuambukiza; 8. Kudhibiti magonjwa ya kuambukiza hususani Malaria, Kifua Kikuu (TB), VVU/UKIMWI na Homa ya ini. 9. Kudhibiti magonjwa yasiyo ya kuambukiza hususani kisukari, shinikizo la juu la damu na magonjwa ya Moyo na kuimarisha huduma za dharura nchini ikiwemo ajali; 10. Kuimarisha upatikaji wa wataalam katika Sekta ya Afya katika fani za kati, ubingwa na ubingwa bobezi. 11. Kuendeleza na kusimamia huduma za tiba asili na tiba mbadala nchini. 12. Kuimarisha Mifumo ya TEHAMA na matumizi ya takwimu; 13. Kuimarisha mifumo ya ugharamiaji wa huduma za afya nchini; 14. Kusimamia tafiti na matumizi ya matokeo ya tafiti mbalimbali za Afya; Kitendea kazi cha “Mama Kinara” kimetengenezwa na jumla ya Mama Kinara **818 **na Wakufunzi **40** walipata mafunzo yaliyofanyika katika mikoa ya Morogoro, Pwani, Tanga, Dodoma, Manyara, Arusha, Mwanza, Shinyanga, Geita na Tabora. Hadi sasa jumla ya akinamama **68,028** wanaonyonyesha walio na VVU wamefikiwa kati ya akinamama **73,935.** Lengo la hatua hii ni kuhakikisha wanawake wenye maambukizi ya VVU/UKIMWI wananyonyesha Watoto wao ili kuweza kuwafanya wawe na afya bora. Wizara imeanzisha afua mpya ya Mama Kinara katika ngazi ya Jamii kwa ajili ya kuwezesha ufuatiliaji wa wajawazito na akina mama wanaonyonyesha ambao wamekwisha thibitika kuwa na maambukizi ya VVU. Wizara inaboresha afua mbalimbali ambazo zinahamasisha wananchi kwenda kupima na kutambua hali zao za maambukizi ya VVU/UKIMWI, ili waweze kupatiwa huduma za ushauri, upimaji, matunzo na huduma za dawa kwa haraka pale inapoonekana kuwa wameambukizwa. Jumla ya wateja **1,519,013** sawa na asilimia **84.6** ya watu **1,795,905 **wanaokadiriwa kuishi na virusi vya UKIMWI nchini walikuwa wanatambua hali zao za maambukizi. Kati yao, wateja **1,507,686** sawa na asilimia **99.3** walikuwa wameanza kutumia dawa za kufubaza Virusi vya UKIMWI (95 ya pili). Aidha, asilimia 95.8 ya wateja waliokuwa wanatumia dawa za ARV nchini walikuwa wamefubaza wingi wa virusi vya UKIMWI ambayo ni sawa na chini ya nakala 1,000 (95 ya tatu). Idadi ya vituo vinavyotoa huduma ya Tiba ya UKIMWI (CTC) vimefikia** 6,759 **na kati ya hivyo CTC kamili ni **3,075 **na vituo vya huduma za Afya ya Uzazi na Mtoto (RCHS) vinavyotoa huduma ya kutoa dawa ya kufubaza Virusi vya UKIMWI vipo **3,684.** Aidha, Wizara ilisaini mwongozo wa utekelezaji wa utoaji dawa kinga na kuanza kwa huduma hiyo, jumla ya walengwa 13,285 walianza huduma hiyo katika Mikoa yote nchini. Huduma ya Kuzuia maambukizi ya VVU kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto (PMTCT) zinatolewa katika vituo **6,996 **sawa na asilimia 98 kati ya vituo **7,138** vinavyotoa huduma za afya ya uzazi na Mtoto. Pia, Wizara imepanua huduma ya upimaji wa pamoja wa VVU na kaswende kwa wajawazito ambapo jumla ya vituo **3,497** kati ya **7,138** sawa na asilimia **49 **vinavyotoa huduma za afya ya uzazi na mtoto vimeanza kupima VVU na kaswende kwa kutumia kitepe kimoja, lengo ni vituo vyote viweze kutoa huduma ya upimaji huo. Wizara imeendelea kupanua huduma za upimaji wa Watoto wachanga waliozaliwa na akina mama wenye VVU kutoka Idadi ya vituo vinavyotoa huduma hizi kutoka vituo 50 mwaka 2020 hadi vituo 141 mwaka 2021. Upimaji huo hufanyika kwa kutumia vinasaba vya VVU mahali zitolewapo huduma (EID Point of Care). Jumla ya watoto **54,134 **waliozaliwa na akina mama wanaoishi na VVU walipimwa vinasaba vya VVU na kati yao watoto **1,299** sawa na asilimia 2 walikutwa na maambukizi ya VVU na wote waliunganishwa na huduma ya matibabu lengo ni kuzuia kabisa maambukizi ya mama kwenda kwa mtoto. Wizara inaratibu na kusimamia utekelezaji wa awamu ya pili ya Kampeni ya Taifa ya Usafi wa Mazingira yenye kaulimbiu isemayo “USICHUKULIE POA NYUMBA NI CHOO” yenye lengo la kuhimiza ujenzi na matumizi ya vyoo bora na vifaa vya kunawia mikono vyenye maji tiririka na sabuni katika ngazi ya kaya na Taasisi. Kupitia kampeni hii, idadi ya kaya zenye vyoo bora imeongezeka kutoka asilimia **64** mwaka 2020 hadi kufikia asilimia **72 **mwezi Machi, 2022. Vilevile, kaya zenye vifaa vya kunawia mikono vyenye maji tiririka na sabuni zimeongezeka kutoka asilimia **40** Mwaka 2020 kufikia asilimia **41 **mwezi Machi, 2022. Watanzania wanaendelea kuhimizwa kuzingatia kanuni za usafi binafsi na usafi wa mazingira ili kujikinga na magonjwa mbalimbali kwani Kinga ni Bora kuliko Tiba. 1.Kununua na kusambaza aina saba za chanjo za watoto wadogo za kuwakinga na magonjwa ikiwemo Pepopunda, Kifaduro, Kupooza, Surua, Homa ya Uti wa Mgongo, Kifua Kikuu, Dondakoo, Nimonia, Homa ya Ini, Rubella na Kuharisha zinapatikana bure kulingana na mahitaji. Lishe bora ni muhimu kwa uhai, ukuaji na maendeleo ya binadamu kiakili na kimwili na hivyo kuchangia katika kuongeza tija katika uzalishaji mali kwa kaya na kuimarisha uchumi wa jamii na Taifa kwa ujumla. Wizara imefanya utafiti wa hali ya lishe kwa wanafunzi wa shule za msingi za Serikali nchi nzima, ambapo jumla ya wanafunzi **63,000 ** kutoka shule 650 wamefanyiwa tathmini ya hali ya lishe na kudodoswa masuala ya ulaji na wanafunzi **21,000** wamepimwa kiasi cha damu. Utafiti huu umefanyika mwezi Agosti na Oktoba, 2021,uchakataji wa takwimu unaendelea. Matokeo ya utafiti huu yatachangia katika kuboresha hali ya lishe kwa vijana hususani walioko mashuleni. Aidha, Serikali imeendelea kuimarisha lishe na afya ya watoto wachanga na wadogo kwa kuendelea kutekeleza Kampeni ya Kitaifa ya utoaji wa matone ya Vitamini A kwa watoto walio chini ya miaka mitano. Malengo ya kampeni ya mwaka 2021/22 yalikuwa ni kutoa matone ya Vitamin A kwa watoto **8,248,450**, kati ya umri wa miezi (6 – 59). Zoezi hili lilikamilika kwa kuweza kuwafikia walengwa **8,015,463 **sawa na asilimia 97.2 ikilinganishwa na asilimia 95 ya mwaka 2020. Vilevile, Wizara imeendelea kuimarisha huduma za matibabu ya utapiamlo mkali kwa watoto kwa kuimarisha upatikanaji wa chakula dawa, upatikanaji wa vifaa vya kufanyia tathmini ya hali ya lishe pamoja na kuboresha miundombinu ya kufanyia matibabu ya utapiamlo mkali kwa watoto. Pia vituo vinavyotoa matibabu ya utapiamlo mkali kwa kulaza vimeongezeka kutoka vituo 365 mwaka 2020 kufikia vituo 385 vya kutolea huduma za afya hadi kufikia Machi, 2022. Wizara kwa kushirikiana na wadau wa lishe nchini imefanya maadhimisho ya Siku ya Lishe Kitaifa tarehe 18 – 23 Oktoba, 2021.Uzinduzi na Kilele cha Maadhimisho hayo umefanyika Mkoani Tabora. Aidha, Wizara ilifanya uraghibishi na mafunzo kwa timu za uendeshaji wa huduma za afya za Mikoa na Halmashauri (RHMT na CHMT) pamoja na watoa huduma za Afya kuhusu uanzishwaji wa vitengo vya kuratibu huduma za Lishe kwenye Vituo vya kutolea huduma za Afya katika Mikoa ya Tabora,Manyara na Dodoma, ambapo jumla ya watoa huduma 150 wamejengewa uwezo.
https://www.tanzania.go.tz/topics/education
null
null
null
null
null
null
Serikali ya Tanzania imeanzisha juhudi nyingi za marekebisho ya sera na muundo ili kuimarisha ubora wa elimu na kuhakikisha elimu ya msingi kwa wote ili kuimarisha uhusiano kati ya elimu inayotolewa katika ngazi zote za maendeleo ya uchumi na jamii nchini Tanzania. Elimu ina athari kubwa na muhimu kwa maendeleo ya kijamii na binadamu hasa katika kufuta ujinga wa kutojua kusoma, kuandika na kuhesabu, umaskini, uzazi, na afya ya mama na mtoto. Elimu ya Msingi ndicho kiwango cha elimu chenye athari kubwa kwa matokeo ya kijamii. Inachangia takriban asilimia 60 ya jumla ya athari, ambayo inahalalisha zaidi uhalali wa juhudi endelevu kuhakikisha kuwa watoto wote wa Tanzania wanamaliza angalau elimu ya msingi; na Elimu inauhusiano mkubwa na mahitaji ya soko la ajira. Viwango vya juu vya elimu huwezesha kipato kikubwa. Mshahara wa wafanyakazi wenye elimu ya sekondari ni muhimu zaidi na hivyo kuonyesha kuwa kuna upungufu mkubwa wa watu wenye sifa za elimu ya sekondari. Pia kuna uhusiano mkubwa kati ya mafunzo ya ufundi stadi na ajira ya wahitimu wa vyuo. Kwa jumla mapato ya wahitimu wa mafunzo ya ufundi stadi unalingana vizuri na watu waliojiajiri wenye elimu ya msingi au sekondari. Sehemu hii inaainisha taarifa kamili zinazohusu huduma za elimu kuanzia shule za awali hadi chuo kikuu, mitaala ya elimu na jinsi gani wanafunzi wanaweza kupata taarifa za majibu ya mitihani, mikopo ya elimu ya juu, jinsi ya kujiunga na vyuo vikuu mbalimbali. kwa taarifa zaidi tembelea tovuti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Elimu ya Masafa imeshamiri sana nchini Tanzania kwa ushirikishaji mkubwa wa Serikali katika utekelezaji wake. Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi imetoa mchango mkubwa katika kusaidia maendeleo ya fursa za elimu ya masafa. Sehemu hii inakupatia maelezo ya kina kuhusu Taasisi ya Elimu ya Watu wa Wazima, Chuo Kikuu Huria cha Tanzania na Bodi ya Huduma za Maktaba, Tanzania. Idara ya Elimu ya Juu ina wajibu wa kuratibu sera na miongozo, kuweka viwango, program, masharti na kuhakikisha elimu ya juu bora, kwa kushirikiana na Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) Tanzania. Aidha,Idara ya Elimu ya Juu ina wajibu wa kuratibu taasisi zote za elimu ya juu na wakala zilizoko katika Wizara. Katika sehemu hii, pata maelezo ya kina kuhusu Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Bodi ya Mikopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HELSAB), Taasisi za Elimu ya Juu, Msaada wa masomo na Vyuo vikuu. Higher Education Students' Loans Board was established by Act No. 9 of 2004 and became operational in July 2005. The objective of the Board is to assist, on a loan basis, needy students who secure admission in accredited higher learning institutions, but who have no economic power to pay for the costs of their education. The Board is also entrusted with the task of collecting due loans from previous loan beneficiaries in order to have a revolving fund in place so as to make the Board sustainable. Due to increasing numbers of applicants seeking loans and limited funds set aside annually by the Government, the Higher Education Students' Loans Board uses *Means Testing S*ystem in identifying applicants who deserve to be given loans. The criteria used to get loans include neediness, academic performance in Form VI examinations or equivalent qualifications and national priority programmes. For in-service students not pursuing health science programmes or education in science and mathematics, other arrangements are in place for them to get loans from their employers or Social Security Schemes. Financial assistance loaned to students covers the following six items; In this section you will find online application form, and loan repayment form, visit Higher Education Students Loans Board website for more details.
https://www.tanzania.go.tz/topics/finance-and-planning
null
null
null
null
null
null
Serikali ya Ufaransa kupitia Shirika lake la Maendeleo la Ufaransa (AFD) imesaini mkataba wa kuipatia Serikali ya Tanzania mkopo wa Euro milioni 75 sawa na takriban shilingi bilioni 195 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa Usambazaji wa Majisafi na Usafi wa Mazingira katika Mkoa wa Shinyanga. Lengo kuu la mradi huo ni kutoa huduma za uhakika na endelevu za upatikanaji wa majisafi na usafi wa mazingira katika Manispaa ya Shinyanga. Mradi huo utaboresha afya, ustawi wa jamii na hali za maisha ya wanufaika wa mradi huo kwa kuboresha na kuimarisha miundombinu iliyopo na kuongeza ufanisi wa uendeshaji na utoaji wa huduma bora kupitia Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA). Hii ni ajenda kubwa inayoendana na hatua za Serikali, kupitia Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano unaotoa vipaumbele pamoja kuboresha upatikanaji na usambazaji wa Maji na huduma za usafi wa mazingira mijini na vijijini na utunzaji wa vyanzo vya maji na mazingira. Mradi utaongeza upatikanaji wa maji safi na salama kwa asilimia 95 katika Manispaa ya Shinyanga na baadhi ya miji midogo katika Wilaya ya Shinyanga na itawanufaisha wananchi zaidi ya 306,566 ambao hivi sasa wanapata maji kwa wastani wa asilimia 60. .Aidha, moja ya vigezo vya Mpango huo ni kuongeza asilimia ya watu wa mijini wanaopata huduma ya maji safi Uzalishaji wa maji utaongezeka kutoka mita za ujazo za sasa ambazo ni 25,877 kwa siku, hadi 33,944; na kuongeza nafasi za ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja katika maeneo yanayozunguka mradi. Taasisi zitakazotekeleza mradi huo (Wizara ya Maji na SHUWASA) chini ya uongozi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Sanga, wanatakiwa kutuma uzoefu uliopatikana katika utekelezaji wa Awamu ya Pili ya Mradi wa Sekta ya Maji Tanzania, Programu ya huduma endelevu za Maji na usafi wa Mazingira vijijini na miradi mbalimbali ya maji na usafi wa mazingira iliyofadhiliwa na AFD ili kutoa huduma nzuri kwa ajili ya wananchi wa Shinyanga na nchini kwa ujumla. Serikali itaendelea kuimarisha uhusiano wa kimaendeleo kwa faida ya wananchi wananchi na kuchukua hatua zote muhimu kuhakikisha kwamba mradi unatekelezwa kwa ufanisi na kwa wakati. Katika kipindi cha miezi mitano tu iliyopita kuanzia mwezi Februali, Ufaransa imeipatia Tanzania Euro milioni 330 kiasi ambacho ni kikubwa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo hapa nchini.Nchi ya Tanzania na Ufaransa zina urafiki ambao umekuwa ukikuwa kama inavyojidhihirisha katika miradi ya kimaendeleo inayofadhili . Serikali ya Ufaransa itaendelea kushirikiana na Tanzania katika sekta tatu ambazo ni Maji na Usafi wa Mazingira, Nishati na Usafirishaji na Uchukuzi. Tangu mwaka 2014 Serikali ya Ufaransa imewekeza zaidi ya euro bilioni 1 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo duniani kote ikiwa ni jitihada ya nchi hiyo kuziwezesha nchi zinazoendelea kuondokana na uhaba wa maji na uharibu wa mazingira. Kukamilika kwa mradi huu kutawezesha maji kufikia asilimia 95 au Zaidi ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya Chama Cha Mapinduzi ambayo imeelekeza kufikia mwaka 2025 huduma ya maji mijini ifikie asilimia 95 na maji vijijini ifikie asilimia 85. Serikali ya Tanzania imewasilisha bungeni bajeti yake kuu kwa mwaka wa fedha 2022/2023 ambapo jumla ya shilingi trilioni **41.48 **zinatarajiwa kutumika. Bajeti ya mwaka 2022/23 inalenga kuongeza Kasi ya Kufufua Uchumi na Kuimarisha Sekta za Uzalishaji kwa ajili ya Kuboresha Maisha. Katika utekelezaji wa dhima hiyo kwa mwaka 2022/23 bajeti imeelekeza kipaumbele katika sekta za uzalishaji zikiwemo Kilimo, Mifugo, Uvuvi, Nishati, Uwekezaji na Biashara. Lengo la Serikali ni kujenga uchumi, kukabiliana na umasikini pamoja na ukosefu wa ajira hasa kwa vijana.
https://www.tanzania.go.tz/topics/information-and-communication-technologies
null
null
null
null
null
null
The Ministry of Information, Communication and Information Technology was established on 12th september, 2021 by the President of the United of Republic of Tanzania. The Ministry is meant to formulate and monitor implementation of policies on information and communication technologies and, Postal services. It is envisaged to drive the digital transformation agenda in Tanzania amid the global fourth phase of industrial revolution. The Ministry of Communications and Information Technology in collaboration with the Office of the President-PMO-RALG and the Ministry of Lands, Housing and Housing Development, is implementing the Digital Address and Postcode System (NAPA). The purpose of implementing this Framework is to ensure that every institution or citizen has a Residential Address in his or her home, office or business area. Serikali inatekeleza Mpango wa Anwani za Makazi na Postikodi ikiwa ni utekelezaji wa Sera ya Taifa ya Posta ya mwaka 2003 inayoelekeza kuwepo kwa Anwani za Kitaifa zitakazowezesha ufikishaji wa barua, nyaraka, vifurushi na vipeto majumbani na katika ofisi mbalimbali. Aidha, nchi wanachama wa Umoja wa Posta Duniani (Universal Postal Union - UPU) katika Mkutano Mkuu uliofanyika Doha, Qatar mwaka 2012 walikubaliana kuanzisha mfumo bora utakaofikisha barua, nyaraka, vifurushi na vipeto kwa wahusika. Kupata taarifa zaidi bonyeza Mwongozo wa Postikodi Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi una lengo la kuelekeza na kuwezesha Wizara, Idara zinazojitegemea, Wakala wa Serikali na wadau wa Sekta ya Posta namna ya kutimiza wajibu wao katika kusimamia masuala ya Anwani za Makazi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Taratibu zilizopo. Kwa maelezo zaidi bonyeza Mwongozo wa Mfumo wa Anwani za Makazi Mradi Na. 4280: MRADI WA TANZANIA YA KIDIGITALI (DIGITAL TANZANIA) Katika mwaka 2022/23 Sh. 39,300,000,000 fedha za nje ziliombwa kwa ajili ya kutekeleza shughuli mbalimbali. Katika Hotuba ya Bajeti ya mwaka wa fedha 2022/23 vipaumbele vilivyoainishwa kwenye mradi huu ni: (i) Kujenga kituo kimoja (1) cha kukuza taaluma na ubunifu katika TEHAMA na vituo vidogo vitano (5) kwenye kila Kanda; (ii) Kuwezesha ununuzi, ugavi na ufungaji wa vifaa katika kituo kimoja (1) kikubwa na vituo vidogo vitano (5) vya kukuza taaluma na ubunifu katika TEHAMA; (iii) Kuwezesha ununuzi wa ‘bandwidth’ kwa ajili ya matumizi ya intaneti ya Serikali; (iv)Kusimika mitambo kwa ajili ya kuboresha Kituo cha Taifa cha Kutunzia Data (NIDC); (v) Kukarabati vituo 10 vya Huduma Pamoja; (vi)Kujenga mfumo wa kitaifa utakaorahisisha ukusanyaji wa takwimu za masuala ya TEHAMA; (vii) Kujenga, kupanua na kuboresha miundombinu iliyopo ya intaneti yenye kasi (broadband) inayomilikiwa na Serikali (GovNET) na kuunganisha taasisi 100 kwenye Miundombinu hiyo na kufikisha taasisi 390 zilizounganishwa; (viii) Kutekeleza programu ya uelimishaji umma kuhusu mradi; (ix)Kujenga maabara tatu (3) kwa ajili ya kufufua (refurbishment) vifaa vya TEHAMA katika Mikoa ya Arusha, Dar es Salaam na Mwanza; (x) Kujenga minara ya mawasiliano 150 kwenye Kata 150 ili kuwezesha huduma za mawasiliano nchini; (xi)Kufanya mapitio na kuhuisha Sera, Sheria na Kanuni mbalimbali za TEHAMA; (xii) Kuwajengea uwezo wataalam wa TEHAMA nchini kwa kuwapatia watalaam 200 mafunzo ya muda mfupi na wataalam 10 mafunzo ya muda mrefu; na (xiii) Kufanya tathmini ya kuainisha mahitaji na usanifu wa kujenga mfumo wa kuwezesha biashara mtandao. Hadi kufikia tarehe 31 Disemba, 2022 Wizara ilipokea jumla ya kiasi cha Sh. 10,261,846,606.50 sawa na asilimia 26.11% ya bajeti iliyotengwa kwa ajili ya Mradi tajwa. Shughuli zilizotekelezwa kwa kipindi husika ni kama ifuatavyo: (i) Kufanyika maandalizi ya kupata mtaalam kwa ajili ya upembuzi yakinifu kuhusu Kuanzishwa kwa Taasisi ya TEHAMA na vituo vya Ubunifu wa TEHAMA. Mkataba kati ya Wizara na Mshauri Mwelekezi umesainiwa mwezi Disemba, 2022 na kazi hiyo itakamilika mwezi Aprili, 2023; (ii) Kuhakiki taarifa za anuani za makazi katika Halmashauri 11 ambazo ni Majiji ya Dar es salaam na Mwanza, Manispaa za Ilemela, Ubungo, Temeke, Kinondoni, Kigamboni na Mtwara Mikindani, Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Micheweni na Chakechake; (iii) Kufanyika kwa upembuzi yakinifu kwa ajili ya kufanya mapitio ya sera na sheria zinazosimamia TEHAMA. Taarifa ya awali (Final Inception Report) imewasilishwa na Mshauri Mwelekezi na kazi hiyo inarajiwa kukamilika mwezi Februari, 2023. (iv) Kufanyika kwa Upembuzi yakinifu kuhusu Utengenezaji wa Mfumo wa Kitaifa wa Usimamizi wa Taarifa za Takwimu za TEHAMA (NISMIS). Mkataba kati ya Wizara na Mshauri Mwelekezi umesainiwa Novemba, 2022 na ameanza kazi ya kukusanya maoni ya wadau kabla ya kuanza kusanifu mfumo huo, utekelezaji wake utakamilka mwezi Mei, 2023. (v) Kukamilisha Mpango Mkakati wa Mfumo wa Kitaifa wa Usimamizi wa Taarifa za Takwimu za TEHAMA (NISMIS) na orodha ya viashiria vya TEHAMA. (vi) Kuhuisha ununuzi wa Mkondo wa Mawasiliano ya Serikali (Extension of Government Internet Bandwidith) wenye kasi ya 5GBps kwa kipindi kinchoishia mwezi Februari, 2023 kwa ajili kuongeza ubora wa upatikanaji wa huduma za Kidijitali zinazotolewaa na Serikali. Aidha, taratibu za manunuzi ya Mkondo wa Mawasiliano ya Serikali wenye kasi ya 20 GBps kwa kipindi cha miaka kumi ijayo upo katika hatua ya tathmini ya zabuni na Mkataba unatarajiwa kusainiwa mwezi Februari, 2023. (vii) Kufanyika kwa upembuzi yakinifu wa Teknolojia ya (TV White Space) itakayosaidia kuongeza huduma ya mawasiliano kwa watumiaji wa intaneti kwenye maeneo ya vijijini na pembezoni mwa Nchi. Mshauri Mwelekezi amewasilisha taarifa ya awali ya upembuzi na kazi hiyo inatarajiwa kukamilika mwezi Februari, 2023. (viii) Kukamilika kwa taratibu za Manunuzi ya vifaa kwa ajili ya upanuzi wa Mkondo wa Mawasiliano ya Serikali (Bandwidith termination Equipment). Vifaa hivyo vinatarajiwa kupokelewa mwezi Juni, 2023 na kuboresha uwezo wa Mkondo wa Mawasiliano ya Serikali. (ix) Kuandaa daftari la huduma za Serikali kwa ajili ya kuboresha utoaji wa huduma za Serikali kwa wananchi (Government Service Directory). (x) Kutangaza ufadhili wa nafasi za masomo kwa watumishi wa Serikali wa kada ya TEHAMA kwa ngazi ya Shahada ya Uzamili. Uchambuzi wa watumishi watakaofadhiliwa katika mafunzo hayo unatarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Januari, 2023 na matokeo kutangazwa baada ya kukamilika kwa zoezi hilo. Watumishi wanatarajiwa kaanza masomo mwishoni mwa Mwezi Februari, 2023; (xi) Kufanyika kwa upembuzi yakinifu kwa ajili ya vituo vya huduma Pamoja utakaosaidia kurahisisha utendaji kazi wa vituo hivyo (Business Process reengeering). Taarifa ya awali (Final Inception Report) imewasilishwa. Kazi hiyo inarajiwa kukamilika mwezi Agosti, 2023. (xii) Kufanya maandalizi ya mpango mkakati wa uchumi wa Kidigitali (Digital Economy Framework 2023-2033) utakaosaidia kuongeza matumizi ya kidijitali kwa huduma zinazotolewa na Serikali pamoja na Sekta binafsi. Rasimu ya mkakati huo inatarajiwa kujadiliwa kweye kikao cha Kamati Kuu Tendaji ya Taifa mwezi Januari, 2023. Mradi Na. 4280: MRADI WA TANZANIA YA KIDIGITALI (DIGITAL TANZANIA) Katika mwaka 2022/23 Sh. 39,300,000,000 fedha za nje ziliombwa kwa ajili ya kutekeleza shughuli mbalimbali. Katika Hotuba ya Bajeti ya mwaka wa fedha 2022/23 vipaumbele vilivyoainishwa kwenye mradi huu ni: (i) Kujenga kituo kimoja (1) cha kukuza taaluma na ubunifu katika TEHAMA na vituo vidogo vitano (5) kwenye kila Kanda; (ii) Kuwezesha ununuzi, ugavi na ufungaji wa vifaa katika kituo kimoja (1) kikubwa na vituo vidogo vitano (5) vya kukuza taaluma na ubunifu katika TEHAMA; (iii) Kuwezesha ununuzi wa ‘bandwidth’ kwa ajili ya matumizi ya intaneti ya Serikali; (iv)Kusimika mitambo kwa ajili ya kuboresha Kituo cha Taifa cha Kutunzia Data (NIDC); (v) Kukarabati vituo 10 vya Huduma Pamoja; (vi)Kujenga mfumo wa kitaifa utakaorahisisha ukusanyaji wa takwimu za masuala ya TEHAMA; (vii) Kujenga, kupanua na kuboresha miundombinu iliyopo ya intaneti yenye kasi (broadband) inayomilikiwa na Serikali (GovNET) na kuunganisha taasisi 100 kwenye Miundombinu hiyo na kufikisha taasisi 390 zilizounganishwa; (viii) Kutekeleza programu ya uelimishaji umma kuhusu mradi; (ix)Kujenga maabara tatu (3) kwa ajili ya kufufua (refurbishment) vifaa vya TEHAMA katika Mikoa ya Arusha, Dar es Salaam na Mwanza; (x) Kujenga minara ya mawasiliano 150 kwenye Kata 150 ili kuwezesha huduma za mawasiliano nchini; (xi)Kufanya mapitio na kuhuisha Sera, Sheria na Kanuni mbalimbali za TEHAMA; (xii) Kuwajengea uwezo wataalam wa TEHAMA nchini kwa kuwapatia watalaam 200 mafunzo ya muda mfupi na wataalam 10 mafunzo ya muda mrefu; na (xiii) Kufanya tathmini ya kuainisha mahitaji na usanifu wa kujenga mfumo wa kuwezesha biashara mtandao. Hadi kufikia tarehe 31 Disemba, 2022 Wizara ilipokea jumla ya kiasi cha Sh. 10,261,846,606.50 sawa na asilimia 26.11% ya bajeti iliyotengwa kwa ajili ya Mradi tajwa. Shughuli zilizotekelezwa kwa kipindi husika ni kama ifuatavyo: (i) Kufanyika maandalizi ya kupata mtaalam kwa ajili ya upembuzi yakinifu kuhusu Kuanzishwa kwa Taasisi ya TEHAMA na vituo vya Ubunifu wa TEHAMA. Mkataba kati ya Wizara na Mshauri Mwelekezi umesainiwa mwezi Disemba, 2022 na kazi hiyo itakamilika mwezi Aprili, 2023; (ii) Kuhakiki taarifa za anuani za makazi katika Halmashauri 11 ambazo ni Majiji ya Dar es salaam na Mwanza, Manispaa za Ilemela, Ubungo, Temeke, Kinondoni, Kigamboni na Mtwara Mikindani, Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Micheweni na Chakechake; (iii) Kufanyika kwa upembuzi yakinifu kwa ajili ya kufanya mapitio ya sera na sheria zinazosimamia TEHAMA. Taarifa ya awali (Final Inception Report) imewasilishwa na Mshauri Mwelekezi na kazi hiyo inarajiwa kukamilika mwezi Februari, 2023. (iv) Kufanyika kwa Upembuzi yakinifu kuhusu Utengenezaji wa Mfumo wa Kitaifa wa Usimamizi wa Taarifa za Takwimu za TEHAMA (NISMIS). Mkataba kati ya Wizara na Mshauri Mwelekezi umesainiwa Novemba, 2022 na ameanza kazi ya kukusanya maoni ya wadau kabla ya kuanza kusanifu mfumo huo, utekelezaji wake utakamilka mwezi Mei, 2023. (v) Kukamilisha Mpango Mkakati wa Mfumo wa Kitaifa wa Usimamizi wa Taarifa za Takwimu za TEHAMA (NISMIS) na orodha ya viashiria vya TEHAMA. (vi) Kuhuisha ununuzi wa Mkondo wa Mawasiliano ya Serikali (Extension of Government Internet Bandwidith) wenye kasi ya 5GBps kwa kipindi kinchoishia mwezi Februari, 2023 kwa ajili kuongeza ubora wa upatikanaji wa huduma za Kidijitali zinazotolewaa na Serikali. Aidha, taratibu za manunuzi ya Mkondo wa Mawasiliano ya Serikali wenye kasi ya 20 GBps kwa kipindi cha miaka kumi ijayo upo katika hatua ya tathmini ya zabuni na Mkataba unatarajiwa kusainiwa mwezi Februari, 2023. (vii) Kufanyika kwa upembuzi yakinifu wa Teknolojia ya (TV White Space) itakayosaidia kuongeza huduma ya mawasiliano kwa watumiaji wa intaneti kwenye maeneo ya vijijini na pembezoni mwa Nchi. Mshauri Mwelekezi amewasilisha taarifa ya awali ya upembuzi na kazi hiyo inatarajiwa kukamilika mwezi Februari, 2023. (viii) Kukamilika kwa taratibu za Manunuzi ya vifaa kwa ajili ya upanuzi wa Mkondo wa Mawasiliano ya Serikali (Bandwidith termination Equipment). Vifaa hivyo vinatarajiwa kupokelewa mwezi Juni, 2023 na kuboresha uwezo wa Mkondo wa Mawasiliano ya Serikali. (ix) Kuandaa daftari la huduma za Serikali kwa ajili ya kuboresha utoaji wa huduma za Serikali kwa wananchi (Government Service Directory). (x) Kutangaza ufadhili wa nafasi za masomo kwa watumishi wa Serikali wa kada ya TEHAMA kwa ngazi ya Shahada ya Uzamili. Uchambuzi wa watumishi watakaofadhiliwa katika mafunzo hayo unatarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Januari, 2023 na matokeo kutangazwa baada ya kukamilika kwa zoezi hilo. Watumishi wanatarajiwa kaanza masomo mwishoni mwa Mwezi Februari, 2023; (xi) Kufanyika kwa upembuzi yakinifu kwa ajili ya vituo vya huduma Pamoja utakaosaidia kurahisisha utendaji kazi wa vituo hivyo (Business Process reengeering). Taarifa ya awali (Final Inception Report) imewasilishwa. Kazi hiyo inarajiwa kukamilika mwezi Agosti, 2023. (xii) Kufanya maandalizi ya mpango mkakati wa uchumi wa Kidigitali (Digital Economy Framework 2023-2033) utakaosaidia kuongeza matumizi ya kidijitali kwa huduma zinazotolewa na Serikali pamoja na Sekta binafsi. Rasimu ya mkakati huo inatarajiwa kujadiliwa kweye kikao cha Kamati Kuu Tendaji ya Taifa mwezi Januari, 2023. Mradi Na. 6226: MRADI WA KUENDELEZA UBUNIFU NA UTENGENEZAJI WA VIFAA VYA TEHAMA Katika mwaka wa Fedha 2022/23 Sh. 3,300,000,000 fedha za ndani zilitengwa kwa ajili ya kutekeleza Mradi wa Kuendeleza Ubunifu na Utengenezaji wa Vifaa vya TEHAMA. Katika Hotuba ya Bajeti ya mwaka wa fedha 2022/23 vipaumbele vilivyoainishwa kwenye mradi huu ni: (i) Kujenga Kituo cha Kuendeleza Wataalam, tafiti na ubunifu wa TEHAMA na kufanya maandalizi ya ujenzi wa makao makuu ya Tume ya TEHAMA; (ii) Kukiendeleza kituo cha kuendeleza kampuni changa za TEHAMA (ICT startups) cha Dar es Salaam (Soft Centre) na kujenga vituo viwili (2) vya Kanda vya kutengeneza bidhaa za TEHAMA; (iii) Kuanzisha Vituo vya Ubunifu na Atamizi TEHAMA katika Wilaya mbili (2) nchini; (iv)Kutengeneza mfumo jumuishi utakaounganisha usajili na uendelezaji wa wataalam na wabunifu TEHAMA nchini (ICT human capital development system); na (v) Kuwezesha shughuli za ufuatiliaji na tathmini ya Mradi. Hadi kufikia tarehe 31 Disemba, 2022 Wizara ilipokea jumla ya Sh. 500,000,000 sawa na asilimia 15.2 ya bajeti iliyotengwa kwa ajili ya Mradi tajwa. Shughuli zilizotekelezwa kwa kipindi husika ni kama ifuatavyo: - i. Usanifu wa kituo cha ubunifu cha Dar es Salaam umekamilika. Hatua za kusaini mkataba na mkandarasi kwa ajili ya kufanya matengenezo na maboresho ya jengo la TEHAMA ziko katika hatua za ukamilishaji na kituo kinatarajiwa kuanza shughuli zake mwezi Machi 2023. ii. Kukamilika kwa upembuzi yakinifu wa kuainisha mahitaji ya vifaa vitakavyohitajika kwa ajili ya uundwaji wa bidhaa za TEHAMA hapa nchini. Mahitaji yaliyoainishwa yatatumika kuandaa nyaraka za zabuni itakayotangazwa mwezi Machi, 2023. iii. Majadiliano na viongozi wa Mikoa ya Arusha, Mwanza na Mbeya ya kupata maeneo ya kuanzisha vituo yanaendelea. Upembuzi na usanifu wa vituo hivyo utafanyika mara baada ya mazungumzo kukamilika mwezi Februari, 2023. iv. Mfumo wa usajili wa wataalamu wa TEHAMA umekamilika ambapo wataalamu wa TEHAMA kutoka maeneo mbalimbali wanaweza kujisajili kupitia https://iprs.ictc.go.tz/. Aidha, Hatua za ukamilishaji wa maboresho ya mfumo wa usajili wa wabunifu wa TEHAMA unatarajiwa kukamilika mwezi Februari 2023 ambapo utawezesha kuwa na kanzi data ya wabunifu wote wa TEHAMA (ICT/Digital Innovators) nchini, makampuni ya TEHAMA (ICT Companies), Wawekezaji katika huduma na bidhaa za ubunifu katika TEHAMA (Digital Innovation Investors), Vituo atamizi vya TEHAMA (ICT Incubation Hubs), Vituo vya uendelezaji bunifu za kidijitali (Digital Innovation Accelerators) pamoja na Taasisi za kifedha zinazotoa mitaji kwa wabunifu wa TEHAMA (ICT Innovation Capital Investors). v. Wabunifu na Watengeneza bidhaa za TEHAMA 63 wa kanda ya Dar es Salaam walijengewa uelewa wa namna bora ya kukuza bunifu zao ili ziweze kutoa ajira na kuchangia pato la Taifa. vi. Miongozo ya taasisi ikiwemo rasimu ya viashiria hatarishi vya miradi na uendeshaji wa shughuli za Tume imeandaliwa. Aidha, mafunzo ya vihatarishi kwa watumishi na wasimamizi wa mradi yatatolewa mwezi Machi, 2023. vii. Tume kwa kushirikiana na vyuo vya elimu ya juu vya Dar es Salaam (UDSM), Chuo cha Kilimo Cha Sokoine (SUA), Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA) na Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) imesaini Hati ya Maelewano na Chuo cha Turku (UTU) kilichopo Finland kwa ajili ya kuanzisha Kituo cha Resilience Academy hapa nchini. Chuo hiki kitasaidia katika kujenga uwezo na kuongeza ujuzi katika masuala ya TEHAMA hususan sekta ya elimu, tafiti, uendelezaji wa miji, mazingira na uhifadhi wa Data za TEHAMA (Strengthening digital competences of universities in education, research and service provisioning related to geospital data, climate risk information management and resilient future development to improve skills and knowledge base of the African Youth for inclusive, safe and resilient urban development). Mradi Namba 6567: HABARI KWA UMMA Kiasi cha Sh. 940,000,000 kiliombwa kwa ajili ya kukusanya, kuchakata, kuandaa na kusambaza habari na taarifa kwa wananchi kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa Serikali ikiwemo Sera, Mikakati, Miradi na Programu zinazotekelezwa na Serikali. Katika Hotuba ya Bajeti ya mwaka wa fedha 2022/23 vipaumbele vilivyoainishwa kwenye mradi huu ni: (i) Kukusanya, kuchakata, kuandaa na kusambaza habari na taarifa kwa wananchi kuhusu mafanikio ya utekelezaji wa shughuli za Serikali ikiwemo Sera, Mikakati, Miradi na Programu zinazotekelezwa na Serikali; na (ii) Kukusanya taarifa za mrejesho kutoka kwa wananchi kwa lengo la kupata maoni ya wananchi katika utekelezaji wa majukumu yake. Hadi kufikia tarehe 31 Disemba, 2022 Wizara ilipokea jumla ya Sh 420,797,259.99/- sawa na asilimia 44.8 ya bajeti iliyotengwa kwa ajili ya Mradi tajwa. Shughuli zilizotekelezwa kwa kipindi husika ni kama ifuatavyo: - (i) Ununuzi wa Magari matatu – aina ya Toyota Landcruiser Prado TXL Manual na Toyota Hilux Double Cabin Pick Up mbili (2) ambapo Sh. 347,628,409.99 zimetumika. Pia kiasi cha Sh. 73,168,850.00/- kwa ajili ya kulipia kifaa cha kurushia matangazo mubashara aina ya Live U. (ii) Vipindi ishirini (20) vya Televisheni vinavyohusu utekelezaji wa miradi ya maendeleo viliandaliwa na kurushwa TBC1. Vipindi hivi vilihusu Kilimo na Umwagiliaji, Viwanda, Ujenzi, Madini na Upanuzi wa Bandari ya Tanga. (iii) Kuratibu Mikutano ya Taasisi za Serikali kutoa taarifa za utekelezaji kupitia vyombo vya habari. Jumla ya Taasisi 37 ziliratibiwa na kutoa taarifa kwa umma kuhusu utekelezaji wa shughuli zake Mradi Na. 4234: Mfumo wa Anwani za Makazi: Katika Mwaka wa Fedha 2022/23 Sh. 40,000,000,000 fedha za ndani zilitengwa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa Mfumo wa Anuani za Makazi. Katika hotuba ya Bajeti ya mwaka wa fedha 2022/23 vipaumbele vilivyoainishwa kwenye mradi huu ni: (i) Kuhakiki miundombinu iliyowekwa wakati wa Operesheni Anwani za Makazi ili kuhakikisha viwango vimezingatiwa ili Mfumo uwe na tija kwa wananchi na kuwa endelevu; (ii) Kuhakiki taarifa zilizokusanywa kwenye operesheni maalum ya utekelezaji wa Mfumo wa Anwani za Makazi; (iii) Kuboresha Kanzidata na Programu Tumizi ya Mfumo; (iv)Kuendelea kuunganisha Mfumo wa Anwani za Makazi na Mifumo mingine ya kutoa huduma muhimu za kijamii; (v) Kutoa elimu kwa umma; makundi maalum ya kijamii kuhusu manufaa na matumizi sahihi ya Mfumo na kujengea uwezo Taasisi za umma na binafsi kutoa huduma kupitia Mfumo; (vi)Kutunga Sheria ndogo za kuwezesha ujenzi na matumizi ya Mfumo, mapitio ya Sheria ya EPOCA na Kanuni zake kuwezesha matumizi ya Mfumo; (vii) Kununua servers mbili (2) kwa ajili ya kuhifadhi taarifa za Mfumo na vifaa vya kuwezesha matumizi ya Mfumo; (viii)Kuandaa mwongozo wa kufanya maboresho ya namna mpya ya kufanya biashara kwa kutumia Mfumo; (ix)Kutengeneza Mkakati wa usimamizi, uendeshaji na uendelezaji wa Mfumo; na (x) Kuwezesha ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa Mfumo. Hadi kufikia tarehe 31 Disemba, 2022 Wizara ilipokea jumla ya kiasi cha Sh. 7,000,000,000 sawa na asilimia 17.5 ya bajeti iliyotengwa kwa ajili ya Mradi tajwa. Shughuli zilizotekelezwa kwa kipindi husika ni kama ifuatavyo: - (i) Kufanya uhakiki wa taarifa za Anwani za Makazi kwenye Halmashauri 12, ambazo ni Majiji ya Dodoma, Arusha, Mbeya na Tanga, Manispaa za Mjini, Magharibi A, Magharibi B na Moshi; na Halmashauri za Kaskazini A, Kaskazini B, Kusini na Kati; (ii) Kuboresha Mfumo wa Kidijitali wa Anwani za Makazi; (iii) Kuandaa Mapendekezo ya maboresho ya sheria za kusimamia Anuani za Makazi; (iv)Kutoa elimu kwa Umma kuhusu Anwani za Makazi; (v) Kuandaa Muundo wa usimamizi na uendeshaji wa Mfumo wa Anuani za Makazi; (vi)Wizara imefanikiwa kutunga Kanuni ndogo za Anuani za Makazi ambazo zimetumika katika kutekeleza mradi wa Anwani ya Makazi
https://www.tanzania.go.tz/topics/constitution-and-legal-affairs
null
null
null
null
null
null
Tembelea www.sheria.go.tz Wizara ya Katiba na Sheria ndiyo mhimili mkuu wa masuala yote ya kisheria nchini. Bila shaka ni kutokana na umuhimu huu, ndiyo sababu Wizara hii ikawa na umri wa miaka 55 sawa na umri nchi yetu hii leo. Historia ya Wizara ilianza mwaka 1961 wakati Waziri Mkuu wakati huo, Hayati Julius Nyerere alipomteua Chifu Abdallah Fundikira kuwa Waziri wa Sheria wa Kwanza Mzalendo kabla nafasi hiyo kuchukuliwa na Sheikh Amri Abeid Kaluta mwaka 1963 na baadaye Mhe. Hassan Nassor Moyo kuanzia mwaka 1964 aliyeshika nafasi hiyo hadi 1966. Baada ya hapo shughuli za Wizara zilihamishiwa Ofisi ya Waziri Mkuu na Makamu wa Pili wa Rais chini Hayati Rashid Mfaume Kawawa. Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1975, Wizara na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ziliunganishwa kupitia Tangazo la Serikali Na. 10 la mwaka 1975 na Mhe. Jullie Manning aliteuliwa kuwa Waziri na Mwanasheria Mkuu wa Serikali hadi mwaka 1982 alipoteuliwa Mhe. Joseph Warioba kushika nafasi hizo. Utaratibu huu uliendelea hata baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1985 wakati Mhe. Damian Lubuva alipoteuliwa kushika nyadhifa hizo mbili hadi mwaka 1990. Mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri yaliyofanywa mwaka 1990 yalipelekea Waziri na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kutenganishwa tena na hivyo kofia ya Uwaziri na kofi ya Uanasheria Mkuu wa Serikali zikatofautishwa. Wakati huo, shughuli za Waziri zilihamishiwa Ofisi ya Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ikabaki kuwa Idara inayojitegemea chini ya Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais. Mabadiliko haya yalifanywa kupitia Tangazo la Serikali Na. 140 la mwaka 1990. Mwaka 1993, Rais Alli Hassan Mwinyi aliirudisha tena Wizara ya Sheria na Mambo ya Katiba na kumteua Mhe. Samuel Sitta kuwa Waziri na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ikabaki kuwa Idara inayojitegemea chini ya Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais. Baada ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995, Rais Benjamin Mkapa aliendelea na Wizara hii kupitia Tangazo la Serikali Na. 720 la mwaka 1995 na kumteua Mhe. Harith Mwapachu kuwa Waziri. Katika muundo huu mpya, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali ilirudishwa chini ya Wizara hii kutoka Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais na Katibu Mkuu wa Wizara akawa pia ndiye Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Mwaka 2005, baada ya Uchaguzi Mkuu, Rais Jakaya Kikwete aliunda tena Wizara hii wakati huu ikiitwa Wizara ya Katiba na Sheria. Hata hivyo, ili kuongeza ufanisi, mwaka 2008 kufuatia mapendekezo ya Tume ya Jaji Mark Bomani, Wizara ilitenganishwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali hatua iliyopelekea pia kutenganishwa kwa nafasi ya Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali na ile ya Katibu Mkuu wa Wizara. Wizara ya Katiba na Sheria ni moja ya Taasisi nufaika ya utekelezaji wa Programu ya BSAAT ambayo imejikita katika kutekeleza majukumu yanayohusiana na maboresho ya Mfumo wa Haki Jinai nchini hususan katika maboresho ya mifumo ya kisera na kisheria ambayo yana mchango mkubwa wa kuweka mazingira rafiki ya mapambano dhidi ya rushwa. Mradi huu umeanza kutekelezwa kuanzia mwaka 2019/2020 na unatarajia kukamilika ifikapo mwaka 2024/2025. Vilevile, maandalizi ya programu hii awamu ya pili unaendelea ambapo utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitano baada ya awamu ya kwanza kukamilika. Malengo ya mradi huu ni pamoja kuzijengea Taasisi za Haki Jinai uwezo wa kupambana na rushwa nchini kwa maendeleo endelevu ya Taifa. Matokeo tarajiwa ya programu hii ni pamoja na kuweka mifumo imara ya kisera na kisheria katika mapambano dhidi ya rushwa kubwa nchi ambazo ni kikwazo cha maendeleo na kupambana na umaskini nchini na kuongeza wigo wa kushughulikia mashauri makubwa ya rushwa kwa wakati. Mradi huu unatekelezwa na Wizara ya katiba na Sheria, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mahakama ya Tanzania na Ofisi ya Taifa ya Mashtaka. 1. Mahakama Kuu ya Tanzania www.judiciary.go.tz 2. Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali www.agctz.go.tz 3. Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali www.osg.go.tz 4. Ofisi ya Taifa ya Mashtaka www.nps.go.tz 5. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora www.chragg.go.tz 6. Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini www.rita.go.tz 7. Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania www.lrct.go.tz 8. Tume ya Utumishi wa Mahakama www.jsc.go.tz 9. Taasisi ya Mafunzo ya Uanasheria kwa Vitendo www.lst.go.tz 10. Chuo cha Uongozi wa Mahakama www.ija.go.tz Mradi huu unalenga kuimarisha matumizi ya TEHAMA katika Sekta ya Sheria na kuunganisha mifumo ya taasisi ya utoaji huduma za kisheria kwa njia za kielektroni ili kuongeza ufanisi, kuharakisha upatikanaji wa haki na kupunguza gharama za utoaji wa huduma hizo. Matokeo ya awali ya mradi huu ni kuwa na mifumo iliyoainishwa kwa ajili ya kutoa huduma kwa Taasisi za Haki Jinai nchini. Matokeo ya Kati ya Mradi huu ni kuona haki Jinai inapatikana kwa wakati nchini. Matokeo ya muda mrefu ni kuwa na Mfumo wa haki jinai unaochangia maendeleo endelevu ya nchi Kampeni hii inafanyika kwa miaka mitatu kuanzia mwezi Machi, 2023 hadi mwezi Februari, 2026 katika mikoa yote ya Tanzania Bara na Zanzibar. Kampeni inajikita katika kutoa elimu ya kisheria kwa wananchi hususan katika masuala ya ukatili wa kijinsia, migogoro ya ardhi, mirathi, usuluhishi wa migogoro kwa njia mbadala, na masuala yahusuyo haki za binadamu kwa ujumla. Utekelezaji wa kampeni unafanyika kwa kushirikiana na Wizara na Taasisi za Serikali, Asasi za Kiraia, Wanazuoni na Wadau wa Maendeleo. Lengo kuu la Kampeni ni ni kulinda na kukuza upatikanaji wa haki kwa wote kupitia huduma ya msaada wa kisheria nchini. Katika kufikia lengo hilo, kampeni inaongeza uelewa wa kisheria na haki za binadamu kwa jamii hususan haki za wanawake na watoto; Inatoa huduma ya ushauri wa kisheria na unasihi kwa waathirika na manusura wa ukatili wa kijinsia; kuongeza uelewa kwa wananchi kuhusu elimu ya sheria, masuala ya haki na wajibu na misingi ya utawala bora. Matokeo ya muda mrefu ya kampeni hii ni kuchangia katika kuboresha upatikanaji wa haki kwa watu wasiojiweza, hususan wanawake, watoto na makundi mengine yaliyo katika mazingira hatarishi. Vilevile, itachangia kuimarisha amani na utulivu, kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja na kuleta utengamano wa kisiasa hapa nchini. Matokeo ya kati ni kuimarika kwa mfumo wa utoaji wa huduma ya msaada wa kisheria katika ngazi za Serikali Kuu hadi Serikali za Mitaa. Matokeo ya muda mfupi ni kuongezeka kwa idadi ya watu wanaotoa taarifa za matukio ya ukatili dhidi ya wanawake na watoto; kupungua kwa idadi ya migogoro na matukio yanayotokana na ukosefu wa uelewa wa sheria; Kuimarika kwa uwajibikaji na uwezo wa taasisi za Serikali na zisizo za kiserikali zinazotoa huduma za msaada wa kisheria. Kampeni imeanza kutekelezwa Jijini Dodoma tarehe 28 Mei, 2023 baada ya kuzinduliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa (Mb) tarehe 27 Mei, 2023 Jijini Dodoma. Ratiba ya utekelezaji wa Kampeni hiyo kwa mwaka 2023 katika Mikoa imezingatia usawa wa Kikanda kama ifuatavyo:- | Kanda | Mkoa | Tarehe/Mwezi | | Kati | Dodoma | Aprili, 2023 | | Kaskazini | Manyara | Mei, 2023 | | Ziwa | Shinyanga | Juni, 2023 | | Kusini | Ruvuma | Julai, 2023 | | Magharibi | Kigoma | Agosti, 2023 | | Mashariki | Morogoro | Septemba, 2023 | | Nyanda za Juu Kusini | Njombe | Oktoba, 2023 | | Nyanda za Juu Kusini 2 | Rukwa | Novemba, 2023 | | Ziwa (Magharibi) | Kagera | Desemba, 2023 | **Maeneo yanayofikiwa** Kwa utaratibu wa sasa, ratiba inalenga kufikia **Kata kumi (10)** kwa kila Halmashauri na **Mitaa/Vijiji vitatu** **(3)** kwa kila Kata. Kuna maeneo ambapo idadi ya Vijiji/Mitaa inapungua kutokana na mazingira nje ya uwezo wa watoa huduma. **1. Kushughulikia Masaula ya Kikatiba.** Katika mwaka wa bajeti wa 2023/24 Wizara ya Katiba na Sheria imejipanga kutoa elimu ya Katiba na Sheria kwa umma kupitia Vyombo mbalimbali vya Habari vikiwemo redio, luninga, mitandao ya kijamii na tovuti za Wizara pamoja na kugawa Katiba kwa wananchi. Mkakati huu unalenga kuhakikisha wananchi wanapata uelewa wa Katiba na kuwajengea uwezo wa kufahamu haki na wajibu wao kwa taifa na kuwawezesha kushiriki katika mijadala ya Katiba. **2. Kusimamia Mfumo wa Haki na Utoaji Haki. ** Katika mwaka wa Bajeti 2023/24 Wizara ya Katiba na Sheria imejipanga kuendelea kusimamia mifumo ya haki na utoaji haki ili kuhakikisha inapunguza mlundikano wa mashauri mahakamani na kuhakikisha wananchi wote wanapata haki sawa na kwa wakati. **3. Kuratibu Masuala ya Haki za Binadamu na Utoaji wa Huduma ya Msaada wa Kisheria ** Mwaka wa fedha 2023/24 Wizara ya Katiba na Sheria imejipanga kuendelea kuratibu masuala ya Haki za binadamu ikiwemo kushiriki vikao mbalimbali vinavyohusu masuala ya haki za binadamu. Pia Wizara imejipanga kuendelea kutoa msaada wa kisheria kupitia Kampeni ya *Mama Samia Legal Aid Campaign** *ambayo imepangwa kufanyika mikoa yote nchini Tanzania Bara na Zanzibar. **4. Kutunga Sera zinazohusu Masuala ya Kisheria na Kusimamia Utekelezaji wake ** Katika mwaka wa bajeti ya 2023/24 Wizara ya Katiba na Sheria imejipanga kutunga sera na sheria mbalimbali kwa kushirikiana na wadau wa masauala ya sheria pamoja na Katiba ikiwa ni mkakati wa kuimarisha na kuendeleza sekta ya sheria nchini. **5. Uandishi wa Sheria ** Wizara ya Katiba na Sheria kupitia ofisi ya Mwanasheria Mkuu itaendelea kuhakikisha kuwa sheria za nchi zinakwenda na wakati na zina akisi Sera na vipaumbele vya Serikali katika Nyanja zote za kiuchumi, kisiasa, kijamii kiutamaduni, kimazingira pamoja na kiteknolojia. **6. Kuendesha Mashtaka ya Jinai. ** Katika bajeti ya mwaka wa fedha 2023/24 Wizara imejipanga kuendelea na kuendesha kesi mbalimbali za jinai kupitia ofisi ya Taifa ya Mashtaka. **7. Kushughulikia Uendeshaji wa Mashauri ya Madai na Usuluhishi. ** Katika Mwaka wa bajeti ya mwaka wa Fedha 2023/24 Wizara ya Katiba na Sheria kupitia Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imejipanga kuendesha mashauri mbalimbali ya kesi za madai pamoja na kesi zingine. **8. Usuluhishi wa Migoro ya Kibiashara, Sheria za Kimataifa na Mikataba.** Wizara ya Katiba na Sheria imejipanga kufanya mapitio ya Sheria mbalimbali za usuluhishi na kuandaa mapendekezo ya uboreshwaji wa Sheria hizo pamoja na kukusanya maoni ya kuhusu mapendekezo ya maboresho pamoja na kuandaa rasimu ya marekebisho ya sheria. **9. Kuratibu Usajili wa Matukio Muhimu ya Binadamu, Usimamizi wa Ufilisi na Udhamini. ** Wizara kupitia Wakala wa Usajili, Ufilishi na Udhamini - RITA itaendelea kuimarisha shughuli za usajili wa matukio muhimu ya binadamu, ufilisi na udhamini kwa ajili ya mipango ya maendeleo ya Taifa.
https://www.tanzania.go.tz/topics/agriculture
null
null
null
null
null
null
Nchini Tanzania, Sekta ya Kilimo ni muhimili wa maendeleo ya uchumi. Sekta hii inachangia kiasi cha nusu ya pato la Taifa, robo tatu ya bidhaa zinazouzwa nje ya nchi na chanzo cha chakula pamoja na utoaji wa fursa za ajira zaidi ya **75%** ya Watanzania. Kilimo kina uhusiano na sekta zisizo kuwa za kilimo kupitia uhusiano wa usafishaji kwenda kwenye usindikaji wa mazao ya kilimo, matumizi na uuzaji nchi za nje;Inatoa malighafi kwa viwanda na soko kwa bidhaa zilizotengenezwa. Tanzania inazalisha takribani **97%** ya mahitaji yake ya chakula. Uzalishaji wa mazao ya chakula unatofautiana mwaka hadi mwaka kutegemea kiasi cha mvua kilichopatikana. Maendeleo ya kilimo yamekuwa chini ya Serikali/fedha za umma kwa kipindi kirefu. Hata hivyo marekebisho ya uchumi kwa jumla yamekuwa na yanaendelea kuwa na matokeo ya muhimu kwenye sekta ya kilimo. Marekebisho ya kiuchumi yamesababisha kufunguka sekta hiyo kwa uwekezaji binafsi katika uzalishaji na usindikaji , uagizaji pembejeo za kutoka nchi za nje na usambazaji na masoko ya kilimo. Serikali imebaki na kazi ya usimamizi na usaidizi wa umma na dhima ya uwezeshaji. Taarifa iliyojumuishwa kwenye sehemu hii itakusaidia mwananchi kuelewa kuhusu upimaji wa udongo na rutuba, uhifadhi, masoko na upangaji wa bei, ulishaji wa mifugo, mbolea na viuatilifu, taratibu bora kwenye kilimo cha kutumia mbolea ya asili, ufugaji wa nondo wa hariri, kilimo cha bustani, ufugaji wa samaki, kilimo cha maua na namna ya kupata mikopo ya kilimo na ruzuku. Kwa taarifa zaidi tembelea Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika **i. Programu ya Maendeleo ya Sekta ya Kilimo Awamu ya Pili (ASDP II)** Mpango huu unalenga kuleta mabadiliko katika sekta ya kilimo (mazao, mifugo na uvuvi) kuongeza uzalishaji, biashara na kipato cha mkulima wa hali ya chini ili kuboresha hali ya maisha, usalama wa chakula na lishe na mchango katika Pato la Taifa. Mkakati wa utekelezaji wa mpango huu ni kuwabadilisha na kuwafanya wakulima wadogo wadogo kulima kibiashara kwa kuimarisha na kuamsha vichochezi vya sekta na kuwawezesha wakulima wadogo kuongeza uzalishaji katika bidhaa lengwa ndani ya mifumo ya uzalishaji endelevu na kuanzisha uhusiano endelevu wa soko kwa ajili ya ushindani wa kibiashara na maendeleo ya mnyororo wa thamani. **ii. AGRI-CONNET** Hii ni programu inayofadhiliwa na Umoja wa nchini za Ulaya inayolenga katika kukuza uchumi, kukuza maendeleo ya sekta binafsi na kutengeneza ajira katika sekta ya kilimo, na kuongeza usalama wa chakula na lishe nchini.https://www.kilimo.go.tz/programmes/view/agri-connect iii.Building a Better Tommorow Huduma za ugani ni muhimu sana katika kusaidia kupunguza umaskini vijijini na ushindani wa soko kwa ajili ya kilimo cha biashara katika soko la ndani na soko la kimataifa. Huwawezesha wakulima kuongeza mazao na tija kwa upataji taarifa ya huduma za masoko na huduma nyingine za msaada muhimu kwa maendeleo ya kilimo. Mageuzi ya huduma za ugani za kilimo ni muhimu ili kutoa zana sahihi, maarifa na stadi pamoja na kuhakikisha kuwa wakulima wanafuata Kanuni Bora za Kilimo. Mahitaji ya Taifa ya maofisa ugani ni 15,082 ili waweze kuhudumia wakulima katika kila kata na kijiji kwa kuleta ufanisi na tija. Mpaka sasa wapo maofisa ugani 7,974 ambao ni takribani 50% ya jumla ya mahitaji. Juhudi ziko mbioni kuwafunza na kuwapangia wafanyakazi wanaohitajika Tasnia ya kilimo cha bustani ina umuhimu mkubwa kwa uchumi wa sekta ya kilimo. Kwa taarifa zaidi tembelea https://www.kilimo.go.tz/resources/view/mkakati-wa-kuendeleza-horticulture USIMAMIZI NA MIPANGO YA MATUMIZI YA ARDHI YA KILIMO Wizara ya Kilimo kupitia Idara ya Usimamizi na Mipango ya Matumizi ya Ardhi ya Kilimo inatoa huduma mbalimbali kama zifuatavyo:-https://www.kilimo.go.tz/resources/view/usimamizi-na-mipango-ya-matumizi-ya-ardhi-ya-kilimo
https://www.tanzania.go.tz/topics/minerals
null
null
null
null
null
null
The Ministry of Minerals (MoM) was established under the Presidential Order published GN No.143 dated on 22ndApril, 2016.The Ministry is mandated to formulate and monitor the implementation of mining policies; mines, geophysical and Geological Survey; Mining Commission affairs; value addition in mining industry; local content in mining industry; Small Scale Mining Development; performance improvement and development of the human resource. The Ministry is also mandated to monitor extra ministerial department’s performance, Parastatals Organization, Agencies, and Projects Operating under the Ministry. The Ministry has five institutions under it. i) The Mining Commission; ii) The Geological Survey of Tanzania (GST); iii) The State Mining Corporation (STAMICO); iv) Tanzania Extractive Industries Transparency Initiative (TEITI) and; v) Tanzania Gemological Centre (TGC). Katika mwaka 2023/2024, Wizara ya Madini itatekeleza majukumu yake kwa kuzingatia vipaumbele vifuatavyo:- kuimarisha ukusanyaji wa maduhuli na kuongeza mchango wa Sekta ya Madini kwenye Pato la Taifa; Kuendeleza madini muhimu na madini mkakati; kuwaendeleza na kusogeza huduma za ugani kwa wachimbaji wadogo; kuhamasisha shughuli za uongezaji thamani madini; kuhamasisha uwekezaji na biashara katika Sekta ya Madini, uanzishwaji wa minada na maonesho ya madini ya vito; na kuzijengea uwezo taasisi zilizo chini ya Wizara ya Madini ili ziweze kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi zaidi. The mining sector is among the leading economic sectors in Tanzania, currently contributing over 5.2 per cent to the Gross Domestic Product (GDP), with a growth rate of 17.7 percent as of the 2019/2020 data. It is the fastest-growing sector in Tanzania, followed by the construction industry. Among the factor that make Tanzania among countries benefiting from the mining economy, is its conducive geological environment. Tanzania boasts various geological environments that cover the entire Chrono-stratigraphic units known worldwide from Achaean through Proterozoic, quaternary to present.The country geology with all its chrono-stratigraphical units is potential for all types of mineralization. Hence, the country is endowed with diverse mineral resources ranging from gold, iron ore, nickel, basemetals, rare earth minerals, gemstones and industrial minerals. **There are four classified geology and mineral potentials in Tanzania.;** **i) The Dodoma supergroup** This is the high-grade metamorphic terrain located in the central Tanzania, rich in gold deposits for commercial interest in Madengi Hills and Nholi gold deposits and Nyakavangala Mafulungu - Sim-banguru, Mazoka - Undewa. **ii) The Nyanzian Greenstone** This classified geology and mineral potential is in the northern part of Tanzania. The main mineral found in Nyanzian Greenstones is gold with world-class mines of Geita, Bulyanhulu, Buzwagi, Tulawaka, and North Mara and Resolute. Other accessory minerals found in Nyanzian Greenstones include; copper and silver associated with gold deposits of Bulyanhulu and Buzwagi. Also, in the Nyanzian greenstones, Nickel Deposit was found at Dutwa in Simuyu region; Copper Deposit at Ibaga and Platinum Group Metals found in Mara Region. There are plenty of aggregates and dimension stones, such as suitable pink granites found between Biharamulo and Chato. Apart from that, other projects in the Nyanzian Greenstone with indicated resources are such as Golden Ridge, which has 770,000 ounces of gold, Nyanzaga with 4,599,000 Ounces of gold, Nyakaf-Uru with 388,000 ounces of gold Reserves and 899,000 ounces of old of Resources. Also, there is Buckkeef/Rwamagaza which has 1,150,000 Oz of Resources, Kitongo– Mwamazengo has 479,000 Ounces, Sambaru - Londoni (Shanta) has 858,000ounses, Miyabi has 736,000 ounces of Resources, Ikungu has 185,000 ounces, and Chocolate Reef has 1,300,000 ounces. **iii) The Paleoproterozoic (Ubendian and Usagarian)** The Paleoproterozoic Mobile Belt ages < 2500 to 1750 Ma, consisting of high-grade metamorphic rocks mainly of the almandine amphibolites facies to granulite facies, locally with eclogite facies) and some of its parts contain re-worked Archaean rocks. Mineral reserves found in the Paleoproterozoic Belts of Tanzania are Gemstones in skarn and hy-drothermal origin forming the Emeralds of Sumbawanga. There is Gold in Mpanda shear zones at Mukwamba, Sikitiko - Kapapa, D-Reef, Ibindi and Kapanda together with Lead Copper deposits in the Mukwamba shear zones; Copper in Kapalamsenga; Gold in Lupa Shear Zones at Luika, Saza, Ntumbi, Matundas and Sangambi. There Gold– Copper hostsalso in Ludewa, at Nkomang’ombe and Amani. The belt has Manganese in Kabulwanywele, located at Kilimakya Nkole and Manyoro; Iron ore and base-metals in mafic rocks located at Liganga in the Livingstone Mountains and Iron ore in Chert located at Itewe. the Dimension stones (marble and granites) and other Industrial minerals. **iv) Gondwanide Terrains** The Gondwanaide terrains is aged 500 to 180 Ma and sub-divided into two parts, the post-Pan-African Palaeozoic platform sediments and the Karoo event of late Carboniferous to Triassic. Karoo Sediments of Late Carboniferous and Lower Jurassic are rift sediments deposited in basins developed during the initial phase of fragmentation of Gondwana. Mineralization in the terrains includes the main host of Coal deposits and the newly discovered Uranium Deposits at Mkuju (35.9 million lbs). Coal reserves in Tanzania are found in the following areas: Mchuchuma with indicated ore of 536 million tons; Ketewaka has indicated ore of 291 million tons; Songwe – Kiwira – Ivogo – Kabulo has indicated ore of 595 million tons; Mbalawala “Ngaka” has indicated ore of 250 million tones, Mbuyura – Mkapa “ Ngaka” has indicated ore of 162 million tons; Rukwa (Galula – Nkomolo – Namwele - Muze) has inferred ore of 70 million tons; Mhukuru has inferred ore of 27 million tons; Mbamba Bay has inferred ore of 28 million tons; and Njuga has inferred ore of 23 million tons. **v) Pre-Rift Gondwanaland Break- Up Events (Jurassic – Paleogene) ** The Jurassic – Paleogene and Neogene – Quaternary Deposits are rich in firstly, Sediments. Sediments are rich of fluvial red beds Deposition in the hinterland, Initial deposition of marine deposits along the cost (Coral Limestone for cement factories in Mtwara, Tanga and Dar es Salaam); Mandawa Gypsum Deposits; and Beach sand with Heavy Mineral Sands. Secondly are Intrusive Rocks these are Partial intra – Cratonic rift associated with Carbonatite and Kimberlite Intrusions. Weathering on the Peneplanes. This type of rocks found in; Bauxite (Usambara – Pare Mountains); and Kaolin (Matamba Plateau, Uwemba, Usambara - Pare Mountains, Pugu); and Other clays (Ochre, Poultry Clays, Meerschaum, Bentonite). Thirdly are Hydrocarbons There are reservoirs for hydro-carbon deposits along the whole coast of Tanzania. **A. Carbonatite Deposits** Carbonatites are deposits mostly Cretaceous except for Ngualla, which is Proterozoic. These deposits are in Arusha (Oldonyo Lengai and Kerimasi), Mbulu (Oldonyo Dili and Galapo), Morogoro (Wigu Hill, Majiya Weta, Luhombero and Zizi), Mbeya (Ngualla, Panda Hill, Songwe Scarp, Musensi and Senjeri Hill), Karema (Sangu - Ikola), Malawi Border (Nachendezwaya). Carbonatite minerals are Phosphate – apatite, Barite, REE, Fluorite and Niobium. **B. Kimberlite Intrusions (Home of Diamonds)** Mwadui Kimberlite is divided into two main resources as follows: • Indicated Resources - the ore is 69.3 million tons; diamonds present are 3.58 million carats with grade 5.17 carats/hundred tons; and • Inferred Resources - ore is 962.9 million tons, diamonds present are 35.13 million carats with a grade of 3.63 carats/hundred tons. Other Kimberlite Intrusions (Diamond Occurrences) in Tanzania **Tanzanite** is a unique gemstone that is 1000 times rarer than diamonds. The gemstone is a blue variety of zoisite composed of hydrous calcium aluminium silicate with an orthorhombic crystal habit. The rare gemstone is found at only one locality in the world, at Mirerani hills in Simanjiro District, Manyara Region, Tanzania. It takes only 15 minutes to drive from Kilimanjaro International Airport and one to one and a half hours from Moshi and Arusha town. However, Mirerani is said to originate from Mirera trees found in the Mirerani Hills. Tanzanite is a pleochroic gem. Pleochroism is a physical property in which the material appears to be different colours when viewed from different crystallographic directions or angles. Some tanzanite specimens can be a distinct blue when viewed from one direction, and vary from violet to burgundy or maroon when viewed from other directions.This gemstone’s age is estimated to be about 600 million years in geological time scales. It was discovered in 1967 by the Late Jumanne Mhero Ngoma. On April 6, 2018, the Government of the United Republic of Tanzania officially recognised Mzee Ngoma as the discoverer of the tanzanite gemstone.There are approximately 840 mining licenses at Mirerani, of which 250 are currently mined. The mines at Mirerani are divided into five blocks: Block A, B, C, D and D-extension. The blocks are subdivided to ensure proper distinction, identification, and monitoring of the mines around the area. All mines in Mirerani are surrounded by the popularly known Magufuli Wall of 24.5 kilometres long and three meters high. The wall is juxtaposed with Mirerani Controlled Area Regulations, 2018, which significantly helped control the smuggling of the gem. The wall was also intended to strengthen the conducive environment for tanzanite trade and benefit the country from levies and taxes. Since the Magufuli Wall’s construction, the nation has witnessed a number of positive out-comes from the rare gemstone one among them are the increase in government revenue from small scale miners at Mirerani raised to 2.15 billion in 2019 from 166 million in 2018. Nevertheless, recently Tanzania witnessed an extraordinary three (3) rare big sized gemstones that have never happened in the history of tanzanite in the country. The big pieces were mined by a Tanzanian smallscale miner Saniniu Kurian Laizer. The biggest stone weighed 9.27 kgs worth 4.3 billion shillings, second with 6.33kgs and valued at 4.8 billion shillings. The third piece weighed 5.103 kg attracting 3.375 billion shillings. All these symbolise the magnitude and significance of the “Magufuli Wall”. Talking about security at Mirerani, the place is enhanced with about 306 CCTV cameras throughout the wall perimeter recording incidents in all weather conditions. The purpose is to detect objects and people entering the controlled area, storing permanent information, noticing those who intend to commit crimes, and track incidents. However, Tanzanite business at Mirerani is progressing well and equipped with all the required necessities for business conveniences with The Mirerani One-Stop Center’s construction. The centre includes Tanzanite Valuation Amenities. As a country, we still call upon investors to invest in adding value to tanzanite and other gemstones by investing in cutting and polishing industries in Tanzania. Opportunities in this area are bountiful and so encourage everyone to invest in the Value Addition Industry. Generally, following its uniqueness, Tanzania plans to establish a Tanzanite Mineral Museum at the Mirerani area to provide opportunities for people from various parts of the world to visit the mineral’s place of origin. Have a Tanzanite experience and the whole chain of Tanzanite mining and value addition. The goal is to give to the world a heritage feeling of the unique wealth that only Tanzania is endowed with. On top of that, tanzanite was designated as a modern birthstone for December in 2002. Tanzanite is named December birthstone together with zircon and turquoise. December’s birthstones offer three ways to fight the winter blues; all of them, appropriately as best known for best shades of blue.
https://www.tanzania.go.tz/topics/disabled
null
null
null
null
null
null
Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum iliundwa tarehe 8 Januari, 2022 lililotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Uundwaji wa Wizara hii ulitokana na uamuzi wa Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wa kutenganisha iliyokuwa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na kuunda Wizara zinazojitegemea kulingana na majukumu yake. Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ina Idara saba (7), Vitengo sita (6), Taasisi na Vituo vya Ustawi kama ifuatavyo:- ** Idara za Kiutendaji** ** Idara Wezeshi** ** Vitengo ** ** Taasisi Zinazosimamiwa na Wizara** Taasisi mbili zinazojitegemea zilizo chini ya Wizara ni:- **Taasisi Nyingine Zilizo chini ya Wizara** Wizara inasimamia Taasisi zinazowajibika moja kwa moja kwa Katibu Mkuu katika utekelezaji wa majukumu yake. Taasisi hizo zinatoa elimu kuhusu maendeleo ya jamii na ustawi wa jamii pamoja na huduma za ustawi wa jamii. Taasisi hizo ni:- ** Vyuo nane vya Maendeleo ya Jamii; ** DIRA Kuwa mstari wa mbele katika kuleta mabadiliko chanya kijamii, kiuchumi na kiutamaduni. DHIMA Kukuza maendeleo ya jamii, usawa wa jinsia, haki za wazee na watoto, ustawi wa jamii na ushiriki bora wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali katika utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni, Mikakati na Miongozo mbalimbali*. https://www.jamii.go.tz/pages/historical-background* | | | | | 1 | KIKOMBO NATIONAL CHILDRE’S HOME | DODOMA | | 2 | KURASINI NATIONAL CHILDRE’S HOME | DAR ES SALAAM | | 3 | ILONGA CHILDRE’S HOME | MOROGORO | | 4 | TEMEKE JUVINILE COURT | DAR ES SALAAM | | 5 | KISUTU JUVINILE COURT | DAR ES SALAAM | | 6 | MBEYA JUVINILE COURT | MBEYA | | 7 | UPANGA RETENTION HOME | DAR ES SALAAM | | 8 | ARUSHA RENTATION HOME | ARUSHA | | 9 | MTWARA RENTATION HOME | MTWARA | | 10 | MBEYA RENTATION HOME | MBEYA | | 11 | KILIMANJARO RENTATION HOME | KILIMANJARO | | 12 | TANGA RENTATION HOME | TANGA | | 13 | IRAMBO APPROVED SCHOOL | MBEYA | | 14 | NUNGE ELDERLY HOME | DAR ES SALAAM | | 15 | BUKUMBI ELDERLY HOME | MWANZA | | 16 | FUNGAFUNGA ELDERLY HOME | MOROGORO | | 17 | SUKAMAHELA ELDERLY HOME | SINGIDA | | 18 | IPULI ELDERLY HOME | TABORA | | 19 | KOLANDOTO ELDERLY HOME | SHINYANGA | | 20 | KILIMA ELDERLY HOME | KAGERA | | 21 | MISUFINI ELDERLY HOME | TANGA | | 22 | MWANZAGE ELDERLY HOME | TANGA | | 23 | LITETE MINGOYO ELDERLY HOME | LINDI | | 24 | NYABANGE ELDERLY HOME | MARA | | 25 | KIBIRIZI ELDERLY HOME | KIGOMA | | 26 | MAGUGU ELDERLY HOME | MANYARA | | 27 | NJORO ELDERLY HOME | KILIMANJARO | | 28 | CHAZI ELDERLY HOME | MOROGORO | | 29 | NANDANGA ELDERLY HOME | LINDI | Miongozo ya Mabaraza ya Watoto na uanzishwaji wa Madawati ya Watoto katika Shule za Msingi na Sekondari imezinduliwa Siku ya Mtoto wa Afrika ikiwa ni hatua muhimu katika kukabiliana na kadhia ya ukatili kwa kundi hilo ndani ya jamii. Kuzinduliwa kwa miongozo hiyo ni hatua muhimu katika kusukuma ajenda ya kupinga ukatili hususan kwa kundi hilo la watoto. Watoto nchini wamekuwa wakipitia ukatili mbalimbali ikiwemo wa mitandaoni, hivyo Serikali kwa kushirikiana na wadau na imeandaa miongozo kwa Wanafunzi, Walimu pamoja na Wazazi ili iwe msaada katika malezi na makuzi ya watoto wetu” alisema Dkt. Gwajima. Serikali kupitia Sera ya Maendeleo ya Mtoto ya mwaka 2008 inatambua Haki tano (5) za Msingi za Mtoto ambazo ni Haki ya Kuishi, Kulindwa, Kuendelezwa, Kushiriki na haki ya Kutobaguliwa hivyo kuzinduliwa kwa mongozo ni chachu ya kuongeza mapambano ya kumlinda Mtoto. Miongozo hiyo itapelekwa kwenye Shule za Msingi na Sekondari pamoja na Vyuo vya kati, kwenye Madawati ya ulinzi wa Mtoto na Mabaraza ya Watoto ambayo yanakwenda kuanzishwa nchi nzima ili iwe ni fursa kwa watoto kujadiliana na kueleza madhila yanayowasibu. Serikali pamoja na Wadau baada ya tafiti zake waliona umefika wakati kwa watoto kupatiwa Miongozo itakayowasaidia uendeshaji wa Mabaraza yao. Wazazi na walezi kote nchini wanatakiwa kuwaruhusu watoto kujiunga na kushiriki katika mabaraza ya Watoto ili kutoa fursa kwa wao wenyewe kubainisha changamoto zinazowakabili. Chimbuko la Siku ya Mtoto wa Afrika ni azimio la Umoja wa nchi za Afrika (OAU) la mwaka 1991 lililokuwa na lengo la kuwaenzi Watoto kutoka shule mbalimbali za nchini Afrika Kusini hususani Kitongoji cha Soweto waliouawa kinyama na Polisi wa Serikali ya Makaburu tarehe 16 Juni,1976. Watoto hao wanaokadiriwa kufikia 2000 waliuawa wakati wanaandamana kupinga elimu ya kibaguzi dhidi ya watoto wenye asili ya kizungu.
https://www.tanzania.go.tz/topics/judiciary
null
null
null
null
null
null
Udumishaji wa Sheria na Taratibu ni majukumu makuu ya serikali. Kimsingi ni sababu ya kuwepo kwa Dola/Taifa. Pia ni jiwe la msingi la kudumishia sheria na taratibu katika jamii ya kidemokrasia na yenye uhuru na mpango mkuu wa utawala bora na kutetea Utawala wa Sheria, ambayo ni dhima ya Taasisi za Sekta. Kwa mtazamo, utengaji wa mafungu ya Serikali hufanywa kama kipaumbele cha juu zaidi kutosheleza ugharimiaji wa shughuli na utolewaji wa fedha kwa wakati. Kwa hiyo Serikali ilianzisha mchakato wa PER kwa bajeti za Ofisi ya Mwanasheria wa Serikali, Mahakama, Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Polisi na Magereza.Soma zaidi ujue jinsi ya kudumisha sheria na taratibu. Serikali imezingatia vyema suala la Haki za Binadamu kwa wakazi waliokuwa wanaishi Ngorongoro kisha kuamua kuanza kuondoka kwa hiyari yao kuelekea Kijiji Cha Msomera wilayani Handeni Mkoa wa Tanga. Serikali imezingatia vyema haki za binadamu, imewajengea nyumba wananchi walioamua kuhama kwa hiyari, imewapa maeneo yasiyopungua hekari 3 kila mmoja, imewasafirisha wao na mizigo yao na mifugo wanayomiliki, lakini pia Serikali imewalipa fidia. Imekuwa ni muhimu wadau wa Haki za Binadamu kukutana na kujadili suala la Ngorongoro na Loliondo ili kuhakikisha haki za binadamu zinazingatiwa na kujibu hoja zisizo za kweli zinazosambaa kwa haraka katika mitandao mbalimbali ya kijamii. Kwa upande wa Loliondo, Serikali imewapa wananchi zaidi ya asilimia 62 ya eneo la hifadhi ya Loliondo ili kukidhi mahitaji ya wakazi wa sasa na imebakiwa na kiasi cha Kilomita za mraba 1500 kutoka 4000 za awali. Mawasilisho ya wataalam yameonesha umuhimu wa kuhifadhi maeneo ya Loliondo na Ngorongoro kutokana na sababu za kimazingira na Ikolojia.
https://www.tanzania.go.tz/topics/water
null
null
null
null
null
null
Maji ni muhimu kwa maisha na kudumisha mazingira, na yanatoa mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi wa Tanzania. Maji yanagusa nyanja zote za maisha ikiwemo nyumbani, kilimo, mifugo, uvuvi, viwanda, wanyamapori, nishati, michezo na burudani na shughuli nyingine za kiuchumi na kijamii. Kwa kuzingatia umuhimu wa maji kwa maisha ya watu, Wizara ina mfumo wa kitaasisi kwa ajili ya huduma ya maji, utaratibu wa mifereji ya maji machafu na usafi / udhibiti wa afya, kwa kutenganisha kati ya maji mijini na mifereji ya maji machafu na huduma za maji vijijini. Kwa upande mwingine Wizara ina wajibu wa kufuatilia ubora wa vyanzo vya maji na kushiriki kwenye shughuli zinazohusiana na kudhibiti uchafuzi wa vyanzo vya maji unaofanywa na maabara 17 za ubora wa maji na usimamizi wa Rasilimali za maji unaofanywa na mabonde ya Maji Tisa. www.maji.go.tz Program ya Usambazaji maji mijini ilianzishwa mwaka 1997 kupitia Akaunti Maalum chini ya Sheria ya Hazina na Ukaguzi ya mwaka 1961 kufuatia Sheria ya Miundombinu ya Maji Sura ya 281, Masharti ya Nyongeza ya mwaka 1997 iliyoipa dhamana ya Wizara inayohusika kuanzisha asasi zinazojitegemea zinazoitwa Mamlaka za Maji Safi na Maji Taka Mijini. Kwa lengo la kuimarisha usambazaji wa huduma ya maji na mfumo wa maji machafu Mijini ambako huduma hiyo imekawilishwa kutokana na ongezeko kubwa la watu na kupanuka kwa kaya isiyowiana na mtandao wa maji. Katika Sheria ya Miundombinu ya Maji, Sura ya 281 ya mwaka 1997 (marekebisho) ilianzisha Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Mikoani isipokuwa Mamlaka ya Maji na Mfumo wa Maji Machafu ya Dar es Salaam (DAWASA) inayosambaza maji Dar es Salaam, Kibaha, na Bagamoyo iliyoanzishwa tarehe 1 Januari, mwaka 1998, Mamlaka nyingine iliyoanzishwa baadaye ni Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka ya Babati, mwaka 2003. Maelezo zaidi bofya HAPA RUWASA ni ufupisho wa *Rural Water Supply and Sanitation Agency*. Ni Wakala ya Usambazaji Maji na Usafi na Mazingira Vijijini iliyoanzishwa kwa Sheria Na. 5 ya Huduma za Maji na Usafi wa Mazingira ya Mwaka 2019. RUWASA imeanza kazi mwezi Julai, 2019. Bofya HAPA kupata maelezo zaidi Wizara ya Maji kupitia Idara ya Ubora wa Maji ina wajibu wa kufuatilia ubora wa vyanzo vya maji na kushiriki katika shughuli zinazohusu udhibiti wa uchafuzi wa vyanzo vya maji. Idara hiyo ina mtandao wa maabara 17 za ubora wa maji nchini. Maabara hizi zipo Arusha, Bukoba, Dar es Salaam, Dodoma, Iringa, Kigoma, Mbeya, Morogoro, Mtwara, Mwanza, Musoma, Singida, Shinyanga, Songea, Sumbawanga , Manyara na Tanga. Idara hiyo pia inafanya uchambuzi wa Kemikali za kutibu maji ili kubaini ubora wake kama unatimiza viwango. Sehemu hii inakupa mawasiliano muhimu ya maabara za maji zilizotajwa hapo juu zilizopo nchini kwa ajili ya kupima ubora wa maji. Maabara ya Ubora wa Maji bofya HAPA Wakala ya Kuchimba Visima na Kujenga Mabwawa-(DDCA) ni wakala ya serikali iliyoanzishwa kwa mujibu wa Sheria ya Wakala za Serikali Nam. 30 ya mwka 1997. DDCA inafanya kazi chini ya Wizara ya majina ilizinduliwa tarehe 26, Mach, 1999. Wakala hii inatoa huduma za upembuzi wakinifu, usanifu na ujenzi wa mabwawa, usanifu na ujenzi wa mifumo ya usambazaji maji, usanifu na uchimbaji wa visima vya kina kirefu. Pia inatoa ushauri wa kiufundi na ushauri mwingine wowote kwa uendelevu wa mradi. DDCA ina ofisi 5 za kanda nchini kote, ambazo ni kanda ya mashariki, kanda ya magharibi zenye makao yake makuu Dar es Salaam, Dodoma, Arusha, Mwanza na Sumbawanga, kwa mfuatano huo. Kwa taarifa zaidi, tembelea tovuti ya. Usimamizi wa Rasilimali za Maji unafanywa na Ofisi za Bodi za Maji za Mabonde ambazo kwa Tanzania yako Mabonde Tisa. Maelezo zaidi Bofya HAPA Majukumu yake ni kusimamia na kufuatilia wingi na ubora wa rasilimali za maji pamoja na usalama wa mabwawa. Vilevile, kukusanya takwimu za kihaidrolojia pamoja na za matumizi ya maji; kuandaa ramani za kihaidrolojia, kuandaa vibali vya matumizi ya maji; ukaguzi wa vyanzo vya maji na kuweka mipango ya utafiti wa vyanzo vya maji pamoja na usimamizi wa mazingira ya vyanzo vya maji na kutoa msaada wa kiufundi na elimu ya uhamasishaji juu ya ujenzi wa visima, uhandisi wa masuala ya maji, usimamizi wa maeneo ya matukio na matumizi sahihi ya vyanzo vya maji. Kwa Maelezo zaidi bofya HAPA Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) ni mamlaka inayojiendesha ya udhibiti wa sekta mbalimbali iliyoanzishwa kwa Sheria ya EWURA Sura ya 414-2006 ya sheria za Tanzania na marekebisho yake Sheria ya EWURA - R.E 2006, Marekebisho ya Sheria Na. 16 ya 2007, Marekebisho Sheria namba 13 ya mwaka 2008, marekebisho namba 6 ya mwaka 2019 na marekebisho namba 5 ya mwaka 2022. Kwa maelezo zaidi bofya HAPA
https://www.tanzania.go.tz/topics/natural-resources-and-tourism
null
null
null
null
null
null
Sekta ya Utalii nchini Tanzania ni moja ya sekta muhimu inayotoa mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi. Tanzania imebarikiwa kuwa na vivutio vingi vya asili kama vile mandhari za kuvutia, maeneo ya kihistoria na ya kiakiolojia, hifadhi zenye wanyamapori wengi na baionuai mbalimbali, fukwe zisizochafuliwa na wingi wa utamaduni wa makabila 158. Nyanda za juu za kusini na kaskazini zina safu nyingi za milima ya kuvutia hasa yenye urefu wa kati ya mita 500 mpaka mita 1000 katika maeneo yaliyoizunguka. Mlima Kilimanjaro wenye urefu wa mita 5,895 na Meru mita 4,500 inayopatikana kaskazini mashariki mwa Tanzania ni milima iliyotokana na milipuko ya volkano miaka mingi iliyopita, yenye. Mwambao wa bahari una urefu wa zaidi ya kilomita 804 pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba (ambavyo kwa pamoja vinaunda Zanzibar) na kisiwa cha Mafia. Visiwa hivyo vina mkusanyiko wa vivutio vya asili, utamaduni, historia na akiolojia. Maliasili nyingine ni pamoja na Ziwa Viktoria, ziwa la pili kwa ukubwa duniani na chanzo cha mto Nile. Sehemu hii inatoa taarifa kuhusu maeneo ya vivutio vya utalii ambayo wananchi wanapenda kuyatembelea yakihusisha maeneo ya hifadhi za wanyamapori, misitu ya asili, mapori ya akiba, utalii wa asili, makampuni ya utalii, jinsi ya kupanga safari kuja Tanzania, huduma za malazi, vyama vya kitalii na taarifa kuhusu safari za ndege. One of the most important benefits of Tour Operators is that they have an intimate knowledge of the country and the activities you want to partake in. It is with many years of experience in compiling and conducting tours that they have come to know a country like the back of their hands, which means you get to see and experience the very best in terms of attractions, culture and beauty. Our Tour Operators are one stop tourism shop that can add immense value to your holiday by providing you with all the services you require under one roof. Be it transfers, transportation, flights, carhire, ferries, trains, exclusive activities, tour guides, day tours, advice or any tourism related matter. A tour operator will be able to assist, making the holiday planning process that much simpler. We offers visitors a number of tourism products that gives them an opportunity to experience nature in many fascinating ways. These products are wilderness walks, cycling, Mountain climbing, Boat excursion, Chimpanzee trucking/viewing, Chimpanzee habituation experience, Canoeing/ Kayaking, Night game drive, day game drive, Canopy walks, Sports fishing, Paragliding, Mawenzi technical climbing, Mt Kilimanjaro crater camping, Balloon safaris and Horse back riding to mention a few. Also when visiting our parks, you have an opportunity to enhance your wild experience by enjoying a wilderness walk. This will take you out of your vehicle and allow you to stretch close to nature. Our parks have areas for short walks as well as long walks. Ni shirika mwavuli linalowakilisha sekta za biashara binafsi zinazohusika na usafiri na utalii. TCT inafanya kazi kuhakikisha kuwa kupitia uwakilishi katika ngazi ya taifa, sera pana na mikakati inaridhiwa kwa ajili ya uendelezaji na udumishaji wa mazingira ambapo utalii wa kimataifa na wa ndani utakua na ustawi wa sekta ya biashara utaweza kufikia ukuaji wenye mafanikio na maendeleo wakati huohuo hulinda urithi wa utamaduni na maliasili wa Tanzania. Kwa maelezo zaidi tembelea Tovuti ya TCT. Tanzania is one of the top destinations in Africa, you can find wonderful sites, attractions, and more wildlife experiences. As the largest country in East Africa, Tanzania has a lot to offer visitors. It is best known for its expansive areas of wilderness and amazing wildlife, making it the ideal place to go on a safari. For more please visit Things to Do These are facilities which provide accommodation services to various guests/tourists visiting the parks. The facilities are either park or privately owned. For more please visit Accommodation Listing
https://www.tanzania.go.tz/topics/environment
null
null
null
null
null
null
Nchi ya Tanzania imejaliwa kuwa na ukanda mrefu wa pwani wa takribani kilomita **1,450 **na Ukanda wa Kiuchumi wa Kipekee unaofikia kilomita za mraba **223,000**. Eneo la maji linalochukua kilomita za mraba **64,000**, hivyo kuifanya nchi kuwa tajiri kwa bionuai pamoja na uwezo mkubwa wa uchumi wa buluu ambao unasaidia, maisha ya mamilioni ya watu ikiwa ni pamoja na usalama wa chakula na njia ya usafiri. Licha ya Bahari kuchangia zaidi ya asilimia 50 ya Oksijeni duniani pamoja na kuwa chanzo cha ajira kwa watu zaidi ya milioni 60 na chanzo kikuu cha maisha kwa mabilioni ya watu lakini bado changamoto za uharibifu wa ikolojia ya bahari zimeendelea kuwepo ambazo zinahatarisha mfumo mkubwa wa ikolojia duniani pamoja na maisha ya watu waliowengi. Mataifa yanatakiwa kuimarisha matumizi endelevu ya rasilimali za bahari kwa manufaa ya kiuchumi kwa nchi zote ikiwa ni pamoja na kuunganisha nguvu za pamoja ,kuwekeza katika teknolojia za kibunifu pamoja na tafiti. Ni muhimu kuwashirikisha moja kwa moja makundi ya kijamii ikiwemo wanawake, vijana na jamii inayotumia bahari ili kudhibiti matumizi yasiosahihi ya bahari na rasilimali zake. Ili kufikia maendeleo endelevu ya Uchumi wa Buluu inapaswa kuzingatia hali ya kijamii, kiuchumi na kimazingira wakati wa matumizi ya rasimali za bahari kama vile ongezeko la idadi ya watu ulimwenguni, kuongezeka kwa matumizi na hitaji la vyanzo vipya vya chakula, nishati na madini. Tanzania itaendelea kusimamia, kulinda, kuhifadhi na kurejesha mifumo ikolojia ya bahari , ikiwa ni pamoja na kutenga asilimia 6.5 ya sehemu ya bahari ya Hindi kuwa Maeneo Tengefu ya Bahari, kudhibiti uvuvi haramu kwa karibu asilimia 99 pamoja na kuimarisha usimamizi na ufuatiliaji wa shughuli za uvuvi wa bahari kuu. Maji ni rasilimali muhimu katika kila nyanja ya maisha na maendeleo ya mwanadamu na taifa kwa ujumla. Hali hii inasababisha mataifa yetu kutaka kuwa na uhakika wa upatikanaji wa maji ya kutosha. Kutokana na umuhimu wa kipekee wa rasilimali maji, usimamizi wa rasilimali hii ya pamoja (shared water resouce) unahitaji umakini, utashi mkubwa na kuaminiana katika kutafuta namna bora ya matumizi yake, ambapo kinyume na hilo, tunaweza sababisha migogoro baina yetu. Katika bara la Afrika, vita na migogoro kadhaa imekuwa ikijitokeza kutokana na kugombania rasilimali ikiwemo rasilimali maji. Hii imesababisha wengi kujiuliza endapo rasilimali hizi ni laana au faida kwa bara la Afrika. Hata hivyo, yafaa kukumbuka kwamba kuna mabara mengine ambayo yameweza kutumia rasilimali ikijumuisha rasilimali za pamoja kama mito kuwa chanzo cha amani na maendeleo! Hii ina maana kuwa, ushirikiano kwenye matumizi ya rasilimali za pamoja unawezekana. Inabidi tuendelee kudumisha na kuendeleza umoja wetu katika usimamizi, uendelezaji na matumizi endelevu kwa faida yetu sote. Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira ina dhamana kubwa ya kuhakikisha Tanzania inakuwa ya kijani na yenye mazingira safi. Ingawa maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya bustani za kupumzikia (green parks) tayari yamevamiwa na wananchi wamejenga. Sheria ndogondogo kuhusiana na suala zima la hifadhi na usimamizi wa mazingira inabidi ziwekwe bayana na kusimamiwa ipasavyo ikiwa ni pamoja na faini na adhabu mbalimbali zitakazohusika. Zoezi la kutunza mazingira kwa ajili ya maendeleo ni zoezi shirikishi linalohusisha jitihada za pamoja kutoka Serikali Kuu, serikali za mitaa, taasisi za Serikali na zisizo za kiserikali; Sekta Binafsi; wadau wengine na jamii nzima, kuanzia mijini hadi vijijini zote kwa pamoja. Wizara na taasisi zote za Serikali zinatakiwa kupanda miti na kutunza mazingira katika maeneo yao yanayowazunguka. Zoezi hili linapaswa kufanyika katika kila kaya; shule zote kuanzia msingi hadi vyuo vikuu; kwenye maeneo ya taasisi za dini kote nchini; kwenye maeneo yanayomilikiwa na taasisi binafsi kama vile vituo vya kuuza mafuta; na pia kwenye maeneo ya viwanda. Aidha, Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) na Wakala wa Barabara vijijini (TARURA) pia wanatakiwa kuhakikisha wakandarasi wanapanda miti na maua pembezoni mwa eneo la akiba la barabara (road reserve) kwa kila barabara mpya inayojengwa pia uwekaji wa taa za barabarani na barabara za watembea kwa miguu. Vyombo vya ulinzi na usalama vinatakiwa kuhakikisha upandaji wa miti na utunzaji wa mazingira katika maeneo yote nchini. Vyombo vya ulinzi na usalama vinatakiwa kuwa mfano bora katika uhifadhi na usimamizi wa mazingira katika maeneo yanayowazunguka ikiwa ni pamoja na barabara kuu zinazopita pembeni au ndani ya Kambi. Vitendo vingi vinavyosababisha uharibifu wa mazingira nchini vinafanywa bila kujali athari zake katika jamii . Vitendo hivi ni pamoja na ukataji wa miti hovyo; uvamizi na uharibifu wa mapori tengefu; uvamizi na uharibifu wa vyanzo vya maji pamoja na uchomaji moto misitu. Halmashauri za Miji, Serikali za vijiji na mitaa kote nchini zinatakiwa kuweka mikakati ya kukomesha uchomaji moto ovyo na kuhakikisha wanarejesha misitu, ikolojia na uoto wa asili katika maeneo ambayo miti ya asili iko kwenye tishio la kutoweka. Serikali inatambua mchango wa Sekta binafsi, mashirika yasiyo ya kiserikali pamoja na washirika wa maendeleo na nchi rafiki katika kuunga mkono juhudi za Serikali kwenye suala la kuhifadhi mazingira. Viwanda nchini, vinapaswa kuendelea kuzingatia misingi ya uzalishaji endelevu, matumizi ya mbinu bora za uzalishaji na teknolojia rafiki kwa mazingira. Vilevile, kuongeza juhudi hasa katika kuhamasisha, kukuza uelewa na kujenga uwezo wa jamii na taasisi mbalimbali kupambana na uchafuzi wa mazingira kwa kupitia wataalam, teknolojia na rasilimali fedha. Bonyeza hapo chini kupata Sheria ya Usimamizi wa Mazingira ya Mwaka 2004
https://www.tanzania.go.tz/topics/livestock-and-fishing
null
null
null
null
null
null
Hivi karibuni Serikali imezindua mwongozo wa utoaji wa chanjo dhidi ya magonjwa ya mifugo nchini, wenye lengo la kuhakikisha sekta binafsi na umma zinajua haki na wajibu katika zoezi zima la utoaji wa chanjo na kuhakikisha afya ya mnyama inabaki salama. Ili kuhakikisha mwongozo wa utoaji wa chanjo dhidi ya magonjwa ya mifugo nchini, unakuwa na tija kwa taifa ni lazima kuwepo kwa haki na wajibu kwa wadau wote wa mifugo kuelewa vyema haki na wajibu huo katika katika kuboresha afya ya mifugo. Mwongozo huo umeshirikisha wadau zaidi ya thelathini wakati wa kuundaa na Wizara ya Mifugo na Uvuvi ipo tayari kupokea maoni ya wadau sehemu ambazo mwongozo utaonekana kuwa na mapungufu ili kuurekebisha na kuufanya uwe bora zaidi. Lengo likiwa ni kuhakikisha afya ya mifugo nchini inalindwa na mfugaji kutopata hasara ya mifugo yake kufa au kupata madhara mengine yoyote baada ya kuchanjwa. Serikali ilisimamisha kwa muda, utoaji wa chanjo unaofanywa na halmashauri nchini kupitia kampuni walizoingia nazo mikataba, baada ya kubaini chanjo kutolewa kiholela kwa mifugo bila kuwepo utaratibu sahihi na kusababisha madhara kwa mifugo na hasara kwa mfugaji. Wizara ya Mifugo na Uvuvi, mamlaka za serikali za mitaa, watoa huduma za afya ya mifugo na sekretarieti za mikoa wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyopo kwenye mwongozo wa utoaji wa chanjo dhidi ya magonjwa ya mifugo nchini na kutoa maoni au kuuliza maswali sehemu ambazo zitakuwa na utata ili kuhakikisha mwongozo huo unatekelezwa kama ambavyo umezingatiwa kwa ajili ya kudhibiti magonjwa ya mifugo nchini. Serikali bado inahakikisha inafanya jitihada mbalimbali za kupata masoko zaidi ya mazao ya mifugo yenye ubora ambayo yanachochewa na uwepo wa chanjo bora na mifugo kupatiwa chanjo hiyo kwa njia sahihi. Ziwa Tanganyika huchangia takribani asilimia 19 ya samaki wote wanaozalishwa nchini ambapo kwa mujibu wa takwimu za mwaka 2021 ziwa hilo lilizalisha tani 90,743 zenye thamani ya shilingi bilioni 592.5. Uvuaji wa samaki wachanga katika ziwa hilo kwa upande wa Tanzania unasababisha upotevu wa zaidi ya dola 690,000 za Marekani kila mwaka huku nchi ya Zambia ikipoteza zaidi ya dola 1,000,000 za Marekani kutokana na kitendo hicho. Kwa kutambua hivyo, Serikali imezindua kampeni ya kitaifa ya Uelewa kuhusu Mkataba wa kikanda wa Usimamizi wa Uvuvi Endelevu wa ziwa Tanganyika iliyosheheni mikakati mbalimbali ya Ulinzi wa rasilimali za Uvuvi za ziwa Tanganyika. Kampeni hiyo ni miongoni mwa hatua za utekelezaji wa mkataba unaojumuisha nchi zote zinazonufaika na Uvuvi wa Ziwa Tanganyika ambazo ni Tanzania, Burundi, Zambia na Jamhuri ya demokrasia ya Kongo. Miongoni mwa changamoto ambazo zilikuwa zikiikabili sekta ya Uvuvi kwenye mikoa inayopitiwa na ziwa Tanganyika ni utoroshwaji wa rasilimali za uvuvi kwenda nje ya nchi kupitia maeneo ya mipakani na baadhi ya wavuvi kuvamiwa na kuporwa mali zao hivyo mkataba huo utaondoa changamoto hizo. Mkataba huu ni mwongozo wa pamoja baina ya nchi hizi zinazohusika na Ziwa Tanganyika na utasaidia kuweka uelewa wa pamoja kwenye utekelezaji wa kanuni na taratibu zinazopaswa kufuatwa kwa wavuvi waliopo kwenye nchi husika. Wizara imeagiza watalaam wote wa Sekta ya Uvuvi waliopatiwa semina elekezi kuhusu mkataba huo kuhakikisha wanafikisha elimu kwa wavuvi ambao ndio walengwa wa mkataba huo ili wawe na uelewe kabla ya kuanza kuutekeleza. Uzinduzi wa kampeni hiyo hapa nchini umefanyika mara baada ya nchi za Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo, Zambia na Burundi kufanya hivyo kwa lengo la kuunganisha nguvu ya pamoja katika ulinzi wa rasilimali za Uvuvi wa Ziwa Tanganyika na kuufanya uvuvi huo kuwa endelevu. . **Sekta ya Mifugo** **Sekta ya Uvuvi**
https://www.tanzania.go.tz/topics/union-matters
null
null
null
null
null
null
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliundwa tarehe 26 Aprili, 1964. Baada ya Muungano, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa Rais wa Kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheikh Abeid Aman Karume akawa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Rashidi Mfaume Kawawa alikuwa Makamu wa Pili wa Rais wa Tanzania na Kiongozi wa shughuli za Serikali bungeni. Mwaka 1992, Tanzania ilipitisha Mfumo wa Demokrasia ya Vyama Vingi ambao ulihitaji marekebisho makubwa ya Katiba. Marekebisho haya yalihusu suala la Makamu wa Rais na kuanzishwa mfumo wa mgombea mwenza uliowashirikisha mgombea Urais na Makamu wa Rais. Hii ilimaanisha kwamba, Rais wa Zanzibar aliacha kuwa Makamu wa Rais wa Muungano moja kwa moja lakini akawa Mjumbe wa Baraza la Mawaziri la Muungano. Bonyeza chini kusoma Kitabu cha Historia ya Muungano Muungano wa Tanganyika na Zanzibar umekuwepo kutokana na sababu mbalimbali kama vile kuwepo kwa mahusiano ya karibu na ya kihistoria baina ya Tanganyika na Zanzibar katika nyanja mbalimbali kama vile udugu wa damu, biashara, utamaduni, lugha na mahusiano ya karibu kisiasa hususan baina ya vyama vya TANU na ASP. Pia, adhma ya kuwa na Muungano wa Afrika hususan kwa kuanzia na Shirikisho la Afrika Mashariki. Hata kabla ya uhuru wa Tanganyika, Mwalimu Nyerere pamoja na viongozi wengine waliokuwa wakipigania uhuru katika ukanda wa Afrika walikuwa na matarajio ya kuwa na Muungano wa Afrika. Mwalimu Nyerere binafsi alipendelea uwepo Muungano wa Afrika kwa kuanzia na Mashirikisho ya kikanda. Kimsingi zipo sababu mbalimbali zilizosababisha Muungano huu kama vile historia za nchi hizi mbili, ukaribu wa nchi hizi mbili, muingiliano wa kijamii, ushirikiano wa kibiashara, ushirikiano madhubuti na wa muda mrefu wa kisiasa baina ya TANU na ASP, ushirikiano na urafiki wa muda mrefu kati ya watu, viongozi, na wakati wa harakati za utaifa uliopelekea uhuru wa nchi hizo mbili. Msingi wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka **1977 **na Katiba ya Zanzibar ya mwaka **1984** ni Hati za Muungano za mwaka **1964.** Hati za Muungano zilitiwa saini na waasisi wa Muungano tarehe 22 Aprili, 1964, na kupelekea Tanganyika na Zanzibar kuwa dola moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Baada ya Muungano, Mwalimu J. K. Nyerere alikuwa Rais wa kwanza wa Jamhuri ya ya Muungano wa Tanzania na Sheikh Abeid Amani Karume, alikuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. **Aprili 26, 1964** Bunge la Tanganyika lilipitisha Sheria za Muungano.Halikadhalika, Sheria hizi zilithibitishwa na Baraza la Mapinduzi Zanzibar. Sheria hizi za Muungano zilithibitisha Hati za Muungano, zilitaja Rais na Makamu wa Rais, zilitaja Muundo wa Muungano na Katiba ya Muungano. **Aidha, Aprili 27, 1964,** waasisi wa Muungano walibadilishana Hati za Muungano na wajumbe saba wa Baraza la Mapinduzi waliapishwa kuwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ambao ni Sheikh Abeid Amani Karume, Kassim Abdala Hanga, Abdulrahaman Mohamed Babu, Hassan Nassor Moyo, Sheikh Aboud Jumbe, Hasnu Makame na Sheikh Idris Abdul Wakil. Baada ya kuapishwa kuwa Wabunge wakateuliwa kuwa Mawaziri wa Serikali ya Muungano. Hoja zilizopatiwa ufumbuzi katika kikao hicho ni kama ifuatavyo; Hoja nne za Muungano zinazoendelea kutafutiwa ufumbuzi
https://www.tanzania.go.tz/topics/energy
null
null
null
null
null
null
Tanzania inategemewa kuzalisha umeme wa kiasi cha megawati **200** zinazotokana na Jotoardhi kabla ya mwaka 2025.Tanzania ina jumla ya maeneo **52** yanayoweza kutoa nishati ya Jotoardhi ambayo tayari yameshatambuliwa. Aidha, Serikali ina mpango wa kuongeza megawati **1100** zinazotokana na Nishati Jadidifu kabla ya mwaka 2025 na hizo megawati zitatokana na vyanzo mbalimbali kama vile Jotoardhi, Jua na Upepo. Wizara ya Nishati inaweka nguvu kubwa katika kuendeleza vyanzo vya nishati ya Jotoardhi kwa sababu vyanzo hivyo haviishi. Kipindi cha ukame maji yanaweza kupungua, lakini Jotoardhi katika kipindi cha ukame au mvua, mvuke unaotoka chini ya ardhi uko palepale. Baadhi ya nchi kama Kenya ina zaidi ya megawati 1100 zinazotokana na Jotoardhi na Tanzania kutokana na eneo lake kubwa kupitiwa na Bonde la Ufa kuna uwezekano wa kupata umeme mwingi zaidi unaotokana na nishati hiyo. Mkoa wa Mbeya katika eneo la Rungwe ni moja ya sehemu zilizoonekana kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kutoa nishati ya Jotoardhi kwa sababu tawi moja la Bonde la Ufa kuiingia katika eneo hilo na Tawi jingine kuelekea upande wa Malawi, eneo jingine ni la Kiejo-Mbaka ambalo linaweza kuzalisha megawati 60 zinazotokana na Jotoardhi na eneo la Ngozi, ambalo linategemewa kuwa litazalisha megawati 70 zinazotokana na Jotoardhi Serikali imetoa takribani shilingi Bilioni 20 kwa ajili ya uendelezaji wa eneo hilo na wizara imenunua mtambo wa kuchoronga eneo hilo. Wataalam kutoka TGDC na Wahisani wameshirikiana katika kufanya tafiti zote zinazotakiwa katika kuhakikisha kuwa Tanzania inapata umeme kutoka kwenye nishati hiyo Jadidifu. Nishati Jadidifu ni muhimu kwasababu inatoa mchango mkubwa katika kupunguza matumizi ya mkaa hasa katika maeneo ya mjini na vijijini lakini pia inasaidia kuimarisha afya za watu kwakuwa hewa itokanayo na moshi wa matumizi ya mkaa na kuni unamadhara kwa afya ya mtumiaji. Wizara imejipanga kuhakikisha kuwa mwaka huu inazalisha megawati 150 kutoka kwenye vyanzo vya nishati jadidifu kwa maana ya jua na upepo na tayari Serikali imeanza kusaini mikataba na wawekezaji mbalimbali ili kuanza kutekeleza miradi hiyo. Hivi karibuni Serikali ilizindua miradi miwili, mradi wa kwanza ukiwa ni ule unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya lakini unapewa fedha na UN unalenga kuhakikisha kunakuwa na matumizi machache ya kuni na mkaa katika maeneo ya majumbani, na mradi wa pili uliozinduliwa ni mradi unaolenga zaidi kwenye kilimo lakini kwa kutumia umeme jua. Miradi yote hii imelenga katika matumizi sahihi ya nishati jadidifu. Mradi wa nishati mbadala uliojikita kwenye matumizi ya nishati safi ya kupikia,utaanza kutekelezwa katika mikoa ya Dar es Salaam, Pwani,Morogoro, Dodoma na Mwanza ambapo imeelezwa kuwa katika majiji hayo mkaa unatumika kwa kiwango cha juu kulinganisha na mikoa mengine, ambapo mkoa wa Dar es salaam unaongoza kwa matumizi ya mkaa kwa asilimia 50 ya mkaa wote unaotumika nchini.
https://www.tanzania.go.tz/topics/regional-administration
null
null
null
null
null
null
Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Ofisi ya Rais - TAMISEMI) inasimamia utekelezaji wa Sera mbalimbali za Kisekta na Sheria ya Tawala za Mikoa Sura 97, Sheria ya Serikali za Mitaa Mamlaka za Wilaya, Sura 287, Sheria ya Serikali za Mitaa Mamlaka za Miji Sura 288 na Sheria ya Tume ya Utumishi wa Walimu Sura 448. Ofisi ya Rais-TAMISEMI inatekeleza majukumu yake kwa mujibu wa Hati ya Rais ya Mgawanyo wa Majukumu *(Presidentrial Instrument)* Namba. 144 ya tarehe 22 Aprili, 2016. Kimuundo Ofisi ya Rais-TAMISEMI ina Idara Tisa** (9), **Vitengo nane** (8) **na Taasisi Saba** (7)**. Aidha, Ofisi ya Rais TAMISEMI inasimamia utekelezaji wa majukumu katika Mikoa **26,** Wilaya **139,** Halmashauri **184** ambazo kati yake Halmashauri za Majiji ni **6, **Halmashauri za** **Manispaa **20,** Halmashauri za Miji **21** na Halmashauri za Wilaya **137**, Mamlaka za Miji Midogo **71,** Tarafa **570**, Kata **3,956,** Mitaa **4,263,** Vijiji **12,318** na Vitongoji **64,384 **hii ni mpaka 2020**. ** Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia alitoa Notisi ya Mgawanyo wa Kazi za Wizara (Instrument) kupitia Gazeti la Serikali Na. 384 & 385 ya tarehe 7 Mei 2021 na marekebisho yake kupitia GN. Nambari 534 ya tarehe 2 Julai 2021. Katika Hati hiyo, Rais alianzisha Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) ambayo ina jukumu la kutunga na kusimamia utekelezaji wa Sera za Ugatuaji wa Madaraka kwa Umma (D - by - D). Tawala za Mikoa na Tawala za Serikali za Mitaa na Maendeleo ya Miji na Vijiji. Wizara ina jukumu la kusimamia Tawala za Mikoa; Tawala za Serikali za Mitaa; Uratibu wa Huduma za jamii Vijijini na Mijini kama vile Usafiri, Afya, Maji na Usafi wa Mazingira; Tume ya Utumishi wa Walimu; Utambuzi na Maendeleo ya Wajasiriamali na Wafanyabiashara Wadogo; Utambuzi na Maendeleo ya Vipaji; Tawala za ElimuMsingi na Sekondari; Uboreshaji wa utendaji na maendeleo ya rasilimali watu; na Idara za Serikali, Mashirika ya Umma, Wakala, Programu na Miradi iliyo chini ya Ofisi hii. Aidha, majukumu ya Ofisi hii pia yanatokana na yafuatayo:- ``` Majukumu na kazi za Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa zinatokana na majukumu yake. Zifuatazo ni kazi na majukumu ya Ofisi ya Rais TAMISEMI:- ``` Majukumu ya Mamlaka za Serikali za Mitaa ni pamoja na kupanga, kupima, kugawa, kumilikisha na kusimamia uendelezaji wa makazi katika maeneo ya utawala. Utaratibu huu unahitaji ufanisi katika usimamizi na udhibiti wa uendelezaji wa makazi na matumizi mengine. Utaratibu uliopo ni wa kutoa vibali vya kuendeleza maeneo yote yaliyopimwa na Mamlaka za Serikali za Mitaa baada ya kuzingatia masuala muhimu ya uendelezaji kama vile umiliki, matumizi ya Ardhi, upimaji na masharti mengine ya uendelezaji. Hata hivyo, kutokana na kasi kubwa ya ongezeko la watu na mahitaji makubwa ya makazi, Mamlaka za Serikali za Mitaa zimeshindwa kukidhi matakwa ya kupima maeneo ya kutosha ambayo wananchi wanaweza kuendeleza makazi yao kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu zilizopo. Hali hii imefanya majengo mengi kujengwa bila vibali vya ujenzi na mengine kuendelezwa kwenye maeneo yasiyopimwa hivyo kuleta changamoto ya uundaji wa anwani za makazi. Itazingatiwa kuwa utaratibu wa anwani za makazi ulikuwepo siku za nyuma hususani miongo miwili baada ya uhuru na kufifia baadae kutokana na mabadiliko mbalimbali ya kiutawala na kisiasa. Kutokuwepo kwa majina ya barabara, njia na nambari za nyumba ikichangiwa na ukuaji wa maeneo ya mijini, inaleta tatizo kwa sababu huduma nyingi za miji zinaathiriwa zikiwa ni pamoja na huduma za kijamii, kiuchumi na miundombinu. Ili kuondokana na matatizo yaliyoelezwa hapo juu, Wizara zenye dhamana na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa pande zote za Muungano, zilipewa jukumu la kutoa Mwongozo kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini ili ziweze kutoa anwani za makazi kwa wananchi wote.Mwongozo wa Anwani za Makazi Ongezeko la kasi ya ujenzi ni moja ya sababu za Mamlaka za Serikali za Mitaa kuwa na uwezo mdogo wa kupanga, kusimamia na kudhibiti uendelezaji na hivyo kufanya usimamizi wa ukaguzi wa ujenzi wa majengo uwe dhaifu na majengo kuwa na viwango hafifu na kukosa usalama. Ukaguzi wa ujenzi wa majengo haufanyiki inavyotakiwa hivyo, kuathiri ubora wa majengo. Waendelezaji wengi hawatumii ipasavyo ushauri wa kitaalamu na baadhi ya Makampuni yasiyozingatia maadili ya kitaaluma huonyesha majina na ushiriki wao kwenye mabango yenye taarifa za Ujenzi. Wapo pia, wataalam wanao saini kwenye vitabu vya ukaguzi (Inspection books) bila ya kukagua jengo husika kama inavyotakiwa. Mwendelezaji anao mchango mkubwa katika kufikia ubora wa jengo uliokusudiwa. Vile vile, ni wajibu wake kuzingatia maelekezo yote yaliyomo kwenye Kibali cha Ujenzi kilichotolewa. Iwapo atamwaajiri mtaalamu mshauri na mkandarasi mahiri na mwaminifu,itarahisisha kazi ya ukaguzi. Kumekuwepo na udhaifu kwenye usimamizi unaosababishwa na waendelezaji kuajiri wataalamu washauri wasio na sifa na baadhi yao kutotembelea maeneo ya Ujenzi kufanya ukaguzi. Hivyo, Ofisi ya Rais –TAMISEMI iliandaa Mwongozo utakaotumika wakati wa kutoa Vibali vya Ujenzi na Usimamizi wa Ukaguzi wa Ujenzi wa Majengo kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa. Mwongozo huu umeandaliwa ili kuondoa changamoto zilizopo kwenye utaratibu wa utoaji wa Vibali vya Ujenzi na usimamizi wa Ujenzi wa majengo. Kwa mujibu wa Vifungu 124 na 125 vya Kanuni za Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji) (Udhibiti Uendelezaji), Sura 288 (GN 242 ya mwaka 2008), Ujenzi wowote ndani ya Mamlaka za Upangaji ambazo ni Mamlaka za Miji Midogo, Halmashauri za Miji, Manispaa na Ma-jiji ni lazima upate kibali cha Ujenzi kutoka kwenye Mamlaka husika. Kwa mujibu wa Kifungu cha 35 (i) cha Sheria ya Mipangomiji Na. 8 ya mwaka 2007, Mamlaka ya Upangaji inatakiwa kutoa kibali cha Ujenzi katika kipindi kisichozidi siku 60 kuanzia tarehe mwombaji alipowasilisha maombi yake. Aidha, ndani ya muda huo mamlaka inatakiwa kumjulisha mwombaji kuwa amekubaliwa au amekataliwa ombi lake na kutaja sababu zilizopelekea ombi lake kukataliwa. Sheria ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) Kifungu 122(4) imezipa majukumu Mamlaka za Wilaya ya kutoa au kubadilisha majina, namba za barabara, mitaa na nyumba kama ilivyobainishwa kwenye Mwongozo wa Anwani za Makazi na Postikodi wa Agosti 2016. Kufanya hivyo, kutadhibiti uendelezaji holela wa Vijiji na Miji Midogo inayochipukia. Mwongozo huu ukifuatwa kikamilifu, kwa kigezo cha kiashiria cha utoaji wa Vibali vya Ujenzi, utaboresha mazingira ya kufanya biashara na uwekezaji kwenye Mamlaka za Serikali za Mitaa. Mamlaka hizo zinatakiwa kutoa Vibali vya Ujenzi ndani ya kipindi cha kati ya siku saba na mwezi mmoja. Pia, mwongozo utaboresha usimamizi wa ukaguzi wa Ujenzi wa majengo.Mwongozo wa Utoaji Vibali vya Ujenzi | | | | | 1. | Tume ya Utumishi wa Walimu (TSC) | Idara Inayojitegemea | | 2. | | Wakala wa Utendaji | | 3. | Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) | Wakala wa Utendaji | | 4. | Shirika la Elimu Kibaha (KEC) | Taasisi ya Umma | | 5. | Chuo cha Serikali za Mitaa (LGTI) | Taasisi ya Umma | | 6. | Shirika la Masoko Kariakoo (KMC) | Shirika la Umma | | 7. | Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa (LGLB) | Taasisi ya Umma |
https://www.tanzania.go.tz/topics/transport-sector
null
null
null
null
null
null
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Tovuti Kuu ya Serikali Funga SEKTA Afya Elimu Fedha na Mipango Habari, Mawasiliano na TEHAMA Katiba na Sheria Kilimo Madini Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mahakama Maji Maliasili na Utalii Mazingira Mifugo na Uvuvi Muungano Nishati Ofisi ya Rais - TAMISEMI Sekta ya Uchukuzi Sera, Uratibu na Bunge Uhamiaji Uhusiano wa Kimataifa Ujenzi na Uchukuzi Ulinzi na JKT Usalama wa Raia Utamaduni, Sanaa na Michezo Utumishi wa Umma na Utawala Bora Uwekezaji Vijana na Ajira Viwanda na Biashara HUDUMA MTANDAO UTAWALA Orodha ya Taasisi Katiba Baraza la Mawaziri Naibu Mawaziri Bunge Mahakama AJIRA Vibali vya Ajira kwa Wageni Ajira za Kada ya Afya Huduma za Ajira Ajira za Ualimu na Kada ya Afya Mfumo wa Kitaifa wa Taarifa za Soko la Ajira VISA Tafuta Kiswahili English Mwanzo Sekta ya Uchukuzi Sekta ya Uchukuzi Mpangilio Marekebisho ya Lugha Kiswahili English Marekebisho ya Mandhari Chaguo Msingi Giza Mwanga Greyscale High Saturation Marekebisho ya Maandishi Ndogo Wastani Kubwa
README.md exists but content is empty.
Downloads last month
3