Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Ni katika nchi ipi kilimo ni muhimu
{ "text": [ "Kenya" ] }
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Mifugo hutupa nini
{ "text": [ "mbolea" ] }
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Asilia kubwa ya wakenya wanapenda nini
{ "text": [ "Mahindi" ] }
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Ni aslimia gani ya vifaa vinavyouzwa sokoni
{ "text": [ "80%" ] }
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Ni vipi kilimo hupunguza usafiri wa watu kutoka vijiini
{ "text": [ "Kwa vile watu watajipa kazi wenyewe" ] }
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Kilimo ni muhimu katika nchi gani
{ "text": [ "Kenya" ] }
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Mahindi huuzwa wapi
{ "text": [ "Ng'ambo na nchini" ] }
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Vipi maisha huweza kuimarishwa kupitia kwa kuku
{ "text": [ "Kwa kuuza mayai" ] }
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Kilimo ni muhimu katika nchi gani
{ "text": [ "Kenya" ] }
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Ni nini hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi
{ "text": [ "mifugo" ] }
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Kilimo cha nafaka gani ni muhimu sana
{ "text": [ "Mahindi" ] }
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Asilimia gani ya vifaa vinavyouzwa sokoni ni zao la kilimo
{ "text": [ "80" ] }
3830_swa
MANUFAA YA KILIMO KATIKA UIMARISHAJI WA UCHUMI WA KENYA Kilimo katika nchi yetu ya Kenya ni muhimu na kinafaa kuzingatiwa kwa manufaa yake mengi. Moja ni ufugaji wa mifugo ambao hutupa protini kupitia kwa nyama. Hii protini ndiyo inayoipa nguvu mwili na kujenga. Mifugo hawa kama kuku hutupa mayai ambayo yaweza yakauzwa na kuimarisha maisha ya mfugaji na familia yako kwa kumpa pesa za kukidhi mahitaji yote. Mifugo hawa pia hutupa mbolea kupitia kwa vinyesi vyao. Mbolea hii inasemekana kuwa bora katika kilimo. Mwanzo haichafui mazingira na hutumiwa kwa muda mrefu na mimea na hivyo kuimarisha mazao shambani. Vinyesi vya mifugo hawa pia ni kama kinyesi cha kuku ambacho hutumiwa kama chakula cha samaki. Na samaki huwa mojawapo ya vyakula vinavyopendwa na wakenya na pia huuzwa ng'ambo na huletea nchi yetu pesa za kigeni ambazo hutumiwa kwa ujenzi wa taifa letu. Kilimo cha nafaka kama mahindi ni muhimu sana kwa nchi kwanza mahindi hayo yakipandwa katika mashamba makubwa makubwa na kufuatiliwa kwa makini yaweza yakatoa mazao mengi ambayo huuzwa ng’ambo na humu nchini mwanzo mahindi ndicho chakula kinachopandwa na asilimia kubwa ya wakenya. Mahindi haya husafirishwa viwandani ili kuimarisha utumiaji wake na husagwa na kutupa unga ambao hutumiwa kama chakula (ugali), kwasababu ya hii viwanda vya kilimo vinanunuliwa na pia njia nyingi zimeundwa na kuwa za lami na hii ni mojawapo ya uchumi na maendeleo. Katika soko yetu asilimia 80% ya vifaa vinavyouzwa ni zao za kilimo na hii pia inaimarisha ujenzi wa masoko na kuifanya nchi kuendelea kiuchumi. Mimea mingine kama maua pia ni zao za kilimo na husafirishwa ng'ambo. Maua hayo pia huifanya nchi kuonekana vizuri na rembo kupindukia. Ni jukumu letu kuhakikisha nchi inang’aa na hii huletwa na upanzi wa hiyo miti na maua. Ningependa kuwahimiza wananchi kwa jumla pia wazingatie kilimo mwanzo wasipozingatia hawatapata chakula cha kutosha kuzikimu familia zao na hivyo zitaleta vurugu na hivyo itadidimiza uchumi. Ningependa pia kuwasihi wananchi kuendeleza kilimo mwanzo kilimo ni njia moja ya kujipa kazi yako mwenyewe na hivyo kupunguza usafiri wa watu kutoka vijijini kwenda jijini kutafuta nafasi za kazi ilhali kazi zenyewe zimo viganjani mwao. Na kumbuka kilimo kinafaa kuzingatiwa na ndicho kinaipa maendeleo nchi yetu ya Kenya.
Kwa nini wakulima wazingatie kilimo
{ "text": [ "Ili waweze kupata chakula" ] }
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Teknolojia imewawezesha wanafunzi hasa wa sekondari kuitumia mitandao kama vile Facebook, Whatsapp na kadhalika ili kujiunga na makundi yanayowasaidia kusoma. Vilevile walimu hutumia mitandao hiyo ili kuwafundisha wanafunzi, kwa lugha ya kimombo ‘E-learning’. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kutumia mitandao kama vile ‘Google Chrome’ ili kuwawezesha kujua wasiyoyajua masomoni. Halikadhalika, teknolojia imesaidia wanafunzi wa sekondari mahali pakubwa sana. Nchini mwetu tunaona kwamba shule nyingi za sekondari zinafundisha somo la kompyuta, hivyo basi wanafunzi wanapanuliwa akili ili waweze kuwa na ujuzi wa teknolojia. Vile vile technolojia inawezesha mawasiliano kuwa rahisi sana. Kwa mfano mtu anaweza kutuma ujumbe kwa njia ya barua pepe kwa mtu aliye mbali naye. Wahenga hawa kukosea waliposema chenye cheupe hukikosi doa. Vile vile teknolojia ina madhara mengi sana katiki shule za sekondari. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu za ngono ambazo huwafanya kujiingiza katika ngono na kusababisha mimba za mapema na hata magonjwa kama vile ukimwi. Tena teknolojia inasaidia kudunisha masomo ya wanafunzi wa sekondari.
Ni nini maarifa ya sayansi
{ "text": [ "Tekinolojia" ] }
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Teknolojia imewawezesha wanafunzi hasa wa sekondari kuitumia mitandao kama vile Facebook, Whatsapp na kadhalika ili kujiunga na makundi yanayowasaidia kusoma. Vilevile walimu hutumia mitandao hiyo ili kuwafundisha wanafunzi, kwa lugha ya kimombo ‘E-learning’. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kutumia mitandao kama vile ‘Google Chrome’ ili kuwawezesha kujua wasiyoyajua masomoni. Halikadhalika, teknolojia imesaidia wanafunzi wa sekondari mahali pakubwa sana. Nchini mwetu tunaona kwamba shule nyingi za sekondari zinafundisha somo la kompyuta, hivyo basi wanafunzi wanapanuliwa akili ili waweze kuwa na ujuzi wa teknolojia. Vile vile technolojia inawezesha mawasiliano kuwa rahisi sana. Kwa mfano mtu anaweza kutuma ujumbe kwa njia ya barua pepe kwa mtu aliye mbali naye. Wahenga hawa kukosea waliposema chenye cheupe hukikosi doa. Vile vile teknolojia ina madhara mengi sana katiki shule za sekondari. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu za ngono ambazo huwafanya kujiingiza katika ngono na kusababisha mimba za mapema na hata magonjwa kama vile ukimwi. Tena teknolojia inasaidia kudunisha masomo ya wanafunzi wa sekondari.
Wanafunzi wanasiliana na nini
{ "text": [ "E-mail" ] }
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Teknolojia imewawezesha wanafunzi hasa wa sekondari kuitumia mitandao kama vile Facebook, Whatsapp na kadhalika ili kujiunga na makundi yanayowasaidia kusoma. Vilevile walimu hutumia mitandao hiyo ili kuwafundisha wanafunzi, kwa lugha ya kimombo ‘E-learning’. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kutumia mitandao kama vile ‘Google Chrome’ ili kuwawezesha kujua wasiyoyajua masomoni. Halikadhalika, teknolojia imesaidia wanafunzi wa sekondari mahali pakubwa sana. Nchini mwetu tunaona kwamba shule nyingi za sekondari zinafundisha somo la kompyuta, hivyo basi wanafunzi wanapanuliwa akili ili waweze kuwa na ujuzi wa teknolojia. Vile vile technolojia inawezesha mawasiliano kuwa rahisi sana. Kwa mfano mtu anaweza kutuma ujumbe kwa njia ya barua pepe kwa mtu aliye mbali naye. Wahenga hawa kukosea waliposema chenye cheupe hukikosi doa. Vile vile teknolojia ina madhara mengi sana katiki shule za sekondari. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu za ngono ambazo huwafanya kujiingiza katika ngono na kusababisha mimba za mapema na hata magonjwa kama vile ukimwi. Tena teknolojia inasaidia kudunisha masomo ya wanafunzi wa sekondari.
Tekinolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu zipi
{ "text": [ "Za ngono" ] }
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Teknolojia imewawezesha wanafunzi hasa wa sekondari kuitumia mitandao kama vile Facebook, Whatsapp na kadhalika ili kujiunga na makundi yanayowasaidia kusoma. Vilevile walimu hutumia mitandao hiyo ili kuwafundisha wanafunzi, kwa lugha ya kimombo ‘E-learning’. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kutumia mitandao kama vile ‘Google Chrome’ ili kuwawezesha kujua wasiyoyajua masomoni. Halikadhalika, teknolojia imesaidia wanafunzi wa sekondari mahali pakubwa sana. Nchini mwetu tunaona kwamba shule nyingi za sekondari zinafundisha somo la kompyuta, hivyo basi wanafunzi wanapanuliwa akili ili waweze kuwa na ujuzi wa teknolojia. Vile vile technolojia inawezesha mawasiliano kuwa rahisi sana. Kwa mfano mtu anaweza kutuma ujumbe kwa njia ya barua pepe kwa mtu aliye mbali naye. Wahenga hawa kukosea waliposema chenye cheupe hukikosi doa. Vile vile teknolojia ina madhara mengi sana katiki shule za sekondari. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu za ngono ambazo huwafanya kujiingiza katika ngono na kusababisha mimba za mapema na hata magonjwa kama vile ukimwi. Tena teknolojia inasaidia kudunisha masomo ya wanafunzi wa sekondari.
Kwa nini tekinolojia ina hasara kwa wanafunzi
{ "text": [ "Wanafunzi hupoteza muda wakifanya mambo ya kiupuzi" ] }
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Teknolojia imewawezesha wanafunzi hasa wa sekondari kuitumia mitandao kama vile Facebook, Whatsapp na kadhalika ili kujiunga na makundi yanayowasaidia kusoma. Vilevile walimu hutumia mitandao hiyo ili kuwafundisha wanafunzi, kwa lugha ya kimombo ‘E-learning’. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kutumia mitandao kama vile ‘Google Chrome’ ili kuwawezesha kujua wasiyoyajua masomoni. Halikadhalika, teknolojia imesaidia wanafunzi wa sekondari mahali pakubwa sana. Nchini mwetu tunaona kwamba shule nyingi za sekondari zinafundisha somo la kompyuta, hivyo basi wanafunzi wanapanuliwa akili ili waweze kuwa na ujuzi wa teknolojia. Vile vile technolojia inawezesha mawasiliano kuwa rahisi sana. Kwa mfano mtu anaweza kutuma ujumbe kwa njia ya barua pepe kwa mtu aliye mbali naye. Wahenga hawa kukosea waliposema chenye cheupe hukikosi doa. Vile vile teknolojia ina madhara mengi sana katiki shule za sekondari. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu za ngono ambazo huwafanya kujiingiza katika ngono na kusababisha mimba za mapema na hata magonjwa kama vile ukimwi. Tena teknolojia inasaidia kudunisha masomo ya wanafunzi wa sekondari.
Walimu wanatumia nini kuwafunza wanafunzi
{ "text": [ "Mitandao" ] }
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Teknolojia imewawezesha wanafunzi hasa wa sekondari kuitumia mitandao kama vile Facebook, Whatsapp na kadhalika ili kujiunga na makundi yanayowasaidia kusoma. Vilevile walimu hutumia mitandao hiyo ili kuwafundisha wanafunzi, kwa lugha ya kimombo ‘E-learning’. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kutumia mitandao kama vile ‘Google Chrome’ ili kuwawezesha kujua wasiyoyajua masomoni. Halikadhalika, teknolojia imesaidia wanafunzi wa sekondari mahali pakubwa sana. Nchini mwetu tunaona kwamba shule nyingi za sekondari zinafundisha somo la kompyuta, hivyo basi wanafunzi wanapanuliwa akili ili waweze kuwa na ujuzi wa teknolojia. Vile vile technolojia inawezesha mawasiliano kuwa rahisi sana. Kwa mfano mtu anaweza kutuma ujumbe kwa njia ya barua pepe kwa mtu aliye mbali naye. Wahenga hawa kukosea waliposema chenye cheupe hukikosi doa. Vile vile teknolojia ina madhara mengi sana katiki shule za sekondari. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu za ngono ambazo huwafanya kujiingiza katika ngono na kusababisha mimba za mapema na hata magonjwa kama vile ukimwi. Tena teknolojia inasaidia kudunisha masomo ya wanafunzi wa sekondari.
Nchini wanafunzi wengi wanasoma somo lipi
{ "text": [ "Kompyuta" ] }
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Teknolojia imewawezesha wanafunzi hasa wa sekondari kuitumia mitandao kama vile Facebook, Whatsapp na kadhalika ili kujiunga na makundi yanayowasaidia kusoma. Vilevile walimu hutumia mitandao hiyo ili kuwafundisha wanafunzi, kwa lugha ya kimombo ‘E-learning’. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kutumia mitandao kama vile ‘Google Chrome’ ili kuwawezesha kujua wasiyoyajua masomoni. Halikadhalika, teknolojia imesaidia wanafunzi wa sekondari mahali pakubwa sana. Nchini mwetu tunaona kwamba shule nyingi za sekondari zinafundisha somo la kompyuta, hivyo basi wanafunzi wanapanuliwa akili ili waweze kuwa na ujuzi wa teknolojia. Vile vile technolojia inawezesha mawasiliano kuwa rahisi sana. Kwa mfano mtu anaweza kutuma ujumbe kwa njia ya barua pepe kwa mtu aliye mbali naye. Wahenga hawa kukosea waliposema chenye cheupe hukikosi doa. Vile vile teknolojia ina madhara mengi sana katiki shule za sekondari. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu za ngono ambazo huwafanya kujiingiza katika ngono na kusababisha mimba za mapema na hata magonjwa kama vile ukimwi. Tena teknolojia inasaidia kudunisha masomo ya wanafunzi wa sekondari.
Wnafunzi wanaweza kuwasilana kwa kutumia nini
{ "text": [ "E-mail" ] }
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Teknolojia imewawezesha wanafunzi hasa wa sekondari kuitumia mitandao kama vile Facebook, Whatsapp na kadhalika ili kujiunga na makundi yanayowasaidia kusoma. Vilevile walimu hutumia mitandao hiyo ili kuwafundisha wanafunzi, kwa lugha ya kimombo ‘E-learning’. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kutumia mitandao kama vile ‘Google Chrome’ ili kuwawezesha kujua wasiyoyajua masomoni. Halikadhalika, teknolojia imesaidia wanafunzi wa sekondari mahali pakubwa sana. Nchini mwetu tunaona kwamba shule nyingi za sekondari zinafundisha somo la kompyuta, hivyo basi wanafunzi wanapanuliwa akili ili waweze kuwa na ujuzi wa teknolojia. Vile vile technolojia inawezesha mawasiliano kuwa rahisi sana. Kwa mfano mtu anaweza kutuma ujumbe kwa njia ya barua pepe kwa mtu aliye mbali naye. Wahenga hawa kukosea waliposema chenye cheupe hukikosi doa. Vile vile teknolojia ina madhara mengi sana katiki shule za sekondari. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu za ngono ambazo huwafanya kujiingiza katika ngono na kusababisha mimba za mapema na hata magonjwa kama vile ukimwi. Tena teknolojia inasaidia kudunisha masomo ya wanafunzi wa sekondari.
Kwa nini wanafunzi wa sekondari huzorotesha masomo yao
{ "text": [ "Wanapoteza muda mwingi wakifanya mambo ya kiupuzi" ] }
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Teknolojia imewawezesha wanafunzi hasa wa sekondari kuitumia mitandao kama vile Facebook, Whatsapp na kadhalika ili kujiunga na makundi yanayowasaidia kusoma. Vilevile walimu hutumia mitandao hiyo ili kuwafundisha wanafunzi, kwa lugha ya kimombo ‘E-learning’. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kutumia mitandao kama vile ‘Google Chrome’ ili kuwawezesha kujua wasiyoyajua masomoni. Halikadhalika, teknolojia imesaidia wanafunzi wa sekondari mahali pakubwa sana. Nchini mwetu tunaona kwamba shule nyingi za sekondari zinafundisha somo la kompyuta, hivyo basi wanafunzi wanapanuliwa akili ili waweze kuwa na ujuzi wa teknolojia. Vile vile technolojia inawezesha mawasiliano kuwa rahisi sana. Kwa mfano mtu anaweza kutuma ujumbe kwa njia ya barua pepe kwa mtu aliye mbali naye. Wahenga hawa kukosea waliposema chenye cheupe hukikosi doa. Vile vile teknolojia ina madhara mengi sana katiki shule za sekondari. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu za ngono ambazo huwafanya kujiingiza katika ngono na kusababisha mimba za mapema na hata magonjwa kama vile ukimwi. Tena teknolojia inasaidia kudunisha masomo ya wanafunzi wa sekondari.
Tekinolojia imewezesha wanafunzi kutumia nini
{ "text": [ "Mitandao" ] }
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Teknolojia imewawezesha wanafunzi hasa wa sekondari kuitumia mitandao kama vile Facebook, Whatsapp na kadhalika ili kujiunga na makundi yanayowasaidia kusoma. Vilevile walimu hutumia mitandao hiyo ili kuwafundisha wanafunzi, kwa lugha ya kimombo ‘E-learning’. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kutumia mitandao kama vile ‘Google Chrome’ ili kuwawezesha kujua wasiyoyajua masomoni. Halikadhalika, teknolojia imesaidia wanafunzi wa sekondari mahali pakubwa sana. Nchini mwetu tunaona kwamba shule nyingi za sekondari zinafundisha somo la kompyuta, hivyo basi wanafunzi wanapanuliwa akili ili waweze kuwa na ujuzi wa teknolojia. Vile vile technolojia inawezesha mawasiliano kuwa rahisi sana. Kwa mfano mtu anaweza kutuma ujumbe kwa njia ya barua pepe kwa mtu aliye mbali naye. Wahenga hawa kukosea waliposema chenye cheupe hukikosi doa. Vile vile teknolojia ina madhara mengi sana katiki shule za sekondari. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu za ngono ambazo huwafanya kujiingiza katika ngono na kusababisha mimba za mapema na hata magonjwa kama vile ukimwi. Tena teknolojia inasaidia kudunisha masomo ya wanafunzi wa sekondari.
Shule za Sekondari wanafunzi wanafunzwa somo lipi
{ "text": [ "Kompyuta" ] }
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Teknolojia imewawezesha wanafunzi hasa wa sekondari kuitumia mitandao kama vile Facebook, Whatsapp na kadhalika ili kujiunga na makundi yanayowasaidia kusoma. Vilevile walimu hutumia mitandao hiyo ili kuwafundisha wanafunzi, kwa lugha ya kimombo ‘E-learning’. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kutumia mitandao kama vile ‘Google Chrome’ ili kuwawezesha kujua wasiyoyajua masomoni. Halikadhalika, teknolojia imesaidia wanafunzi wa sekondari mahali pakubwa sana. Nchini mwetu tunaona kwamba shule nyingi za sekondari zinafundisha somo la kompyuta, hivyo basi wanafunzi wanapanuliwa akili ili waweze kuwa na ujuzi wa teknolojia. Vile vile technolojia inawezesha mawasiliano kuwa rahisi sana. Kwa mfano mtu anaweza kutuma ujumbe kwa njia ya barua pepe kwa mtu aliye mbali naye. Wahenga hawa kukosea waliposema chenye cheupe hukikosi doa. Vile vile teknolojia ina madhara mengi sana katiki shule za sekondari. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu za ngono ambazo huwafanya kujiingiza katika ngono na kusababisha mimba za mapema na hata magonjwa kama vile ukimwi. Tena teknolojia inasaidia kudunisha masomo ya wanafunzi wa sekondari.
Tekinolojia inafanya wanafunzi waangalie filamu za nini
{ "text": [ "Ngono" ] }
3213_swa
FAIDA NA MADHARA YA TEKNOLOGIA KATIKA SHULE ZA SEKONDARI Teknolojia ni maarifa ya sayansi yaliyowekwa katika matumizi ya vitu kama vile zana au mitambo katika kiwanda. Tunaona kwamba teknolojia imechangia mambo mengi sana katika shule za sekondari ikiwemo madhara na faida zake. Mwanzo tungependa kuangazia faida za teknolojia katika shule za sekondari. Teknolojia imewawezesha wanafunzi hasa wa sekondari kuitumia mitandao kama vile Facebook, Whatsapp na kadhalika ili kujiunga na makundi yanayowasaidia kusoma. Vilevile walimu hutumia mitandao hiyo ili kuwafundisha wanafunzi, kwa lugha ya kimombo ‘E-learning’. Teknolojia imewawezesha wanafunzi kutumia mitandao kama vile ‘Google Chrome’ ili kuwawezesha kujua wasiyoyajua masomoni. Halikadhalika, teknolojia imesaidia wanafunzi wa sekondari mahali pakubwa sana. Nchini mwetu tunaona kwamba shule nyingi za sekondari zinafundisha somo la kompyuta, hivyo basi wanafunzi wanapanuliwa akili ili waweze kuwa na ujuzi wa teknolojia. Vile vile technolojia inawezesha mawasiliano kuwa rahisi sana. Kwa mfano mtu anaweza kutuma ujumbe kwa njia ya barua pepe kwa mtu aliye mbali naye. Wahenga hawa kukosea waliposema chenye cheupe hukikosi doa. Vile vile teknolojia ina madhara mengi sana katiki shule za sekondari. Kwanza, teknolojia imewafanya wanafunzi kuangalia filamu za ngono ambazo huwafanya kujiingiza katika ngono na kusababisha mimba za mapema na hata magonjwa kama vile ukimwi. Tena teknolojia inasaidia kudunisha masomo ya wanafunzi wa sekondari.
Kwa nini masomo ya wanafunzi huzorota
{ "text": [ "Wanafunzi wanatumia muda mwingi mtandaoni wakifanya mambo ya kipuzi" ] }
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Tatizo hili limewaua watu wengi na wengine kutopata kazi na kuishi maisha ya kiholela holela, zifuatazo ni njia mbali mbali za kuimarisha kilimo nchini. Mwanzo, kujengwa kwa vituo mbalimbali vya kuelimisha wakulima njia mbali mbali. Moja kupata maelezo ya kilimo.Na pia serikali kulifanya somo la kilimo la lazima lifanywe na kila mwanafunzi. Kupitia maelimisho haya wakulima watapata kujielimisha njia ainati za kuendeleza kilimo. Kama, kuna njia za kuzuia wadudu wanaoharibu mimea, njia za kupanda miti ipasavyo, mbolea ya kutumia katika mimea tofauti na hata inayotumiwa katika mimea na hata vifaa bora vya kurahisisha kilimo. Kwa haya Kilimo nchini itaweza kuimarishwa Pili, kuhimiza wakulima kupanda mimea yanayostahimili ukame kama vile mahindi ya Katumani, viazi vitamu, nazi na pia mihogo. Mimea hii inahitaji maji kidogo na usmamizi kidogo ili imarike. Kwa hivyo sehemu zenye ukame zinafaa zísidharauliwe bali ziwe zikitumiwa kupanda mimea ndiyo iweze kuimarisha kilimo nchini mwetu kwa sababu ya uhaba wa maji katika sehemu hizo. Vile vile, wakulima wahimizwe kutumia mbolea tofauti kulingana na mimea iliyo pandwa. Miongoni mwa mbolea ni kama mbolea samadi, mbolea za viwandani, mbolea za kijani na hata mbolea inboji. Mbolea hizi zinasaidia mchanga kupata rotuba na kuepushana mimea na maradhi yanayo yakumba mimea hayo. Mbolea itakuza mimea kukua na Kuimarika haraka. Mbolea zizi hizi husaidia kuongeza madini ambayo yanasaidia mimea kuwa na afya. Aidha, kuanzisha mtindo wa unyunizaji wa maji katika maeneo ya ukame. Serikali kupeana matenki makubwa ili siku za kunyesha mvua matenki hayo yawe yakihifadhi maji hayo. Maji hayo yataweza kuwasaidia wakulima katika siku za ukame Wakulima walatumia na kunyunyizia maji hayo basi kusaidia mimea kupata maji kusaidia uchipuzi wa mimea. Hivyo basi uimarishaji wa kilimo nchini. Hali kadhalika, serikali kuwa na msimamo upande wa kilimo. Serikali ibandike onyo kila mahali ambapo kuna miti kuwa atakapo kata mti atakuwa na faini ya milioni mbili au zaidi au onyo atakaye kata mti mmoja apande mengine miwili au zaidi la sivyo atafungwa gerezani maisha yake yote. Nikiongezea, Wakulima wanapaswa kuhimizwa kutumia vifaa vya kisasa katika kulima mashamba yao. Vifaa hivo ni kama fyekeo, plau, sepeto, jembe na hata reki. Utumizi wa vifaa hivi hurahisisha kazi kwa wakulima iwapo watatumia vifaa hivi. Licha ya haya, serikali inafaa kutoa mikopo kwa wakulima ili kueza kusaidia wakulima kugaramia gharama za mashamba na maisha yao. Wakulima watapata motisha kwa sababu wataona umuhimu wao katika jamii. Kwani, jamii huwategemea wakulima ili kukidhi mahitaji yao ya kimsingi. Wakulima wataweza kuendeleza kilimo maana bila ya wakulima, binadamu watapata tabu na kuhangaika kutafuta chakula. Hivyo basi, kilimo nchini kitaimarika. Nikitamatisha, serikali kuongeza viwanja vya mashamba kwa kununua viwanja ill kuajiri vijana ambao wanaranda randa randa mitaani wapate kazi na kuwa muhimu katika jamii. Hii pia itaweza kupunguza uhamiaji wa watu kutoka mashambani kuelekea mjini kutafuta ajra. Ikiwa vijana watapata kazi na itawafanya wawe na bidii wakijuwa wananchi wanawategemea kwa hili litazidisha mazao na kilimo kitaimarishwa nchini. Nina tumaini kuwa endapo serikali, wakulima na hata watu watafuata midokezo hii niliyoyadokeza basi kilimo kitaimarishwa na pia baa la njaa nchini litaisha iwapo tuta ungana kulitatua tatizo hili.
Kilimo ni nini nchini mwetu?
{ "text": [ "Uti wa mgogo" ] }
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Tatizo hili limewaua watu wengi na wengine kutopata kazi na kuishi maisha ya kiholela holela, zifuatazo ni njia mbali mbali za kuimarisha kilimo nchini. Mwanzo, kujengwa kwa vituo mbalimbali vya kuelimisha wakulima njia mbali mbali. Moja kupata maelezo ya kilimo.Na pia serikali kulifanya somo la kilimo la lazima lifanywe na kila mwanafunzi. Kupitia maelimisho haya wakulima watapata kujielimisha njia ainati za kuendeleza kilimo. Kama, kuna njia za kuzuia wadudu wanaoharibu mimea, njia za kupanda miti ipasavyo, mbolea ya kutumia katika mimea tofauti na hata inayotumiwa katika mimea na hata vifaa bora vya kurahisisha kilimo. Kwa haya Kilimo nchini itaweza kuimarishwa Pili, kuhimiza wakulima kupanda mimea yanayostahimili ukame kama vile mahindi ya Katumani, viazi vitamu, nazi na pia mihogo. Mimea hii inahitaji maji kidogo na usmamizi kidogo ili imarike. Kwa hivyo sehemu zenye ukame zinafaa zísidharauliwe bali ziwe zikitumiwa kupanda mimea ndiyo iweze kuimarisha kilimo nchini mwetu kwa sababu ya uhaba wa maji katika sehemu hizo. Vile vile, wakulima wahimizwe kutumia mbolea tofauti kulingana na mimea iliyo pandwa. Miongoni mwa mbolea ni kama mbolea samadi, mbolea za viwandani, mbolea za kijani na hata mbolea inboji. Mbolea hizi zinasaidia mchanga kupata rotuba na kuepushana mimea na maradhi yanayo yakumba mimea hayo. Mbolea itakuza mimea kukua na Kuimarika haraka. Mbolea zizi hizi husaidia kuongeza madini ambayo yanasaidia mimea kuwa na afya. Aidha, kuanzisha mtindo wa unyunizaji wa maji katika maeneo ya ukame. Serikali kupeana matenki makubwa ili siku za kunyesha mvua matenki hayo yawe yakihifadhi maji hayo. Maji hayo yataweza kuwasaidia wakulima katika siku za ukame Wakulima walatumia na kunyunyizia maji hayo basi kusaidia mimea kupata maji kusaidia uchipuzi wa mimea. Hivyo basi uimarishaji wa kilimo nchini. Hali kadhalika, serikali kuwa na msimamo upande wa kilimo. Serikali ibandike onyo kila mahali ambapo kuna miti kuwa atakapo kata mti atakuwa na faini ya milioni mbili au zaidi au onyo atakaye kata mti mmoja apande mengine miwili au zaidi la sivyo atafungwa gerezani maisha yake yote. Nikiongezea, Wakulima wanapaswa kuhimizwa kutumia vifaa vya kisasa katika kulima mashamba yao. Vifaa hivo ni kama fyekeo, plau, sepeto, jembe na hata reki. Utumizi wa vifaa hivi hurahisisha kazi kwa wakulima iwapo watatumia vifaa hivi. Licha ya haya, serikali inafaa kutoa mikopo kwa wakulima ili kueza kusaidia wakulima kugaramia gharama za mashamba na maisha yao. Wakulima watapata motisha kwa sababu wataona umuhimu wao katika jamii. Kwani, jamii huwategemea wakulima ili kukidhi mahitaji yao ya kimsingi. Wakulima wataweza kuendeleza kilimo maana bila ya wakulima, binadamu watapata tabu na kuhangaika kutafuta chakula. Hivyo basi, kilimo nchini kitaimarika. Nikitamatisha, serikali kuongeza viwanja vya mashamba kwa kununua viwanja ill kuajiri vijana ambao wanaranda randa randa mitaani wapate kazi na kuwa muhimu katika jamii. Hii pia itaweza kupunguza uhamiaji wa watu kutoka mashambani kuelekea mjini kutafuta ajra. Ikiwa vijana watapata kazi na itawafanya wawe na bidii wakijuwa wananchi wanawategemea kwa hili litazidisha mazao na kilimo kitaimarishwa nchini. Nina tumaini kuwa endapo serikali, wakulima na hata watu watafuata midokezo hii niliyoyadokeza basi kilimo kitaimarishwa na pia baa la njaa nchini litaisha iwapo tuta ungana kulitatua tatizo hili.
Kilimo kina umuhimu gani? ?
{ "text": [ "Hutoa nafasi za kazi Kwa wakuli, watu hupata vyakula" ] }
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Tatizo hili limewaua watu wengi na wengine kutopata kazi na kuishi maisha ya kiholela holela, zifuatazo ni njia mbali mbali za kuimarisha kilimo nchini. Mwanzo, kujengwa kwa vituo mbalimbali vya kuelimisha wakulima njia mbali mbali. Moja kupata maelezo ya kilimo.Na pia serikali kulifanya somo la kilimo la lazima lifanywe na kila mwanafunzi. Kupitia maelimisho haya wakulima watapata kujielimisha njia ainati za kuendeleza kilimo. Kama, kuna njia za kuzuia wadudu wanaoharibu mimea, njia za kupanda miti ipasavyo, mbolea ya kutumia katika mimea tofauti na hata inayotumiwa katika mimea na hata vifaa bora vya kurahisisha kilimo. Kwa haya Kilimo nchini itaweza kuimarishwa Pili, kuhimiza wakulima kupanda mimea yanayostahimili ukame kama vile mahindi ya Katumani, viazi vitamu, nazi na pia mihogo. Mimea hii inahitaji maji kidogo na usmamizi kidogo ili imarike. Kwa hivyo sehemu zenye ukame zinafaa zísidharauliwe bali ziwe zikitumiwa kupanda mimea ndiyo iweze kuimarisha kilimo nchini mwetu kwa sababu ya uhaba wa maji katika sehemu hizo. Vile vile, wakulima wahimizwe kutumia mbolea tofauti kulingana na mimea iliyo pandwa. Miongoni mwa mbolea ni kama mbolea samadi, mbolea za viwandani, mbolea za kijani na hata mbolea inboji. Mbolea hizi zinasaidia mchanga kupata rotuba na kuepushana mimea na maradhi yanayo yakumba mimea hayo. Mbolea itakuza mimea kukua na Kuimarika haraka. Mbolea zizi hizi husaidia kuongeza madini ambayo yanasaidia mimea kuwa na afya. Aidha, kuanzisha mtindo wa unyunizaji wa maji katika maeneo ya ukame. Serikali kupeana matenki makubwa ili siku za kunyesha mvua matenki hayo yawe yakihifadhi maji hayo. Maji hayo yataweza kuwasaidia wakulima katika siku za ukame Wakulima walatumia na kunyunyizia maji hayo basi kusaidia mimea kupata maji kusaidia uchipuzi wa mimea. Hivyo basi uimarishaji wa kilimo nchini. Hali kadhalika, serikali kuwa na msimamo upande wa kilimo. Serikali ibandike onyo kila mahali ambapo kuna miti kuwa atakapo kata mti atakuwa na faini ya milioni mbili au zaidi au onyo atakaye kata mti mmoja apande mengine miwili au zaidi la sivyo atafungwa gerezani maisha yake yote. Nikiongezea, Wakulima wanapaswa kuhimizwa kutumia vifaa vya kisasa katika kulima mashamba yao. Vifaa hivo ni kama fyekeo, plau, sepeto, jembe na hata reki. Utumizi wa vifaa hivi hurahisisha kazi kwa wakulima iwapo watatumia vifaa hivi. Licha ya haya, serikali inafaa kutoa mikopo kwa wakulima ili kueza kusaidia wakulima kugaramia gharama za mashamba na maisha yao. Wakulima watapata motisha kwa sababu wataona umuhimu wao katika jamii. Kwani, jamii huwategemea wakulima ili kukidhi mahitaji yao ya kimsingi. Wakulima wataweza kuendeleza kilimo maana bila ya wakulima, binadamu watapata tabu na kuhangaika kutafuta chakula. Hivyo basi, kilimo nchini kitaimarika. Nikitamatisha, serikali kuongeza viwanja vya mashamba kwa kununua viwanja ill kuajiri vijana ambao wanaranda randa randa mitaani wapate kazi na kuwa muhimu katika jamii. Hii pia itaweza kupunguza uhamiaji wa watu kutoka mashambani kuelekea mjini kutafuta ajra. Ikiwa vijana watapata kazi na itawafanya wawe na bidii wakijuwa wananchi wanawategemea kwa hili litazidisha mazao na kilimo kitaimarishwa nchini. Nina tumaini kuwa endapo serikali, wakulima na hata watu watafuata midokezo hii niliyoyadokeza basi kilimo kitaimarishwa na pia baa la njaa nchini litaisha iwapo tuta ungana kulitatua tatizo hili.
Taja njia za kuimarisha kilimo
{ "text": [ "Kujenga vituo vya elimisha wakulima kuhusu kilimo, somo la lazima lifanywe lazima ili wakulima wajue njia za kilimo " ] }
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Tatizo hili limewaua watu wengi na wengine kutopata kazi na kuishi maisha ya kiholela holela, zifuatazo ni njia mbali mbali za kuimarisha kilimo nchini. Mwanzo, kujengwa kwa vituo mbalimbali vya kuelimisha wakulima njia mbali mbali. Moja kupata maelezo ya kilimo.Na pia serikali kulifanya somo la kilimo la lazima lifanywe na kila mwanafunzi. Kupitia maelimisho haya wakulima watapata kujielimisha njia ainati za kuendeleza kilimo. Kama, kuna njia za kuzuia wadudu wanaoharibu mimea, njia za kupanda miti ipasavyo, mbolea ya kutumia katika mimea tofauti na hata inayotumiwa katika mimea na hata vifaa bora vya kurahisisha kilimo. Kwa haya Kilimo nchini itaweza kuimarishwa Pili, kuhimiza wakulima kupanda mimea yanayostahimili ukame kama vile mahindi ya Katumani, viazi vitamu, nazi na pia mihogo. Mimea hii inahitaji maji kidogo na usmamizi kidogo ili imarike. Kwa hivyo sehemu zenye ukame zinafaa zísidharauliwe bali ziwe zikitumiwa kupanda mimea ndiyo iweze kuimarisha kilimo nchini mwetu kwa sababu ya uhaba wa maji katika sehemu hizo. Vile vile, wakulima wahimizwe kutumia mbolea tofauti kulingana na mimea iliyo pandwa. Miongoni mwa mbolea ni kama mbolea samadi, mbolea za viwandani, mbolea za kijani na hata mbolea inboji. Mbolea hizi zinasaidia mchanga kupata rotuba na kuepushana mimea na maradhi yanayo yakumba mimea hayo. Mbolea itakuza mimea kukua na Kuimarika haraka. Mbolea zizi hizi husaidia kuongeza madini ambayo yanasaidia mimea kuwa na afya. Aidha, kuanzisha mtindo wa unyunizaji wa maji katika maeneo ya ukame. Serikali kupeana matenki makubwa ili siku za kunyesha mvua matenki hayo yawe yakihifadhi maji hayo. Maji hayo yataweza kuwasaidia wakulima katika siku za ukame Wakulima walatumia na kunyunyizia maji hayo basi kusaidia mimea kupata maji kusaidia uchipuzi wa mimea. Hivyo basi uimarishaji wa kilimo nchini. Hali kadhalika, serikali kuwa na msimamo upande wa kilimo. Serikali ibandike onyo kila mahali ambapo kuna miti kuwa atakapo kata mti atakuwa na faini ya milioni mbili au zaidi au onyo atakaye kata mti mmoja apande mengine miwili au zaidi la sivyo atafungwa gerezani maisha yake yote. Nikiongezea, Wakulima wanapaswa kuhimizwa kutumia vifaa vya kisasa katika kulima mashamba yao. Vifaa hivo ni kama fyekeo, plau, sepeto, jembe na hata reki. Utumizi wa vifaa hivi hurahisisha kazi kwa wakulima iwapo watatumia vifaa hivi. Licha ya haya, serikali inafaa kutoa mikopo kwa wakulima ili kueza kusaidia wakulima kugaramia gharama za mashamba na maisha yao. Wakulima watapata motisha kwa sababu wataona umuhimu wao katika jamii. Kwani, jamii huwategemea wakulima ili kukidhi mahitaji yao ya kimsingi. Wakulima wataweza kuendeleza kilimo maana bila ya wakulima, binadamu watapata tabu na kuhangaika kutafuta chakula. Hivyo basi, kilimo nchini kitaimarika. Nikitamatisha, serikali kuongeza viwanja vya mashamba kwa kununua viwanja ill kuajiri vijana ambao wanaranda randa randa mitaani wapate kazi na kuwa muhimu katika jamii. Hii pia itaweza kupunguza uhamiaji wa watu kutoka mashambani kuelekea mjini kutafuta ajra. Ikiwa vijana watapata kazi na itawafanya wawe na bidii wakijuwa wananchi wanawategemea kwa hili litazidisha mazao na kilimo kitaimarishwa nchini. Nina tumaini kuwa endapo serikali, wakulima na hata watu watafuata midokezo hii niliyoyadokeza basi kilimo kitaimarishwa na pia baa la njaa nchini litaisha iwapo tuta ungana kulitatua tatizo hili.
Kwa nini watu huhamia mjini?
{ "text": [ "Kutafita kazi" ] }
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Tatizo hili limewaua watu wengi na wengine kutopata kazi na kuishi maisha ya kiholela holela, zifuatazo ni njia mbali mbali za kuimarisha kilimo nchini. Mwanzo, kujengwa kwa vituo mbalimbali vya kuelimisha wakulima njia mbali mbali. Moja kupata maelezo ya kilimo.Na pia serikali kulifanya somo la kilimo la lazima lifanywe na kila mwanafunzi. Kupitia maelimisho haya wakulima watapata kujielimisha njia ainati za kuendeleza kilimo. Kama, kuna njia za kuzuia wadudu wanaoharibu mimea, njia za kupanda miti ipasavyo, mbolea ya kutumia katika mimea tofauti na hata inayotumiwa katika mimea na hata vifaa bora vya kurahisisha kilimo. Kwa haya Kilimo nchini itaweza kuimarishwa Pili, kuhimiza wakulima kupanda mimea yanayostahimili ukame kama vile mahindi ya Katumani, viazi vitamu, nazi na pia mihogo. Mimea hii inahitaji maji kidogo na usmamizi kidogo ili imarike. Kwa hivyo sehemu zenye ukame zinafaa zísidharauliwe bali ziwe zikitumiwa kupanda mimea ndiyo iweze kuimarisha kilimo nchini mwetu kwa sababu ya uhaba wa maji katika sehemu hizo. Vile vile, wakulima wahimizwe kutumia mbolea tofauti kulingana na mimea iliyo pandwa. Miongoni mwa mbolea ni kama mbolea samadi, mbolea za viwandani, mbolea za kijani na hata mbolea inboji. Mbolea hizi zinasaidia mchanga kupata rotuba na kuepushana mimea na maradhi yanayo yakumba mimea hayo. Mbolea itakuza mimea kukua na Kuimarika haraka. Mbolea zizi hizi husaidia kuongeza madini ambayo yanasaidia mimea kuwa na afya. Aidha, kuanzisha mtindo wa unyunizaji wa maji katika maeneo ya ukame. Serikali kupeana matenki makubwa ili siku za kunyesha mvua matenki hayo yawe yakihifadhi maji hayo. Maji hayo yataweza kuwasaidia wakulima katika siku za ukame Wakulima walatumia na kunyunyizia maji hayo basi kusaidia mimea kupata maji kusaidia uchipuzi wa mimea. Hivyo basi uimarishaji wa kilimo nchini. Hali kadhalika, serikali kuwa na msimamo upande wa kilimo. Serikali ibandike onyo kila mahali ambapo kuna miti kuwa atakapo kata mti atakuwa na faini ya milioni mbili au zaidi au onyo atakaye kata mti mmoja apande mengine miwili au zaidi la sivyo atafungwa gerezani maisha yake yote. Nikiongezea, Wakulima wanapaswa kuhimizwa kutumia vifaa vya kisasa katika kulima mashamba yao. Vifaa hivo ni kama fyekeo, plau, sepeto, jembe na hata reki. Utumizi wa vifaa hivi hurahisisha kazi kwa wakulima iwapo watatumia vifaa hivi. Licha ya haya, serikali inafaa kutoa mikopo kwa wakulima ili kueza kusaidia wakulima kugaramia gharama za mashamba na maisha yao. Wakulima watapata motisha kwa sababu wataona umuhimu wao katika jamii. Kwani, jamii huwategemea wakulima ili kukidhi mahitaji yao ya kimsingi. Wakulima wataweza kuendeleza kilimo maana bila ya wakulima, binadamu watapata tabu na kuhangaika kutafuta chakula. Hivyo basi, kilimo nchini kitaimarika. Nikitamatisha, serikali kuongeza viwanja vya mashamba kwa kununua viwanja ill kuajiri vijana ambao wanaranda randa randa mitaani wapate kazi na kuwa muhimu katika jamii. Hii pia itaweza kupunguza uhamiaji wa watu kutoka mashambani kuelekea mjini kutafuta ajra. Ikiwa vijana watapata kazi na itawafanya wawe na bidii wakijuwa wananchi wanawategemea kwa hili litazidisha mazao na kilimo kitaimarishwa nchini. Nina tumaini kuwa endapo serikali, wakulima na hata watu watafuata midokezo hii niliyoyadokeza basi kilimo kitaimarishwa na pia baa la njaa nchini litaisha iwapo tuta ungana kulitatua tatizo hili.
Kilimo kina matatizo gani?
{ "text": [ "Uvivu wa watu kulima, kutojua mbinu za kisasa za kilimoza kilimo " ] }
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Tatizo hili limewaua watu wengi na wengine kutopata kazi na kuishi maisha ya kiholela holela, zifuatazo ni njia mbali mbali za kuimarisha kilimo nchini. Mwanzo, kujengwa kwa vituo mbalimbali vya kuelimisha wakulima njia mbali mbali. Moja kupata maelezo ya kilimo.Na pia serikali kulifanya somo la kilimo la lazima lifanywe na kila mwanafunzi. Kupitia maelimisho haya wakulima watapata kujielimisha njia ainati za kuendeleza kilimo. Kama, kuna njia za kuzuia wadudu wanaoharibu mimea, njia za kupanda miti ipasavyo, mbolea ya kutumia katika mimea tofauti na hata inayotumiwa katika mimea na hata vifaa bora vya kurahisisha kilimo. Kwa haya Kilimo nchini itaweza kuimarishwa Pili, kuhimiza wakulima kupanda mimea yanayostahimili ukame kama vile mahindi ya Katumani, viazi vitamu, nazi na pia mihogo. Mimea hii inahitaji maji kidogo na usmamizi kidogo ili imarike. Kwa hivyo sehemu zenye ukame zinafaa zísidharauliwe bali ziwe zikitumiwa kupanda mimea ndiyo iweze kuimarisha kilimo nchini mwetu kwa sababu ya uhaba wa maji katika sehemu hizo. Vile vile, wakulima wahimizwe kutumia mbolea tofauti kulingana na mimea iliyo pandwa. Miongoni mwa mbolea ni kama mbolea samadi, mbolea za viwandani, mbolea za kijani na hata mbolea inboji. Mbolea hizi zinasaidia mchanga kupata rotuba na kuepushana mimea na maradhi yanayo yakumba mimea hayo. Mbolea itakuza mimea kukua na Kuimarika haraka. Mbolea zizi hizi husaidia kuongeza madini ambayo yanasaidia mimea kuwa na afya. Aidha, kuanzisha mtindo wa unyunizaji wa maji katika maeneo ya ukame. Serikali kupeana matenki makubwa ili siku za kunyesha mvua matenki hayo yawe yakihifadhi maji hayo. Maji hayo yataweza kuwasaidia wakulima katika siku za ukame Wakulima walatumia na kunyunyizia maji hayo basi kusaidia mimea kupata maji kusaidia uchipuzi wa mimea. Hivyo basi uimarishaji wa kilimo nchini. Hali kadhalika, serikali kuwa na msimamo upande wa kilimo. Serikali ibandike onyo kila mahali ambapo kuna miti kuwa atakapo kata mti atakuwa na faini ya milioni mbili au zaidi au onyo atakaye kata mti mmoja apande mengine miwili au zaidi la sivyo atafungwa gerezani maisha yake yote. Nikiongezea, Wakulima wanapaswa kuhimizwa kutumia vifaa vya kisasa katika kulima mashamba yao. Vifaa hivo ni kama fyekeo, plau, sepeto, jembe na hata reki. Utumizi wa vifaa hivi hurahisisha kazi kwa wakulima iwapo watatumia vifaa hivi. Licha ya haya, serikali inafaa kutoa mikopo kwa wakulima ili kueza kusaidia wakulima kugaramia gharama za mashamba na maisha yao. Wakulima watapata motisha kwa sababu wataona umuhimu wao katika jamii. Kwani, jamii huwategemea wakulima ili kukidhi mahitaji yao ya kimsingi. Wakulima wataweza kuendeleza kilimo maana bila ya wakulima, binadamu watapata tabu na kuhangaika kutafuta chakula. Hivyo basi, kilimo nchini kitaimarika. Nikitamatisha, serikali kuongeza viwanja vya mashamba kwa kununua viwanja ill kuajiri vijana ambao wanaranda randa randa mitaani wapate kazi na kuwa muhimu katika jamii. Hii pia itaweza kupunguza uhamiaji wa watu kutoka mashambani kuelekea mjini kutafuta ajra. Ikiwa vijana watapata kazi na itawafanya wawe na bidii wakijuwa wananchi wanawategemea kwa hili litazidisha mazao na kilimo kitaimarishwa nchini. Nina tumaini kuwa endapo serikali, wakulima na hata watu watafuata midokezo hii niliyoyadokeza basi kilimo kitaimarishwa na pia baa la njaa nchini litaisha iwapo tuta ungana kulitatua tatizo hili.
Ni nini uti wa mgongo wa nchi
{ "text": [ "Kilimo" ] }
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Tatizo hili limewaua watu wengi na wengine kutopata kazi na kuishi maisha ya kiholela holela, zifuatazo ni njia mbali mbali za kuimarisha kilimo nchini. Mwanzo, kujengwa kwa vituo mbalimbali vya kuelimisha wakulima njia mbali mbali. Moja kupata maelezo ya kilimo.Na pia serikali kulifanya somo la kilimo la lazima lifanywe na kila mwanafunzi. Kupitia maelimisho haya wakulima watapata kujielimisha njia ainati za kuendeleza kilimo. Kama, kuna njia za kuzuia wadudu wanaoharibu mimea, njia za kupanda miti ipasavyo, mbolea ya kutumia katika mimea tofauti na hata inayotumiwa katika mimea na hata vifaa bora vya kurahisisha kilimo. Kwa haya Kilimo nchini itaweza kuimarishwa Pili, kuhimiza wakulima kupanda mimea yanayostahimili ukame kama vile mahindi ya Katumani, viazi vitamu, nazi na pia mihogo. Mimea hii inahitaji maji kidogo na usmamizi kidogo ili imarike. Kwa hivyo sehemu zenye ukame zinafaa zísidharauliwe bali ziwe zikitumiwa kupanda mimea ndiyo iweze kuimarisha kilimo nchini mwetu kwa sababu ya uhaba wa maji katika sehemu hizo. Vile vile, wakulima wahimizwe kutumia mbolea tofauti kulingana na mimea iliyo pandwa. Miongoni mwa mbolea ni kama mbolea samadi, mbolea za viwandani, mbolea za kijani na hata mbolea inboji. Mbolea hizi zinasaidia mchanga kupata rotuba na kuepushana mimea na maradhi yanayo yakumba mimea hayo. Mbolea itakuza mimea kukua na Kuimarika haraka. Mbolea zizi hizi husaidia kuongeza madini ambayo yanasaidia mimea kuwa na afya. Aidha, kuanzisha mtindo wa unyunizaji wa maji katika maeneo ya ukame. Serikali kupeana matenki makubwa ili siku za kunyesha mvua matenki hayo yawe yakihifadhi maji hayo. Maji hayo yataweza kuwasaidia wakulima katika siku za ukame Wakulima walatumia na kunyunyizia maji hayo basi kusaidia mimea kupata maji kusaidia uchipuzi wa mimea. Hivyo basi uimarishaji wa kilimo nchini. Hali kadhalika, serikali kuwa na msimamo upande wa kilimo. Serikali ibandike onyo kila mahali ambapo kuna miti kuwa atakapo kata mti atakuwa na faini ya milioni mbili au zaidi au onyo atakaye kata mti mmoja apande mengine miwili au zaidi la sivyo atafungwa gerezani maisha yake yote. Nikiongezea, Wakulima wanapaswa kuhimizwa kutumia vifaa vya kisasa katika kulima mashamba yao. Vifaa hivo ni kama fyekeo, plau, sepeto, jembe na hata reki. Utumizi wa vifaa hivi hurahisisha kazi kwa wakulima iwapo watatumia vifaa hivi. Licha ya haya, serikali inafaa kutoa mikopo kwa wakulima ili kueza kusaidia wakulima kugaramia gharama za mashamba na maisha yao. Wakulima watapata motisha kwa sababu wataona umuhimu wao katika jamii. Kwani, jamii huwategemea wakulima ili kukidhi mahitaji yao ya kimsingi. Wakulima wataweza kuendeleza kilimo maana bila ya wakulima, binadamu watapata tabu na kuhangaika kutafuta chakula. Hivyo basi, kilimo nchini kitaimarika. Nikitamatisha, serikali kuongeza viwanja vya mashamba kwa kununua viwanja ill kuajiri vijana ambao wanaranda randa randa mitaani wapate kazi na kuwa muhimu katika jamii. Hii pia itaweza kupunguza uhamiaji wa watu kutoka mashambani kuelekea mjini kutafuta ajra. Ikiwa vijana watapata kazi na itawafanya wawe na bidii wakijuwa wananchi wanawategemea kwa hili litazidisha mazao na kilimo kitaimarishwa nchini. Nina tumaini kuwa endapo serikali, wakulima na hata watu watafuata midokezo hii niliyoyadokeza basi kilimo kitaimarishwa na pia baa la njaa nchini litaisha iwapo tuta ungana kulitatua tatizo hili.
Taja neno lingine Sawa na kilimo
{ "text": [ "Zaraa" ] }
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Tatizo hili limewaua watu wengi na wengine kutopata kazi na kuishi maisha ya kiholela holela, zifuatazo ni njia mbali mbali za kuimarisha kilimo nchini. Mwanzo, kujengwa kwa vituo mbalimbali vya kuelimisha wakulima njia mbali mbali. Moja kupata maelezo ya kilimo.Na pia serikali kulifanya somo la kilimo la lazima lifanywe na kila mwanafunzi. Kupitia maelimisho haya wakulima watapata kujielimisha njia ainati za kuendeleza kilimo. Kama, kuna njia za kuzuia wadudu wanaoharibu mimea, njia za kupanda miti ipasavyo, mbolea ya kutumia katika mimea tofauti na hata inayotumiwa katika mimea na hata vifaa bora vya kurahisisha kilimo. Kwa haya Kilimo nchini itaweza kuimarishwa Pili, kuhimiza wakulima kupanda mimea yanayostahimili ukame kama vile mahindi ya Katumani, viazi vitamu, nazi na pia mihogo. Mimea hii inahitaji maji kidogo na usmamizi kidogo ili imarike. Kwa hivyo sehemu zenye ukame zinafaa zísidharauliwe bali ziwe zikitumiwa kupanda mimea ndiyo iweze kuimarisha kilimo nchini mwetu kwa sababu ya uhaba wa maji katika sehemu hizo. Vile vile, wakulima wahimizwe kutumia mbolea tofauti kulingana na mimea iliyo pandwa. Miongoni mwa mbolea ni kama mbolea samadi, mbolea za viwandani, mbolea za kijani na hata mbolea inboji. Mbolea hizi zinasaidia mchanga kupata rotuba na kuepushana mimea na maradhi yanayo yakumba mimea hayo. Mbolea itakuza mimea kukua na Kuimarika haraka. Mbolea zizi hizi husaidia kuongeza madini ambayo yanasaidia mimea kuwa na afya. Aidha, kuanzisha mtindo wa unyunizaji wa maji katika maeneo ya ukame. Serikali kupeana matenki makubwa ili siku za kunyesha mvua matenki hayo yawe yakihifadhi maji hayo. Maji hayo yataweza kuwasaidia wakulima katika siku za ukame Wakulima walatumia na kunyunyizia maji hayo basi kusaidia mimea kupata maji kusaidia uchipuzi wa mimea. Hivyo basi uimarishaji wa kilimo nchini. Hali kadhalika, serikali kuwa na msimamo upande wa kilimo. Serikali ibandike onyo kila mahali ambapo kuna miti kuwa atakapo kata mti atakuwa na faini ya milioni mbili au zaidi au onyo atakaye kata mti mmoja apande mengine miwili au zaidi la sivyo atafungwa gerezani maisha yake yote. Nikiongezea, Wakulima wanapaswa kuhimizwa kutumia vifaa vya kisasa katika kulima mashamba yao. Vifaa hivo ni kama fyekeo, plau, sepeto, jembe na hata reki. Utumizi wa vifaa hivi hurahisisha kazi kwa wakulima iwapo watatumia vifaa hivi. Licha ya haya, serikali inafaa kutoa mikopo kwa wakulima ili kueza kusaidia wakulima kugaramia gharama za mashamba na maisha yao. Wakulima watapata motisha kwa sababu wataona umuhimu wao katika jamii. Kwani, jamii huwategemea wakulima ili kukidhi mahitaji yao ya kimsingi. Wakulima wataweza kuendeleza kilimo maana bila ya wakulima, binadamu watapata tabu na kuhangaika kutafuta chakula. Hivyo basi, kilimo nchini kitaimarika. Nikitamatisha, serikali kuongeza viwanja vya mashamba kwa kununua viwanja ill kuajiri vijana ambao wanaranda randa randa mitaani wapate kazi na kuwa muhimu katika jamii. Hii pia itaweza kupunguza uhamiaji wa watu kutoka mashambani kuelekea mjini kutafuta ajra. Ikiwa vijana watapata kazi na itawafanya wawe na bidii wakijuwa wananchi wanawategemea kwa hili litazidisha mazao na kilimo kitaimarishwa nchini. Nina tumaini kuwa endapo serikali, wakulima na hata watu watafuata midokezo hii niliyoyadokeza basi kilimo kitaimarishwa na pia baa la njaa nchini litaisha iwapo tuta ungana kulitatua tatizo hili.
Vituo vijengwe kuelimisha nani
{ "text": [ "Wakulima " ] }
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Tatizo hili limewaua watu wengi na wengine kutopata kazi na kuishi maisha ya kiholela holela, zifuatazo ni njia mbali mbali za kuimarisha kilimo nchini. Mwanzo, kujengwa kwa vituo mbalimbali vya kuelimisha wakulima njia mbali mbali. Moja kupata maelezo ya kilimo.Na pia serikali kulifanya somo la kilimo la lazima lifanywe na kila mwanafunzi. Kupitia maelimisho haya wakulima watapata kujielimisha njia ainati za kuendeleza kilimo. Kama, kuna njia za kuzuia wadudu wanaoharibu mimea, njia za kupanda miti ipasavyo, mbolea ya kutumia katika mimea tofauti na hata inayotumiwa katika mimea na hata vifaa bora vya kurahisisha kilimo. Kwa haya Kilimo nchini itaweza kuimarishwa Pili, kuhimiza wakulima kupanda mimea yanayostahimili ukame kama vile mahindi ya Katumani, viazi vitamu, nazi na pia mihogo. Mimea hii inahitaji maji kidogo na usmamizi kidogo ili imarike. Kwa hivyo sehemu zenye ukame zinafaa zísidharauliwe bali ziwe zikitumiwa kupanda mimea ndiyo iweze kuimarisha kilimo nchini mwetu kwa sababu ya uhaba wa maji katika sehemu hizo. Vile vile, wakulima wahimizwe kutumia mbolea tofauti kulingana na mimea iliyo pandwa. Miongoni mwa mbolea ni kama mbolea samadi, mbolea za viwandani, mbolea za kijani na hata mbolea inboji. Mbolea hizi zinasaidia mchanga kupata rotuba na kuepushana mimea na maradhi yanayo yakumba mimea hayo. Mbolea itakuza mimea kukua na Kuimarika haraka. Mbolea zizi hizi husaidia kuongeza madini ambayo yanasaidia mimea kuwa na afya. Aidha, kuanzisha mtindo wa unyunizaji wa maji katika maeneo ya ukame. Serikali kupeana matenki makubwa ili siku za kunyesha mvua matenki hayo yawe yakihifadhi maji hayo. Maji hayo yataweza kuwasaidia wakulima katika siku za ukame Wakulima walatumia na kunyunyizia maji hayo basi kusaidia mimea kupata maji kusaidia uchipuzi wa mimea. Hivyo basi uimarishaji wa kilimo nchini. Hali kadhalika, serikali kuwa na msimamo upande wa kilimo. Serikali ibandike onyo kila mahali ambapo kuna miti kuwa atakapo kata mti atakuwa na faini ya milioni mbili au zaidi au onyo atakaye kata mti mmoja apande mengine miwili au zaidi la sivyo atafungwa gerezani maisha yake yote. Nikiongezea, Wakulima wanapaswa kuhimizwa kutumia vifaa vya kisasa katika kulima mashamba yao. Vifaa hivo ni kama fyekeo, plau, sepeto, jembe na hata reki. Utumizi wa vifaa hivi hurahisisha kazi kwa wakulima iwapo watatumia vifaa hivi. Licha ya haya, serikali inafaa kutoa mikopo kwa wakulima ili kueza kusaidia wakulima kugaramia gharama za mashamba na maisha yao. Wakulima watapata motisha kwa sababu wataona umuhimu wao katika jamii. Kwani, jamii huwategemea wakulima ili kukidhi mahitaji yao ya kimsingi. Wakulima wataweza kuendeleza kilimo maana bila ya wakulima, binadamu watapata tabu na kuhangaika kutafuta chakula. Hivyo basi, kilimo nchini kitaimarika. Nikitamatisha, serikali kuongeza viwanja vya mashamba kwa kununua viwanja ill kuajiri vijana ambao wanaranda randa randa mitaani wapate kazi na kuwa muhimu katika jamii. Hii pia itaweza kupunguza uhamiaji wa watu kutoka mashambani kuelekea mjini kutafuta ajra. Ikiwa vijana watapata kazi na itawafanya wawe na bidii wakijuwa wananchi wanawategemea kwa hili litazidisha mazao na kilimo kitaimarishwa nchini. Nina tumaini kuwa endapo serikali, wakulima na hata watu watafuata midokezo hii niliyoyadokeza basi kilimo kitaimarishwa na pia baa la njaa nchini litaisha iwapo tuta ungana kulitatua tatizo hili.
Wakulima wapande mimea inayostahili nini
{ "text": [ "Ukame" ] }
0189_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA KILIMO NCHINI Kilimo ni uti wa mgongo wa nchi yetu kilimo au zaraa inafaa kuwekwa kama kitu bora au muhimu. Maana bila kilimo watu hawatokuwa na kazi na wengine watakosa vyakula tatizo la kilimo nchini mwetu Kenya imesababishwa na uvivu wa wakulima na kutojua mbinu za kisasa za kilimo. Tatizo hili limewaua watu wengi na wengine kutopata kazi na kuishi maisha ya kiholela holela, zifuatazo ni njia mbali mbali za kuimarisha kilimo nchini. Mwanzo, kujengwa kwa vituo mbalimbali vya kuelimisha wakulima njia mbali mbali. Moja kupata maelezo ya kilimo.Na pia serikali kulifanya somo la kilimo la lazima lifanywe na kila mwanafunzi. Kupitia maelimisho haya wakulima watapata kujielimisha njia ainati za kuendeleza kilimo. Kama, kuna njia za kuzuia wadudu wanaoharibu mimea, njia za kupanda miti ipasavyo, mbolea ya kutumia katika mimea tofauti na hata inayotumiwa katika mimea na hata vifaa bora vya kurahisisha kilimo. Kwa haya Kilimo nchini itaweza kuimarishwa Pili, kuhimiza wakulima kupanda mimea yanayostahimili ukame kama vile mahindi ya Katumani, viazi vitamu, nazi na pia mihogo. Mimea hii inahitaji maji kidogo na usmamizi kidogo ili imarike. Kwa hivyo sehemu zenye ukame zinafaa zísidharauliwe bali ziwe zikitumiwa kupanda mimea ndiyo iweze kuimarisha kilimo nchini mwetu kwa sababu ya uhaba wa maji katika sehemu hizo. Vile vile, wakulima wahimizwe kutumia mbolea tofauti kulingana na mimea iliyo pandwa. Miongoni mwa mbolea ni kama mbolea samadi, mbolea za viwandani, mbolea za kijani na hata mbolea inboji. Mbolea hizi zinasaidia mchanga kupata rotuba na kuepushana mimea na maradhi yanayo yakumba mimea hayo. Mbolea itakuza mimea kukua na Kuimarika haraka. Mbolea zizi hizi husaidia kuongeza madini ambayo yanasaidia mimea kuwa na afya. Aidha, kuanzisha mtindo wa unyunizaji wa maji katika maeneo ya ukame. Serikali kupeana matenki makubwa ili siku za kunyesha mvua matenki hayo yawe yakihifadhi maji hayo. Maji hayo yataweza kuwasaidia wakulima katika siku za ukame Wakulima walatumia na kunyunyizia maji hayo basi kusaidia mimea kupata maji kusaidia uchipuzi wa mimea. Hivyo basi uimarishaji wa kilimo nchini. Hali kadhalika, serikali kuwa na msimamo upande wa kilimo. Serikali ibandike onyo kila mahali ambapo kuna miti kuwa atakapo kata mti atakuwa na faini ya milioni mbili au zaidi au onyo atakaye kata mti mmoja apande mengine miwili au zaidi la sivyo atafungwa gerezani maisha yake yote. Nikiongezea, Wakulima wanapaswa kuhimizwa kutumia vifaa vya kisasa katika kulima mashamba yao. Vifaa hivo ni kama fyekeo, plau, sepeto, jembe na hata reki. Utumizi wa vifaa hivi hurahisisha kazi kwa wakulima iwapo watatumia vifaa hivi. Licha ya haya, serikali inafaa kutoa mikopo kwa wakulima ili kueza kusaidia wakulima kugaramia gharama za mashamba na maisha yao. Wakulima watapata motisha kwa sababu wataona umuhimu wao katika jamii. Kwani, jamii huwategemea wakulima ili kukidhi mahitaji yao ya kimsingi. Wakulima wataweza kuendeleza kilimo maana bila ya wakulima, binadamu watapata tabu na kuhangaika kutafuta chakula. Hivyo basi, kilimo nchini kitaimarika. Nikitamatisha, serikali kuongeza viwanja vya mashamba kwa kununua viwanja ill kuajiri vijana ambao wanaranda randa randa mitaani wapate kazi na kuwa muhimu katika jamii. Hii pia itaweza kupunguza uhamiaji wa watu kutoka mashambani kuelekea mjini kutafuta ajra. Ikiwa vijana watapata kazi na itawafanya wawe na bidii wakijuwa wananchi wanawategemea kwa hili litazidisha mazao na kilimo kitaimarishwa nchini. Nina tumaini kuwa endapo serikali, wakulima na hata watu watafuata midokezo hii niliyoyadokeza basi kilimo kitaimarishwa na pia baa la njaa nchini litaisha iwapo tuta ungana kulitatua tatizo hili.
Kilimo kina matatizo gani?
{ "text": [ "Wakima kutojua mbinu za kisasa za kilimo" ] }
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia mbalimbali kama; ukabila kutoa na kupokea rushwa, kutumia mali ya umma vibaya kuzunguka mbuyu na ubaguzi wa rangi. Haya yote yanawaletea shida kubwa sana. Ufisadi wa kutoa na kupokea rushwa unasababishwa na wananchi wenyewe. Kama mwanafunzi amefeli katika mtihani anafukuzwa shule, ili abakie shuleni, wazazi wake wanatoa pesa na kusema ni chai na mtoto anarudishwa shuleni. Pia askari anapewa hongo ili asiwapeleke washtakiwa gerezani. Hii ni kosa kubwa sana kwa sababu wanavunja sheria, wanapaswa watiwe mbaroni na kuadhibiwa kwa kufanya kosa lao. Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuwaelimisha watu na viongozi wawe wazuri katika kazi zao na watosheke na mishahara wanaopatiwa. Pia wananchi waelimishwe kupitia redioni magazetini, runingani, tarakilishi na vipakatalishi, dhidi ya utoaji rushwa. Isitoshe kuna ukabila. Hii hujitokeza kwa viongozi kuyashughulikia makabila yao bila hata kujali makabila mengine. Viongozi, kwa mfano, wakipata misaada huwapatia watu wake. Hao huendelea kupata vitu vya bure, wakilala heri huku wengine wakilala hoi. Ufisadi huu unaweza kutupwa mbali kwa kuhamasisha taasisi za uongozi, haki sera na utangamano kupitia kwa mpango wa makundi au mashirika ya kijamii kupinga ukabila. Viongozi wanaotuhamiwa kuhusiana na ufisadi wa makabila wastahili kuripotiwa kwa Tume ya Maadili ya kupambana na ufisadi nchini. Pia kuna ufisadi wa ubaguzi wa rangi. Watu wenye rangi tofauti tofauti nchini huhusishwa na makabila mbalimbali humu nchini basi hili huchangia wao kuangukia upande mzuri au mbaya wa wenye vyeo mbalimbali.Watu wenye rangi nyeusi hupewa kazi sulubu na wenye rangi nyeupe hupewa kazi geperi. Ufisadi huu unaweza kujitokeza hata shuleni. Virani kutowaandika marafiki zake weupe. Hii huwafanya wale weusi wawe na huzuni riboribo na wale weupe wawe na furaha mpwito mpwito. Kila mwanafunzi anastahili kuwa na haki sawa hata awe na rangi gani. Ubaguzi wa rangi unaweza kukomeshwa kwa kutoa zawadi kwa wanafunzi wake walimu wasioshiriki ufisadi. Wakituzwa, watatupa ufisadi mbali. Pia tunaweza kushtaki wafisadi na kupewa adhabu kali wawe mfano kwa wengine. Ufisadi wa mwisho ni kutumia mali ya umma vibaya. Wafanyikazi wa serikali wanaweza kutumia mali ya umma kwa njia mbaya. Kwa mfano, kiongozi apewe pesa za mishahara ya wafanyakazi kisha achukue pesa hizo na kuzitumia kwa manufaa yake binafsi. Pia daktari apewe madawa na serikali ahudumie wagonjwa mbalimbali lakini badala yake huchukua na kuyapeleka katika duka lake kuuza dawa hizo. Madaktari kama hawa wanapaswa wafutwe kazi ili wafundishwe adabu. Huu ni ubinafsi kwa sababu daktari anapaswa kuwajibika na kuwa kilelezo chema kwa wananchi hasa wanapohudumia wagonjwa mbalimbali katika hospitali na zahnati. Hawapaswi kuuza dawa kwa minaajili ya matumizi yao ya kibinafsi kwa bei ya juu huku wakikandamiza mwananchi asiyejiweza ambaye hatimaye huenda jongomea kutokana na ukosefu wa dawa bora.Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum wa kusikiliza malalamshi ya umma. Malalamishi ambayo umma inaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari wa umma wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wakiripoti wafisadi, ufisadi utapungua nchini kote. Uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda imechukua nafasi ya hamsini na tano, Tanzania imechukua miamoja na kumi na pia Uganda imechukua mia moja na mbili, Kenya mia moja na arobaini na tano na Burundi mia moja na hamsini na tisa. Nina imani kuwa serikali ikizingatia yake yote ambayo nimeyataja .. basi ufisadi utakomeshwa na utakuwa ndoto nchini mwetu.
Nani amelaani ufisadi
{ "text": [ "Musa" ] }
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia mbalimbali kama; ukabila kutoa na kupokea rushwa, kutumia mali ya umma vibaya kuzunguka mbuyu na ubaguzi wa rangi. Haya yote yanawaletea shida kubwa sana. Ufisadi wa kutoa na kupokea rushwa unasababishwa na wananchi wenyewe. Kama mwanafunzi amefeli katika mtihani anafukuzwa shule, ili abakie shuleni, wazazi wake wanatoa pesa na kusema ni chai na mtoto anarudishwa shuleni. Pia askari anapewa hongo ili asiwapeleke washtakiwa gerezani. Hii ni kosa kubwa sana kwa sababu wanavunja sheria, wanapaswa watiwe mbaroni na kuadhibiwa kwa kufanya kosa lao. Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuwaelimisha watu na viongozi wawe wazuri katika kazi zao na watosheke na mishahara wanaopatiwa. Pia wananchi waelimishwe kupitia redioni magazetini, runingani, tarakilishi na vipakatalishi, dhidi ya utoaji rushwa. Isitoshe kuna ukabila. Hii hujitokeza kwa viongozi kuyashughulikia makabila yao bila hata kujali makabila mengine. Viongozi, kwa mfano, wakipata misaada huwapatia watu wake. Hao huendelea kupata vitu vya bure, wakilala heri huku wengine wakilala hoi. Ufisadi huu unaweza kutupwa mbali kwa kuhamasisha taasisi za uongozi, haki sera na utangamano kupitia kwa mpango wa makundi au mashirika ya kijamii kupinga ukabila. Viongozi wanaotuhamiwa kuhusiana na ufisadi wa makabila wastahili kuripotiwa kwa Tume ya Maadili ya kupambana na ufisadi nchini. Pia kuna ufisadi wa ubaguzi wa rangi. Watu wenye rangi tofauti tofauti nchini huhusishwa na makabila mbalimbali humu nchini basi hili huchangia wao kuangukia upande mzuri au mbaya wa wenye vyeo mbalimbali.Watu wenye rangi nyeusi hupewa kazi sulubu na wenye rangi nyeupe hupewa kazi geperi. Ufisadi huu unaweza kujitokeza hata shuleni. Virani kutowaandika marafiki zake weupe. Hii huwafanya wale weusi wawe na huzuni riboribo na wale weupe wawe na furaha mpwito mpwito. Kila mwanafunzi anastahili kuwa na haki sawa hata awe na rangi gani. Ubaguzi wa rangi unaweza kukomeshwa kwa kutoa zawadi kwa wanafunzi wake walimu wasioshiriki ufisadi. Wakituzwa, watatupa ufisadi mbali. Pia tunaweza kushtaki wafisadi na kupewa adhabu kali wawe mfano kwa wengine. Ufisadi wa mwisho ni kutumia mali ya umma vibaya. Wafanyikazi wa serikali wanaweza kutumia mali ya umma kwa njia mbaya. Kwa mfano, kiongozi apewe pesa za mishahara ya wafanyakazi kisha achukue pesa hizo na kuzitumia kwa manufaa yake binafsi. Pia daktari apewe madawa na serikali ahudumie wagonjwa mbalimbali lakini badala yake huchukua na kuyapeleka katika duka lake kuuza dawa hizo. Madaktari kama hawa wanapaswa wafutwe kazi ili wafundishwe adabu. Huu ni ubinafsi kwa sababu daktari anapaswa kuwajibika na kuwa kilelezo chema kwa wananchi hasa wanapohudumia wagonjwa mbalimbali katika hospitali na zahnati. Hawapaswi kuuza dawa kwa minaajili ya matumizi yao ya kibinafsi kwa bei ya juu huku wakikandamiza mwananchi asiyejiweza ambaye hatimaye huenda jongomea kutokana na ukosefu wa dawa bora.Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum wa kusikiliza malalamshi ya umma. Malalamishi ambayo umma inaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari wa umma wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wakiripoti wafisadi, ufisadi utapungua nchini kote. Uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda imechukua nafasi ya hamsini na tano, Tanzania imechukua miamoja na kumi na pia Uganda imechukua mia moja na mbili, Kenya mia moja na arobaini na tano na Burundi mia moja na hamsini na tisa. Nina imani kuwa serikali ikizingatia yake yote ambayo nimeyataja .. basi ufisadi utakomeshwa na utakuwa ndoto nchini mwetu.
Ufisadi wa rushwa husababishwa na nani
{ "text": [ "wananchi" ] }
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia mbalimbali kama; ukabila kutoa na kupokea rushwa, kutumia mali ya umma vibaya kuzunguka mbuyu na ubaguzi wa rangi. Haya yote yanawaletea shida kubwa sana. Ufisadi wa kutoa na kupokea rushwa unasababishwa na wananchi wenyewe. Kama mwanafunzi amefeli katika mtihani anafukuzwa shule, ili abakie shuleni, wazazi wake wanatoa pesa na kusema ni chai na mtoto anarudishwa shuleni. Pia askari anapewa hongo ili asiwapeleke washtakiwa gerezani. Hii ni kosa kubwa sana kwa sababu wanavunja sheria, wanapaswa watiwe mbaroni na kuadhibiwa kwa kufanya kosa lao. Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuwaelimisha watu na viongozi wawe wazuri katika kazi zao na watosheke na mishahara wanaopatiwa. Pia wananchi waelimishwe kupitia redioni magazetini, runingani, tarakilishi na vipakatalishi, dhidi ya utoaji rushwa. Isitoshe kuna ukabila. Hii hujitokeza kwa viongozi kuyashughulikia makabila yao bila hata kujali makabila mengine. Viongozi, kwa mfano, wakipata misaada huwapatia watu wake. Hao huendelea kupata vitu vya bure, wakilala heri huku wengine wakilala hoi. Ufisadi huu unaweza kutupwa mbali kwa kuhamasisha taasisi za uongozi, haki sera na utangamano kupitia kwa mpango wa makundi au mashirika ya kijamii kupinga ukabila. Viongozi wanaotuhamiwa kuhusiana na ufisadi wa makabila wastahili kuripotiwa kwa Tume ya Maadili ya kupambana na ufisadi nchini. Pia kuna ufisadi wa ubaguzi wa rangi. Watu wenye rangi tofauti tofauti nchini huhusishwa na makabila mbalimbali humu nchini basi hili huchangia wao kuangukia upande mzuri au mbaya wa wenye vyeo mbalimbali.Watu wenye rangi nyeusi hupewa kazi sulubu na wenye rangi nyeupe hupewa kazi geperi. Ufisadi huu unaweza kujitokeza hata shuleni. Virani kutowaandika marafiki zake weupe. Hii huwafanya wale weusi wawe na huzuni riboribo na wale weupe wawe na furaha mpwito mpwito. Kila mwanafunzi anastahili kuwa na haki sawa hata awe na rangi gani. Ubaguzi wa rangi unaweza kukomeshwa kwa kutoa zawadi kwa wanafunzi wake walimu wasioshiriki ufisadi. Wakituzwa, watatupa ufisadi mbali. Pia tunaweza kushtaki wafisadi na kupewa adhabu kali wawe mfano kwa wengine. Ufisadi wa mwisho ni kutumia mali ya umma vibaya. Wafanyikazi wa serikali wanaweza kutumia mali ya umma kwa njia mbaya. Kwa mfano, kiongozi apewe pesa za mishahara ya wafanyakazi kisha achukue pesa hizo na kuzitumia kwa manufaa yake binafsi. Pia daktari apewe madawa na serikali ahudumie wagonjwa mbalimbali lakini badala yake huchukua na kuyapeleka katika duka lake kuuza dawa hizo. Madaktari kama hawa wanapaswa wafutwe kazi ili wafundishwe adabu. Huu ni ubinafsi kwa sababu daktari anapaswa kuwajibika na kuwa kilelezo chema kwa wananchi hasa wanapohudumia wagonjwa mbalimbali katika hospitali na zahnati. Hawapaswi kuuza dawa kwa minaajili ya matumizi yao ya kibinafsi kwa bei ya juu huku wakikandamiza mwananchi asiyejiweza ambaye hatimaye huenda jongomea kutokana na ukosefu wa dawa bora.Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum wa kusikiliza malalamshi ya umma. Malalamishi ambayo umma inaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari wa umma wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wakiripoti wafisadi, ufisadi utapungua nchini kote. Uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda imechukua nafasi ya hamsini na tano, Tanzania imechukua miamoja na kumi na pia Uganda imechukua mia moja na mbili, Kenya mia moja na arobaini na tano na Burundi mia moja na hamsini na tisa. Nina imani kuwa serikali ikizingatia yake yote ambayo nimeyataja .. basi ufisadi utakomeshwa na utakuwa ndoto nchini mwetu.
Wavunja sheria wanapaswa watiwe wapi
{ "text": [ "mbaroni" ] }
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia mbalimbali kama; ukabila kutoa na kupokea rushwa, kutumia mali ya umma vibaya kuzunguka mbuyu na ubaguzi wa rangi. Haya yote yanawaletea shida kubwa sana. Ufisadi wa kutoa na kupokea rushwa unasababishwa na wananchi wenyewe. Kama mwanafunzi amefeli katika mtihani anafukuzwa shule, ili abakie shuleni, wazazi wake wanatoa pesa na kusema ni chai na mtoto anarudishwa shuleni. Pia askari anapewa hongo ili asiwapeleke washtakiwa gerezani. Hii ni kosa kubwa sana kwa sababu wanavunja sheria, wanapaswa watiwe mbaroni na kuadhibiwa kwa kufanya kosa lao. Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuwaelimisha watu na viongozi wawe wazuri katika kazi zao na watosheke na mishahara wanaopatiwa. Pia wananchi waelimishwe kupitia redioni magazetini, runingani, tarakilishi na vipakatalishi, dhidi ya utoaji rushwa. Isitoshe kuna ukabila. Hii hujitokeza kwa viongozi kuyashughulikia makabila yao bila hata kujali makabila mengine. Viongozi, kwa mfano, wakipata misaada huwapatia watu wake. Hao huendelea kupata vitu vya bure, wakilala heri huku wengine wakilala hoi. Ufisadi huu unaweza kutupwa mbali kwa kuhamasisha taasisi za uongozi, haki sera na utangamano kupitia kwa mpango wa makundi au mashirika ya kijamii kupinga ukabila. Viongozi wanaotuhamiwa kuhusiana na ufisadi wa makabila wastahili kuripotiwa kwa Tume ya Maadili ya kupambana na ufisadi nchini. Pia kuna ufisadi wa ubaguzi wa rangi. Watu wenye rangi tofauti tofauti nchini huhusishwa na makabila mbalimbali humu nchini basi hili huchangia wao kuangukia upande mzuri au mbaya wa wenye vyeo mbalimbali.Watu wenye rangi nyeusi hupewa kazi sulubu na wenye rangi nyeupe hupewa kazi geperi. Ufisadi huu unaweza kujitokeza hata shuleni. Virani kutowaandika marafiki zake weupe. Hii huwafanya wale weusi wawe na huzuni riboribo na wale weupe wawe na furaha mpwito mpwito. Kila mwanafunzi anastahili kuwa na haki sawa hata awe na rangi gani. Ubaguzi wa rangi unaweza kukomeshwa kwa kutoa zawadi kwa wanafunzi wake walimu wasioshiriki ufisadi. Wakituzwa, watatupa ufisadi mbali. Pia tunaweza kushtaki wafisadi na kupewa adhabu kali wawe mfano kwa wengine. Ufisadi wa mwisho ni kutumia mali ya umma vibaya. Wafanyikazi wa serikali wanaweza kutumia mali ya umma kwa njia mbaya. Kwa mfano, kiongozi apewe pesa za mishahara ya wafanyakazi kisha achukue pesa hizo na kuzitumia kwa manufaa yake binafsi. Pia daktari apewe madawa na serikali ahudumie wagonjwa mbalimbali lakini badala yake huchukua na kuyapeleka katika duka lake kuuza dawa hizo. Madaktari kama hawa wanapaswa wafutwe kazi ili wafundishwe adabu. Huu ni ubinafsi kwa sababu daktari anapaswa kuwajibika na kuwa kilelezo chema kwa wananchi hasa wanapohudumia wagonjwa mbalimbali katika hospitali na zahnati. Hawapaswi kuuza dawa kwa minaajili ya matumizi yao ya kibinafsi kwa bei ya juu huku wakikandamiza mwananchi asiyejiweza ambaye hatimaye huenda jongomea kutokana na ukosefu wa dawa bora.Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum wa kusikiliza malalamshi ya umma. Malalamishi ambayo umma inaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari wa umma wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wakiripoti wafisadi, ufisadi utapungua nchini kote. Uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda imechukua nafasi ya hamsini na tano, Tanzania imechukua miamoja na kumi na pia Uganda imechukua mia moja na mbili, Kenya mia moja na arobaini na tano na Burundi mia moja na hamsini na tisa. Nina imani kuwa serikali ikizingatia yake yote ambayo nimeyataja .. basi ufisadi utakomeshwa na utakuwa ndoto nchini mwetu.
Viongozi wakipata misaada huwapatia nani?
{ "text": [ "watu wake" ] }
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia mbalimbali kama; ukabila kutoa na kupokea rushwa, kutumia mali ya umma vibaya kuzunguka mbuyu na ubaguzi wa rangi. Haya yote yanawaletea shida kubwa sana. Ufisadi wa kutoa na kupokea rushwa unasababishwa na wananchi wenyewe. Kama mwanafunzi amefeli katika mtihani anafukuzwa shule, ili abakie shuleni, wazazi wake wanatoa pesa na kusema ni chai na mtoto anarudishwa shuleni. Pia askari anapewa hongo ili asiwapeleke washtakiwa gerezani. Hii ni kosa kubwa sana kwa sababu wanavunja sheria, wanapaswa watiwe mbaroni na kuadhibiwa kwa kufanya kosa lao. Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuwaelimisha watu na viongozi wawe wazuri katika kazi zao na watosheke na mishahara wanaopatiwa. Pia wananchi waelimishwe kupitia redioni magazetini, runingani, tarakilishi na vipakatalishi, dhidi ya utoaji rushwa. Isitoshe kuna ukabila. Hii hujitokeza kwa viongozi kuyashughulikia makabila yao bila hata kujali makabila mengine. Viongozi, kwa mfano, wakipata misaada huwapatia watu wake. Hao huendelea kupata vitu vya bure, wakilala heri huku wengine wakilala hoi. Ufisadi huu unaweza kutupwa mbali kwa kuhamasisha taasisi za uongozi, haki sera na utangamano kupitia kwa mpango wa makundi au mashirika ya kijamii kupinga ukabila. Viongozi wanaotuhamiwa kuhusiana na ufisadi wa makabila wastahili kuripotiwa kwa Tume ya Maadili ya kupambana na ufisadi nchini. Pia kuna ufisadi wa ubaguzi wa rangi. Watu wenye rangi tofauti tofauti nchini huhusishwa na makabila mbalimbali humu nchini basi hili huchangia wao kuangukia upande mzuri au mbaya wa wenye vyeo mbalimbali.Watu wenye rangi nyeusi hupewa kazi sulubu na wenye rangi nyeupe hupewa kazi geperi. Ufisadi huu unaweza kujitokeza hata shuleni. Virani kutowaandika marafiki zake weupe. Hii huwafanya wale weusi wawe na huzuni riboribo na wale weupe wawe na furaha mpwito mpwito. Kila mwanafunzi anastahili kuwa na haki sawa hata awe na rangi gani. Ubaguzi wa rangi unaweza kukomeshwa kwa kutoa zawadi kwa wanafunzi wake walimu wasioshiriki ufisadi. Wakituzwa, watatupa ufisadi mbali. Pia tunaweza kushtaki wafisadi na kupewa adhabu kali wawe mfano kwa wengine. Ufisadi wa mwisho ni kutumia mali ya umma vibaya. Wafanyikazi wa serikali wanaweza kutumia mali ya umma kwa njia mbaya. Kwa mfano, kiongozi apewe pesa za mishahara ya wafanyakazi kisha achukue pesa hizo na kuzitumia kwa manufaa yake binafsi. Pia daktari apewe madawa na serikali ahudumie wagonjwa mbalimbali lakini badala yake huchukua na kuyapeleka katika duka lake kuuza dawa hizo. Madaktari kama hawa wanapaswa wafutwe kazi ili wafundishwe adabu. Huu ni ubinafsi kwa sababu daktari anapaswa kuwajibika na kuwa kilelezo chema kwa wananchi hasa wanapohudumia wagonjwa mbalimbali katika hospitali na zahnati. Hawapaswi kuuza dawa kwa minaajili ya matumizi yao ya kibinafsi kwa bei ya juu huku wakikandamiza mwananchi asiyejiweza ambaye hatimaye huenda jongomea kutokana na ukosefu wa dawa bora.Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum wa kusikiliza malalamshi ya umma. Malalamishi ambayo umma inaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari wa umma wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wakiripoti wafisadi, ufisadi utapungua nchini kote. Uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda imechukua nafasi ya hamsini na tano, Tanzania imechukua miamoja na kumi na pia Uganda imechukua mia moja na mbili, Kenya mia moja na arobaini na tano na Burundi mia moja na hamsini na tisa. Nina imani kuwa serikali ikizingatia yake yote ambayo nimeyataja .. basi ufisadi utakomeshwa na utakuwa ndoto nchini mwetu.
Mbona askari hupewa hongo
{ "text": [ "ili asipeleke washtakiwa gerezani" ] }
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia mbalimbali kama; ukabila kutoa na kupokea rushwa, kutumia mali ya umma vibaya kuzunguka mbuyu na ubaguzi wa rangi. Haya yote yanawaletea shida kubwa sana. Ufisadi wa kutoa na kupokea rushwa unasababishwa na wananchi wenyewe. Kama mwanafunzi amefeli katika mtihani anafukuzwa shule, ili abakie shuleni, wazazi wake wanatoa pesa na kusema ni chai na mtoto anarudishwa shuleni. Pia askari anapewa hongo ili asiwapeleke washtakiwa gerezani. Hii ni kosa kubwa sana kwa sababu wanavunja sheria, wanapaswa watiwe mbaroni na kuadhibiwa kwa kufanya kosa lao. Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuwaelimisha watu na viongozi wawe wazuri katika kazi zao na watosheke na mishahara wanaopatiwa. Pia wananchi waelimishwe kupitia redioni magazetini, runingani, tarakilishi na vipakatalishi, dhidi ya utoaji rushwa. Isitoshe kuna ukabila. Hii hujitokeza kwa viongozi kuyashughulikia makabila yao bila hata kujali makabila mengine. Viongozi, kwa mfano, wakipata misaada huwapatia watu wake. Hao huendelea kupata vitu vya bure, wakilala heri huku wengine wakilala hoi. Ufisadi huu unaweza kutupwa mbali kwa kuhamasisha taasisi za uongozi, haki sera na utangamano kupitia kwa mpango wa makundi au mashirika ya kijamii kupinga ukabila. Viongozi wanaotuhamiwa kuhusiana na ufisadi wa makabila wastahili kuripotiwa kwa Tume ya Maadili ya kupambana na ufisadi nchini. Pia kuna ufisadi wa ubaguzi wa rangi. Watu wenye rangi tofauti tofauti nchini huhusishwa na makabila mbalimbali humu nchini basi hili huchangia wao kuangukia upande mzuri au mbaya wa wenye vyeo mbalimbali.Watu wenye rangi nyeusi hupewa kazi sulubu na wenye rangi nyeupe hupewa kazi geperi. Ufisadi huu unaweza kujitokeza hata shuleni. Virani kutowaandika marafiki zake weupe. Hii huwafanya wale weusi wawe na huzuni riboribo na wale weupe wawe na furaha mpwito mpwito. Kila mwanafunzi anastahili kuwa na haki sawa hata awe na rangi gani. Ubaguzi wa rangi unaweza kukomeshwa kwa kutoa zawadi kwa wanafunzi wake walimu wasioshiriki ufisadi. Wakituzwa, watatupa ufisadi mbali. Pia tunaweza kushtaki wafisadi na kupewa adhabu kali wawe mfano kwa wengine. Ufisadi wa mwisho ni kutumia mali ya umma vibaya. Wafanyikazi wa serikali wanaweza kutumia mali ya umma kwa njia mbaya. Kwa mfano, kiongozi apewe pesa za mishahara ya wafanyakazi kisha achukue pesa hizo na kuzitumia kwa manufaa yake binafsi. Pia daktari apewe madawa na serikali ahudumie wagonjwa mbalimbali lakini badala yake huchukua na kuyapeleka katika duka lake kuuza dawa hizo. Madaktari kama hawa wanapaswa wafutwe kazi ili wafundishwe adabu. Huu ni ubinafsi kwa sababu daktari anapaswa kuwajibika na kuwa kilelezo chema kwa wananchi hasa wanapohudumia wagonjwa mbalimbali katika hospitali na zahnati. Hawapaswi kuuza dawa kwa minaajili ya matumizi yao ya kibinafsi kwa bei ya juu huku wakikandamiza mwananchi asiyejiweza ambaye hatimaye huenda jongomea kutokana na ukosefu wa dawa bora.Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum wa kusikiliza malalamshi ya umma. Malalamishi ambayo umma inaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari wa umma wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wakiripoti wafisadi, ufisadi utapungua nchini kote. Uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda imechukua nafasi ya hamsini na tano, Tanzania imechukua miamoja na kumi na pia Uganda imechukua mia moja na mbili, Kenya mia moja na arobaini na tano na Burundi mia moja na hamsini na tisa. Nina imani kuwa serikali ikizingatia yake yote ambayo nimeyataja .. basi ufisadi utakomeshwa na utakuwa ndoto nchini mwetu.
Ufisadi ulianza lini
{ "text": [ "kitambo sana" ] }
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia mbalimbali kama; ukabila kutoa na kupokea rushwa, kutumia mali ya umma vibaya kuzunguka mbuyu na ubaguzi wa rangi. Haya yote yanawaletea shida kubwa sana. Ufisadi wa kutoa na kupokea rushwa unasababishwa na wananchi wenyewe. Kama mwanafunzi amefeli katika mtihani anafukuzwa shule, ili abakie shuleni, wazazi wake wanatoa pesa na kusema ni chai na mtoto anarudishwa shuleni. Pia askari anapewa hongo ili asiwapeleke washtakiwa gerezani. Hii ni kosa kubwa sana kwa sababu wanavunja sheria, wanapaswa watiwe mbaroni na kuadhibiwa kwa kufanya kosa lao. Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuwaelimisha watu na viongozi wawe wazuri katika kazi zao na watosheke na mishahara wanaopatiwa. Pia wananchi waelimishwe kupitia redioni magazetini, runingani, tarakilishi na vipakatalishi, dhidi ya utoaji rushwa. Isitoshe kuna ukabila. Hii hujitokeza kwa viongozi kuyashughulikia makabila yao bila hata kujali makabila mengine. Viongozi, kwa mfano, wakipata misaada huwapatia watu wake. Hao huendelea kupata vitu vya bure, wakilala heri huku wengine wakilala hoi. Ufisadi huu unaweza kutupwa mbali kwa kuhamasisha taasisi za uongozi, haki sera na utangamano kupitia kwa mpango wa makundi au mashirika ya kijamii kupinga ukabila. Viongozi wanaotuhamiwa kuhusiana na ufisadi wa makabila wastahili kuripotiwa kwa Tume ya Maadili ya kupambana na ufisadi nchini. Pia kuna ufisadi wa ubaguzi wa rangi. Watu wenye rangi tofauti tofauti nchini huhusishwa na makabila mbalimbali humu nchini basi hili huchangia wao kuangukia upande mzuri au mbaya wa wenye vyeo mbalimbali.Watu wenye rangi nyeusi hupewa kazi sulubu na wenye rangi nyeupe hupewa kazi geperi. Ufisadi huu unaweza kujitokeza hata shuleni. Virani kutowaandika marafiki zake weupe. Hii huwafanya wale weusi wawe na huzuni riboribo na wale weupe wawe na furaha mpwito mpwito. Kila mwanafunzi anastahili kuwa na haki sawa hata awe na rangi gani. Ubaguzi wa rangi unaweza kukomeshwa kwa kutoa zawadi kwa wanafunzi wake walimu wasioshiriki ufisadi. Wakituzwa, watatupa ufisadi mbali. Pia tunaweza kushtaki wafisadi na kupewa adhabu kali wawe mfano kwa wengine. Ufisadi wa mwisho ni kutumia mali ya umma vibaya. Wafanyikazi wa serikali wanaweza kutumia mali ya umma kwa njia mbaya. Kwa mfano, kiongozi apewe pesa za mishahara ya wafanyakazi kisha achukue pesa hizo na kuzitumia kwa manufaa yake binafsi. Pia daktari apewe madawa na serikali ahudumie wagonjwa mbalimbali lakini badala yake huchukua na kuyapeleka katika duka lake kuuza dawa hizo. Madaktari kama hawa wanapaswa wafutwe kazi ili wafundishwe adabu. Huu ni ubinafsi kwa sababu daktari anapaswa kuwajibika na kuwa kilelezo chema kwa wananchi hasa wanapohudumia wagonjwa mbalimbali katika hospitali na zahnati. Hawapaswi kuuza dawa kwa minaajili ya matumizi yao ya kibinafsi kwa bei ya juu huku wakikandamiza mwananchi asiyejiweza ambaye hatimaye huenda jongomea kutokana na ukosefu wa dawa bora.Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum wa kusikiliza malalamshi ya umma. Malalamishi ambayo umma inaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari wa umma wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wakiripoti wafisadi, ufisadi utapungua nchini kote. Uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda imechukua nafasi ya hamsini na tano, Tanzania imechukua miamoja na kumi na pia Uganda imechukua mia moja na mbili, Kenya mia moja na arobaini na tano na Burundi mia moja na hamsini na tisa. Nina imani kuwa serikali ikizingatia yake yote ambayo nimeyataja .. basi ufisadi utakomeshwa na utakuwa ndoto nchini mwetu.
Nani amelaani ufisadi katika Biblia
{ "text": [ "Musa" ] }
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia mbalimbali kama; ukabila kutoa na kupokea rushwa, kutumia mali ya umma vibaya kuzunguka mbuyu na ubaguzi wa rangi. Haya yote yanawaletea shida kubwa sana. Ufisadi wa kutoa na kupokea rushwa unasababishwa na wananchi wenyewe. Kama mwanafunzi amefeli katika mtihani anafukuzwa shule, ili abakie shuleni, wazazi wake wanatoa pesa na kusema ni chai na mtoto anarudishwa shuleni. Pia askari anapewa hongo ili asiwapeleke washtakiwa gerezani. Hii ni kosa kubwa sana kwa sababu wanavunja sheria, wanapaswa watiwe mbaroni na kuadhibiwa kwa kufanya kosa lao. Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuwaelimisha watu na viongozi wawe wazuri katika kazi zao na watosheke na mishahara wanaopatiwa. Pia wananchi waelimishwe kupitia redioni magazetini, runingani, tarakilishi na vipakatalishi, dhidi ya utoaji rushwa. Isitoshe kuna ukabila. Hii hujitokeza kwa viongozi kuyashughulikia makabila yao bila hata kujali makabila mengine. Viongozi, kwa mfano, wakipata misaada huwapatia watu wake. Hao huendelea kupata vitu vya bure, wakilala heri huku wengine wakilala hoi. Ufisadi huu unaweza kutupwa mbali kwa kuhamasisha taasisi za uongozi, haki sera na utangamano kupitia kwa mpango wa makundi au mashirika ya kijamii kupinga ukabila. Viongozi wanaotuhamiwa kuhusiana na ufisadi wa makabila wastahili kuripotiwa kwa Tume ya Maadili ya kupambana na ufisadi nchini. Pia kuna ufisadi wa ubaguzi wa rangi. Watu wenye rangi tofauti tofauti nchini huhusishwa na makabila mbalimbali humu nchini basi hili huchangia wao kuangukia upande mzuri au mbaya wa wenye vyeo mbalimbali.Watu wenye rangi nyeusi hupewa kazi sulubu na wenye rangi nyeupe hupewa kazi geperi. Ufisadi huu unaweza kujitokeza hata shuleni. Virani kutowaandika marafiki zake weupe. Hii huwafanya wale weusi wawe na huzuni riboribo na wale weupe wawe na furaha mpwito mpwito. Kila mwanafunzi anastahili kuwa na haki sawa hata awe na rangi gani. Ubaguzi wa rangi unaweza kukomeshwa kwa kutoa zawadi kwa wanafunzi wake walimu wasioshiriki ufisadi. Wakituzwa, watatupa ufisadi mbali. Pia tunaweza kushtaki wafisadi na kupewa adhabu kali wawe mfano kwa wengine. Ufisadi wa mwisho ni kutumia mali ya umma vibaya. Wafanyikazi wa serikali wanaweza kutumia mali ya umma kwa njia mbaya. Kwa mfano, kiongozi apewe pesa za mishahara ya wafanyakazi kisha achukue pesa hizo na kuzitumia kwa manufaa yake binafsi. Pia daktari apewe madawa na serikali ahudumie wagonjwa mbalimbali lakini badala yake huchukua na kuyapeleka katika duka lake kuuza dawa hizo. Madaktari kama hawa wanapaswa wafutwe kazi ili wafundishwe adabu. Huu ni ubinafsi kwa sababu daktari anapaswa kuwajibika na kuwa kilelezo chema kwa wananchi hasa wanapohudumia wagonjwa mbalimbali katika hospitali na zahnati. Hawapaswi kuuza dawa kwa minaajili ya matumizi yao ya kibinafsi kwa bei ya juu huku wakikandamiza mwananchi asiyejiweza ambaye hatimaye huenda jongomea kutokana na ukosefu wa dawa bora.Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum wa kusikiliza malalamshi ya umma. Malalamishi ambayo umma inaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari wa umma wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wakiripoti wafisadi, ufisadi utapungua nchini kote. Uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda imechukua nafasi ya hamsini na tano, Tanzania imechukua miamoja na kumi na pia Uganda imechukua mia moja na mbili, Kenya mia moja na arobaini na tano na Burundi mia moja na hamsini na tisa. Nina imani kuwa serikali ikizingatia yake yote ambayo nimeyataja .. basi ufisadi utakomeshwa na utakuwa ndoto nchini mwetu.
Ufisadi wa rushwa husababishwa na nani
{ "text": [ "wananchi" ] }
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia mbalimbali kama; ukabila kutoa na kupokea rushwa, kutumia mali ya umma vibaya kuzunguka mbuyu na ubaguzi wa rangi. Haya yote yanawaletea shida kubwa sana. Ufisadi wa kutoa na kupokea rushwa unasababishwa na wananchi wenyewe. Kama mwanafunzi amefeli katika mtihani anafukuzwa shule, ili abakie shuleni, wazazi wake wanatoa pesa na kusema ni chai na mtoto anarudishwa shuleni. Pia askari anapewa hongo ili asiwapeleke washtakiwa gerezani. Hii ni kosa kubwa sana kwa sababu wanavunja sheria, wanapaswa watiwe mbaroni na kuadhibiwa kwa kufanya kosa lao. Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuwaelimisha watu na viongozi wawe wazuri katika kazi zao na watosheke na mishahara wanaopatiwa. Pia wananchi waelimishwe kupitia redioni magazetini, runingani, tarakilishi na vipakatalishi, dhidi ya utoaji rushwa. Isitoshe kuna ukabila. Hii hujitokeza kwa viongozi kuyashughulikia makabila yao bila hata kujali makabila mengine. Viongozi, kwa mfano, wakipata misaada huwapatia watu wake. Hao huendelea kupata vitu vya bure, wakilala heri huku wengine wakilala hoi. Ufisadi huu unaweza kutupwa mbali kwa kuhamasisha taasisi za uongozi, haki sera na utangamano kupitia kwa mpango wa makundi au mashirika ya kijamii kupinga ukabila. Viongozi wanaotuhamiwa kuhusiana na ufisadi wa makabila wastahili kuripotiwa kwa Tume ya Maadili ya kupambana na ufisadi nchini. Pia kuna ufisadi wa ubaguzi wa rangi. Watu wenye rangi tofauti tofauti nchini huhusishwa na makabila mbalimbali humu nchini basi hili huchangia wao kuangukia upande mzuri au mbaya wa wenye vyeo mbalimbali.Watu wenye rangi nyeusi hupewa kazi sulubu na wenye rangi nyeupe hupewa kazi geperi. Ufisadi huu unaweza kujitokeza hata shuleni. Virani kutowaandika marafiki zake weupe. Hii huwafanya wale weusi wawe na huzuni riboribo na wale weupe wawe na furaha mpwito mpwito. Kila mwanafunzi anastahili kuwa na haki sawa hata awe na rangi gani. Ubaguzi wa rangi unaweza kukomeshwa kwa kutoa zawadi kwa wanafunzi wake walimu wasioshiriki ufisadi. Wakituzwa, watatupa ufisadi mbali. Pia tunaweza kushtaki wafisadi na kupewa adhabu kali wawe mfano kwa wengine. Ufisadi wa mwisho ni kutumia mali ya umma vibaya. Wafanyikazi wa serikali wanaweza kutumia mali ya umma kwa njia mbaya. Kwa mfano, kiongozi apewe pesa za mishahara ya wafanyakazi kisha achukue pesa hizo na kuzitumia kwa manufaa yake binafsi. Pia daktari apewe madawa na serikali ahudumie wagonjwa mbalimbali lakini badala yake huchukua na kuyapeleka katika duka lake kuuza dawa hizo. Madaktari kama hawa wanapaswa wafutwe kazi ili wafundishwe adabu. Huu ni ubinafsi kwa sababu daktari anapaswa kuwajibika na kuwa kilelezo chema kwa wananchi hasa wanapohudumia wagonjwa mbalimbali katika hospitali na zahnati. Hawapaswi kuuza dawa kwa minaajili ya matumizi yao ya kibinafsi kwa bei ya juu huku wakikandamiza mwananchi asiyejiweza ambaye hatimaye huenda jongomea kutokana na ukosefu wa dawa bora.Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum wa kusikiliza malalamshi ya umma. Malalamishi ambayo umma inaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari wa umma wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wakiripoti wafisadi, ufisadi utapungua nchini kote. Uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda imechukua nafasi ya hamsini na tano, Tanzania imechukua miamoja na kumi na pia Uganda imechukua mia moja na mbili, Kenya mia moja na arobaini na tano na Burundi mia moja na hamsini na tisa. Nina imani kuwa serikali ikizingatia yake yote ambayo nimeyataja .. basi ufisadi utakomeshwa na utakuwa ndoto nchini mwetu.
Rwanda imechukua nafsi ya ngapi
{ "text": [ "hamsini na tano" ] }
0191_swa
NAMNA MBALIMBALI ZA KUKABILIANA NA UFISADI NCHINI Ufisadi ni wizi wa mali ya umma katika mashirika ya umma au serikali. Ufisadi ulianza kitambo sana kwa sababu katika Biblia Musa amelaani ufisadi. Ufisadi umeenea nchini na kuwa tata sana hivi kwamba unatisha kuharibu misingi ya jamii. Ufisadi unaweza kutokea kwa njia mbalimbali kama; ukabila kutoa na kupokea rushwa, kutumia mali ya umma vibaya kuzunguka mbuyu na ubaguzi wa rangi. Haya yote yanawaletea shida kubwa sana. Ufisadi wa kutoa na kupokea rushwa unasababishwa na wananchi wenyewe. Kama mwanafunzi amefeli katika mtihani anafukuzwa shule, ili abakie shuleni, wazazi wake wanatoa pesa na kusema ni chai na mtoto anarudishwa shuleni. Pia askari anapewa hongo ili asiwapeleke washtakiwa gerezani. Hii ni kosa kubwa sana kwa sababu wanavunja sheria, wanapaswa watiwe mbaroni na kuadhibiwa kwa kufanya kosa lao. Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuwaelimisha watu na viongozi wawe wazuri katika kazi zao na watosheke na mishahara wanaopatiwa. Pia wananchi waelimishwe kupitia redioni magazetini, runingani, tarakilishi na vipakatalishi, dhidi ya utoaji rushwa. Isitoshe kuna ukabila. Hii hujitokeza kwa viongozi kuyashughulikia makabila yao bila hata kujali makabila mengine. Viongozi, kwa mfano, wakipata misaada huwapatia watu wake. Hao huendelea kupata vitu vya bure, wakilala heri huku wengine wakilala hoi. Ufisadi huu unaweza kutupwa mbali kwa kuhamasisha taasisi za uongozi, haki sera na utangamano kupitia kwa mpango wa makundi au mashirika ya kijamii kupinga ukabila. Viongozi wanaotuhamiwa kuhusiana na ufisadi wa makabila wastahili kuripotiwa kwa Tume ya Maadili ya kupambana na ufisadi nchini. Pia kuna ufisadi wa ubaguzi wa rangi. Watu wenye rangi tofauti tofauti nchini huhusishwa na makabila mbalimbali humu nchini basi hili huchangia wao kuangukia upande mzuri au mbaya wa wenye vyeo mbalimbali.Watu wenye rangi nyeusi hupewa kazi sulubu na wenye rangi nyeupe hupewa kazi geperi. Ufisadi huu unaweza kujitokeza hata shuleni. Virani kutowaandika marafiki zake weupe. Hii huwafanya wale weusi wawe na huzuni riboribo na wale weupe wawe na furaha mpwito mpwito. Kila mwanafunzi anastahili kuwa na haki sawa hata awe na rangi gani. Ubaguzi wa rangi unaweza kukomeshwa kwa kutoa zawadi kwa wanafunzi wake walimu wasioshiriki ufisadi. Wakituzwa, watatupa ufisadi mbali. Pia tunaweza kushtaki wafisadi na kupewa adhabu kali wawe mfano kwa wengine. Ufisadi wa mwisho ni kutumia mali ya umma vibaya. Wafanyikazi wa serikali wanaweza kutumia mali ya umma kwa njia mbaya. Kwa mfano, kiongozi apewe pesa za mishahara ya wafanyakazi kisha achukue pesa hizo na kuzitumia kwa manufaa yake binafsi. Pia daktari apewe madawa na serikali ahudumie wagonjwa mbalimbali lakini badala yake huchukua na kuyapeleka katika duka lake kuuza dawa hizo. Madaktari kama hawa wanapaswa wafutwe kazi ili wafundishwe adabu. Huu ni ubinafsi kwa sababu daktari anapaswa kuwajibika na kuwa kilelezo chema kwa wananchi hasa wanapohudumia wagonjwa mbalimbali katika hospitali na zahnati. Hawapaswi kuuza dawa kwa minaajili ya matumizi yao ya kibinafsi kwa bei ya juu huku wakikandamiza mwananchi asiyejiweza ambaye hatimaye huenda jongomea kutokana na ukosefu wa dawa bora.Ufisadi huu unaweza kukomeshwa kwa kuanzishwa kwa ofisi ya uchunguzi maalum wa kusikiliza malalamshi ya umma. Malalamishi ambayo umma inaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wanahabari wa umma wanaweza kuripoti kuhusu ufisadi. Wakiripoti wafisadi, ufisadi utapungua nchini kote. Uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda imechukua nafasi ya hamsini na tano, Tanzania imechukua miamoja na kumi na pia Uganda imechukua mia moja na mbili, Kenya mia moja na arobaini na tano na Burundi mia moja na hamsini na tisa. Nina imani kuwa serikali ikizingatia yake yote ambayo nimeyataja .. basi ufisadi utakomeshwa na utakuwa ndoto nchini mwetu.
Mbona madaktari wafisadi wafutwe kazi
{ "text": [ "ili wafundishwe adhabu" ] }
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda ikichukua nambari ya hamsini na tano, Tanzania ikichukua nambari mia moja na kumi na tisa, Rwanda ikichukua nambari mia moja hamsini na tisa na Kenya kuchukua nambari mia moja arobaini na tano duniani. Inadhihirika kuwa Kenya imedorora katika vita dhidi ya ufisadi. Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika nchi yetu ya Kenya na pia inaonekana wazi kuwa ufisadi unatendeka kwa kila aina. Kuna ufisadi wa kila aina, nazo ni kama kukaa na kukubali rushwa, ubaguzi wa rangi, ukabila, kufuja mali ya umma na hata kupendelea familia au kupendelea rafiki. Yafuatayo ni baadhi ya ufisadi unaotendeka nchini mwetu. Nikianzia kwa rushwa inayotolewa na wananchi kuwapa watu walio na vyeo ili kupata kazi au kutolewa katika shida fulani. Rushwa zinatolewa hasa kwa wale wanafunzi walio shika mkia. Wazazi wa wanafunzi hawa hutoa rushwa ili watoto wao wapate kazi. Kwa upande mwingine, mwanafunzi alijitahidi kusoma, wazazi wakakopa na kuuza viwanja ili mtoto wao apate kusoma na kufaulu katika mitihani yake na kupata ajira na kuwalea wazazi wao katika hali ya umaskini hohe hahe, lakini la kustaajabisha ni kuwa wanafunzi hao waliopita mitihani hubaki nyumbani na kutafuta kazi ya kijungu jiko, au kazi ya utwana. Ufisadi unadhihirisha kuwa wanafunzi hao waliojitahidi katika masomo yao huwa fukara. Hali hii ya ufukara linaweza kuleta maafa. Ufisadi hueneza uovu kama vile; kuuza mihadarati, kutumia mihadarati, kuua insi wasio na kosa, kuwanajisi wasichana na tendo hili linaweza kuambukiza maradhi ya ukimwi au kupata mimba ambayo haikutarajiwa na mimba hizi husababisha kutoka shuleni, na kufukuzwa majumbani. · Hii yote hukosesha watu imani katika jamii. Pia itawafanya wanafunzi wakose morali ya kusoma. Wataweka akilini kuwa wazazi wao watatoa rushwa na kupata kazi. Kwa kawaida kazi hizi zitafanywa bila kujua anachofanya, yote ni kwa sababu mtu huyo hakuwa na elimu ya kazi hiyo. Kwa hivyo, ufisadi wa kutaka kupunguza kutoa na kupokea rushwa nchini ni jukumu la serikali kuwaelimisha wananchi wote kuwa kutoa na kupokea rushwa ni kosa kubwa na pia ni kosa la kidini. Waelimishwe kuwa kutoa na kupokea rushwa inawaumiza wananchi kwa kila aina na wasikubali ushirikiano katika jambo hili. Kama wanaofunzwa hawatii jambo hili maanani wapewe adhabu kali ili iwe mfano kwa wengine. Kuwaelimisha wananchi inaweza kutumiwa mtandao, kuwa na nafasi shuleni kuwaelimisha wanafunzi. Njia nyingine ya kuwafunza watu ni kutumia vyombo vya habari kama vile televisheni na redio kutangaza madhara ya ufisadi. Pili ni kubagua watu kutokana na rangi yao. Huu ni ufisadi unaotendeka kila mahali, kama kazini, shuleni hata barabarani. Vita vinavyotokea ni kwa sababu ya ukabila unaibuka katika nchi yetu na ubaguzi wa rangi. Aliye na cheo atampa mtu wa kabila lake au rangi yake nafasi katika kazi. Jambo hili huleta vita na ukosefu wa kazi na kukuza ukosefu wa usalama nchini. Nyingine ni ufisadi wa jinsia fulani, wakati wa mahojiano, wanawake hawa huambiwa na mhoji kutaka kufanya mapenzi na yeye ili apate kazi na akikana kufanya kitendo hicho, wanawake hawa hukosa kazi. Na wale waliokubali kufanya mapenzi hupewa fulusi zao na kukataliwa kupewa ajira na mwishowe wanawake hawa huishia kuwa makahaba· Hili jambo la ufisadi ni la kunyima haki za wanawake katika jamii. Mwanamke huyo atakosa heshima na kukosa kuheshimiwa na watu katika jamii na chanzo cha yote hayo ni ukabila na ubaguzi wa rangi waliofanya wenye vyeo. Ninasema hivi kwa hamaiki kubwa kama mwananchi wa Kenya kutetea haki za wananchi wenzangu wanaobaguliwa kuhusu ukabila. Wenye mamlaka katika jamii hutumia ukabila kuwakosesha wengine nafasi maishani. Misaada inayotolewa na nchi mbali mbali kunawirisha umma wenye mamlaka huchukua misaada hiyo na kuwapelekea kabila lake bila kushughulikia kabila lingine na hivi hudumisha na kukuza hali ya nchi. jambo hili la ukabila ni rahisi ikiwa ukabila utatupiwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja. Viongozi wasiotii sheria wafutwe kazi na kupelekwa gerezani ili iwe funzo kwa viongozi wengine. Muda ukiendelea kusonga, serikali inafanya kazi nzuri. Serikali imemfunga kiongozi pamoja na mkewe nchini Kenya. Mkurugenzi wa mashtaka D.P.P anaendeleza kuangalia mashtaka yao. Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini unaendelea kuchunguza ufisadi aliofanya kiongozi huyu. Heko kwa serikali kwa kuangalia na kutaka kupinga ufisadi. Aidha katika mambo yanayotoa ufisadi nchini ni kuwapa nafasi watangazaji habari kufanya kazi yao ili wawaonyeshe wananchi ufisadi unavyotendeka katika nchi. Mara ngapi tumeona katika habari maafisa wa polisi wakipokea hongo? Basi tujue kuwa kazi ya wafisadi ni kuchukua hongo kila mara huku na kule. Hata wakisema kuwa watabadilika, wanahabari wanawapata tena na ufisadi. Wafisadi hawa hawabadili tabia zao. Na kwa hivyo ni jukumu la serikali kuwapa nguvu wanahabari ili wawatoe wafisadi wanaoharibu nchi yetu. Mwisho nikidokozea, ni kuzembea katika majukumu. Mtu anapatiwa kazi na serikali lakini hawezi kuzitimiza kazi hiyo jinsi alivyoamrishwa. Mtu anakosa kuenda kazini bila sababu maalum. Na anapoulizwa atasema alikuwa mgonjwa. Mfanyakazi kama huyo anapaswa kupunguziwa mshahara kwa sababu ya kuzembea katika kazi na hilo litakuwa funzo kwa wengine. Nikimalizia kwa kusema, mali iliyo chukuliwa kwa ufisadi lichukuliwe na kujengea shule na hospitali. Na wafisadi washtakiwe na wauwawe. Na kama hoja hizo nilizodokeza zitafuatwa na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya amani na kuwa salama salmini. Watu wote wa jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yote yaliyodokezwa mwanzoni, hakutakuwa na shida wala taabu kulingana na ufisadi.
Shirika gani lilifanya uchungu I kuhusu namna ya kukabiliana na ufisadi
{ "text": [ "Transparency international " ] }
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda ikichukua nambari ya hamsini na tano, Tanzania ikichukua nambari mia moja na kumi na tisa, Rwanda ikichukua nambari mia moja hamsini na tisa na Kenya kuchukua nambari mia moja arobaini na tano duniani. Inadhihirika kuwa Kenya imedorora katika vita dhidi ya ufisadi. Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika nchi yetu ya Kenya na pia inaonekana wazi kuwa ufisadi unatendeka kwa kila aina. Kuna ufisadi wa kila aina, nazo ni kama kukaa na kukubali rushwa, ubaguzi wa rangi, ukabila, kufuja mali ya umma na hata kupendelea familia au kupendelea rafiki. Yafuatayo ni baadhi ya ufisadi unaotendeka nchini mwetu. Nikianzia kwa rushwa inayotolewa na wananchi kuwapa watu walio na vyeo ili kupata kazi au kutolewa katika shida fulani. Rushwa zinatolewa hasa kwa wale wanafunzi walio shika mkia. Wazazi wa wanafunzi hawa hutoa rushwa ili watoto wao wapate kazi. Kwa upande mwingine, mwanafunzi alijitahidi kusoma, wazazi wakakopa na kuuza viwanja ili mtoto wao apate kusoma na kufaulu katika mitihani yake na kupata ajira na kuwalea wazazi wao katika hali ya umaskini hohe hahe, lakini la kustaajabisha ni kuwa wanafunzi hao waliopita mitihani hubaki nyumbani na kutafuta kazi ya kijungu jiko, au kazi ya utwana. Ufisadi unadhihirisha kuwa wanafunzi hao waliojitahidi katika masomo yao huwa fukara. Hali hii ya ufukara linaweza kuleta maafa. Ufisadi hueneza uovu kama vile; kuuza mihadarati, kutumia mihadarati, kuua insi wasio na kosa, kuwanajisi wasichana na tendo hili linaweza kuambukiza maradhi ya ukimwi au kupata mimba ambayo haikutarajiwa na mimba hizi husababisha kutoka shuleni, na kufukuzwa majumbani. · Hii yote hukosesha watu imani katika jamii. Pia itawafanya wanafunzi wakose morali ya kusoma. Wataweka akilini kuwa wazazi wao watatoa rushwa na kupata kazi. Kwa kawaida kazi hizi zitafanywa bila kujua anachofanya, yote ni kwa sababu mtu huyo hakuwa na elimu ya kazi hiyo. Kwa hivyo, ufisadi wa kutaka kupunguza kutoa na kupokea rushwa nchini ni jukumu la serikali kuwaelimisha wananchi wote kuwa kutoa na kupokea rushwa ni kosa kubwa na pia ni kosa la kidini. Waelimishwe kuwa kutoa na kupokea rushwa inawaumiza wananchi kwa kila aina na wasikubali ushirikiano katika jambo hili. Kama wanaofunzwa hawatii jambo hili maanani wapewe adhabu kali ili iwe mfano kwa wengine. Kuwaelimisha wananchi inaweza kutumiwa mtandao, kuwa na nafasi shuleni kuwaelimisha wanafunzi. Njia nyingine ya kuwafunza watu ni kutumia vyombo vya habari kama vile televisheni na redio kutangaza madhara ya ufisadi. Pili ni kubagua watu kutokana na rangi yao. Huu ni ufisadi unaotendeka kila mahali, kama kazini, shuleni hata barabarani. Vita vinavyotokea ni kwa sababu ya ukabila unaibuka katika nchi yetu na ubaguzi wa rangi. Aliye na cheo atampa mtu wa kabila lake au rangi yake nafasi katika kazi. Jambo hili huleta vita na ukosefu wa kazi na kukuza ukosefu wa usalama nchini. Nyingine ni ufisadi wa jinsia fulani, wakati wa mahojiano, wanawake hawa huambiwa na mhoji kutaka kufanya mapenzi na yeye ili apate kazi na akikana kufanya kitendo hicho, wanawake hawa hukosa kazi. Na wale waliokubali kufanya mapenzi hupewa fulusi zao na kukataliwa kupewa ajira na mwishowe wanawake hawa huishia kuwa makahaba· Hili jambo la ufisadi ni la kunyima haki za wanawake katika jamii. Mwanamke huyo atakosa heshima na kukosa kuheshimiwa na watu katika jamii na chanzo cha yote hayo ni ukabila na ubaguzi wa rangi waliofanya wenye vyeo. Ninasema hivi kwa hamaiki kubwa kama mwananchi wa Kenya kutetea haki za wananchi wenzangu wanaobaguliwa kuhusu ukabila. Wenye mamlaka katika jamii hutumia ukabila kuwakosesha wengine nafasi maishani. Misaada inayotolewa na nchi mbali mbali kunawirisha umma wenye mamlaka huchukua misaada hiyo na kuwapelekea kabila lake bila kushughulikia kabila lingine na hivi hudumisha na kukuza hali ya nchi. jambo hili la ukabila ni rahisi ikiwa ukabila utatupiwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja. Viongozi wasiotii sheria wafutwe kazi na kupelekwa gerezani ili iwe funzo kwa viongozi wengine. Muda ukiendelea kusonga, serikali inafanya kazi nzuri. Serikali imemfunga kiongozi pamoja na mkewe nchini Kenya. Mkurugenzi wa mashtaka D.P.P anaendeleza kuangalia mashtaka yao. Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini unaendelea kuchunguza ufisadi aliofanya kiongozi huyu. Heko kwa serikali kwa kuangalia na kutaka kupinga ufisadi. Aidha katika mambo yanayotoa ufisadi nchini ni kuwapa nafasi watangazaji habari kufanya kazi yao ili wawaonyeshe wananchi ufisadi unavyotendeka katika nchi. Mara ngapi tumeona katika habari maafisa wa polisi wakipokea hongo? Basi tujue kuwa kazi ya wafisadi ni kuchukua hongo kila mara huku na kule. Hata wakisema kuwa watabadilika, wanahabari wanawapata tena na ufisadi. Wafisadi hawa hawabadili tabia zao. Na kwa hivyo ni jukumu la serikali kuwapa nguvu wanahabari ili wawatoe wafisadi wanaoharibu nchi yetu. Mwisho nikidokozea, ni kuzembea katika majukumu. Mtu anapatiwa kazi na serikali lakini hawezi kuzitimiza kazi hiyo jinsi alivyoamrishwa. Mtu anakosa kuenda kazini bila sababu maalum. Na anapoulizwa atasema alikuwa mgonjwa. Mfanyakazi kama huyo anapaswa kupunguziwa mshahara kwa sababu ya kuzembea katika kazi na hilo litakuwa funzo kwa wengine. Nikimalizia kwa kusema, mali iliyo chukuliwa kwa ufisadi lichukuliwe na kujengea shule na hospitali. Na wafisadi washtakiwe na wauwawe. Na kama hoja hizo nilizodokeza zitafuatwa na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya amani na kuwa salama salmini. Watu wote wa jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yote yaliyodokezwa mwanzoni, hakutakuwa na shida wala taabu kulingana na ufisadi.
Kenya ni taifa nambari ngapi ulimwenguni kupiga a na ufisadi
{ "text": [ "145" ] }
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda ikichukua nambari ya hamsini na tano, Tanzania ikichukua nambari mia moja na kumi na tisa, Rwanda ikichukua nambari mia moja hamsini na tisa na Kenya kuchukua nambari mia moja arobaini na tano duniani. Inadhihirika kuwa Kenya imedorora katika vita dhidi ya ufisadi. Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika nchi yetu ya Kenya na pia inaonekana wazi kuwa ufisadi unatendeka kwa kila aina. Kuna ufisadi wa kila aina, nazo ni kama kukaa na kukubali rushwa, ubaguzi wa rangi, ukabila, kufuja mali ya umma na hata kupendelea familia au kupendelea rafiki. Yafuatayo ni baadhi ya ufisadi unaotendeka nchini mwetu. Nikianzia kwa rushwa inayotolewa na wananchi kuwapa watu walio na vyeo ili kupata kazi au kutolewa katika shida fulani. Rushwa zinatolewa hasa kwa wale wanafunzi walio shika mkia. Wazazi wa wanafunzi hawa hutoa rushwa ili watoto wao wapate kazi. Kwa upande mwingine, mwanafunzi alijitahidi kusoma, wazazi wakakopa na kuuza viwanja ili mtoto wao apate kusoma na kufaulu katika mitihani yake na kupata ajira na kuwalea wazazi wao katika hali ya umaskini hohe hahe, lakini la kustaajabisha ni kuwa wanafunzi hao waliopita mitihani hubaki nyumbani na kutafuta kazi ya kijungu jiko, au kazi ya utwana. Ufisadi unadhihirisha kuwa wanafunzi hao waliojitahidi katika masomo yao huwa fukara. Hali hii ya ufukara linaweza kuleta maafa. Ufisadi hueneza uovu kama vile; kuuza mihadarati, kutumia mihadarati, kuua insi wasio na kosa, kuwanajisi wasichana na tendo hili linaweza kuambukiza maradhi ya ukimwi au kupata mimba ambayo haikutarajiwa na mimba hizi husababisha kutoka shuleni, na kufukuzwa majumbani. · Hii yote hukosesha watu imani katika jamii. Pia itawafanya wanafunzi wakose morali ya kusoma. Wataweka akilini kuwa wazazi wao watatoa rushwa na kupata kazi. Kwa kawaida kazi hizi zitafanywa bila kujua anachofanya, yote ni kwa sababu mtu huyo hakuwa na elimu ya kazi hiyo. Kwa hivyo, ufisadi wa kutaka kupunguza kutoa na kupokea rushwa nchini ni jukumu la serikali kuwaelimisha wananchi wote kuwa kutoa na kupokea rushwa ni kosa kubwa na pia ni kosa la kidini. Waelimishwe kuwa kutoa na kupokea rushwa inawaumiza wananchi kwa kila aina na wasikubali ushirikiano katika jambo hili. Kama wanaofunzwa hawatii jambo hili maanani wapewe adhabu kali ili iwe mfano kwa wengine. Kuwaelimisha wananchi inaweza kutumiwa mtandao, kuwa na nafasi shuleni kuwaelimisha wanafunzi. Njia nyingine ya kuwafunza watu ni kutumia vyombo vya habari kama vile televisheni na redio kutangaza madhara ya ufisadi. Pili ni kubagua watu kutokana na rangi yao. Huu ni ufisadi unaotendeka kila mahali, kama kazini, shuleni hata barabarani. Vita vinavyotokea ni kwa sababu ya ukabila unaibuka katika nchi yetu na ubaguzi wa rangi. Aliye na cheo atampa mtu wa kabila lake au rangi yake nafasi katika kazi. Jambo hili huleta vita na ukosefu wa kazi na kukuza ukosefu wa usalama nchini. Nyingine ni ufisadi wa jinsia fulani, wakati wa mahojiano, wanawake hawa huambiwa na mhoji kutaka kufanya mapenzi na yeye ili apate kazi na akikana kufanya kitendo hicho, wanawake hawa hukosa kazi. Na wale waliokubali kufanya mapenzi hupewa fulusi zao na kukataliwa kupewa ajira na mwishowe wanawake hawa huishia kuwa makahaba· Hili jambo la ufisadi ni la kunyima haki za wanawake katika jamii. Mwanamke huyo atakosa heshima na kukosa kuheshimiwa na watu katika jamii na chanzo cha yote hayo ni ukabila na ubaguzi wa rangi waliofanya wenye vyeo. Ninasema hivi kwa hamaiki kubwa kama mwananchi wa Kenya kutetea haki za wananchi wenzangu wanaobaguliwa kuhusu ukabila. Wenye mamlaka katika jamii hutumia ukabila kuwakosesha wengine nafasi maishani. Misaada inayotolewa na nchi mbali mbali kunawirisha umma wenye mamlaka huchukua misaada hiyo na kuwapelekea kabila lake bila kushughulikia kabila lingine na hivi hudumisha na kukuza hali ya nchi. jambo hili la ukabila ni rahisi ikiwa ukabila utatupiwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja. Viongozi wasiotii sheria wafutwe kazi na kupelekwa gerezani ili iwe funzo kwa viongozi wengine. Muda ukiendelea kusonga, serikali inafanya kazi nzuri. Serikali imemfunga kiongozi pamoja na mkewe nchini Kenya. Mkurugenzi wa mashtaka D.P.P anaendeleza kuangalia mashtaka yao. Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini unaendelea kuchunguza ufisadi aliofanya kiongozi huyu. Heko kwa serikali kwa kuangalia na kutaka kupinga ufisadi. Aidha katika mambo yanayotoa ufisadi nchini ni kuwapa nafasi watangazaji habari kufanya kazi yao ili wawaonyeshe wananchi ufisadi unavyotendeka katika nchi. Mara ngapi tumeona katika habari maafisa wa polisi wakipokea hongo? Basi tujue kuwa kazi ya wafisadi ni kuchukua hongo kila mara huku na kule. Hata wakisema kuwa watabadilika, wanahabari wanawapata tena na ufisadi. Wafisadi hawa hawabadili tabia zao. Na kwa hivyo ni jukumu la serikali kuwapa nguvu wanahabari ili wawatoe wafisadi wanaoharibu nchi yetu. Mwisho nikidokozea, ni kuzembea katika majukumu. Mtu anapatiwa kazi na serikali lakini hawezi kuzitimiza kazi hiyo jinsi alivyoamrishwa. Mtu anakosa kuenda kazini bila sababu maalum. Na anapoulizwa atasema alikuwa mgonjwa. Mfanyakazi kama huyo anapaswa kupunguziwa mshahara kwa sababu ya kuzembea katika kazi na hilo litakuwa funzo kwa wengine. Nikimalizia kwa kusema, mali iliyo chukuliwa kwa ufisadi lichukuliwe na kujengea shule na hospitali. Na wafisadi washtakiwe na wauwawe. Na kama hoja hizo nilizodokeza zitafuatwa na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya amani na kuwa salama salmini. Watu wote wa jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yote yaliyodokezwa mwanzoni, hakutakuwa na shida wala taabu kulingana na ufisadi.
Taifa gani limedorora katika Vita dhidi ya ufisadi
{ "text": [ "Kenya" ] }
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda ikichukua nambari ya hamsini na tano, Tanzania ikichukua nambari mia moja na kumi na tisa, Rwanda ikichukua nambari mia moja hamsini na tisa na Kenya kuchukua nambari mia moja arobaini na tano duniani. Inadhihirika kuwa Kenya imedorora katika vita dhidi ya ufisadi. Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika nchi yetu ya Kenya na pia inaonekana wazi kuwa ufisadi unatendeka kwa kila aina. Kuna ufisadi wa kila aina, nazo ni kama kukaa na kukubali rushwa, ubaguzi wa rangi, ukabila, kufuja mali ya umma na hata kupendelea familia au kupendelea rafiki. Yafuatayo ni baadhi ya ufisadi unaotendeka nchini mwetu. Nikianzia kwa rushwa inayotolewa na wananchi kuwapa watu walio na vyeo ili kupata kazi au kutolewa katika shida fulani. Rushwa zinatolewa hasa kwa wale wanafunzi walio shika mkia. Wazazi wa wanafunzi hawa hutoa rushwa ili watoto wao wapate kazi. Kwa upande mwingine, mwanafunzi alijitahidi kusoma, wazazi wakakopa na kuuza viwanja ili mtoto wao apate kusoma na kufaulu katika mitihani yake na kupata ajira na kuwalea wazazi wao katika hali ya umaskini hohe hahe, lakini la kustaajabisha ni kuwa wanafunzi hao waliopita mitihani hubaki nyumbani na kutafuta kazi ya kijungu jiko, au kazi ya utwana. Ufisadi unadhihirisha kuwa wanafunzi hao waliojitahidi katika masomo yao huwa fukara. Hali hii ya ufukara linaweza kuleta maafa. Ufisadi hueneza uovu kama vile; kuuza mihadarati, kutumia mihadarati, kuua insi wasio na kosa, kuwanajisi wasichana na tendo hili linaweza kuambukiza maradhi ya ukimwi au kupata mimba ambayo haikutarajiwa na mimba hizi husababisha kutoka shuleni, na kufukuzwa majumbani. · Hii yote hukosesha watu imani katika jamii. Pia itawafanya wanafunzi wakose morali ya kusoma. Wataweka akilini kuwa wazazi wao watatoa rushwa na kupata kazi. Kwa kawaida kazi hizi zitafanywa bila kujua anachofanya, yote ni kwa sababu mtu huyo hakuwa na elimu ya kazi hiyo. Kwa hivyo, ufisadi wa kutaka kupunguza kutoa na kupokea rushwa nchini ni jukumu la serikali kuwaelimisha wananchi wote kuwa kutoa na kupokea rushwa ni kosa kubwa na pia ni kosa la kidini. Waelimishwe kuwa kutoa na kupokea rushwa inawaumiza wananchi kwa kila aina na wasikubali ushirikiano katika jambo hili. Kama wanaofunzwa hawatii jambo hili maanani wapewe adhabu kali ili iwe mfano kwa wengine. Kuwaelimisha wananchi inaweza kutumiwa mtandao, kuwa na nafasi shuleni kuwaelimisha wanafunzi. Njia nyingine ya kuwafunza watu ni kutumia vyombo vya habari kama vile televisheni na redio kutangaza madhara ya ufisadi. Pili ni kubagua watu kutokana na rangi yao. Huu ni ufisadi unaotendeka kila mahali, kama kazini, shuleni hata barabarani. Vita vinavyotokea ni kwa sababu ya ukabila unaibuka katika nchi yetu na ubaguzi wa rangi. Aliye na cheo atampa mtu wa kabila lake au rangi yake nafasi katika kazi. Jambo hili huleta vita na ukosefu wa kazi na kukuza ukosefu wa usalama nchini. Nyingine ni ufisadi wa jinsia fulani, wakati wa mahojiano, wanawake hawa huambiwa na mhoji kutaka kufanya mapenzi na yeye ili apate kazi na akikana kufanya kitendo hicho, wanawake hawa hukosa kazi. Na wale waliokubali kufanya mapenzi hupewa fulusi zao na kukataliwa kupewa ajira na mwishowe wanawake hawa huishia kuwa makahaba· Hili jambo la ufisadi ni la kunyima haki za wanawake katika jamii. Mwanamke huyo atakosa heshima na kukosa kuheshimiwa na watu katika jamii na chanzo cha yote hayo ni ukabila na ubaguzi wa rangi waliofanya wenye vyeo. Ninasema hivi kwa hamaiki kubwa kama mwananchi wa Kenya kutetea haki za wananchi wenzangu wanaobaguliwa kuhusu ukabila. Wenye mamlaka katika jamii hutumia ukabila kuwakosesha wengine nafasi maishani. Misaada inayotolewa na nchi mbali mbali kunawirisha umma wenye mamlaka huchukua misaada hiyo na kuwapelekea kabila lake bila kushughulikia kabila lingine na hivi hudumisha na kukuza hali ya nchi. jambo hili la ukabila ni rahisi ikiwa ukabila utatupiwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja. Viongozi wasiotii sheria wafutwe kazi na kupelekwa gerezani ili iwe funzo kwa viongozi wengine. Muda ukiendelea kusonga, serikali inafanya kazi nzuri. Serikali imemfunga kiongozi pamoja na mkewe nchini Kenya. Mkurugenzi wa mashtaka D.P.P anaendeleza kuangalia mashtaka yao. Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini unaendelea kuchunguza ufisadi aliofanya kiongozi huyu. Heko kwa serikali kwa kuangalia na kutaka kupinga ufisadi. Aidha katika mambo yanayotoa ufisadi nchini ni kuwapa nafasi watangazaji habari kufanya kazi yao ili wawaonyeshe wananchi ufisadi unavyotendeka katika nchi. Mara ngapi tumeona katika habari maafisa wa polisi wakipokea hongo? Basi tujue kuwa kazi ya wafisadi ni kuchukua hongo kila mara huku na kule. Hata wakisema kuwa watabadilika, wanahabari wanawapata tena na ufisadi. Wafisadi hawa hawabadili tabia zao. Na kwa hivyo ni jukumu la serikali kuwapa nguvu wanahabari ili wawatoe wafisadi wanaoharibu nchi yetu. Mwisho nikidokozea, ni kuzembea katika majukumu. Mtu anapatiwa kazi na serikali lakini hawezi kuzitimiza kazi hiyo jinsi alivyoamrishwa. Mtu anakosa kuenda kazini bila sababu maalum. Na anapoulizwa atasema alikuwa mgonjwa. Mfanyakazi kama huyo anapaswa kupunguziwa mshahara kwa sababu ya kuzembea katika kazi na hilo litakuwa funzo kwa wengine. Nikimalizia kwa kusema, mali iliyo chukuliwa kwa ufisadi lichukuliwe na kujengea shule na hospitali. Na wafisadi washtakiwe na wauwawe. Na kama hoja hizo nilizodokeza zitafuatwa na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya amani na kuwa salama salmini. Watu wote wa jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yote yaliyodokezwa mwanzoni, hakutakuwa na shida wala taabu kulingana na ufisadi.
Taja Aina moja ya ufisadi
{ "text": [ "Kutoa na kukubabili rushwa" ] }
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda ikichukua nambari ya hamsini na tano, Tanzania ikichukua nambari mia moja na kumi na tisa, Rwanda ikichukua nambari mia moja hamsini na tisa na Kenya kuchukua nambari mia moja arobaini na tano duniani. Inadhihirika kuwa Kenya imedorora katika vita dhidi ya ufisadi. Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika nchi yetu ya Kenya na pia inaonekana wazi kuwa ufisadi unatendeka kwa kila aina. Kuna ufisadi wa kila aina, nazo ni kama kukaa na kukubali rushwa, ubaguzi wa rangi, ukabila, kufuja mali ya umma na hata kupendelea familia au kupendelea rafiki. Yafuatayo ni baadhi ya ufisadi unaotendeka nchini mwetu. Nikianzia kwa rushwa inayotolewa na wananchi kuwapa watu walio na vyeo ili kupata kazi au kutolewa katika shida fulani. Rushwa zinatolewa hasa kwa wale wanafunzi walio shika mkia. Wazazi wa wanafunzi hawa hutoa rushwa ili watoto wao wapate kazi. Kwa upande mwingine, mwanafunzi alijitahidi kusoma, wazazi wakakopa na kuuza viwanja ili mtoto wao apate kusoma na kufaulu katika mitihani yake na kupata ajira na kuwalea wazazi wao katika hali ya umaskini hohe hahe, lakini la kustaajabisha ni kuwa wanafunzi hao waliopita mitihani hubaki nyumbani na kutafuta kazi ya kijungu jiko, au kazi ya utwana. Ufisadi unadhihirisha kuwa wanafunzi hao waliojitahidi katika masomo yao huwa fukara. Hali hii ya ufukara linaweza kuleta maafa. Ufisadi hueneza uovu kama vile; kuuza mihadarati, kutumia mihadarati, kuua insi wasio na kosa, kuwanajisi wasichana na tendo hili linaweza kuambukiza maradhi ya ukimwi au kupata mimba ambayo haikutarajiwa na mimba hizi husababisha kutoka shuleni, na kufukuzwa majumbani. · Hii yote hukosesha watu imani katika jamii. Pia itawafanya wanafunzi wakose morali ya kusoma. Wataweka akilini kuwa wazazi wao watatoa rushwa na kupata kazi. Kwa kawaida kazi hizi zitafanywa bila kujua anachofanya, yote ni kwa sababu mtu huyo hakuwa na elimu ya kazi hiyo. Kwa hivyo, ufisadi wa kutaka kupunguza kutoa na kupokea rushwa nchini ni jukumu la serikali kuwaelimisha wananchi wote kuwa kutoa na kupokea rushwa ni kosa kubwa na pia ni kosa la kidini. Waelimishwe kuwa kutoa na kupokea rushwa inawaumiza wananchi kwa kila aina na wasikubali ushirikiano katika jambo hili. Kama wanaofunzwa hawatii jambo hili maanani wapewe adhabu kali ili iwe mfano kwa wengine. Kuwaelimisha wananchi inaweza kutumiwa mtandao, kuwa na nafasi shuleni kuwaelimisha wanafunzi. Njia nyingine ya kuwafunza watu ni kutumia vyombo vya habari kama vile televisheni na redio kutangaza madhara ya ufisadi. Pili ni kubagua watu kutokana na rangi yao. Huu ni ufisadi unaotendeka kila mahali, kama kazini, shuleni hata barabarani. Vita vinavyotokea ni kwa sababu ya ukabila unaibuka katika nchi yetu na ubaguzi wa rangi. Aliye na cheo atampa mtu wa kabila lake au rangi yake nafasi katika kazi. Jambo hili huleta vita na ukosefu wa kazi na kukuza ukosefu wa usalama nchini. Nyingine ni ufisadi wa jinsia fulani, wakati wa mahojiano, wanawake hawa huambiwa na mhoji kutaka kufanya mapenzi na yeye ili apate kazi na akikana kufanya kitendo hicho, wanawake hawa hukosa kazi. Na wale waliokubali kufanya mapenzi hupewa fulusi zao na kukataliwa kupewa ajira na mwishowe wanawake hawa huishia kuwa makahaba· Hili jambo la ufisadi ni la kunyima haki za wanawake katika jamii. Mwanamke huyo atakosa heshima na kukosa kuheshimiwa na watu katika jamii na chanzo cha yote hayo ni ukabila na ubaguzi wa rangi waliofanya wenye vyeo. Ninasema hivi kwa hamaiki kubwa kama mwananchi wa Kenya kutetea haki za wananchi wenzangu wanaobaguliwa kuhusu ukabila. Wenye mamlaka katika jamii hutumia ukabila kuwakosesha wengine nafasi maishani. Misaada inayotolewa na nchi mbali mbali kunawirisha umma wenye mamlaka huchukua misaada hiyo na kuwapelekea kabila lake bila kushughulikia kabila lingine na hivi hudumisha na kukuza hali ya nchi. jambo hili la ukabila ni rahisi ikiwa ukabila utatupiwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja. Viongozi wasiotii sheria wafutwe kazi na kupelekwa gerezani ili iwe funzo kwa viongozi wengine. Muda ukiendelea kusonga, serikali inafanya kazi nzuri. Serikali imemfunga kiongozi pamoja na mkewe nchini Kenya. Mkurugenzi wa mashtaka D.P.P anaendeleza kuangalia mashtaka yao. Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini unaendelea kuchunguza ufisadi aliofanya kiongozi huyu. Heko kwa serikali kwa kuangalia na kutaka kupinga ufisadi. Aidha katika mambo yanayotoa ufisadi nchini ni kuwapa nafasi watangazaji habari kufanya kazi yao ili wawaonyeshe wananchi ufisadi unavyotendeka katika nchi. Mara ngapi tumeona katika habari maafisa wa polisi wakipokea hongo? Basi tujue kuwa kazi ya wafisadi ni kuchukua hongo kila mara huku na kule. Hata wakisema kuwa watabadilika, wanahabari wanawapata tena na ufisadi. Wafisadi hawa hawabadili tabia zao. Na kwa hivyo ni jukumu la serikali kuwapa nguvu wanahabari ili wawatoe wafisadi wanaoharibu nchi yetu. Mwisho nikidokozea, ni kuzembea katika majukumu. Mtu anapatiwa kazi na serikali lakini hawezi kuzitimiza kazi hiyo jinsi alivyoamrishwa. Mtu anakosa kuenda kazini bila sababu maalum. Na anapoulizwa atasema alikuwa mgonjwa. Mfanyakazi kama huyo anapaswa kupunguziwa mshahara kwa sababu ya kuzembea katika kazi na hilo litakuwa funzo kwa wengine. Nikimalizia kwa kusema, mali iliyo chukuliwa kwa ufisadi lichukuliwe na kujengea shule na hospitali. Na wafisadi washtakiwe na wauwawe. Na kama hoja hizo nilizodokeza zitafuatwa na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya amani na kuwa salama salmini. Watu wote wa jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yote yaliyodokezwa mwanzoni, hakutakuwa na shida wala taabu kulingana na ufisadi.
Kwa nini baadhi ya wazazi hutoa rushwa
{ "text": [ "Ili watoto wao wopzte kazi" ] }
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda ikichukua nambari ya hamsini na tano, Tanzania ikichukua nambari mia moja na kumi na tisa, Rwanda ikichukua nambari mia moja hamsini na tisa na Kenya kuchukua nambari mia moja arobaini na tano duniani. Inadhihirika kuwa Kenya imedorora katika vita dhidi ya ufisadi. Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika nchi yetu ya Kenya na pia inaonekana wazi kuwa ufisadi unatendeka kwa kila aina. Kuna ufisadi wa kila aina, nazo ni kama kukaa na kukubali rushwa, ubaguzi wa rangi, ukabila, kufuja mali ya umma na hata kupendelea familia au kupendelea rafiki. Yafuatayo ni baadhi ya ufisadi unaotendeka nchini mwetu. Nikianzia kwa rushwa inayotolewa na wananchi kuwapa watu walio na vyeo ili kupata kazi au kutolewa katika shida fulani. Rushwa zinatolewa hasa kwa wale wanafunzi walio shika mkia. Wazazi wa wanafunzi hawa hutoa rushwa ili watoto wao wapate kazi. Kwa upande mwingine, mwanafunzi alijitahidi kusoma, wazazi wakakopa na kuuza viwanja ili mtoto wao apate kusoma na kufaulu katika mitihani yake na kupata ajira na kuwalea wazazi wao katika hali ya umaskini hohe hahe, lakini la kustaajabisha ni kuwa wanafunzi hao waliopita mitihani hubaki nyumbani na kutafuta kazi ya kijungu jiko, au kazi ya utwana. Ufisadi unadhihirisha kuwa wanafunzi hao waliojitahidi katika masomo yao huwa fukara. Hali hii ya ufukara linaweza kuleta maafa. Ufisadi hueneza uovu kama vile; kuuza mihadarati, kutumia mihadarati, kuua insi wasio na kosa, kuwanajisi wasichana na tendo hili linaweza kuambukiza maradhi ya ukimwi au kupata mimba ambayo haikutarajiwa na mimba hizi husababisha kutoka shuleni, na kufukuzwa majumbani. · Hii yote hukosesha watu imani katika jamii. Pia itawafanya wanafunzi wakose morali ya kusoma. Wataweka akilini kuwa wazazi wao watatoa rushwa na kupata kazi. Kwa kawaida kazi hizi zitafanywa bila kujua anachofanya, yote ni kwa sababu mtu huyo hakuwa na elimu ya kazi hiyo. Kwa hivyo, ufisadi wa kutaka kupunguza kutoa na kupokea rushwa nchini ni jukumu la serikali kuwaelimisha wananchi wote kuwa kutoa na kupokea rushwa ni kosa kubwa na pia ni kosa la kidini. Waelimishwe kuwa kutoa na kupokea rushwa inawaumiza wananchi kwa kila aina na wasikubali ushirikiano katika jambo hili. Kama wanaofunzwa hawatii jambo hili maanani wapewe adhabu kali ili iwe mfano kwa wengine. Kuwaelimisha wananchi inaweza kutumiwa mtandao, kuwa na nafasi shuleni kuwaelimisha wanafunzi. Njia nyingine ya kuwafunza watu ni kutumia vyombo vya habari kama vile televisheni na redio kutangaza madhara ya ufisadi. Pili ni kubagua watu kutokana na rangi yao. Huu ni ufisadi unaotendeka kila mahali, kama kazini, shuleni hata barabarani. Vita vinavyotokea ni kwa sababu ya ukabila unaibuka katika nchi yetu na ubaguzi wa rangi. Aliye na cheo atampa mtu wa kabila lake au rangi yake nafasi katika kazi. Jambo hili huleta vita na ukosefu wa kazi na kukuza ukosefu wa usalama nchini. Nyingine ni ufisadi wa jinsia fulani, wakati wa mahojiano, wanawake hawa huambiwa na mhoji kutaka kufanya mapenzi na yeye ili apate kazi na akikana kufanya kitendo hicho, wanawake hawa hukosa kazi. Na wale waliokubali kufanya mapenzi hupewa fulusi zao na kukataliwa kupewa ajira na mwishowe wanawake hawa huishia kuwa makahaba· Hili jambo la ufisadi ni la kunyima haki za wanawake katika jamii. Mwanamke huyo atakosa heshima na kukosa kuheshimiwa na watu katika jamii na chanzo cha yote hayo ni ukabila na ubaguzi wa rangi waliofanya wenye vyeo. Ninasema hivi kwa hamaiki kubwa kama mwananchi wa Kenya kutetea haki za wananchi wenzangu wanaobaguliwa kuhusu ukabila. Wenye mamlaka katika jamii hutumia ukabila kuwakosesha wengine nafasi maishani. Misaada inayotolewa na nchi mbali mbali kunawirisha umma wenye mamlaka huchukua misaada hiyo na kuwapelekea kabila lake bila kushughulikia kabila lingine na hivi hudumisha na kukuza hali ya nchi. jambo hili la ukabila ni rahisi ikiwa ukabila utatupiwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja. Viongozi wasiotii sheria wafutwe kazi na kupelekwa gerezani ili iwe funzo kwa viongozi wengine. Muda ukiendelea kusonga, serikali inafanya kazi nzuri. Serikali imemfunga kiongozi pamoja na mkewe nchini Kenya. Mkurugenzi wa mashtaka D.P.P anaendeleza kuangalia mashtaka yao. Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini unaendelea kuchunguza ufisadi aliofanya kiongozi huyu. Heko kwa serikali kwa kuangalia na kutaka kupinga ufisadi. Aidha katika mambo yanayotoa ufisadi nchini ni kuwapa nafasi watangazaji habari kufanya kazi yao ili wawaonyeshe wananchi ufisadi unavyotendeka katika nchi. Mara ngapi tumeona katika habari maafisa wa polisi wakipokea hongo? Basi tujue kuwa kazi ya wafisadi ni kuchukua hongo kila mara huku na kule. Hata wakisema kuwa watabadilika, wanahabari wanawapata tena na ufisadi. Wafisadi hawa hawabadili tabia zao. Na kwa hivyo ni jukumu la serikali kuwapa nguvu wanahabari ili wawatoe wafisadi wanaoharibu nchi yetu. Mwisho nikidokozea, ni kuzembea katika majukumu. Mtu anapatiwa kazi na serikali lakini hawezi kuzitimiza kazi hiyo jinsi alivyoamrishwa. Mtu anakosa kuenda kazini bila sababu maalum. Na anapoulizwa atasema alikuwa mgonjwa. Mfanyakazi kama huyo anapaswa kupunguziwa mshahara kwa sababu ya kuzembea katika kazi na hilo litakuwa funzo kwa wengine. Nikimalizia kwa kusema, mali iliyo chukuliwa kwa ufisadi lichukuliwe na kujengea shule na hospitali. Na wafisadi washtakiwe na wauwawe. Na kama hoja hizo nilizodokeza zitafuatwa na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya amani na kuwa salama salmini. Watu wote wa jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yote yaliyodokezwa mwanzoni, hakutakuwa na shida wala taabu kulingana na ufisadi.
Nini huzorotesha uchumi wa nchi?
{ "text": [ "Ufisadi" ] }
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda ikichukua nambari ya hamsini na tano, Tanzania ikichukua nambari mia moja na kumi na tisa, Rwanda ikichukua nambari mia moja hamsini na tisa na Kenya kuchukua nambari mia moja arobaini na tano duniani. Inadhihirika kuwa Kenya imedorora katika vita dhidi ya ufisadi. Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika nchi yetu ya Kenya na pia inaonekana wazi kuwa ufisadi unatendeka kwa kila aina. Kuna ufisadi wa kila aina, nazo ni kama kukaa na kukubali rushwa, ubaguzi wa rangi, ukabila, kufuja mali ya umma na hata kupendelea familia au kupendelea rafiki. Yafuatayo ni baadhi ya ufisadi unaotendeka nchini mwetu. Nikianzia kwa rushwa inayotolewa na wananchi kuwapa watu walio na vyeo ili kupata kazi au kutolewa katika shida fulani. Rushwa zinatolewa hasa kwa wale wanafunzi walio shika mkia. Wazazi wa wanafunzi hawa hutoa rushwa ili watoto wao wapate kazi. Kwa upande mwingine, mwanafunzi alijitahidi kusoma, wazazi wakakopa na kuuza viwanja ili mtoto wao apate kusoma na kufaulu katika mitihani yake na kupata ajira na kuwalea wazazi wao katika hali ya umaskini hohe hahe, lakini la kustaajabisha ni kuwa wanafunzi hao waliopita mitihani hubaki nyumbani na kutafuta kazi ya kijungu jiko, au kazi ya utwana. Ufisadi unadhihirisha kuwa wanafunzi hao waliojitahidi katika masomo yao huwa fukara. Hali hii ya ufukara linaweza kuleta maafa. Ufisadi hueneza uovu kama vile; kuuza mihadarati, kutumia mihadarati, kuua insi wasio na kosa, kuwanajisi wasichana na tendo hili linaweza kuambukiza maradhi ya ukimwi au kupata mimba ambayo haikutarajiwa na mimba hizi husababisha kutoka shuleni, na kufukuzwa majumbani. · Hii yote hukosesha watu imani katika jamii. Pia itawafanya wanafunzi wakose morali ya kusoma. Wataweka akilini kuwa wazazi wao watatoa rushwa na kupata kazi. Kwa kawaida kazi hizi zitafanywa bila kujua anachofanya, yote ni kwa sababu mtu huyo hakuwa na elimu ya kazi hiyo. Kwa hivyo, ufisadi wa kutaka kupunguza kutoa na kupokea rushwa nchini ni jukumu la serikali kuwaelimisha wananchi wote kuwa kutoa na kupokea rushwa ni kosa kubwa na pia ni kosa la kidini. Waelimishwe kuwa kutoa na kupokea rushwa inawaumiza wananchi kwa kila aina na wasikubali ushirikiano katika jambo hili. Kama wanaofunzwa hawatii jambo hili maanani wapewe adhabu kali ili iwe mfano kwa wengine. Kuwaelimisha wananchi inaweza kutumiwa mtandao, kuwa na nafasi shuleni kuwaelimisha wanafunzi. Njia nyingine ya kuwafunza watu ni kutumia vyombo vya habari kama vile televisheni na redio kutangaza madhara ya ufisadi. Pili ni kubagua watu kutokana na rangi yao. Huu ni ufisadi unaotendeka kila mahali, kama kazini, shuleni hata barabarani. Vita vinavyotokea ni kwa sababu ya ukabila unaibuka katika nchi yetu na ubaguzi wa rangi. Aliye na cheo atampa mtu wa kabila lake au rangi yake nafasi katika kazi. Jambo hili huleta vita na ukosefu wa kazi na kukuza ukosefu wa usalama nchini. Nyingine ni ufisadi wa jinsia fulani, wakati wa mahojiano, wanawake hawa huambiwa na mhoji kutaka kufanya mapenzi na yeye ili apate kazi na akikana kufanya kitendo hicho, wanawake hawa hukosa kazi. Na wale waliokubali kufanya mapenzi hupewa fulusi zao na kukataliwa kupewa ajira na mwishowe wanawake hawa huishia kuwa makahaba· Hili jambo la ufisadi ni la kunyima haki za wanawake katika jamii. Mwanamke huyo atakosa heshima na kukosa kuheshimiwa na watu katika jamii na chanzo cha yote hayo ni ukabila na ubaguzi wa rangi waliofanya wenye vyeo. Ninasema hivi kwa hamaiki kubwa kama mwananchi wa Kenya kutetea haki za wananchi wenzangu wanaobaguliwa kuhusu ukabila. Wenye mamlaka katika jamii hutumia ukabila kuwakosesha wengine nafasi maishani. Misaada inayotolewa na nchi mbali mbali kunawirisha umma wenye mamlaka huchukua misaada hiyo na kuwapelekea kabila lake bila kushughulikia kabila lingine na hivi hudumisha na kukuza hali ya nchi. jambo hili la ukabila ni rahisi ikiwa ukabila utatupiwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja. Viongozi wasiotii sheria wafutwe kazi na kupelekwa gerezani ili iwe funzo kwa viongozi wengine. Muda ukiendelea kusonga, serikali inafanya kazi nzuri. Serikali imemfunga kiongozi pamoja na mkewe nchini Kenya. Mkurugenzi wa mashtaka D.P.P anaendeleza kuangalia mashtaka yao. Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini unaendelea kuchunguza ufisadi aliofanya kiongozi huyu. Heko kwa serikali kwa kuangalia na kutaka kupinga ufisadi. Aidha katika mambo yanayotoa ufisadi nchini ni kuwapa nafasi watangazaji habari kufanya kazi yao ili wawaonyeshe wananchi ufisadi unavyotendeka katika nchi. Mara ngapi tumeona katika habari maafisa wa polisi wakipokea hongo? Basi tujue kuwa kazi ya wafisadi ni kuchukua hongo kila mara huku na kule. Hata wakisema kuwa watabadilika, wanahabari wanawapata tena na ufisadi. Wafisadi hawa hawabadili tabia zao. Na kwa hivyo ni jukumu la serikali kuwapa nguvu wanahabari ili wawatoe wafisadi wanaoharibu nchi yetu. Mwisho nikidokozea, ni kuzembea katika majukumu. Mtu anapatiwa kazi na serikali lakini hawezi kuzitimiza kazi hiyo jinsi alivyoamrishwa. Mtu anakosa kuenda kazini bila sababu maalum. Na anapoulizwa atasema alikuwa mgonjwa. Mfanyakazi kama huyo anapaswa kupunguziwa mshahara kwa sababu ya kuzembea katika kazi na hilo litakuwa funzo kwa wengine. Nikimalizia kwa kusema, mali iliyo chukuliwa kwa ufisadi lichukuliwe na kujengea shule na hospitali. Na wafisadi washtakiwe na wauwawe. Na kama hoja hizo nilizodokeza zitafuatwa na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya amani na kuwa salama salmini. Watu wote wa jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yote yaliyodokezwa mwanzoni, hakutakuwa na shida wala taabu kulingana na ufisadi.
Kubagua watu kutokana na rangi yao ni nini?
{ "text": [ "Ufisadi" ] }
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda ikichukua nambari ya hamsini na tano, Tanzania ikichukua nambari mia moja na kumi na tisa, Rwanda ikichukua nambari mia moja hamsini na tisa na Kenya kuchukua nambari mia moja arobaini na tano duniani. Inadhihirika kuwa Kenya imedorora katika vita dhidi ya ufisadi. Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika nchi yetu ya Kenya na pia inaonekana wazi kuwa ufisadi unatendeka kwa kila aina. Kuna ufisadi wa kila aina, nazo ni kama kukaa na kukubali rushwa, ubaguzi wa rangi, ukabila, kufuja mali ya umma na hata kupendelea familia au kupendelea rafiki. Yafuatayo ni baadhi ya ufisadi unaotendeka nchini mwetu. Nikianzia kwa rushwa inayotolewa na wananchi kuwapa watu walio na vyeo ili kupata kazi au kutolewa katika shida fulani. Rushwa zinatolewa hasa kwa wale wanafunzi walio shika mkia. Wazazi wa wanafunzi hawa hutoa rushwa ili watoto wao wapate kazi. Kwa upande mwingine, mwanafunzi alijitahidi kusoma, wazazi wakakopa na kuuza viwanja ili mtoto wao apate kusoma na kufaulu katika mitihani yake na kupata ajira na kuwalea wazazi wao katika hali ya umaskini hohe hahe, lakini la kustaajabisha ni kuwa wanafunzi hao waliopita mitihani hubaki nyumbani na kutafuta kazi ya kijungu jiko, au kazi ya utwana. Ufisadi unadhihirisha kuwa wanafunzi hao waliojitahidi katika masomo yao huwa fukara. Hali hii ya ufukara linaweza kuleta maafa. Ufisadi hueneza uovu kama vile; kuuza mihadarati, kutumia mihadarati, kuua insi wasio na kosa, kuwanajisi wasichana na tendo hili linaweza kuambukiza maradhi ya ukimwi au kupata mimba ambayo haikutarajiwa na mimba hizi husababisha kutoka shuleni, na kufukuzwa majumbani. · Hii yote hukosesha watu imani katika jamii. Pia itawafanya wanafunzi wakose morali ya kusoma. Wataweka akilini kuwa wazazi wao watatoa rushwa na kupata kazi. Kwa kawaida kazi hizi zitafanywa bila kujua anachofanya, yote ni kwa sababu mtu huyo hakuwa na elimu ya kazi hiyo. Kwa hivyo, ufisadi wa kutaka kupunguza kutoa na kupokea rushwa nchini ni jukumu la serikali kuwaelimisha wananchi wote kuwa kutoa na kupokea rushwa ni kosa kubwa na pia ni kosa la kidini. Waelimishwe kuwa kutoa na kupokea rushwa inawaumiza wananchi kwa kila aina na wasikubali ushirikiano katika jambo hili. Kama wanaofunzwa hawatii jambo hili maanani wapewe adhabu kali ili iwe mfano kwa wengine. Kuwaelimisha wananchi inaweza kutumiwa mtandao, kuwa na nafasi shuleni kuwaelimisha wanafunzi. Njia nyingine ya kuwafunza watu ni kutumia vyombo vya habari kama vile televisheni na redio kutangaza madhara ya ufisadi. Pili ni kubagua watu kutokana na rangi yao. Huu ni ufisadi unaotendeka kila mahali, kama kazini, shuleni hata barabarani. Vita vinavyotokea ni kwa sababu ya ukabila unaibuka katika nchi yetu na ubaguzi wa rangi. Aliye na cheo atampa mtu wa kabila lake au rangi yake nafasi katika kazi. Jambo hili huleta vita na ukosefu wa kazi na kukuza ukosefu wa usalama nchini. Nyingine ni ufisadi wa jinsia fulani, wakati wa mahojiano, wanawake hawa huambiwa na mhoji kutaka kufanya mapenzi na yeye ili apate kazi na akikana kufanya kitendo hicho, wanawake hawa hukosa kazi. Na wale waliokubali kufanya mapenzi hupewa fulusi zao na kukataliwa kupewa ajira na mwishowe wanawake hawa huishia kuwa makahaba· Hili jambo la ufisadi ni la kunyima haki za wanawake katika jamii. Mwanamke huyo atakosa heshima na kukosa kuheshimiwa na watu katika jamii na chanzo cha yote hayo ni ukabila na ubaguzi wa rangi waliofanya wenye vyeo. Ninasema hivi kwa hamaiki kubwa kama mwananchi wa Kenya kutetea haki za wananchi wenzangu wanaobaguliwa kuhusu ukabila. Wenye mamlaka katika jamii hutumia ukabila kuwakosesha wengine nafasi maishani. Misaada inayotolewa na nchi mbali mbali kunawirisha umma wenye mamlaka huchukua misaada hiyo na kuwapelekea kabila lake bila kushughulikia kabila lingine na hivi hudumisha na kukuza hali ya nchi. jambo hili la ukabila ni rahisi ikiwa ukabila utatupiwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja. Viongozi wasiotii sheria wafutwe kazi na kupelekwa gerezani ili iwe funzo kwa viongozi wengine. Muda ukiendelea kusonga, serikali inafanya kazi nzuri. Serikali imemfunga kiongozi pamoja na mkewe nchini Kenya. Mkurugenzi wa mashtaka D.P.P anaendeleza kuangalia mashtaka yao. Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini unaendelea kuchunguza ufisadi aliofanya kiongozi huyu. Heko kwa serikali kwa kuangalia na kutaka kupinga ufisadi. Aidha katika mambo yanayotoa ufisadi nchini ni kuwapa nafasi watangazaji habari kufanya kazi yao ili wawaonyeshe wananchi ufisadi unavyotendeka katika nchi. Mara ngapi tumeona katika habari maafisa wa polisi wakipokea hongo? Basi tujue kuwa kazi ya wafisadi ni kuchukua hongo kila mara huku na kule. Hata wakisema kuwa watabadilika, wanahabari wanawapata tena na ufisadi. Wafisadi hawa hawabadili tabia zao. Na kwa hivyo ni jukumu la serikali kuwapa nguvu wanahabari ili wawatoe wafisadi wanaoharibu nchi yetu. Mwisho nikidokozea, ni kuzembea katika majukumu. Mtu anapatiwa kazi na serikali lakini hawezi kuzitimiza kazi hiyo jinsi alivyoamrishwa. Mtu anakosa kuenda kazini bila sababu maalum. Na anapoulizwa atasema alikuwa mgonjwa. Mfanyakazi kama huyo anapaswa kupunguziwa mshahara kwa sababu ya kuzembea katika kazi na hilo litakuwa funzo kwa wengine. Nikimalizia kwa kusema, mali iliyo chukuliwa kwa ufisadi lichukuliwe na kujengea shule na hospitali. Na wafisadi washtakiwe na wauwawe. Na kama hoja hizo nilizodokeza zitafuatwa na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya amani na kuwa salama salmini. Watu wote wa jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yote yaliyodokezwa mwanzoni, hakutakuwa na shida wala taabu kulingana na ufisadi.
Ukabila unapatikana nchi gani?
{ "text": [ "Kenya" ] }
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda ikichukua nambari ya hamsini na tano, Tanzania ikichukua nambari mia moja na kumi na tisa, Rwanda ikichukua nambari mia moja hamsini na tisa na Kenya kuchukua nambari mia moja arobaini na tano duniani. Inadhihirika kuwa Kenya imedorora katika vita dhidi ya ufisadi. Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika nchi yetu ya Kenya na pia inaonekana wazi kuwa ufisadi unatendeka kwa kila aina. Kuna ufisadi wa kila aina, nazo ni kama kukaa na kukubali rushwa, ubaguzi wa rangi, ukabila, kufuja mali ya umma na hata kupendelea familia au kupendelea rafiki. Yafuatayo ni baadhi ya ufisadi unaotendeka nchini mwetu. Nikianzia kwa rushwa inayotolewa na wananchi kuwapa watu walio na vyeo ili kupata kazi au kutolewa katika shida fulani. Rushwa zinatolewa hasa kwa wale wanafunzi walio shika mkia. Wazazi wa wanafunzi hawa hutoa rushwa ili watoto wao wapate kazi. Kwa upande mwingine, mwanafunzi alijitahidi kusoma, wazazi wakakopa na kuuza viwanja ili mtoto wao apate kusoma na kufaulu katika mitihani yake na kupata ajira na kuwalea wazazi wao katika hali ya umaskini hohe hahe, lakini la kustaajabisha ni kuwa wanafunzi hao waliopita mitihani hubaki nyumbani na kutafuta kazi ya kijungu jiko, au kazi ya utwana. Ufisadi unadhihirisha kuwa wanafunzi hao waliojitahidi katika masomo yao huwa fukara. Hali hii ya ufukara linaweza kuleta maafa. Ufisadi hueneza uovu kama vile; kuuza mihadarati, kutumia mihadarati, kuua insi wasio na kosa, kuwanajisi wasichana na tendo hili linaweza kuambukiza maradhi ya ukimwi au kupata mimba ambayo haikutarajiwa na mimba hizi husababisha kutoka shuleni, na kufukuzwa majumbani. · Hii yote hukosesha watu imani katika jamii. Pia itawafanya wanafunzi wakose morali ya kusoma. Wataweka akilini kuwa wazazi wao watatoa rushwa na kupata kazi. Kwa kawaida kazi hizi zitafanywa bila kujua anachofanya, yote ni kwa sababu mtu huyo hakuwa na elimu ya kazi hiyo. Kwa hivyo, ufisadi wa kutaka kupunguza kutoa na kupokea rushwa nchini ni jukumu la serikali kuwaelimisha wananchi wote kuwa kutoa na kupokea rushwa ni kosa kubwa na pia ni kosa la kidini. Waelimishwe kuwa kutoa na kupokea rushwa inawaumiza wananchi kwa kila aina na wasikubali ushirikiano katika jambo hili. Kama wanaofunzwa hawatii jambo hili maanani wapewe adhabu kali ili iwe mfano kwa wengine. Kuwaelimisha wananchi inaweza kutumiwa mtandao, kuwa na nafasi shuleni kuwaelimisha wanafunzi. Njia nyingine ya kuwafunza watu ni kutumia vyombo vya habari kama vile televisheni na redio kutangaza madhara ya ufisadi. Pili ni kubagua watu kutokana na rangi yao. Huu ni ufisadi unaotendeka kila mahali, kama kazini, shuleni hata barabarani. Vita vinavyotokea ni kwa sababu ya ukabila unaibuka katika nchi yetu na ubaguzi wa rangi. Aliye na cheo atampa mtu wa kabila lake au rangi yake nafasi katika kazi. Jambo hili huleta vita na ukosefu wa kazi na kukuza ukosefu wa usalama nchini. Nyingine ni ufisadi wa jinsia fulani, wakati wa mahojiano, wanawake hawa huambiwa na mhoji kutaka kufanya mapenzi na yeye ili apate kazi na akikana kufanya kitendo hicho, wanawake hawa hukosa kazi. Na wale waliokubali kufanya mapenzi hupewa fulusi zao na kukataliwa kupewa ajira na mwishowe wanawake hawa huishia kuwa makahaba· Hili jambo la ufisadi ni la kunyima haki za wanawake katika jamii. Mwanamke huyo atakosa heshima na kukosa kuheshimiwa na watu katika jamii na chanzo cha yote hayo ni ukabila na ubaguzi wa rangi waliofanya wenye vyeo. Ninasema hivi kwa hamaiki kubwa kama mwananchi wa Kenya kutetea haki za wananchi wenzangu wanaobaguliwa kuhusu ukabila. Wenye mamlaka katika jamii hutumia ukabila kuwakosesha wengine nafasi maishani. Misaada inayotolewa na nchi mbali mbali kunawirisha umma wenye mamlaka huchukua misaada hiyo na kuwapelekea kabila lake bila kushughulikia kabila lingine na hivi hudumisha na kukuza hali ya nchi. jambo hili la ukabila ni rahisi ikiwa ukabila utatupiwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja. Viongozi wasiotii sheria wafutwe kazi na kupelekwa gerezani ili iwe funzo kwa viongozi wengine. Muda ukiendelea kusonga, serikali inafanya kazi nzuri. Serikali imemfunga kiongozi pamoja na mkewe nchini Kenya. Mkurugenzi wa mashtaka D.P.P anaendeleza kuangalia mashtaka yao. Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini unaendelea kuchunguza ufisadi aliofanya kiongozi huyu. Heko kwa serikali kwa kuangalia na kutaka kupinga ufisadi. Aidha katika mambo yanayotoa ufisadi nchini ni kuwapa nafasi watangazaji habari kufanya kazi yao ili wawaonyeshe wananchi ufisadi unavyotendeka katika nchi. Mara ngapi tumeona katika habari maafisa wa polisi wakipokea hongo? Basi tujue kuwa kazi ya wafisadi ni kuchukua hongo kila mara huku na kule. Hata wakisema kuwa watabadilika, wanahabari wanawapata tena na ufisadi. Wafisadi hawa hawabadili tabia zao. Na kwa hivyo ni jukumu la serikali kuwapa nguvu wanahabari ili wawatoe wafisadi wanaoharibu nchi yetu. Mwisho nikidokozea, ni kuzembea katika majukumu. Mtu anapatiwa kazi na serikali lakini hawezi kuzitimiza kazi hiyo jinsi alivyoamrishwa. Mtu anakosa kuenda kazini bila sababu maalum. Na anapoulizwa atasema alikuwa mgonjwa. Mfanyakazi kama huyo anapaswa kupunguziwa mshahara kwa sababu ya kuzembea katika kazi na hilo litakuwa funzo kwa wengine. Nikimalizia kwa kusema, mali iliyo chukuliwa kwa ufisadi lichukuliwe na kujengea shule na hospitali. Na wafisadi washtakiwe na wauwawe. Na kama hoja hizo nilizodokeza zitafuatwa na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya amani na kuwa salama salmini. Watu wote wa jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yote yaliyodokezwa mwanzoni, hakutakuwa na shida wala taabu kulingana na ufisadi.
Rwanda inapatikana eneo lipi la Afrika?
{ "text": [ "Mashariki" ] }
0197_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALI MBALI ZA KUKABILI UFISADI NCHINI Ni dhahiri kwamba ufisadi ni mojawapo ya balaa inayokumba nchi yetu. Tunaona kwamba uchunguzi uliofanywa na Shirika la Transparency International hivi karibuni unasema kuwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zimefanya vyema duniani katika kupambana na ufisadi. Rwanda ikichukua nambari ya hamsini na tano, Tanzania ikichukua nambari mia moja na kumi na tisa, Rwanda ikichukua nambari mia moja hamsini na tisa na Kenya kuchukua nambari mia moja arobaini na tano duniani. Inadhihirika kuwa Kenya imedorora katika vita dhidi ya ufisadi. Ufisadi ni kitendo ambacho hakistahili kutendwa katika nchi yetu ya Kenya na pia inaonekana wazi kuwa ufisadi unatendeka kwa kila aina. Kuna ufisadi wa kila aina, nazo ni kama kukaa na kukubali rushwa, ubaguzi wa rangi, ukabila, kufuja mali ya umma na hata kupendelea familia au kupendelea rafiki. Yafuatayo ni baadhi ya ufisadi unaotendeka nchini mwetu. Nikianzia kwa rushwa inayotolewa na wananchi kuwapa watu walio na vyeo ili kupata kazi au kutolewa katika shida fulani. Rushwa zinatolewa hasa kwa wale wanafunzi walio shika mkia. Wazazi wa wanafunzi hawa hutoa rushwa ili watoto wao wapate kazi. Kwa upande mwingine, mwanafunzi alijitahidi kusoma, wazazi wakakopa na kuuza viwanja ili mtoto wao apate kusoma na kufaulu katika mitihani yake na kupata ajira na kuwalea wazazi wao katika hali ya umaskini hohe hahe, lakini la kustaajabisha ni kuwa wanafunzi hao waliopita mitihani hubaki nyumbani na kutafuta kazi ya kijungu jiko, au kazi ya utwana. Ufisadi unadhihirisha kuwa wanafunzi hao waliojitahidi katika masomo yao huwa fukara. Hali hii ya ufukara linaweza kuleta maafa. Ufisadi hueneza uovu kama vile; kuuza mihadarati, kutumia mihadarati, kuua insi wasio na kosa, kuwanajisi wasichana na tendo hili linaweza kuambukiza maradhi ya ukimwi au kupata mimba ambayo haikutarajiwa na mimba hizi husababisha kutoka shuleni, na kufukuzwa majumbani. · Hii yote hukosesha watu imani katika jamii. Pia itawafanya wanafunzi wakose morali ya kusoma. Wataweka akilini kuwa wazazi wao watatoa rushwa na kupata kazi. Kwa kawaida kazi hizi zitafanywa bila kujua anachofanya, yote ni kwa sababu mtu huyo hakuwa na elimu ya kazi hiyo. Kwa hivyo, ufisadi wa kutaka kupunguza kutoa na kupokea rushwa nchini ni jukumu la serikali kuwaelimisha wananchi wote kuwa kutoa na kupokea rushwa ni kosa kubwa na pia ni kosa la kidini. Waelimishwe kuwa kutoa na kupokea rushwa inawaumiza wananchi kwa kila aina na wasikubali ushirikiano katika jambo hili. Kama wanaofunzwa hawatii jambo hili maanani wapewe adhabu kali ili iwe mfano kwa wengine. Kuwaelimisha wananchi inaweza kutumiwa mtandao, kuwa na nafasi shuleni kuwaelimisha wanafunzi. Njia nyingine ya kuwafunza watu ni kutumia vyombo vya habari kama vile televisheni na redio kutangaza madhara ya ufisadi. Pili ni kubagua watu kutokana na rangi yao. Huu ni ufisadi unaotendeka kila mahali, kama kazini, shuleni hata barabarani. Vita vinavyotokea ni kwa sababu ya ukabila unaibuka katika nchi yetu na ubaguzi wa rangi. Aliye na cheo atampa mtu wa kabila lake au rangi yake nafasi katika kazi. Jambo hili huleta vita na ukosefu wa kazi na kukuza ukosefu wa usalama nchini. Nyingine ni ufisadi wa jinsia fulani, wakati wa mahojiano, wanawake hawa huambiwa na mhoji kutaka kufanya mapenzi na yeye ili apate kazi na akikana kufanya kitendo hicho, wanawake hawa hukosa kazi. Na wale waliokubali kufanya mapenzi hupewa fulusi zao na kukataliwa kupewa ajira na mwishowe wanawake hawa huishia kuwa makahaba· Hili jambo la ufisadi ni la kunyima haki za wanawake katika jamii. Mwanamke huyo atakosa heshima na kukosa kuheshimiwa na watu katika jamii na chanzo cha yote hayo ni ukabila na ubaguzi wa rangi waliofanya wenye vyeo. Ninasema hivi kwa hamaiki kubwa kama mwananchi wa Kenya kutetea haki za wananchi wenzangu wanaobaguliwa kuhusu ukabila. Wenye mamlaka katika jamii hutumia ukabila kuwakosesha wengine nafasi maishani. Misaada inayotolewa na nchi mbali mbali kunawirisha umma wenye mamlaka huchukua misaada hiyo na kuwapelekea kabila lake bila kushughulikia kabila lingine na hivi hudumisha na kukuza hali ya nchi. jambo hili la ukabila ni rahisi ikiwa ukabila utatupiwa mbali kama wahusika watafunzwa jinsi ya kuishi katika umoja. Viongozi wasiotii sheria wafutwe kazi na kupelekwa gerezani ili iwe funzo kwa viongozi wengine. Muda ukiendelea kusonga, serikali inafanya kazi nzuri. Serikali imemfunga kiongozi pamoja na mkewe nchini Kenya. Mkurugenzi wa mashtaka D.P.P anaendeleza kuangalia mashtaka yao. Tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini unaendelea kuchunguza ufisadi aliofanya kiongozi huyu. Heko kwa serikali kwa kuangalia na kutaka kupinga ufisadi. Aidha katika mambo yanayotoa ufisadi nchini ni kuwapa nafasi watangazaji habari kufanya kazi yao ili wawaonyeshe wananchi ufisadi unavyotendeka katika nchi. Mara ngapi tumeona katika habari maafisa wa polisi wakipokea hongo? Basi tujue kuwa kazi ya wafisadi ni kuchukua hongo kila mara huku na kule. Hata wakisema kuwa watabadilika, wanahabari wanawapata tena na ufisadi. Wafisadi hawa hawabadili tabia zao. Na kwa hivyo ni jukumu la serikali kuwapa nguvu wanahabari ili wawatoe wafisadi wanaoharibu nchi yetu. Mwisho nikidokozea, ni kuzembea katika majukumu. Mtu anapatiwa kazi na serikali lakini hawezi kuzitimiza kazi hiyo jinsi alivyoamrishwa. Mtu anakosa kuenda kazini bila sababu maalum. Na anapoulizwa atasema alikuwa mgonjwa. Mfanyakazi kama huyo anapaswa kupunguziwa mshahara kwa sababu ya kuzembea katika kazi na hilo litakuwa funzo kwa wengine. Nikimalizia kwa kusema, mali iliyo chukuliwa kwa ufisadi lichukuliwe na kujengea shule na hospitali. Na wafisadi washtakiwe na wauwawe. Na kama hoja hizo nilizodokeza zitafuatwa na kutekeleza mambo hayo, wananchi wataishi maisha ya amani na kuwa salama salmini. Watu wote wa jamhuri yetu ya Kenya tukifuata yote yaliyodokezwa mwanzoni, hakutakuwa na shida wala taabu kulingana na ufisadi.
Ufisadi husababisha nini nchini?
{ "text": [ "Kuongezeka kwa viwango vya ufisadi" ] }
0225_swa
KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo bunge 290 na kaunti 47. Lakini Kuria anasema ripoti ya mwanzo iliyoandaaliwa na Jopokazi hilo ilipendekeza kakunti kuwa chini ya miungano ya kimaeneo kuimirisha ugatuzi kiuchumi. Kamati iliyosimamiwa na Seneta wa Garissa, Yusuf Haji, ilisema kaunti zihimizwwe kuunda miungano ya kimaeneo kukuza uchumi kwa hiari. Ripoti hiyo ilizinduliwa mwezi uliopita na Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM, Raila Odinga katika jumba la Bomas, jijini Nairobi. “Wanataka nafsi za manaibu waziri mkuu kwani hawana lolote la kuwapa Mabwana Musalia Mudavadi na Kalonzo Musyoka. Nafasi za Rais, Naibu Rais na Waziri Mkuu zimetengewa Bw Odinga, Seneta GIdeon Moi (Baringo) na kiongozi mmoja mwenye ushawishi katika eneo la Mlima Kenya,” Bw Kuria alisema kwenye mahojiano na Taifa Jumapili. Kulingana na Bwana Kuria, ripoti ya awali ya BBI ilipendekeza wabunge kuchaguliwa kutoka chama husika cha kisiasa, ili kuviwezesha vyama hivyo kudhibiti aina ya wabunge wanaochaguliwa katika maeneo bunge. Ripoti iliyozinduliwa kwa umma inapendekeza utaratibu wa kuteu wawaniaji vyama vya kisiasa moja kwa moja na raia.Bw Kuria anasema alipata ripoti hiyo kutoka kwa washiriki wake wa kuaminika. “Ripoti iliweka idadi ya watu kutoka eneobunge kuwa 137,000. Hilo linafikisha idadi ya maeneobunge nchini kufukia 350. Ukiongezea maeneo bunge ambayo hayajafikisha idadi hiyo kwa sasa, idadi hiyo inafika maeneobunge 500. Hili linalenga kusawazisha uzito wa kila kura. Mkakati ulikuwa kutimiza mfumo wa utawala wa bunge,” akasema. Alieleza kuwa, chini ya mfumo huo, Waziri mkuu na Rais wangechaguliwa na wabunge ili kuhakikisha Wakenya.
Kulingana na taarifa waziri mkuu angekuwa na manaibu wangapi
{ "text": [ "Wawili" ] }
0225_swa
KURIA ADAI BBI INA RIPOTI FICHE. Kulingana naye, Waziri Mkuu angekuwa na manaibu wawili huku idadi ya maeneo bunge ikiongezwa. Anasema kuwa, serikali inataka kubuniwa kwa nafasi za Waziri Mkuu na manaibu wake kwa kuwa haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa Upinzani waliokumbatia handsheki. Ripoti ilidumisha maeneo bunge 290 na kaunti 47. Lakini Kuria anasema ripoti ya mwanzo iliyoandaaliwa na Jopokazi hilo ilipendekeza kakunti kuwa chini ya miungano ya kimaeneo kuimirisha ugatuzi kiuchumi. Kamati iliyosimamiwa na Seneta wa Garissa, Yusuf Haji, ilisema kaunti zihimizwwe kuunda miungano ya kimaeneo kukuza uchumi kwa hiari. Ripoti hiyo ilizinduliwa mwezi uliopita na Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM, Raila Odinga katika jumba la Bomas, jijini Nairobi. “Wanataka nafsi za manaibu waziri mkuu kwani hawana lolote la kuwapa Mabwana Musalia Mudavadi na Kalonzo Musyoka. Nafasi za Rais, Naibu Rais na Waziri Mkuu zimetengewa Bw Odinga, Seneta GIdeon Moi (Baringo) na kiongozi mmoja mwenye ushawishi katika eneo la Mlima Kenya,” Bw Kuria alisema kwenye mahojiano na Taifa Jumapili. Kulingana na Bwana Kuria, ripoti ya awali ya BBI ilipendekeza wabunge kuchaguliwa kutoka chama husika cha kisiasa, ili kuviwezesha vyama hivyo kudhibiti aina ya wabunge wanaochaguliwa katika maeneo bunge. Ripoti iliyozinduliwa kwa umma inapendekeza utaratibu wa kuteu wawaniaji vyama vya kisiasa moja kwa moja na raia.Bw Kuria anasema alipata ripoti hiyo kutoka kwa washiriki wake wa kuaminika. “Ripoti iliweka idadi ya watu kutoka eneobunge kuwa 137,000. Hilo linafikisha idadi ya maeneobunge nchini kufukia 350. Ukiongezea maeneo bunge ambayo hayajafikisha idadi hiyo kwa sasa, idadi hiyo inafika maeneobunge 500. Hili linalenga kusawazisha uzito wa kila kura. Mkakati ulikuwa kutimiza mfumo wa utawala wa bunge,” akasema. Alieleza kuwa, chini ya mfumo huo, Waziri mkuu na Rais wangechaguliwa na wabunge ili kuhakikisha Wakenya.
Kwa nini serikali inapendekeza kubuniwe nafasi za waziri mkuu na manaibu wake
{ "text": [ "Haina nyadhifa zozote za kuwapa viongozi wa upinzani waliokumbatia handishake" ] }

This is a backup of the KenSwQuAD dataset available at https://dataverse.harvard.edu/dataset.xhtml?persistentId=doi:10.7910/DVN/OTL0LM

This dataset was NOT made by Lightblue KK., but simply reuploaded for ease of downloading. The original data files require downloading each individual text file, so we re-uploaded it as a dataset.

If you use this dataset, please give it the appropriate credit by citing:

Wanjawa, Barack; Wanzare, Lilian D.A.; Indede, Florence; McOnyango, Owen; Muchemi, Lawrence; Ombui, Edward,
2022,
"KenSwQuAD – A Question Answering Dataset for Swahili Low Resource Language"
https://doi.org/10.7910/DVN/OTL0LM
Harvard Dataverse, V2, UNF:6:ozIF07UtsZNF2B+IVjGluw== [fileUNF]
@data{DVN/OTL0LM_2022,
    author = {Wanjawa, Barack and Wanzare, Lilian D.A. and Indede, Florence and McOnyango, Owen and Muchemi, Lawrence and Ombui, Edward},
    publisher = {Harvard Dataverse},
    title = {{KenSwQuAD – A Question Answering Dataset for Swahili Low Resource Language}},
    UNF = {UNF:6:ozIF07UtsZNF2B+IVjGluw==},
    year = {2022},
    version = {V2},
    doi = {10.7910/DVN/OTL0LM},
    url = {https://doi.org/10.7910/DVN/OTL0LM}
}
Downloads last month
2
Edit dataset card